nimeota naandika maneno ambayo ostadhi wangu wa chuo ananisomea kialabu mm naandika kwenye daftar ila mwisho ananiambia mbona unaandika mwandio mdogo mdogo nikamwambia huu ndo mwandiko wangu akaendelea kunisomea huku mm naandika.
As salaam alaikum warahmatullah wabarakatuh Samahani jee ukiota unakimbizwa Na mbwa ila hakuningata lakini bali nimekuwa nikijificha Kwenye nyumba Zawadi ila punde nikiona imekwenda kisha natoka naona tena inatukimbiza tena tena imekuwa inachaguwa si kilamtuu inamkimbiza
Mi niliota mzee ananiandikia majina mawili eti nikizaa watoto niwaite tunusuru na akaandika yaya nikamwambia siyo yaya ni yahya akasema ni mda mrefu sijaandika
Asalamu alaikum shekh mm nimeota ustadhi ameniandikio ubaoni maandish meng nikawa nayasoma ila sijayaewa ila akawa ananionyesha andishi moja ilalimeandikwa kama alikosea akaandika tena nikamwambia maandish kote mazur yamependeza sana ila neno moja umefutafuta akasema inabid ulipie ela akanitajia kiasi cha kulipia ina maana gan shekh samahan niambie
Shekhe Mimi nimeota nimepanda gari tunasafiri na watu wengine kufika njiani gari limesimama Kwa muda mrefu , nikashuka kumuuliza dreva mbona umesimamisha gari akasema tunaondoka sasa ivi, kuliangalia lile gari limekuwa Nyumba yenye milango miwili.
Sheik nmeota npo na baba yangu ameshka kartas ina maandko ya kiarabu akaomba nmsomee neno lilokua kando nkamsomea yalkua yanasema ahad ta ashara nn maana yake
wewe unahisia kiasi unaogopa kufanya mambo fulani na baadhi ya wat, au ndoto ikuambie kwamba wewe ni menye akili sana na tafakkuri mara nyingi na nguvu ya hisia
Juzi nimeota watu wawili wanaume mmoja nikatambilishwa ni mtotp wa mjombaangu mke wake akasema ananijua akaonesha Jina langu la baba na Babu limeadikwa kwenye kibiriti Nini maana yake
Sheikh mi ntatoka nje ya mada kidogo jana nilota maulidi nikatamani kwenda ila nilipofika niliwakuta watu wote wamevaa nguo nyeusi na mwangaza wa taa upo kwa mbali hata mm pia nilikua nimevaa baibui nilipoona ivo nilipita sikukaa tena maulidini mtu mmoja akaniita nikakataa nikaenda zangu nini maana yake
Mimi nimeota mume wangu kaoa ex wake lakin alikuwa hawala2 sasa walifungia polisi alafu nikawa namtafuta mume wangu nilivyo fika polis hawapo nimekuta kalatasi alililo taka kumsainisha uyo mwanamke Mali nyengne sasa waliweka kwaza lile kalatasi wakiludi anasain mim nilivyofika nimeambiwa lalatasi lamali saini kabla hajaja Mimi nikasain hata skusoma
Assalamu aleykum sheikh mke wangu ameota mm mumewe nimepewa misahafu mingi sana nilipopewa misahafu mengine nikaitoa sadaka ni nini maana yake hii ndoto?
sheikh,naje ukiota upo shule,kisha mnapewa mtihani wewe unaona kama maswali huyaoni vizuri na kila ukitaka kuandika unashindwa,je tafsiri yake nini sheikh?
