Aliyeona maandishi ndotoni au kuandika katika ndoto Skh:Jafari Mtavassy +255656606014 +255766465664

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 окт 2024

Комментарии • 51

  • @zohoraramadan4540
    @zohoraramadan4540 3 года назад +3

    Naghamu naghamu we are together shekhe ALLAH eatiki ghafya inshaALLAH

  • @khadijaangore4408
    @khadijaangore4408 3 года назад +2

    Waalykum msaalam waramatulah wabarakatul. Masha Allah tabaraka Allah sheikh Jafar . 💕💕

  • @janethkomba4485
    @janethkomba4485 9 месяцев назад +1

    Nimekuona pacha wa chid🙏🙏🙏🙏

  • @MwanaishaMabrouk
    @MwanaishaMabrouk 4 месяца назад

    Mimi nimeota nafanya mtihani

  • @G.r.e.a.t.I.Q
    @G.r.e.a.t.I.Q Год назад

    "Iqraa kitabaka kafaa binafsika alyawma alayka hasiyba."

  • @daduaazizi9544
    @daduaazizi9544 2 года назад

    Asante sheikhy mimi nimeota NASEMA laa ilaahailla llaah huku maria shahada

  • @halimasaidi3058
    @halimasaidi3058 22 дня назад

    nimeota naandika maneno ambayo ostadhi wangu wa chuo ananisomea kialabu mm naandika kwenye daftar ila mwisho ananiambia mbona unaandika mwandio mdogo mdogo nikamwambia huu ndo mwandiko wangu akaendelea kunisomea huku mm naandika.

  • @zakiaali79
    @zakiaali79 2 года назад

    Mie shekh nmeota nasahihisha mitihani ya wanafunzi tena wamefauli🙏manaake nn

  • @kanisiamkoko7051
    @kanisiamkoko7051 3 года назад

    Sheikh Mume wangu ameota amekamatwa na polisi, akaambiwa atoe shilingi elfu kumi aachiwe, Akatoa iyo elfu kumi wakamuachia.

  • @kaburanadia1189
    @kaburanadia1189 3 года назад +1

    As salaam alaikum warahmatullah wabarakatuh Samahani jee ukiota unakimbizwa Na mbwa ila hakuningata lakini bali nimekuwa nikijificha Kwenye nyumba Zawadi ila punde nikiona imekwenda kisha natoka naona tena inatukimbiza tena tena imekuwa inachaguwa si kilamtuu inamkimbiza

    • @mohmedsaid7615
      @mohmedsaid7615 2 года назад

      Asalam alaikum mm nimeota mwanangu mdogo anaandika lakini sikujua anaandika nn ila nilichohisi anapokea maelezo kutoka kwa mtu anao wafundisha

  • @MaryVictor-o3z
    @MaryVictor-o3z 6 месяцев назад

    Nimeoata nimeiona maandishi mekundu ila nimeshindwa kuyasoma

  • @lifeinmiddleeast8179
    @lifeinmiddleeast8179 2 года назад +1

    Je ukiota unaandika na mkono wa kulia Ila hujamaliza.unastuka kutoka ndotoni

    • @MTAVASSYTv
      @MTAVASSYTv  Год назад

      Jambo halitotimia au mimba itatoka

  • @MayaMankah
    @MayaMankah Год назад

    Mimi nmeota naandikia mpenzi wangu anaedai tuachane

  • @FeithMolange
    @FeithMolange Месяц назад

    Mi niliota mzee ananiandikia majina mawili eti nikizaa watoto niwaite tunusuru na akaandika yaya nikamwambia siyo yaya ni yahya akasema ni mda mrefu sijaandika

  • @kaburanadia1189
    @kaburanadia1189 3 года назад

    Samahani japo nimetoka mmada

  • @ashurarajabu3575
    @ashurarajabu3575 Год назад

    Asalamu alaikum shekh mm nimeota ustadhi ameniandikio ubaoni maandish meng nikawa nayasoma ila sijayaewa ila akawa ananionyesha andishi moja ilalimeandikwa kama alikosea akaandika tena nikamwambia maandish kote mazur yamependeza sana ila neno moja umefutafuta akasema inabid ulipie ela akanitajia kiasi cha kulipia ina maana gan shekh samahan niambie

