Rayvanny - Hongera (Music Audio)
HTML-код
- Опубликовано: 12 апр 2024
- Stream/Download 'Hongera' - ziiki.media/Hongera-Rayvanny
Follow Rayvanny On:
Twitter : / rayvanny
Instagram : / rayvanny
Snapchat: Rayvanny chui
Tiktok: Rayvanny_chui
Produced by Trone
For Bookings:
Email: rayvannymanagement@gmail.com
#rayvanny #hongera #music #NextlevelMusic
Copyright ©2024 Next level Music. All rights reserved. - Видеоклипы
Hongera chui mwenyewe 🎉🎉 this is how ex girlfriend have to be treated.. thanks for a great recognition ❤ wakenya tuko wapi nipe likes 🇰🇪🇰🇪
❤❤❤❤❤❤
❤❤❤🇰🇪
Rayvanny hajamwimbia mtu yeyote jamani
❤❤❤❤❤
Thanks for given good things love news songs ❤
Hongera kwa mama wote ❤❤❤❤
Vionjo Sara ya mac voice.....kama umeviskia weka like👍 .....ubunifu hatari sana 😃 more love chui
hii ngoma si ni sara ya mac voice
I wish Wemasepeto naye mngu amukumbuke amubaliki katoto wasani wote watowenyimbo kwajiliyake za kumupongeza kamahivi 😔 congratulation paula 💕
Hongera sana mama Kama sio ww singekuweko niliko❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤wapy likes za mama mzazi❤❤
Mungu awaone wanaotamani kupata watoto mtoto Raha Sana,
Amin 👏 👏
Huyu kiukweli anampongeza Paula🥰🥰🥰ama vipi wadau .....mwenye akili ya kufikiria mbali atajua amemuiimbia Paula❤❤❤❤❤
This is the comment I was looking for😂
@@winnieasiko5084 kweli🤣😂😂😂😂😂
Exactly 💯
❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Umeona ❤❤
Wakenya wote tumefurahii sana rayvanny kwa kumpongeza paula
Eee😂
Jiongelele ww ulitutext tukakushow ivyo wee
@@yvanna-ee3tn😂ati wakenya tumefurahi tf
Sema wewe pekeako sio wakenya 😂😂
Kabisa
Wa kwanza 🎉. Nipeni ata like 10 zinsnitosha 😮😮
ruclips.net/video/dCEQ34_lTOQ/видео.htmlsi=j7Kdt3_J7Echchuw
,,z,,,,,
,,z,,,,,
Iv like mnafanyia nn
@@joelyohana194Huwez elewa kama huna D mbili
Aminia chui kbc anaweza kwa sauti yake na ubunifu wake daa hadi raha ❤
Daah jaman hii nyimbo inanilenga maana mke wangu kujifungua Leo tarehe 15 ❤❤❤
Hongera sana kaka
Bravo
@@charitykyalo7518 Asante kaka
@@Liliana-mc2su big up sana
Kajifungua iyo siku poa...🎉🎉
Hivi ndio Ex mnatakiwa muwe. Sio paka na panya. Hongera paula na Asante Rayvanny kwa wimbo huu special
Tuishi kizungu tuache ushamba mambo ya kuachana mnatusiana ushamba tu
Nani ahaisi hii nyimbo ni special Kwa Paula kama nihisivyo mie 😅😅, mwamba huyu rayvanyJUX!!
Actually the comment I was looking for😂😂😂😂😂🙌🙌
Ni paul 😂😂😂😊
Pauloh ❤❤❤
Same here❤😂@@user-my1gr4ib4g
Mimi pia😂😂😂😂
Sijawahi kupata like hata moja jamn
Thank you Rayvanny you brought this song when I needed it the most, it's a dedication to my wife,it's my birthday and my wife has delivered today. Thank you to GOD
Congratulations
Congratulations 🎉🎉 double celebration 🎉🎉🎉
That's wonderful 🎉🎉🎉
Congratulations 🎉🎉Late birthday wishes to you. Happy birthday.
