MAZITO YAIBUKA KUHUSU DIAMOND NA P DIDY, USHAIDI UMEPATIKANA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024

Комментарии • 56

  • @mwinyiswaleh8388
    @mwinyiswaleh8388 День назад +3

    DIDDY mwenyewe kufikia pale alipo amepakwa mafuta sana.kuna mzee anaitwa CLIVE DAVIS huyundie mtu wakwanza kumbikiri na kumfundisha kazi yote.

  • @AeshaSaid-pe3tn
    @AeshaSaid-pe3tn День назад +2

    Duniani kuna mijitu michoko mitwana mipumbavu roho mbaya haupigwi mawe ila mti wenye matunda wapuuzi nyie

  • @GRas-d7p
    @GRas-d7p День назад +1

    Pole Majirani Johnson and Johnson Oil ya P Diddy Yamemlegeza kiuno Simba wenu hata kutembea yaonesha kapakwa Johnson and Johnson Oil😂😂😂😂

  • @AzhadSaid-j1t
    @AzhadSaid-j1t 11 часов назад +1

    Yanasaidia kuongea haya kuondosha tamaa turizike na kidgo ulichonacho funzo katoa diddy

  • @AthanaseKiyoja
    @AthanaseKiyoja День назад +1

    Mamiziki yenu mnatulingishia kumbe ushoga tupu.Aibu

  • @nasrihussein4293
    @nasrihussein4293 14 часов назад +1

    Kama ni ndugu yako utaficha lakini ndugu ya mwenziye utasema

  • @mkitotv7621
    @mkitotv7621 День назад +1

    Wale shabiki zangu walonisifu kwa maneno matamu Leo maadui zangu ni matusi tu kwa mitandao

  • @NahyaKiwelu
    @NahyaKiwelu День назад +1

    Mungu akupe roho ya uvumili kwa aya yote unayo pitia modi yatapita tyu na maisha mengne yataenderea

  • @NahyaKiwelu
    @NahyaKiwelu День назад +1

    Achen kumchafua mtu jaman

  • @annaandrea2812
    @annaandrea2812 День назад

    Ukishafika kwa p did hutoki salama na.amesema vingine hawezi.kupost.sababu.ni vya muendelezo.hujiongezi

  • @IssaAlly-ik5qy
    @IssaAlly-ik5qy 4 часа назад

    Usiletee usenge msikilize lukamba ndipo utajua kama mond kashaliwa

  • @GRas-d7p
    @GRas-d7p День назад

    Wabongo hata mukiadamana kukata Diamond hakupakwa Johnson and Johnson Oil na P Diddy😂😂 shida kiengereza hakijui lakini Johnson and Johnson Oil amepakwa😂😂😂

  • @ShabaniBakari-p4r
    @ShabaniBakari-p4r 17 часов назад

    Umaskini ni ulemavu wa akili kabisa,maisha yako yamekushinda mchana kutwa hadi usiku unakaa unajadili maisha ya mwenzio,jambo lenyewe huna uhakika nalo.hujui mwanzo wala mwisho wa jambo hilo laki unalivaa utafikiri kule marekani ulikuwepo pamoja nao,Wamarekani wenyewe hawamdadisi diamond kufika nyumbani kwa P diddy.ila watanzania ni taifa la wajinga kweli vijitu vizima Havilali kisa kuzungumzia jambo wasilo lijuwa 😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @monicamaganga8681
    @monicamaganga8681 День назад +2

    Yaani mie najiuliza sana hivi mtu unaweza kuongerea haya yanakusaidia nini‽?daimond piga kazi acha waseme 2

    • @HusseinJumaa-b4e
      @HusseinJumaa-b4e День назад

      Kuwa tajiri namba 1 duniani simchezo

    • @AmiduArphan
      @AmiduArphan День назад

      Wewe ndio kazi yako mana unajifanya kuyazima nawewe nahishi umeliwa na p dd

    • @AmiduArphan
      @AmiduArphan День назад

      Wewe mnyama ambae unaongea wewe ni shoga kamshitaki mpaka Kwa p dd

    • @AmiduArphan
      @AmiduArphan День назад

      Wewe mwenyewe unasema nyie wote ndio kazi yenu munavimba wakati unaliwa na p dd

    • @AeshaSaid-pe3tn
      @AeshaSaid-pe3tn День назад

      ​@@HusseinJumaa-b4ehajawa lakini bado amekusudia kutafuta

  • @BishiraMunga-ey6jx
    @BishiraMunga-ey6jx 8 часов назад

    Mond kaza moyo,mungu atakusimamia lia na mungu,kama hujafanya mungu atawaangaza wanaokusema vibaya,sikujui nakuona tu as artist,lkn najua hujafanya,usitafute tuzo zao za kishetani acha waende Mungu atakusimamia,tunakuombea utafikambali,na nikija dsm nakutafuta mimi ni mama naumia.

  • @AdelaideZacariasZacarias-hp8gs
    @AdelaideZacariasZacarias-hp8gs 10 часов назад

    Nendeni mukakojoe mukale kazi kujifanya wajuwaji kutafuta hela haaa

  • @BishiraMunga-ey6jx
    @BishiraMunga-ey6jx 8 часов назад

    Msimuhukumu mtu,waache na laanalao,mungu atamsimamia Pole mond

  • @dorothmsuya1686
    @dorothmsuya1686 День назад +5

    Kwa nini mnatumia nguvu nyiiingi kumsakama Mondi? Hivi hamuoni hata aibu kidogo! Kama kafanya au hajafanya mtafsidika na nini? Na maadui wamepata mpenyo! Looo!😢😢

    • @MikidadiSalim-xk9dc
      @MikidadiSalim-xk9dc День назад

      Kwani diamond amefanya nini mpk anasakamwa....kwani alikutwa na mafuta ya watoto kwake mbezi???????

