ANAPITIA MAISHA YA MAUMIVU SABABU YA KOVU LAKE | SCARRED

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 фев 2025

Комментарии • 447

  • @sophiarajab5476
    @sophiarajab5476 10 месяцев назад +7

    Nnalo kubwa sana mpaka leo,halinitesi tena nimepata mume ananipenda sana na kovu langu kubwa.❤❤❤

  • @randomtube3002
    @randomtube3002 10 месяцев назад +5

    Hii ni sauti ya naniiiiiiii aweeeee likes kwa huyo mwamba E 7bits siku tumshangazee kagonge like kama badoo hujafanya hivyo sidhani kama nahitaji kuangalia tena muvi yote, mzee kaikamua utamu wote 😍😍😍😍😍👏👏👏👏

  • @Mambalyelibarick
    @Mambalyelibarick 11 месяцев назад +8

    Kama unamkubal e7-bits konkaa a.k.a zee la kuton zee la town... gonga like hapa tujuanee

  • @FadhilaFadhila-wi5wh
    @FadhilaFadhila-wi5wh 11 месяцев назад +4

    0h naleo nimechelewa lisaa limoja t. Ila sio mbaya tunapata burdan na mafunzo ndan yake. Maua yako brother 🎉🎉 love you. Mwaaah.

  • @isayaleader4245
    @isayaleader4245 11 месяцев назад +6

    Hii niya moto 🔥🔥 sana , naomba like zangu jamani 🇨🇩

  • @StevenPaschal-ln8em
    @StevenPaschal-ln8em 11 месяцев назад +9

    Leo wakwanza me naomben like zang

  • @AdilyAgustine
    @AdilyAgustine 11 месяцев назад +4

    Makofi mengi kwa KONKA👏👏

  • @emmanuelsadick5114
    @emmanuelsadick5114 11 месяцев назад +5

    leo like yangu ya kwanza bwn. kila siku nyie tu

  • @mwenieliasa6517
    @mwenieliasa6517 11 месяцев назад +2

    Shukrani sana❤movie nzuri ❤

    • @e7bits_tz
      @e7bits_tz  11 месяцев назад +1

      🙌🙌🙌

  • @BonyTowny
    @BonyTowny 11 месяцев назад +5

    Sanaaaa boy

  • @mayaashassan3918
    @mayaashassan3918 8 месяцев назад +5

    😂😂😂wengine tuna makovi ya moyoni to😅😅😅mioyo inaumizwa kla cku😂😂

  • @jimmysamson4002
    @jimmysamson4002 11 месяцев назад +2

    Bro unajua sanaaa.... 👑

  • @MerrandaSpaiter
    @MerrandaSpaiter 11 месяцев назад +71

    Jamani mpak nilikumic ❤😂 Wakwanz leo like zangu 😂

    • @e7bits_tz
      @e7bits_tz  11 месяцев назад +7

      Chukua 🙌🙌

    • @ZaynabAhmed-r6x
      @ZaynabAhmed-r6x 11 месяцев назад +4

      Tunaomb utuwaishie jomon zee la chui zee la town

    • @ngunekiwanga5481
      @ngunekiwanga5481 11 месяцев назад +2

      Mimi je kummisije kama baby wangu😅

    • @LovenessLadis
      @LovenessLadis 10 месяцев назад +1

      om i
      hibbp5​

    • @LovenessLadis
      @LovenessLadis 10 месяцев назад +1

      i0😮l😮p

  • @JosephineRobert-s8m
    @JosephineRobert-s8m 11 месяцев назад +3

    Kunamakovu mengine hayaonekani wazi bl yapo ndani yetuu na hatuwezi yaondoa japo tunajaribusanaa kufunikaa❤❤😂😊

  • @jacksonmbwilo360
    @jacksonmbwilo360 11 месяцев назад +2

    Bro Saiz unachelewa kutowa daaa tunaomba uwe unatuwaishia 🙏🙏🙏🙏

  • @jimmymhami8288
    @jimmymhami8288 11 месяцев назад +1

    E seven bits you were born for this nina soda yako🎉

  • @hemedkadili6934
    @hemedkadili6934 11 месяцев назад +8

    me naisi Kwa tZ tuko tofaut snaaa yni mtu akiwa na kasoro Kuna Ile jicho Moja Tu umeangalia uka kausha ila uku ad mtu anajua kua wananishangaaa tusiishi hvyo ujafa ujaumbka