Congratulations to u and your wife.. All the best in your parenthood..
Nani anahisi huu wimbo ni special dedication to paula🔥🔥🔥🔥🔥🔥chuiii❤❤❤🇰🇪piga like kama unakubaliana nami
Nimefeel hivo pia jamani tuwapende ma ex wetu
Kwan n siri
Paula ft Marioo
Hongera nyimbo zuri sana kama unaipenda kama mimi basi nipe like
Kwasababu wew ndo ulio imba
Hongera Paula 🎉🎉🎉 hongera sanaa kuwa mama kitu special 😂😂😂 kama alivyo kupenda kajala mpende mwanao 😅😅😅🎉🎉🎉❤❤❤ sikuizi ex ni friends tuu hakuna chuki
Tunaenda na wakati😂😂
😂😂😂😂😂 Mungu anipee ma ex kama hawa😂😂😂
😂😂😂🔥🔥🔥 But karoho kana muuma Rayvan
Konde tiari kashapata mjukuu marioo hasitanii na mtoto wa watu mana zile gym sio za kawaida ipo siku atapigwa kichwa iki kimoja tu😅😅😅😅🙌🙌🙌🙌
Hasa ukimpta Ex mzungu kama Ray😂❤❤❤
Kama unamukubali rayvanny piga like apo
Special dedic to my beloved wife journey to delivery ya my first born.feels like its sung for me.naomba likes
Congratulations to your family
congrats bro
Congratulations🎉🎉
Aww safe delivery to your wife and congrats to her in advance
Wow 👏, hii nyimbo nimeisikiliza mara 100, mwamba unajua 😅😅🎉
ruclips.net/video/dCEQ34_lTOQ/видео.htmlsi=j7Kdt3_J7Echchuw
This generation can do anything.... Sisi wasanii MUNGU atubariki....👍
Ohh wewe ni msanii...!! Bydha have seen yua video.. u look familiar...
Kenyans🇰🇪approve this sound this how ex's should be treated and treated si kurusha maneno na chuki. Big up vanny boy❤
Break up doesn't mean there should be jealousy and hatred ....congrats vanny boy..this is the real meaning of gentleman👊👊👊
Hongera sana kwa kumpongeza Paula 👍👍👍🤝👏
Enyewe message to paula
Kabisa
😂😂😂
Special addicted to Paula
Bado ana mpenda Paula
Hatuna kinyongo kabisa ndo maisha yanatakiwa yawe ivyo 💘
Umeongea mwaya mana wengine wakiacha wanakuwa kama simba na chui
❤❤❤umetisha chuii ila nimeamini moyo nimwepesi kupenda ila ningumu kusahau
Big up sana ndugu yangu kwa kumupongeza Paula inaonesha kama aunakinyongo naye bali unamutakia mapenzi Bora na isiwe tu kwa mitandao pia nisema Asante sababu sio kila mtu mwenye kuwa na upendo na roho kama yako shukrani sana🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇨🇩🇨🇩
Always Kenya being in love to Tz ❤❤❤❤❤❤ nakupenda Sana Rayvany
Hongera kwajil ya Paula😅 but this song is really emotional and have a good message, much love vanny💚
Hongera Paula kwa kuwa mama ❤❤❤❤❤ very good Ray for congratulate paula🎉🎉🎉💝💝💝💞💕💓nipeni likes zangu
Nimekua wa kwanza please kama unamkubali rayvanny nipe hiiiiiii ❤️❤️❤️
Wouuuh my favorite singer boy ,vanny boy nakufollow tano kwa tano ndani Bujumbura 😅
Hogera paula.🎉🎉 hongera sanaa kuwa mama.kit.special😅😅 ka.ma alivyo.mpendane kam ravnnyn na fahiyma🎉🎉❤❤
Nyimbo kalii kama umeikubalii weka like za kwenda Vanny boy 🎉🎉🎉🎉🎉
Asee hii imetachi sana wapi likes ndugu zangu ...naipenda wimbo huu nikiwa kenya
Hongera mamaa yangu na wamama wote duniani rabana awajazie nyie nyote❤❤❤
bila shaka kaka najuwa,kama wewe kwenye muziki umesha tobowa ❤❤❤❤🎉🎉🎉
Allah akupe mtoto na wewe chuwi Hongera Kw ujasiri
A beautiful song. Congratulations to all who are waiting for this beautiful gift of a baby from God.