    • @AeshaSaid-pe3tn
      @AeshaSaid-pe3tn День назад

      Achana nao wajinga hao

    • @tunsumemwakinyuke661
      @tunsumemwakinyuke661 День назад

      Kuna watu Wana kela sana ko wanataka wakamkague yaan wananikera sana

    • @aminimwazani9483
      @aminimwazani9483 14 часов назад

      ​@@MikidadiSalim-xk9dcmti wenye matunda ndo hua unapigwa mawe bro pia mwenyewe alisema

  • @EmanuelCharles-q3l
    @EmanuelCharles-q3l День назад

    Acha hizo kwa maana hiyo mwenye mafankio kimziki yeyote kipita kwa didy waafrika ovyo sana

  • @alliepeppino8883
    @alliepeppino8883 День назад

    P DD ....yeye mwenyewe ni kuku sasa kuku anaweza kujichinja wenyewe

  • @Jin-fl1hq
    @Jin-fl1hq День назад

    Ukimaliza kuongea wapata nini kama siujinga zungumza maisha yako

  • @brendakinenekejo8464
    @brendakinenekejo8464 17 часов назад

    Mdomo umekakaa ki uwongo uwongo tuuu😅😅😅😅

  • @NajmaMaawiya
    @NajmaMaawiya 16 часов назад

    Ukiona mwanamume hataki mke...........😂

  • @abuually-ol2xc
    @abuually-ol2xc 8 часов назад

    Diamond kapigwa mitiii 😂😂😂

  • @AzhadSaid-j1t
    @AzhadSaid-j1t 11 часов назад

    Dangote kapigwa kwa didy😊

  • @ericmakakantare1750
    @ericmakakantare1750 57 минут назад

    Mchambuzi mwamba

  • @KingKeizy
    @KingKeizy День назад

    Nyinyi Mbengo whatever mmekosa kazi Sasa 🙄🙄

  • @MsevenShemakange
    @MsevenShemakange День назад

    Pumbavuuu katutia iyebbu😂😂😂😂

  • @charleshotay8229
    @charleshotay8229 День назад

    Metulia zangu na maandazi na chai rangi

  • @EmmanuelDominic-rb8bf
    @EmmanuelDominic-rb8bf День назад +3

    Wewe acha uongo diamond 💎 alisema tulifanya mambo mengi sana mengine yakupost na mengine yalikuwa sio ya kupost sababu yalikuwa yana muendelezo nimenukuu maneno aliyosema diamond mwenyewe

    • @Wazungujey
      @Wazungujey 10 часов назад

      Utakuta ulie andika hivi nimtu mzima😂

  • @SholeBigsaund
    @SholeBigsaund День назад +2

    Achen wivu hata Kama yalimkuta kwahyo mnamsaido au mnamumiza au mnasumbuliwa na kukosa kaz

  • @GRas-d7p
    @GRas-d7p День назад

    Ati pengeni ahhh na wanasema walipo fika kwa Msimbari P Diddy alikua anapigwa massage😂😂😂 Massage alimalizia Na hao wanataka ustar😂😂😂

    • @PaulinaWemba
      @PaulinaWemba День назад

      Labda anafanya biashara ya kuuza mafuta jamani au anapaka mwenyewe mwilini

  • @yaka-de-hero
    @yaka-de-hero День назад

    Tajiri duniani kwa kazi gani didy oil

  • @Jin-fl1hq
    @Jin-fl1hq День назад

    Nimaji yake yakunywa msihukumu msije mkahukumiwa wacha sheria ichukue uamuzi

    • @Haji-yr9db
      @Haji-yr9db 18 часов назад

      😂😂😂😂😂 eti maji

  • @RasuliKipunja
    @RasuliKipunja День назад

    Yeye mwrnyew afirwi uyo

  • @AthanaseKiyoja
    @AthanaseKiyoja День назад

    Tunapiga vita ushoga.Hata ntukihisi Kama tunavyoshu su huyo Simba jike.wenu Alimas.Amepakatwa acheni.kumtetea atajitetea mwenyewe.Hizo njaa zenu mtabomolewa wengi.

    • @MecyMaswa
      @MecyMaswa День назад

      Wewe hacha ushamba

    • @AthanaseKiyoja
      @AthanaseKiyoja 14 часов назад

      Shule ilikushinda ukaishia umalaya na uchangudoa.Acha ww unasema hacha.utaacha kuwa shoga.?Usijali mko wengi.

  • @RahmaYusufu-d2o
    @RahmaYusufu-d2o День назад

    Wa kwanzaaa😂

  • @FatumaOmary-hu7od
    @FatumaOmary-hu7od День назад

    5

  • @jackmerci7819
    @jackmerci7819 День назад

    3

  • @jackmerci7819
    @jackmerci7819 День назад

    Nataka namba yako mtangazaji

  • @DamoG257
    @DamoG257 День назад

    Tizama damoji by zuchu🔥🔥🔥🔥🔥ruclips.net/video/C1N5hEoKDF0/видео.htmlsi=FmvT1YBgcffD-G59