  • @rose-rc9sh
    @rose-rc9sh 11 месяцев назад +4

    Walete tuu 😅😅😅neno ilo ndo nalipendaa

  • @najmaabdalla6869
    @najmaabdalla6869 11 месяцев назад +3

    Hiii movie niliiyon niliitamni kuiyon kwako ❤😊

  • @SalmaRashid-g1z
    @SalmaRashid-g1z 11 месяцев назад +2

    Nilikumiss konka😊😊❤❤

  • @marryofficial9143
    @marryofficial9143 11 месяцев назад +1

    Jmn dj wetu🎉maan jana tuliboleka😊🤗

  • @achantyyahya4290
    @achantyyahya4290 11 месяцев назад +3

    😂😂😂😂😂Apo Kwenye Walete Sasa 😂😂😂Ndio Napendaga

  • @gasparmpoma3860
    @gasparmpoma3860 11 месяцев назад +1

    Oyaa Konka ulikuwa kimya sana kwema mzee fanya uzidi kuwaleta

  • @LucyHaule
    @LucyHaule 11 месяцев назад +2

    Uko vizuri sana na sauti Yako inabamba kinoma

  • @liylahahmed829
    @liylahahmed829 11 месяцев назад +3

    Mzur sanaaaaa

  • @NemaAli-zh6hr
    @NemaAli-zh6hr 11 месяцев назад +4

    Mchumber napenda sauti yko, like comment nijue km unanipenda pia

  • @sharifabahar9905
    @sharifabahar9905 11 месяцев назад +3

    😢😢wezetu wapo mbele sana

  • @bboyamos
    @bboyamos 11 месяцев назад +5

    Nina kovu kwenye MDOMO wa chini karibu na kidevu sio rhs kuona dahhhh ni noma

  • @JudithMwangamba-fd7qm
    @JudithMwangamba-fd7qm 11 месяцев назад +1

    All the way from TikTok ❤

  • @neemareuben311
    @neemareuben311 10 месяцев назад +3

    Jmn pitapitq yangu nimekutana na hii story uwiii nimeipenda mpk nimesabscab hii chanel❤❤

  • @Shadia544
    @Shadia544 11 месяцев назад +2

    Leo nimekuwa wa wakwanza 😂😂LIKE LIKE 10 asante mwamba tunainjoi tuuu unajua sana ❤✌️✌️✌️

    • @e7bits_tz
      @e7bits_tz  11 месяцев назад

      Wuuuw🔥🙌🙌🙌

  • @chidzykijiji8777
    @chidzykijiji8777 10 месяцев назад +3

    Naomba uichambue movie inaitwa.. UNKOWN ya mwaka 2011 kaka unajua sana.

  • @MofatNgonya-k8j
    @MofatNgonya-k8j 11 месяцев назад +1

    Unacherewa ku2pa utamu bro❤❤❤❤

  • @Racksaba
    @Racksaba 11 месяцев назад +4

    JAPO KUWA NIMECHELEW LAKIN NIPENI LIKE ZANGU 🙏

  • @NasrahDulla
    @NasrahDulla 10 месяцев назад +3

    Kwakwer cna kovu ila nmejikuta nmepTa kidoti y ukubwani ju y jicho nakipenda atr❤❤😂

  • @vanemmy6043
    @vanemmy6043 11 месяцев назад +5

    Yani ndani ya dakika 4, umesha Pata views 120 🎉🎉ongera Sana

  • @Queennuriya-q1h
    @Queennuriya-q1h 10 месяцев назад +1

    Keep going my brother and sister

  • @MossesSanga-e9f
    @MossesSanga-e9f 11 месяцев назад +3

    Umetixh❤❤❤❤😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @Pidemontana
    @Pidemontana 11 месяцев назад +1

