Hii ni sauti ya naniiiiiiii aweeeee likes kwa huyo mwamba E 7bits siku tumshangazee kagonge like kama badoo hujafanya hivyo sidhani kama nahitaji kuangalia tena muvi yote, mzee kaikamua utamu wote 😍😍😍😍😍👏👏👏👏
me naisi Kwa tZ tuko tofaut snaaa yni mtu akiwa na kasoro Kuna Ile jicho Moja Tu umeangalia uka kausha ila uku ad mtu anajua kua wananishangaaa tusiishi hvyo ujafa ujaumbka
Nina kovu mkono wa kulia niliungua chai nilivo kua mdogo na halijaisha mpaka leo hii 😢 hua navaa nguo za mikono mirefu ili kulificha mana kila anae liona ananiulza nimefanya nini
msijali jaman kama muonekano wako unaona unakovu au sura unaona mbaya muonekano sio uzuri moyo ndio kila kitu maana hata fenesi topetope stafeli na doriani jinsi yalivyo hayo matunda huwezi dhania kama yatakua ni matamu kwahy jiamini
Nnalo kubwa sana mpaka leo,halinitesi tena nimepata mume ananipenda sana na kovu langu kubwa.❤❤❤
Hii ni sauti ya naniiiiiiii aweeeee likes kwa huyo mwamba E 7bits siku tumshangazee kagonge like kama badoo hujafanya hivyo sidhani kama nahitaji kuangalia tena muvi yote, mzee kaikamua utamu wote 😍😍😍😍😍👏👏👏👏
Kama unamkubal e7-bits konkaa a.k.a zee la kuton zee la town... gonga like hapa tujuanee
Wuuuuuw🔥
0h naleo nimechelewa lisaa limoja t. Ila sio mbaya tunapata burdan na mafunzo ndan yake. Maua yako brother 🎉🎉 love you. Mwaaah.
Hii niya moto 🔥🔥 sana , naomba like zangu jamani 🇨🇩
Leo wakwanza me naomben like zang
🙌🙌🙌
Makofi mengi kwa KONKA👏👏
Asante sana
leo like yangu ya kwanza bwn. kila siku nyie tu
🙌🙌
Shukrani sana❤movie nzuri ❤
🙌🙌🙌
Sanaaaa boy
Hatri
😂😂😂wengine tuna makovi ya moyoni to😅😅😅mioyo inaumizwa kla cku😂😂
Bro unajua sanaaa.... 👑
Jamani mpak nilikumic ❤😂 Wakwanz leo like zangu 😂
Chukua 🙌🙌
Tunaomb utuwaishie jomon zee la chui zee la town
Mimi je kummisije kama baby wangu😅
om i
hibbp5
i0😮l😮p
Kunamakovu mengine hayaonekani wazi bl yapo ndani yetuu na hatuwezi yaondoa japo tunajaribusanaa kufunikaa❤❤😂😊
Bro Saiz unachelewa kutowa daaa tunaomba uwe unatuwaishia 🙏🙏🙏🙏
E seven bits you were born for this nina soda yako🎉
me naisi Kwa tZ tuko tofaut snaaa yni mtu akiwa na kasoro Kuna Ile jicho Moja Tu umeangalia uka kausha ila uku ad mtu anajua kua wananishangaaa tusiishi hvyo ujafa ujaumbka
Kweli
@@hemedkadili6934 ww ndyo umekuwa mshindi kwangu
Ur no
@@hemedkadili6934 vip cjakufaham hpo kwenye hyoo sikwelii
Nayuu09@@hemedkadili6934
Walete tuu 😅😅😅neno ilo ndo nalipendaa
Hiii movie niliiyon niliitamni kuiyon kwako ❤😊
Nilikumiss konka😊😊❤❤
Am back
Jmn dj wetu🎉maan jana tuliboleka😊🤗
😂😂😂😂😂Apo Kwenye Walete Sasa 😂😂😂Ndio Napendaga
Oyaa Konka ulikuwa kimya sana kwema mzee fanya uzidi kuwaleta
Uko vizuri sana na sauti Yako inabamba kinoma
Mzur sanaaaaa
Mchumber napenda sauti yko, like comment nijue km unanipenda pia
Vp
😢😢wezetu wapo mbele sana
Hatari
Nina kovu kwenye MDOMO wa chini karibu na kidevu sio rhs kuona dahhhh ni noma
All the way from TikTok ❤
Jmn pitapitq yangu nimekutana na hii story uwiii nimeipenda mpk nimesabscab hii chanel❤❤
Leo nimekuwa wa wakwanza 😂😂LIKE LIKE 10 asante mwamba tunainjoi tuuu unajua sana ❤✌️✌️✌️
Wuuuw🔥🙌🙌🙌
Naomba uichambue movie inaitwa.. UNKOWN ya mwaka 2011 kaka unajua sana.
