NI KWELI FID Q ALIWAHI KUTOKA KIMAPENZI NA SALAMA?
HTML-код
- Опубликовано: 17 сен 2024
- GLOBAL TV ONLINE: Kujua kama ni kweli staa wa Hip hop, Farid Kubanda 'Fid Q' aliwahi kutoka kimapenzi na Salama Jabir, ungana na Global TV Online katika kipindi chake cha Mtu Kati!
Fid chenye naweza nikukutakia mema na kushinda kila chochote kipitacho kwenye anga zako. Una maneno na fikila vyakuinua jamii kubwa ndani na inje ya taifa lako, namaliza kwa kusema viva Fid Q viva.
ngosha swagger don tisha sana
Kiukweli mpaka hapa fd q mziki wake nimeuelewa vizuri kaka fd uko vizuri kimistari
Fid does it meaningful
Du, huyu Jamaa anaweza
PAM D kapooza sana
noma
baba j
Fid q kaka kuwa muwazi tu
Kama umemtafuna salama
You are good in Hip Hop no body can take it away from you bro. but you are not Hip Hop bro, sasa Kina Drek watasemaje si watasema miungu wa Hip-Hop? Haya akina Prof Jay, Sugu, etc wasemeje mkuu. You should correct your statement, you have inspired at least 50% of the Tanzania rappers. Just my take
fid Q unajua mpaka unakeraaaaaaa we jamaa
Ngosha sema ukweli kamanda kama ulitafuna huyo bidada
blaza, angalia camera basi...
hahahaah
Imekumbaba
Imenimbaba
FID UNATHA
jamaa ana sfa nzuli sana kupenda watu wahali yachin
aweh sisonge mfeto
Ujajua did kasema nn
Kasemaje did
Du, huyu Jamaa anaweza