    Kuna majamaa wanajita E 7 max hawakufiki mjuba bro salute sana

  • @Kibaro777
    @Kibaro777 11 месяцев назад +2

    Nic movie tia taree bas

  • @bertinaafonsorapaz8345
    @bertinaafonsorapaz8345 11 месяцев назад +2

    😂😂😂😂😂nnalo kwenye kalio dahh linaniboa ila ni la urithi🤣🤣🤣

  • @Simber0705
    @Simber0705 11 месяцев назад +2

    Oi umechelewa kinoma man adi Kuna mtu anajiita E7max😂😂😂😂

  • @samiuhassan8153
    @samiuhassan8153 11 месяцев назад +3

    Watu mko WA moto sana

    • @e7bits_tz
      @e7bits_tz  11 месяцев назад +1

      🔥🔥🔥

  • @seerdoreen8005
    @seerdoreen8005 10 месяцев назад +5

    Nina matatizo ya ngozi namshukuru Mungu amenipa mwanaume anaenipenda hivohivo

  • @wadantz123
    @wadantz123 11 месяцев назад +3

    🎉🎉🎉🎉

  • @AishFadh
    @AishFadh 11 месяцев назад +2

    Nice

  • @FeisalSalum-y7b
    @FeisalSalum-y7b 11 месяцев назад +1

    Napenda unavyo sema walete tu😂😂😂😂

  • @MwanaidyRashidy-i2k
    @MwanaidyRashidy-i2k 11 месяцев назад +1

    Ya moto😍

  • @UmmyMaganga-ce9ee
    @UmmyMaganga-ce9ee 11 месяцев назад +29

    Nina kovu mkono wa kulia niliungua chai nilivo kua mdogo na halijaisha mpaka leo hii 😢 hua navaa nguo za mikono mirefu ili kulificha mana kila anae liona ananiulza nimefanya nini

  • @ShadiaMbileki
    @ShadiaMbileki 10 месяцев назад +1

    Hongeraaaa unawezaaa sanaaa

  • @ashakenza7622
    @ashakenza7622 11 месяцев назад +1

    Kaz nzuri

  • @bigdream830
    @bigdream830 11 месяцев назад

    Daaah nimechekewa sana leo😅😅😅 ile bonge la story

  • @Zawadianasilvn
    @Zawadianasilvn 8 месяцев назад +1

    Me wa kwanza naomben like zanguu❤❤

  • @yassersalleh8409
    @yassersalleh8409 11 месяцев назад +1

    Acha nilieee tu maana kuna sehemu umenigua mpaka sasa nalia tu Dah maisha hayaaa

  • @FebroniaGrasiano-bd9pf
    @FebroniaGrasiano-bd9pf 14 дней назад +1

    huenda Ata mm ni kovu kwako coz nakupenda Ila ww unaona mm ni kama kovu konka

  • @rizikisam6481
    @rizikisam6481 10 месяцев назад +1

    Ninamshukuru mungu sinaga kovu ila nna kialama cha kuzaliwa mkononi na sio rahisi kukiona

  • @GraceMajaliwa-r7p
    @GraceMajaliwa-r7p 11 месяцев назад +5

    Mm wa 32 jamn😂😂

  • @ApethShillah
    @ApethShillah 10 месяцев назад +1

    Daaaah it so pain but kusamehe ni muhimu sana

  • @sarafinamapunda336
    @sarafinamapunda336 10 месяцев назад +6

    Sina kovu ila mwili wanipa insecuty nikiwaza kitambi na manyonyo 😢😂

    • @nayrahmalessa8750
      @nayrahmalessa8750 10 месяцев назад +1

      Jiamn mum kuna wengne wanapenda vbonge kkubwa subra tu

    • @MarthaCastor-e8v
      @MarthaCastor-e8v 10 месяцев назад +1

      Usijali mpenzi mm pia kibonge nyonyo hilo ila napendwa acha na ninajiamini❤

    • @salmaalimusa6809
      @salmaalimusa6809 10 месяцев назад

      😂😂😂😂safi sana​@@MarthaCastor-e8v

  • @4karimu_
    @4karimu_ 11 месяцев назад +1

    Mnachelewesha Sana wazee

  • @KynerzyMerisa-g2v
    @KynerzyMerisa-g2v 11 месяцев назад +2

    Wa Kwanza mm leo

  • @idayaedson703
    @idayaedson703 10 месяцев назад +1

    #Kimu_Dalla hapa all the way from KIGAMBONI tupo pamoja kaka…

  • @ezekielagostino9008
    @ezekielagostino9008 11 месяцев назад +1

    Kali kinoma zela

  • @abbykashuba4332
    @abbykashuba4332 11 месяцев назад +2

    Hatari sana

  • @suzidaud8880
    @suzidaud8880 10 месяцев назад +1

    😢😢😢😢na sisi tulio zaliw na kizaliw tunatowaj kinaniumiz san af kip us mzm 😢 cheus

  • @portelo-k6h
    @portelo-k6h 10 месяцев назад +4

    msijali jaman kama muonekano wako unaona unakovu au sura unaona mbaya muonekano sio uzuri moyo ndio kila kitu maana hata fenesi topetope stafeli na doriani jinsi yalivyo hayo matunda huwezi dhania kama yatakua ni matamu kwahy jiamini

