Uko vizuri dadangu ningekuwa king kiba ningekusajili ..Ila Mapito ni mengi, ktk maisha... Utaumia, utalia, utahuzunika, utakata tamaa, utavunjika moyo na wakati mwingine kujuta kwanini ulizaliwa, lakini kaa ukijua hayo yote yanatakiwa kuwepo ili, kukufanya jasiri ktk kuzifikia ndoto na malengo yako, usikate tamaa Mola yupo pamoja na wewe
Ukitaka kuwa na furaha kila siku fanya hivi amini kuwa Mungu pekee ndie ana mamlaka ya kuamua lolote juu yako..na si binadamu....mpende anaekutakia mabaya kwa kuamini hajui atendalo...ishi kwa uhalisia wako na usìige maisha au mtindo wa maisha ya mtu, tii haja za moyo wako si maneno ya watu..ridhika na ulichonacho kwa kuamini ndicho mungu alichokupa na kuna siku utapata zaidi, Jipende jinsi ulivyo maana kuna wenye kasoro zaidi yako....wanaokudharau waheshimu maana wanakupa uchungu wa kutafuta mafanikio amini wewe ni bora na muhimu kwa jamii ndio maana umeumbwa
Uyu asi zaruulishe Allikiba.hajuwe ata kidogo
🙏inawezekana kuvaa stara na ukafany mziki ,Good girl❤️# nyota na kipaji pekee. Goooo
Tanks
kaz nzuri
🙏🙏🙏
Unajua best congratulations..
thanks
Unaweza kuimba yaaan sanaa
Safi sana team kiba tuko na wewe⬆
Mm jamani mavazi tu Ahsante kumbe inawezekana kabisa kukaa uchi sooo diriiii
Naipenda ngoma
Umeweza dada ......so sweet voice
Alikiba tunaomba umwangalie huyu mdada anakipaji sana
umetisha mama
🙏🙏😘😘
King Music ina muhusu !
Una macho mabaya kama jini
Thanks
😂😂😂
Nakubaaalii saaaana good music
dada uko poa kwa kuimba kabsa😍😍😍😍 kitu ningetaka ufanye ni uunde wimbo zako
sweetie voice i like you are the top keep banning dear
Lusaka Zambia enjoying
Wow do sweet mommy🥰😘🥰
Mashaallah nyimbo nzuri mavazi Sauti jitahidi uendelee hivihivi kukaa uchi sio mpango kikubwa tunataka ujumbe ueleweke tu. ,
Nipher veeeeeeery nice
Mbone kama namuona Paula kajala kwambali,tena mumefanana haswa ukicheka
Sauti nzuli kama hamisamobeto
Good 👍 ❤
Ooh my goodness gal why are you not singing …you have the gift dear. That voice is awesome…do something please
Nakupenda sana kipenzi changu na Mungu aendelee kukujalia afya njema siku zote
Love ur voice it's beautiful
You got it dear
Napenda sanaa!! Saut yako💥💥
🙌🙌🙌🙌🙌🙌 I already coped and send it to Alikiba 😅
😂😂😂
Unajuwa kidogo mchumba
U r so super star
Ningependa King kiba askilize sauti yako ili akuchukue ujiunge na team yetu King kibaaaaa
Honger mamy ♥️♥️♥️kaz nzury mwaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Nakupendaa sanaa kuimba unajua adi mavazi ni mazur💓💓💓💓
Asee unajua kufanya nasubiri ya kwako 2
Hatareeeeeeeee
kwenye video ungetafta mwanaume wa kuimba nae video king... ingenoga zaid... sauti iko poa.... nice one
J'aime bien ta façon de chanter et surtout cette chanson Utu. Teddy Lukusa depuis la République démocratique du Congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Love from these side💓
Nakupendaga we mdada
Unawezaaaaaa💕💕💕💕💕
Nimekupenda unajua hongeraaaa mama🥰🥰🥰🥰🥰
🔥 📛
Uko poa San hongela san
Unaweza girl I like you😍Uko talented 🔥🔥
You are a star...you can't even compare your voice with some celebrities......love from Kenya 🇰🇪 ❤❤❤
Eihhbzsddddood
Ddd
True true
Much love dear 😘😘😘
Same to you
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥💯💥💥💥💥💥
Napenda sauti yako ❤️❤️❤️
🤭😘😘
napendaga sana gauni zako unanunuliaga wapi dada yangu
🙏🙏
nashonesha kwa fundi
Ur smile makes
sawaa safii
Nina nyimbo nataka nikupe bure nitafute
Congrats cover zote zako zimeweza baya
🇰🇪🙏🙏
You are a mazing ,,, beautiful you look like Paula kanjala ,,, 💞💞💞such a vibe
Wow😍😍😍😜
napenda sauti yako navile unajieneza ningependa kusema mansha'Allah
Lovely so much and you know what good job my sister
Nice voice from comoros 🇰🇲🇰🇲🇰🇲🇰🇲🔥💪💪💪💪
Niishie kusema so sweet my young
🙏🙏
Ngar'i Ngar'i ya lava lava mama😍😍😍😍
Nice ❤❤❤
Enhe Kwan mwanamziki ukivaa kujistiri kama ivi utaumia wapi. Hivi huyu Dada amevunjika wapi jaman.