Big up sana kaka nakubali zako nikiwa pande za kahama,shinyanga
Chui umeamua umwimbie Paula,, couple yako na da pau ilikua hot sana na niliipenda saaaaana,,Fay namkubali ila pau ilikua the best💕
No Fay was the choice of Rayvvan Paul was sidewalk
Kabisa waliendana
Paula alikuwa soul mate...Fay ni young love iliyoleta mtoi....
Niliwapenda pia sana ❤Mipango ya Mungu lkn.
Ambao wanaitwa Mama nipe maua yao 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
True love never dies ...Ray bado anapenda aka katoto❤
Wakwanza Leo mie naombeni like zenu hapa❤ Tanzania one 🇹🇿
Kunamtu Bado anaishi apa , mapenzi kweri kichaka duuuh, Paula ongera zako 👁️👁️👁️
Naitaj comment jaman
Raivanya anampenda paula bado❤. But amelipwa na marioo aimbe
Mh wenimmbey bwana
Big up sana Chui umeweza sana broo mpaka nmemiss mwanangu Rayner na mama jaman Mungu awalinde ile heria wahoo nw
Jaman mapenzi hayajifichi hongera naiona kama ile ya yule 🎉🎉🎉
Wa kwanza from 🇨🇩🇨🇩🇨🇩 like zenu 🫵🫵kwa king Chui🤴🤴
ruclips.net/video/dCEQ34_lTOQ/видео.htmlsi=j7Kdt3_J7Echchuw
Hongera kwa kina mama wote may God bless you ❤❤❤
Raha sana kuachana sio mwisho wa maisha❤❤❤
Kenyans confirmed that this is a hit song in central Africa🎉❤
Dah Paula ngoma lake pole vanny boy Omar kafanya kweli badnation katisha
Kwa kweli mariooo kaupiga mwingi
Kando na talanta ,,kimziki biashara kutusua tumia akili, ujanja, werevu,...yani kuwa shapu...hongera vanny wewe mwerevu sana ona sasa unavotrendi
Masterpiece Chui .... you are the one who made me to learn swahili my bro at heart .....you are a goat 🐐 at large ❤❤
Sio kwa Babu, bibi, baba mama..... Mungu amemleta Mwana....... Hongerah unaitwa MAMA... 🔥🔥🔥🔥
ruclips.net/video/dCEQ34_lTOQ/видео.htmlsi=j7Kdt3_J7Echchuw
ruclips.net/video/dCEQ34_lTOQ/видео.htmlsi=j7Kdt3_J7Echchuw
Aiseee hiii nimeipenda ❤❤❤❤❤❤❤ tafadhali atakama nimwamwisho naombeni like
my role model ever,, from 🇿🇼 Zimbabwe
Atoke pale alishaka shidwa kuimbiya fei aiko sawa .anaenda kuimbia ex girlfriend wake manake akingali namupenda aiko sawa 😢😢😢😢😢😢banamuke pole sana
from Kenya nimefurahia sana❤❤❤❤
Wakwanza kabisa kukomenty na kulike kwenye wimbo huu hongera like zangu
Hongera dada paula🎉🎉🎉🎉 na Asante sana Rayvanny kwa wimbo huuu umefanya kitu kikubwa sana na chamana sana 💯👌🔥❤💃💃💃
Hongera wimbo tamu sana king of music nakutabua bro
Walio gunduwa uyu mwimbo ni wa Paula gongeni like 😂
🤳🤳Kaka nakubali sana 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 SONJO OG
Youngh king kid tz mnitaze Wimbo wangu mpya # nampenda
Good one , one behalf of my village, county and country nime approve ❤
Nilitaman sana mapenz yao yaendelee bwana daah 😢❤❤🎉
Sikupenda mm napenda nikimuona fay
