NI KWELI FID Q ALIWAHI KUTOKA KIMAPENZI NA SALAMA?

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 сен 2024
  • GLOBAL TV ONLINE: Kujua kama ni kweli staa wa Hip hop, Farid Kubanda 'Fid Q' aliwahi kutoka kimapenzi na Salama Jabir, ungana na Global TV Online katika kipindi chake cha Mtu Kati!

Комментарии • 24

  • @salimomarmkapa
    @salimomarmkapa 8 лет назад +3

    Fid chenye naweza nikukutakia mema na kushinda kila chochote kipitacho kwenye anga zako. Una maneno na fikila vyakuinua jamii kubwa ndani na inje ya taifa lako, namaliza kwa kusema viva Fid Q viva.

  • @oswaldoswald3335
    @oswaldoswald3335 7 лет назад +1

    ngosha swagger don tisha sana

  • @bettyngoo6979
    @bettyngoo6979 6 лет назад

    Kiukweli mpaka hapa fd q mziki wake nimeuelewa vizuri kaka fd uko vizuri kimistari

  • @themike2564
    @themike2564 6 лет назад

    Fid does it meaningful

  • @festusthomas7647
    @festusthomas7647 6 лет назад

    Du, huyu Jamaa anaweza

  • @raphtz5694
    @raphtz5694 9 лет назад

    PAM D kapooza sana

  • @razackgodfrey533
    @razackgodfrey533 10 лет назад

    noma

  • @saimonmgeta5239
    @saimonmgeta5239 6 лет назад +1

    Fid q kaka kuwa muwazi tu
    Kama umemtafuna salama

  • @andrewmsungu2535
    @andrewmsungu2535 10 лет назад +1

    You are good in Hip Hop no body can take it away from you bro. but you are not Hip Hop bro, sasa Kina Drek watasemaje si watasema miungu wa Hip-Hop? Haya akina Prof Jay, Sugu, etc wasemeje mkuu. You should correct your statement, you have inspired at least 50% of the Tanzania rappers. Just my take

  • @calvinbrown5287
    @calvinbrown5287 8 лет назад

    fid Q unajua mpaka unakeraaaaaaa we jamaa

  • @frankkubwera3528
    @frankkubwera3528 10 лет назад

    Ngosha sema ukweli kamanda kama ulitafuna huyo bidada

  • @v12muscular38
    @v12muscular38 3 года назад

    blaza, angalia camera basi...
    hahahaah

  • @charlescjustine6268
    @charlescjustine6268 10 лет назад +2

    Imekumbaba

  • @rasheedtwaha8321
    @rasheedtwaha8321 10 лет назад

    FID UNATHA

    • @aliali189
      @aliali189 8 лет назад

      jamaa ana sfa nzuli sana kupenda watu wahali yachin

  • @johsuremc5592
    @johsuremc5592 9 лет назад +1

    aweh sisonge mfeto

  • @khalidimohamedi1447
    @khalidimohamedi1447 9 лет назад

    Ujajua did kasema nn

  • @festusthomas7647
    @festusthomas7647 6 лет назад

    Du, huyu Jamaa anaweza