Это видео недоступно.
Сожалеем об этом.
MOVIE REVIEW : MWAMBA AMBAE ANAPITIA MENGI KWENYE MAISHA HANA RAFIKI KABISA | TROUBLED HEART
HTML-код
- Опубликовано: 10 фев 2024
- Movie Name : TROUBLED HEART
Year :
Genre : Drama
NB: CREDITS
●WATCH FULL MOVIE ON : ONE AND TWO FILMS TV
⚠️DISCLAIMER
Copyright Disclaimer: - Under section 107 of the copyright Act 1976, allowance is made for FAIR USE for purpose such a as criticism, comment, news reporting, teaching, scholarship and research. Fair use is a use permitted by copyright statues that might otherwise be infringing. Non- Profit, educational or personal use tips the balance in favor of FAIR USE.
IF YOU FEEL YOUR RIGHTS ARE VIOLATED EMAIL ME AT 📧"lifelakitaa@gmail.com" AND I WILL KINDLY TAKE DOWN THE VIDEO.
#zeelakutune #zeelatown #e7bits
Zeeeh la kutune zeeeeeh la town zeeeh la kubandika ......ndani ya E7Bits .... Ujawai zingua 🎉🎉
Oyaaa uyoooo Aron ndooo mimi.kabisa😊😊
Mwanangu we saiv ndio Tanzania number one 🔥
salute broo, yaan mzee wew ndio unanifnya naangalia movie za nigeria lakn nilikuwa siangalii aisee nliona zinanizinguwa dadek
kama mm pia., asa za huyo jamaa clinton joshua
Movie za huyo jamaa Kali sana 🔥🔥🔥🤠
Name please
mwanangu nakuelewa kichizi,nimeangalia video zote na sipitwi na yoyote ile. love my boy
Nimechelewa jamaniii daah asante mwamba tunainjoi tuuu unajua sana kutufurahisha ❤️❤️✌️✌️
Konka me ni shabiki yako namba moja 2naomba uwe una2wekea na movie za kizungu mana nazo znastory kali sana ni omb2❤🎉
Usijali
Mwanangu una voice yenye panchi kali kinoma umetisha sana E7bt salute mzee baba
😅😅😅😅 dj leo umeamua utuimbie sasa nakukubali sana
Oyooooooh MIMI MTU WA KWANZA❤❤❤❤ GONGA LIKE HAPA
🙌🙌🙌
@@e7bits_tz UJAWAHI KUKOSEA
❤🎉
Mambo naomba unisaidie namba yako
@@makwaya664😂nitakupa yang
Wee konka haujui 👏👏 ni moto wa kifuu baharia unakimbiza vibaya huku mjini youtube kwenye hizi mishe 🎉🎉 tunakukubali kimbiza zaidi tupo na wew
Pamoja sana✌
Tupigie za huyu mwamba🙈❤
🙌🙌🙌
Aaron mzuri jmn mwe😂😂 napenda muv zake
Sana
Hata mim pia napenda move zake ila ni mkaka hensamboy jaman
Umalaya tu😂😂😂😂😂😂
@@AnnahLusia-bz3lchahahahah
Mfipa
Uwiiiiiiiiiiiiiii gonga like twende pamoja za @izkonka🎉🎉🎉🎉🎉
Kaka sema uwe unamtumia sana uyu jamaa kwenye movie nyingi anakubalika sana
Jamani w kaka unaendelea kutukosha roho mashabiki zako❤❤❤❤❤
Oya weeh moto juu ya Moto 🎉❤
Dahh we kaka ni Criator mno🔥🔥🔥
Yani namkubal San huy jamaa na movie Zak, pia big up San kwa narrator👋👋👋
E7BITS naomba kuulza kitu wewe na yule jamaa wa movie headquarters ni watu sawa sababu wewe ukiwa kimya na yeye yupo kmya ukishusha mzgo na yeye anashusha.. kazi kama hz za kwenye zinahitaji competition
Wa mwisho hapa gonga like hapa 😂😂
Uyu Aroun mbona kama ni dogo yule anae waunganisha watu waliokosa furaha kwenye post iliyo pita
Ndio yye
Nd mwenyew kbsa
Ndio yeye
Yuko vizuri
Saiz nimejua kwann anajiita konkaa ni moto
Asante sana
Oya mzee kazinzuri sana mzee ahsante kwakuburudisha mioyo yetu Big up sana mzee 🎉
Leo umeimba E7bits 😅😅😅😅
Nimewai leo 🎉🎉🎉🎉
Unajuw san mwamba🎉