Let us concentrate na akina nadia na arrowboy hiyo haituhusu sisi wakenya jamani
Tulijuwa tu yupo in love na Paula😻😻😻🙌🙌
Naitwa happy natokea Musoma nimeupenda wimbo japokuwa bado sijaitwaimam ametisha kinomayani❤
❤❤naomba like 👍 ata kumi jamani cogratilation rayvani
Kaka haujaforce lyrics keep it up ,,,wapi likes zangu from Kenya 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
congratulations chui❤🎉🎉, am waiting for you to dedicate one for me and my baby boy
congratulations chui❤❤🎉,am waiting for you to dedicatete one for my beby boy
Jamn huu wimbo waah wangusa hadi ndan ya roho ..hongera paulah waitwa mama ❤🎉❤🎉❤
Wa kwanza from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
hongera brother chui kwa kumuimbia ex nahc sasa mtakuwa nfano wa kuigwa cyo wale wanao achana wanakuwa na chuki za hovyo as if ni ma enemy,, always i like it🥰🥰
Love you from Zimbabwe 🇿🇼🇿🇼🇿🇼🇿🇼🇿🇼🇿🇼
Chui hongera piya n'a weye 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🇨🇩🇨🇩
Congratulations Paula kajala,,,, Vanny boy hii umeuwa,,, hauna Baya kiongozi,,, keep shinning,,,
My favourite ✌️✌️💪💪
Kawimbo kazr lkn kafupi ❤❤❤
This was soo Amazing 💯As a Kenyan am very juh ingekuwa sio mama nisingelikuwepo🙏🙏🙏big up bro you never disappoint
Your number one fan here in Zambia 🇿🇲
Nice one #Vannyboy
Upande wa pili pia mwananetu kazingua bhn vanboy kama ushamba tu ilikuw haina haja kuimbia wimbo hata kwa mtazamo wangu😢😢🙌🙌
😂😂😂 anaenda na upepo unasemaje???,Vanny anakili wewe ya kuvuta mpunga
Kwa kweli kwa hiloo spingii kubabake😀😀🙌
Angetulia tuu
Sikupingi chui sasahiv anazingua Sana anajishushia brand mwenyew
Kweli anaonesha kbsa roho inamuuma haja move on vzr😂
Hii ngoma haina shida yeyote congratulations chui❤❤❤
Tumia Nafasi vizuri 👏👏👏
🎉🎉ongera paula kupendwa raha 🎉🎉
ruclips.net/video/dCEQ34_lTOQ/видео.htmlsi=j7Kdt3_J7Echchuw
wa kwanza nipe like zangu
I think am going to get pregnant too , this song is Soo sweet❤
This song is giving me a baby fever ❤
Hahaaahaaaaa😂😂😂😂 RayVanny Bwana. Yaan kuona lile Tumbo tu mtandaoni Chaapu Ngoma Hiyoo.... Kweli Bongo is Full Of Tallents😅😅😅
Ila Big Up Sana kwa kuwa na Jicho la Kuona Fursa. Nashauri mapato yatakayopatikana kupitia wimbo huu yakamlee uzazi huyo atakayezaliwa🎉🎉🎉🎉
Kitu imekaa unyama sana🔥🔥🔥🔥🎼🎼🎼🎼
Bro unajua utafika mbali zaidi ya apo God bless you 🙏🙏
Good music
Good message
Big up rayvanny and congratulations to Mr and Mrs marioo be blessed abundantly 254 we ❤ u.
Your number one fan from Sénégal 🇸🇳🇸🇳🇸🇳love u ❤️❤️❤️
Kumbe bado chui anamfatilia paulah❤
Mapenzi kitu chengine jmn ht mastaa wanaaibika😮😮😮
😂😂ex amempa content ya wimbo
Hongera my mom may continue blessing you 🙏🏼
❤❤❤❤,mziki mzuri kweli kweli kutoka kwa kijana wetu rayvanny
Wa kwanza wapi likes za chui