  • @samiuhassan8153
    @samiuhassan8153 11 месяцев назад

    Brother @konkaa Naomba unipigie huu mzigo wakuitwa (INCARCERATED) wa 2023

  • @ellysadock7428
    @ellysadock7428 9 месяцев назад

    Sema bro me nakubali sanaa kazi zako

  • @everlyne8595
    @everlyne8595 11 месяцев назад +1

    Mzur

  • @AyshaYassin-hm5xo
    @AyshaYassin-hm5xo 11 месяцев назад +1

    Siaminiiiii mimi leo

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly 10 месяцев назад +1

    Mitihani ya maisha

  • @ummu3746
    @ummu3746 11 месяцев назад +2

    Jamn nimekua wa mwixho😢

  • @SpensiozaJohn
    @SpensiozaJohn 11 месяцев назад

    Amazing 🤩

  • @msodokitwahil5947
    @msodokitwahil5947 11 месяцев назад +2

    Unajua san

  • @SalhiyyaJassam-fg1sw
    @SalhiyyaJassam-fg1sw 11 месяцев назад +1

    Unalaza sana kaka alaf ukija kutoa unatoa moja tuuu

  • @HassaniYussuph-w8c
    @HassaniYussuph-w8c 11 месяцев назад

    Shukran

  • @AyshaYassin-hm5xo
    @AyshaYassin-hm5xo 11 месяцев назад

    Uwiiii❤❤❤❤

  • @TundaEmanuel-ns8kj
    @TundaEmanuel-ns8kj 11 месяцев назад +1

    Wa 98 naomba like😊

  • @AbuuRumaytha-i4c
    @AbuuRumaytha-i4c 11 месяцев назад

    Waaawoo nilkua na subir kwa ham

  • @queenmchapi1281
    @queenmchapi1281 11 месяцев назад +2

    watu ni noma jaman mie nimechelewa

  • @joshuakimambo2765
    @joshuakimambo2765 10 месяцев назад

    Big up ndugu msimulizi

  • @JAMES-d6e4s
    @JAMES-d6e4s 10 месяцев назад +1

    Oa e7 bits unajua bro

  • @faidanamutula9362
    @faidanamutula9362 10 месяцев назад

    Mungu atamulipa kwa ubaya wake,endeleya kuomba tu

  • @rizikinyamz3383
    @rizikinyamz3383 11 месяцев назад

    Keep going

  • @MariaFidelis-v4x
    @MariaFidelis-v4x 6 месяцев назад +1

    😂😂amara wa Paula na marioo

  • @PriscaMathayo-j5g
    @PriscaMathayo-j5g 10 месяцев назад

    Hivi kweli inawezekana kuondoa makovu yaliyo shindikana😢😢😢😢

  • @HappynesJames
    @HappynesJames 10 месяцев назад

    Jamani pole sana dada

  • @Pidemontana
    @Pidemontana 11 месяцев назад

    Unyama kweli kweli konka

  • @MaijaMirambo
    @MaijaMirambo 8 месяцев назад

    Wow nimependa msaada movie inaitwaje

  • @everlyne8595
    @everlyne8595 11 месяцев назад +1

    Nzurii hii stor

  • @IreneDeus-f4t
    @IreneDeus-f4t 11 месяцев назад +2

    Nimekumiss pia

  • @FAtimaLopo
    @FAtimaLopo 11 месяцев назад +2

    Wa kwanza

  • @calvinmathiace9512
    @calvinmathiace9512 11 месяцев назад

    Salute kaka no one like you broo🙌🙌

  • @AbubakarHabibu-hp2ku
    @AbubakarHabibu-hp2ku 10 месяцев назад +1

    Matatizo kila binaadam anapata pole amara❤

  • @Kabedikabuya
    @Kabedikabuya 10 месяцев назад +1

    Jamani jina la movie

  • @shenashamsa1895
    @shenashamsa1895 11 месяцев назад +2

    Nina kovu Shavun sipendi kila mtu anavyoniuliza ulikuwaje au wanadhani ni ugonjwa but nipo Sawa nimelizoea nimeishi nalo miaka mingi

  • @NurdeenThabit
    @NurdeenThabit 11 месяцев назад +3

    Milikua nakovu mkononi niliungua na uji watu wengi walikua wakinishangaa

  • @SSS-oy9ni
    @SSS-oy9ni 11 месяцев назад

    👌okay❤❤❤❤🎉

  • @BhokeMwikwabe
    @BhokeMwikwabe 11 месяцев назад +1

    Naomba like

  • @UpendoMwacha
    @UpendoMwacha 5 месяцев назад

    Waoooo Mee apaa kwenyee nyusii ninaa kovu niliangukaa mtonii jiwe likanikataa ila alionekani kiivyo😊