Nimekuwa wa kwanza leo nipe like zangu
🙌🙌🙌
Star wa Nigeria huyo Clinton Joshua🎉
Wadau hamtoi hata comments kuhusu movie nyie likes tu😂😂bro unajua sana❤🔥
Asante sana🙏🙏🙏
E7BITS,,naomba movie ya perfect for me ni Nigerian movie please🤍🙏🏾
@@e7bits_tz naomba movie ya perfect for me ni Nigerian movie please 🤍🙏🏾
Dah.. wakwanza leo 😮😮
🙌🙌🙌
Jamaaa unajua sana daaaaa blessed enough,,,gooooood
Makini broooo, ya moto sana kaka, Clinton Joshua Katika ubora wake,staa anayetamba na Nigerian movies🙌🙌🙌🙌
Hatariii🙌
@@e7bits_tz gonga Nigerian movies hadi zipauke kaka 😅🤣
Bro ur good stor teller
Umepata viewers weng kuliko hata nyimbo ya Mrs.Energy😊😊 jmn
Zwee La kutune upoo Flexible afu Creativity kama Zoteeee mzeeee Watajua hawajui soon Tutagonga 500k subscribers Mungu mwema kaka piga kazi
Pamojaaaaa sanaaaaa
Wakwanza naomba likes zang😅😅
🙌🙌🙌
Jamani hizo like mnakula au😂🎉🎉❤❤
Asante DJ ALLAH akubarik
Zeraaaaaaaa😊
Anyway ngoja leo nisiseme kitu ,,,ila 😮😮😮 we konkaaa ni mnyamaa kinomaaaaaa❤❤❤
one love mzee wa mipinduko
🙏🙏🙏
Ila tuseme2 ukwer konka anatishaaaa🎉🎉🎉🎉🎉🎉👏🙌🙌🙌🙌
Asante sana
Konka hana mpinzani kwa sasa😂😂😂😂😂
Mm wa Kwanza 😂😂😂
🙏🙏🙏
Ni mgeni apa mashallah 😍 nimeipenda movie
Unasauti zuri Kuna wengine wakitafsili kama wanatugokea wasikikizaji
Nakubal sana kaka
Nzuri sanaaa😂😂😂
🙌🙌
Wew mwamba umetishaaa
Wow na enjoy sana move zako❤🎉🎉🎉
Noma sana mwambaaaa
Mwamba unajua sanaaa kusimulia hongera
Konkaaa zee la town🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Clinton joshua 🎉🎉🎉
Anajua sana
Nakukubali sana mwamba 💪
Uko vzr sn man
Nampataje Aron nampenda sana 😋😋
Movis ambayo yupo huyu kaka ninzur kwakweli 😊
Naipenda xana hii michezo❤❤❤❤
We kaka ni🙌🙌🙌🙌🙌🥰
Wa kwanz kweny comment
🙌🙌🙌
Nimependa na ninakukubali sana broo
Story Bombaa Sanaa👏👏
Huy aroon ❤❤
Waooooo
Asante kwa move nzuri
Nzuri sanaaa yani duuh❤❤❤
All the way from Zenji#Marashi ya Karafuu🔥🔥🔥🙌🙌
Umetisha mawazo kilo
bonge la move ❤❤❤❤
Oya E7bits 🎉🎉🎉 maua yako mkaka😘😘😘
Ubaki Nigeria tu 🔥🔥
Recap zako ni fire 🔥
Aisee we kak unanichanganya mwenzio❤
Tamu Sana ❤
Tamu pipi ya kijiti🎉
No 1
😅🙌🙌
Braza unatisha🔥
Konkwaaaaaa🔥🔥🔥🔥
Aaron nampenda san❤❤
Hivi huyu ndo star wa Nigeria kwasasa?? Maana kila movie namuona
Kuna Aron na chinneinebe hao.kibongo bongo kama.zuchu na marioo
Mkubw umeipg xan❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Jina rangu ni Sara
Napenda hapo pa bussu takatifu😊
Me napenda sauti yako tu.aisee
kaka unajua sana
Oy umetisha brooh ila natak ile ya watu wapo kwenye chumba cha mtihan inaitwaje
Dj kumbe unajua kuimba jmn😂
Oya we jamaa n moto konka konka tunasubil nyingine mzee
Busu fulani hv la Kuwaleta katikati 😂😂 Mke wng Kacheka sanaaa Ntapigaa Leo hilo busu
Aiseeee haad raha nampenda huyu mkaka
Mbona anasimulia haraka haraka khaa
Mzigo mkalii❣
Napendaga hizi stori but ukienda kuangalia kuna vitu mnadanganya so ongeza uwezo uwe zaidi but napenda kazi yako
Nice
❤❤❤❤❤
Oyaaa bonge la moviee hili
Jamani hii ukopoa lakini tueleze pole pole Jamani ww kaka ukoharaka mnooo
Yaan ww unatujuulia mpk bc😂😂 unajuaaaaaaa bhbaaa😊