uwezo sana
Aki wewe
I love you from 🇾🇪🇾🇪 Egypt
I love u somuch FROM burundi 🇧🇮🇧🇮
#nipher ☄️💥
Unaimba vizuri aki nakupenda
nakupenda pia🙏🙏🙏
Oooooh the voice woyee u hv such a nice voice. Mwaaaaah
My favorite cover from you more love from kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🚀🚀🚀
Yupo gado afanye aku Saini kweli kweli
Umefann na paula kajala
Nilikuwa najua hii sauti niya miss p😍😍😍
Now need one from you. You can love from +254 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
That's The Spirit Girl,You've Nailed It!...🔥🔥🔥🔥
Beby you can do it
So nice
Very nice and calm aki
I can't get enough of this cover! I keep watching it over, over, over, over and over again. Amazing voice!!!
hlmu
Yeeees iko poah Sana nimeipenda 😍😍😍
Félicitations dada unajikaza sana
Piga Naya gimmedat..itakua poa sana
Nice voice dear keep going nipher 💘❤😘💕💙♥
Thank you so much 😄
I thought this song was yours in the first place..yooh real talent hapa..
Wapi likes jameni
Okay. Am your number one fan now
Mashaallah mashaallah
Melodious, so sweeter 😍
Keep up the job work...you so talented and I love your covers and vocals too
Duuu hapa umeuwa sna nipha kwa kifupi Unajua haswaaaaaa🔥🔥🔥
Kazi nzuri hongera sana
🙏🙏🙏
Uko vizuri dadangu ningekuwa king kiba ningekusajili ..Ila Mapito ni mengi, ktk maisha... Utaumia, utalia, utahuzunika, utakata tamaa, utavunjika moyo na wakati mwingine kujuta kwanini ulizaliwa, lakini kaa ukijua hayo yote yanatakiwa kuwepo ili, kukufanya jasiri ktk kuzifikia ndoto na malengo yako, usikate tamaa Mola yupo pamoja na wewe
thanks broo
Ukitaka kuwa na furaha kila siku fanya hivi amini kuwa Mungu pekee ndie ana mamlaka ya kuamua lolote juu yako..na si binadamu....mpende anaekutakia mabaya kwa kuamini hajui atendalo...ishi kwa uhalisia wako na usìige maisha au mtindo wa maisha ya mtu, tii haja za moyo wako si maneno ya watu..ridhika na ulichonacho kwa kuamini ndicho mungu alichokupa na kuna siku utapata zaidi, Jipende jinsi ulivyo maana kuna wenye kasoro zaidi yako....wanaokudharau waheshimu maana wanakupa uchungu wa kutafuta mafanikio amini wewe ni bora na muhimu kwa jamii ndio maana umeumbwa
salute
Nice voice love from Kenya😍
🙏🙏🙏
Mungu anisamehe 😂
nimependa vazi lako bomba daa uendelee ivo sio wale wanava uci
Thanks so much
Best one keep it up 💪
am replaying the song over and over again, nice voice you touched my heart
🙏🙏
Nice one
beautiful Nipher MashaAllah go for it dear.. never back down 😘🇰🇪much love
Thank you, I will
No one should compare your voice with any celeb aki nipharuric you good to go......big ups love from Kenya 😍😍hope to be like u soon