  • @ashurasaid5017
    @ashurasaid5017 2 года назад

    Shekh kuota napewa karatasi imeandikwa maandishi kwenye karatasi ya madaftari ya shule nn maana yake

  • @kanisiamkoko7051
    @kanisiamkoko7051 3 года назад

    Shekhe Mimi nimeota nimepanda gari tunasafiri na watu wengine kufika njiani gari limesimama Kwa muda mrefu , nikashuka kumuuliza dreva mbona umesimamisha gari akasema tunaondoka sasa ivi, kuliangalia lile gari limekuwa Nyumba yenye milango miwili.

  • @shafiindekyo4745
    @shafiindekyo4745 2 года назад +1

    Sijaona sheikh kama wewe Tanzania Wala nje ya tz katika falsafa hii upo vyema mwalimu

  • @FatmarAthman
    @FatmarAthman Год назад +1

    Sheik nmeota npo na baba yangu ameshka kartas ina maandko ya kiarabu akaomba nmsomee neno lilokua kando nkamsomea yalkua yanasema ahad ta ashara nn maana yake

    • @MTAVASSYTv
      @MTAVASSYTv  Год назад

      wewe unahisia kiasi unaogopa kufanya mambo fulani na baadhi ya wat, au ndoto ikuambie kwamba wewe ni menye akili sana na tafakkuri mara nyingi na nguvu ya hisia

  • @GodfreyJohn-t6n
    @GodfreyJohn-t6n 7 месяцев назад

    Kaka nataka nikuone

  • @MwanaishaMabrouk
    @MwanaishaMabrouk 4 месяца назад

    Juzi nimeota watu wawili wanaume mmoja nikatambilishwa ni mtotp wa mjombaangu mke wake akasema ananijua akaonesha Jina langu la baba na Babu limeadikwa kwenye kibiriti Nini maana yake

  • @shafiindekyo4745
    @shafiindekyo4745 2 года назад

    Asalaaam alaikum

  • @nurujei7151
    @nurujei7151 3 года назад

    Sheikh mi ntatoka nje ya mada kidogo jana nilota maulidi nikatamani kwenda ila nilipofika niliwakuta watu wote wamevaa nguo nyeusi na mwangaza wa taa upo kwa mbali hata mm pia nilikua nimevaa baibui nilipoona ivo nilipita sikukaa tena maulidini mtu mmoja akaniita nikakataa nikaenda zangu nini maana yake

  • @saudakashelente7355
    @saudakashelente7355 2 года назад

    Mimi nimeota mume wangu kaoa ex wake lakin alikuwa hawala2 sasa walifungia polisi alafu nikawa namtafuta mume wangu nilivyo fika polis hawapo nimekuta kalatasi alililo taka kumsainisha uyo mwanamke Mali nyengne sasa waliweka kwaza lile kalatasi wakiludi anasain mim nilivyofika nimeambiwa lalatasi lamali saini kabla hajaja Mimi nikasain hata skusoma

  • @ahmedallyabdallah2764
    @ahmedallyabdallah2764 2 года назад +1

    Assalamu aleykum sheikh mke wangu ameota mm mumewe nimepewa misahafu mingi sana nilipopewa misahafu mengine nikaitoa sadaka ni nini maana yake hii ndoto?

    • @MTAVASSYTv
      @MTAVASSYTv  2 года назад

      Hizo ni sifa utapewa inshallah na ni sifa njema au itajulisha muongozo ni nzuri pia kuona kwani hupatikana riziki pia

  • @yasobush8987
    @yasobush8987 3 года назад

    Niota mtoto wangu analia kuna mtu anataka kumdhuru,Mimi na ndugu tukawa tunakimbia kumtetea.

