UKIOTA UNASOMA AU UNASOMESHA: AU UKIOTA UNASOMA GAZETI/ KITABU/ BARUA/ AU UBAONI: Shekh Khamisi:
HTML-код
- Опубликовано: 4 окт 2024
- Assalam alaykum warahmatu llaah wabarakatuh.
Ndugu zangu katika imani nipende kukukaribisheni katika channel yetu hii ya
NYUMBA YA TIBA NA DUA
Hapa utapata mafundisho mengi yanayohusu Dua, Tiba za mimea, Ufafanuzi Wa aina za maradhi, Tafsiri ya Njozi na mawaidha ya kuzisafisha nafsi zetu kutokana na hadhi za kishetani.
Hivyo ifanye channel hii kua ni Msaada wako Wa kwanza, katika matatizo yako.
Ili kuwa wakwanza kupata video zetu na ili uwe mwanafamilia hii boro basi inatakiwa Ku
SUBSCRIBE, SHARE, LIKE, NA COMMENTS
Pia waweza kuwasiliana nami Kwa namba hizi.
+255776969998
+255685496336
WhatsApp:
+255758678552
+255765893020
+255713439891
Allah akuepushiye matatizo Duniyani na Ahera.kwasomo zuri. Allah akupe mwisho mwema
Masha'allah ,maulana upo vizuur ,mwanzo nilikua sikupend ila saiv nakupenda saana kwa ajil ya allah
Allah Akbir
Manshaallah
Maelezo meeengi
Minimeota nasoma madrassa tuna nafanya mtihani