Mimi nimeota nacheza na mtoto lakini simjui kabebwa mgongoni wakati nakachekesha akacheka kisha mimi nikamuaga nikisema bai bai nikapaa kama nimelala nikaenda juu
As salaam alaikum warahmatullah wabarakatuh Samahani jee ukiota unakimbizwa Na mbwa ila hakuningata lakini bali nimekuwa nikijificha Kwenye nyumba Zawadi ila punde nikiona imekwenda kisha natoka naona tena inatukimbiza tena tena imekuwa inachaguwa si kilamtuu inamkimbiza
Naghamu naghamu we are together shekhe ALLAH eatiki ghafya inshaALLAH
Waalykum msaalam waramatulah wabarakatul. Masha Allah tabaraka Allah sheikh Jafar . 💕💕
Nimekuona pacha wa chid🙏🙏🙏🙏
Mimi nimeota nafanya mtihani
"Iqraa kitabaka kafaa binafsika alyawma alayka hasiyba."
Asante sheikhy mimi nimeota NASEMA laa ilaahailla llaah huku maria shahada
nimeota naandika maneno ambayo ostadhi wangu wa chuo ananisomea kialabu mm naandika kwenye daftar ila mwisho ananiambia mbona unaandika mwandio mdogo mdogo nikamwambia huu ndo mwandiko wangu akaendelea kunisomea huku mm naandika.
Mie shekh nmeota nasahihisha mitihani ya wanafunzi tena wamefauli🙏manaake nn
Sheikh Mume wangu ameota amekamatwa na polisi, akaambiwa atoe shilingi elfu kumi aachiwe, Akatoa iyo elfu kumi wakamuachia.
As salaam alaikum warahmatullah wabarakatuh Samahani jee ukiota unakimbizwa Na mbwa ila hakuningata lakini bali nimekuwa nikijificha Kwenye nyumba Zawadi ila punde nikiona imekwenda kisha natoka naona tena inatukimbiza tena tena imekuwa inachaguwa si kilamtuu inamkimbiza
Asalam alaikum mm nimeota mwanangu mdogo anaandika lakini sikujua anaandika nn ila nilichohisi anapokea maelezo kutoka kwa mtu anao wafundisha
Nimeoata nimeiona maandishi mekundu ila nimeshindwa kuyasoma
Je ukiota unaandika na mkono wa kulia Ila hujamaliza.unastuka kutoka ndotoni
Jambo halitotimia au mimba itatoka
Mimi nmeota naandikia mpenzi wangu anaedai tuachane
Mi niliota mzee ananiandikia majina mawili eti nikizaa watoto niwaite tunusuru na akaandika yaya nikamwambia siyo yaya ni yahya akasema ni mda mrefu sijaandika
Samahani japo nimetoka mmada
Asalamu alaikum shekh mm nimeota ustadhi ameniandikio ubaoni maandish meng nikawa nayasoma ila sijayaewa ila akawa ananionyesha andishi moja ilalimeandikwa kama alikosea akaandika tena nikamwambia maandish kote mazur yamependeza sana ila neno moja umefutafuta akasema inabid ulipie ela akanitajia kiasi cha kulipia ina maana gan shekh samahan niambie
Shekh kuota napewa karatasi imeandikwa maandishi kwenye karatasi ya madaftari ya shule nn maana yake
Shekhe Mimi nimeota nimepanda gari tunasafiri na watu wengine kufika njiani gari limesimama Kwa muda mrefu , nikashuka kumuuliza dreva mbona umesimamisha gari akasema tunaondoka sasa ivi, kuliangalia lile gari limekuwa Nyumba yenye milango miwili.