Unacherewa ku2pa utamu bro❤❤❤❤
JAPO KUWA NIMECHELEW LAKIN NIPENI LIKE ZANGU 🙏
Hongera
Kwakwer cna kovu ila nmejikuta nmepTa kidoti y ukubwani ju y jicho nakipenda atr❤❤😂
Yani ndani ya dakika 4, umesha Pata views 120 🎉🎉ongera Sana
Keep going my brother and sister
Umetixh❤❤❤❤😂😂😂😂😂😂😂😂
Kuna majamaa wanajita E 7 max hawakufiki mjuba bro salute sana
Wale ni wapumbav
Nakubaliana na ww bro
Nic movie tia taree bas
😂😂😂😂😂nnalo kwenye kalio dahh linaniboa ila ni la urithi🤣🤣🤣
Oi umechelewa kinoma man adi Kuna mtu anajiita E7max😂😂😂😂
Watu mko WA moto sana
🔥🔥🔥
Nina matatizo ya ngozi namshukuru Mungu amenipa mwanaume anaenipenda hivohivo
🎉🎉🎉🎉
Nice
Napenda unavyo sema walete tu😂😂😂😂
Ya moto😍
Nina kovu mkono wa kulia niliungua chai nilivo kua mdogo na halijaisha mpaka leo hii 😢 hua navaa nguo za mikono mirefu ili kulificha mana kila anae liona ananiulza nimefanya nini
Duuuuh poleee saaanaa but badooo we mremboo saaanaaaa
Kwaiyo
Pole dear
Kama mm
Hi
Hongeraaaa unawezaaa sanaaa
Kaz nzuri
Daaah nimechekewa sana leo😅😅😅 ile bonge la story
Me wa kwanza naomben like zanguu❤❤
Acha nilieee tu maana kuna sehemu umenigua mpaka sasa nalia tu Dah maisha hayaaa
huenda Ata mm ni kovu kwako coz nakupenda Ila ww unaona mm ni kama kovu konka
Ninamshukuru mungu sinaga kovu ila nna kialama cha kuzaliwa mkononi na sio rahisi kukiona
Mm wa 32 jamn😂😂
🙌
Daaaah it so pain but kusamehe ni muhimu sana
Sina kovu ila mwili wanipa insecuty nikiwaza kitambi na manyonyo 😢😂
Jiamn mum kuna wengne wanapenda vbonge kkubwa subra tu
Usijali mpenzi mm pia kibonge nyonyo hilo ila napendwa acha na ninajiamini❤
😂😂😂😂safi sana@@MarthaCastor-e8v
Mnachelewesha Sana wazee
Wa Kwanza mm leo
🙌🙌🙌
#Kimu_Dalla hapa all the way from KIGAMBONI tupo pamoja kaka…
Kali kinoma zela
Hatari sana
😢😢😢😢na sisi tulio zaliw na kizaliw tunatowaj kinaniumiz san af kip us mzm 😢 cheus
msijali jaman kama muonekano wako unaona unakovu au sura unaona mbaya muonekano sio uzuri moyo ndio kila kitu maana hata fenesi topetope stafeli na doriani jinsi yalivyo hayo matunda huwezi dhania kama yatakua ni matamu kwahy jiamini
Brother @konkaa Naomba unipigie huu mzigo wakuitwa (INCARCERATED) wa 2023
Sema bro me nakubali sanaa kazi zako
Mzur
Siaminiiiii mimi leo
Mitihani ya maisha
Jamn nimekua wa mwixho😢
Amazing 🤩
Unajua san
Unalaza sana kaka alaf ukija kutoa unatoa moja tuuu
Shukran
Uwiiii❤❤❤❤
Hatr
Wa 98 naomba like😊
Waaawoo nilkua na subir kwa ham
ASANTE
watu ni noma jaman mie nimechelewa
🙌🙌
Big up ndugu msimulizi
Oa e7 bits unajua bro
Mungu atamulipa kwa ubaya wake,endeleya kuomba tu
Keep going
😂😂amara wa Paula na marioo
Hivi kweli inawezekana kuondoa makovu yaliyo shindikana😢😢😢😢
Jamani pole sana dada
Unyama kweli kweli konka
Wow nimependa msaada movie inaitwaje
Nzurii hii stor
Nimekumiss pia
Wa kwanza
Hongera
Salute kaka no one like you broo🙌🙌
Matatizo kila binaadam anapata pole amara❤
Jamani jina la movie
Nina kovu Shavun sipendi kila mtu anavyoniuliza ulikuwaje au wanadhani ni ugonjwa but nipo Sawa nimelizoea nimeishi nalo miaka mingi
Milikua nakovu mkononi niliungua na uji watu wengi walikua wakinishangaa
Hata mm
👌okay❤❤❤❤🎉
Naomba like
Waoooo Mee apaa kwenyee nyusii ninaa kovu niliangukaa mtonii jiwe likanikataa ila alionekani kiivyo😊