    • @MTAVASSYTv
      @MTAVASSYTv  3 года назад

      ndoto yahit4aji mshirikiane katika kheri na sio maasi au mutamshinda adui insh

    • @alleysalum7274
      @alleysalum7274 3 года назад

      Mm nimeona maandishi kwenye cm ya mama yangu tena ni ya dhahabu

  • @misigarojustine3357
    @misigarojustine3357 2 года назад +1

    Ukiona maandishi angan

    • @MTAVASSYTv
      @MTAVASSYTv  2 года назад +1

      Pole sana utapita kwenye maisha magumu kidogo kwa kipindi kirefu au laa basi utaingia kwenye siku ngumu, Je unakumbuka hayo maneno?

    • @misigarojustine3357
      @misigarojustine3357 2 года назад +1

      Siyakumbuki na nilikuaga bando mdogo sana nasima shule ya msingi ni zaman nilishindwa kuyasoma

    • @misigarojustine3357
      @misigarojustine3357 2 года назад

      Pia niliota majuzi mimepanda kwenye mti ulokauka lakini juu kuna kama kaseem kuna maembe

    • @misigarojustine3357
      @misigarojustine3357 2 года назад

      Pia niliota majuzi mimepanda kwenye mti ulokauka lakini juu kuna kama kaseem kuna maembe

  • @miryamuumutesi8616
    @miryamuumutesi8616 2 года назад +1

    sheikh,naje ukiota upo shule,kisha mnapewa mtihani wewe unaona kama maswali huyaoni vizuri na kila ukitaka kuandika unashindwa,je tafsiri yake nini sheikh?

    • @MTAVASSYTv
      @MTAVASSYTv  2 года назад

      Pole huko ni kushindwa kuvuka au kutatua changamoto zako, kimaisha

    • @miryamuumutesi8616
      @miryamuumutesi8616 2 года назад

      @@MTAVASSYTv ,asante,na kusema uweze kuepukana nalo unafanyaje sasa?

  • @aishatwaarabu8859
    @aishatwaarabu8859 2 года назад

    Mimi nimeota nacheza na mtoto lakini simjui kabebwa mgongoni wakati nakachekesha akacheka kisha mimi nikamuaga nikisema bai bai nikapaa kama nimelala nikaenda juu

  • @zohoraramadan4540
    @zohoraramadan4540 3 года назад +1

    Shekhe hiyo kwenye chupa karibu na shangazi ni dawa ya miguu? mm miguu inawaka moto.

  • @nantaembanusurupia5674
    @nantaembanusurupia5674 2 года назад +1

    Nimeota marehemu mume wangu ananiambia niandike lakini anachotaka niandike hasemi anasisitiza tu niandike! Nini maana yake?

    • @MTAVASSYTv
      @MTAVASSYTv  2 года назад +1

      Tenda mema kwa sababu kuandika hapo ni kwenye daftari la matendo pia muombee dua

    • @nantaembanusurupia5674
      @nantaembanusurupia5674 2 года назад

      @@MTAVASSYTv asante najitahidi kufanya hivyo kila nipatapo nafasi

  • @athumanabdalla6402
    @athumanabdalla6402 3 года назад

    Assalam alaykum sheikh naomba number yako ya whatsup

    • @MTAVASSYTv
      @MTAVASSYTv  3 года назад +1

      +255656606014

    • @MTAVASSYTv
      @MTAVASSYTv  3 года назад

      Wa,salaam warahmatullahi wabarakaatuh

  • @kaburanadia1189
    @kaburanadia1189 3 года назад

    As salaam alaikum warahmatullah wabarakatuh Samahani jee ukiota unakimbizwa Na mbwa ila hakuningata lakini bali nimekuwa nikijificha Kwenye nyumba Zawadi ila punde nikiona imekwenda kisha natoka naona tena inatukimbiza tena tena imekuwa inachaguwa si kilamtuu inamkimbiza