Sijaona sheikh kama wewe Tanzania Wala nje ya tz katika falsafa hii upo vyema mwalimu
Sheik nmeota npo na baba yangu ameshka kartas ina maandko ya kiarabu akaomba nmsomee neno lilokua kando nkamsomea yalkua yanasema ahad ta ashara nn maana yake
wewe unahisia kiasi unaogopa kufanya mambo fulani na baadhi ya wat, au ndoto ikuambie kwamba wewe ni menye akili sana na tafakkuri mara nyingi na nguvu ya hisia
Kaka nataka nikuone
Juzi nimeota watu wawili wanaume mmoja nikatambilishwa ni mtotp wa mjombaangu mke wake akasema ananijua akaonesha Jina langu la baba na Babu limeadikwa kwenye kibiriti Nini maana yake
Asalaaam alaikum
Sheikh mi ntatoka nje ya mada kidogo jana nilota maulidi nikatamani kwenda ila nilipofika niliwakuta watu wote wamevaa nguo nyeusi na mwangaza wa taa upo kwa mbali hata mm pia nilikua nimevaa baibui nilipoona ivo nilipita sikukaa tena maulidini mtu mmoja akaniita nikakataa nikaenda zangu nini maana yake
Mimi nimeota mume wangu kaoa ex wake lakin alikuwa hawala2 sasa walifungia polisi alafu nikawa namtafuta mume wangu nilivyo fika polis hawapo nimekuta kalatasi alililo taka kumsainisha uyo mwanamke Mali nyengne sasa waliweka kwaza lile kalatasi wakiludi anasain mim nilivyofika nimeambiwa lalatasi lamali saini kabla hajaja Mimi nikasain hata skusoma
Assalamu aleykum sheikh mke wangu ameota mm mumewe nimepewa misahafu mingi sana nilipopewa misahafu mengine nikaitoa sadaka ni nini maana yake hii ndoto?
Hizo ni sifa utapewa inshallah na ni sifa njema au itajulisha muongozo ni nzuri pia kuona kwani hupatikana riziki pia
Niota mtoto wangu analia kuna mtu anataka kumdhuru,Mimi na ndugu tukawa tunakimbia kumtetea.
ndoto yahit4aji mshirikiane katika kheri na sio maasi au mutamshinda adui insh
Mm nimeona maandishi kwenye cm ya mama yangu tena ni ya dhahabu
Ukiona maandishi angan
Pole sana utapita kwenye maisha magumu kidogo kwa kipindi kirefu au laa basi utaingia kwenye siku ngumu, Je unakumbuka hayo maneno?
Siyakumbuki na nilikuaga bando mdogo sana nasima shule ya msingi ni zaman nilishindwa kuyasoma
Pia niliota majuzi mimepanda kwenye mti ulokauka lakini juu kuna kama kaseem kuna maembe
Pia niliota majuzi mimepanda kwenye mti ulokauka lakini juu kuna kama kaseem kuna maembe
sheikh,naje ukiota upo shule,kisha mnapewa mtihani wewe unaona kama maswali huyaoni vizuri na kila ukitaka kuandika unashindwa,je tafsiri yake nini sheikh?
Pole huko ni kushindwa kuvuka au kutatua changamoto zako, kimaisha
@@MTAVASSYTv ,asante,na kusema uweze kuepukana nalo unafanyaje sasa?
Mimi nimeota nacheza na mtoto lakini simjui kabebwa mgongoni wakati nakachekesha akacheka kisha mimi nikamuaga nikisema bai bai nikapaa kama nimelala nikaenda juu
Shekhe hiyo kwenye chupa karibu na shangazi ni dawa ya miguu? mm miguu inawaka moto.
Daah hata mie ndio tatizo linalo nikela
Nimeota marehemu mume wangu ananiambia niandike lakini anachotaka niandike hasemi anasisitiza tu niandike! Nini maana yake?
Tenda mema kwa sababu kuandika hapo ni kwenye daftari la matendo pia muombee dua
@@MTAVASSYTv asante najitahidi kufanya hivyo kila nipatapo nafasi
Assalam alaykum sheikh naomba number yako ya whatsup
+255656606014
Wa,salaam warahmatullahi wabarakaatuh
As salaam alaikum warahmatullah wabarakatuh Samahani jee ukiota unakimbizwa Na mbwa ila hakuningata lakini bali nimekuwa nikijificha Kwenye nyumba Zawadi ila punde nikiona imekwenda kisha natoka naona tena inatukimbiza tena tena imekuwa inachaguwa si kilamtuu inamkimbiza