Mshukiwa mkuu wa mauaji ya Kware Collins Jomaisi Khalisia akamatwa

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 19 авг 2024
  • Mshukiwa mkuu wa mauaji ya watu tisa ambao miili yao ilipatikana katika eneo la Kware huko Mukuru kwa Njenga,amekiri kuwauwa watu 42. mshukiwa huyo Collins Jomaisi Khalisia mwenye umri wa miaka 33 alikamatwa na maafisa wa upelelezi wa jinai katika mtaa wa Kayole hapa jijini Nairobi.

Комментарии • 1,2 тыс.

  • @wanjiru-w8r
    @wanjiru-w8r Месяц назад +186

    we are not in early 90s we are not our parents!!!! the truth will be out!!! Watch this!!!

    • @baloz8974
      @baloz8974 Месяц назад +21

      Naamini hvyo pia mimi wanajaribu kupoteza fahamu zetu tuamini urongo wao

    • @wamaithachege4316
      @wamaithachege4316 Месяц назад +3

      ​@@baloz8974😂😂😂Kenya my country

    • @qrankmw.
      @qrankmw. Месяц назад +13

      ehh...i could have agreed if they named farah maalim...

    • @impartial_idea2497
      @impartial_idea2497 Месяц назад

      What did your parents do you fool other than build this country

    • @georgegithuma1997
      @georgegithuma1997 Месяц назад +3

      Viva!!✊🏽

  • @muziki79
    @muziki79 Месяц назад +244

    Poor boy was bribed by DCI to take the blame to cool down the anger...bribery and coercing is a crime...all these DCI's should be arrested by themselves and charged in court 😅

    • @floameyo6358
      @floameyo6358 Месяц назад +12

      That’s true

    • @Kissbaby267
      @Kissbaby267 Месяц назад +5

      💯

    • @kayesacliff900
      @kayesacliff900 Месяц назад +8

      he is the culprit bwanaa the evidences is there!

    • @mzeemombasa.3456
      @mzeemombasa.3456 Месяц назад +18

      Can you accept such a bribe and bare such a heavy cross??????

    • @mercyajah7915
      @mercyajah7915 Месяц назад +16

      ​@@mzeemombasa.3456people do anything for money,ofcourse he's promised money and freedom and even being taken out of the country

  • @JosephNganga-kw4xb
    @JosephNganga-kw4xb Месяц назад +130

    I disagree with this 100%

  • @agnesmusungu5274
    @agnesmusungu5274 Месяц назад +33

    Nani mwingne anapitia comments kama mimi

  • @dennisgathuku6656
    @dennisgathuku6656 Месяц назад +20

    I say again,SHAME on all TV stations in Kenya..this guys are also being manipulated by the government.

  • @maureenjames458
    @maureenjames458 Месяц назад +124

    Since the maadamano stated I don't trust the gorvement of Kenya at all 💯🙌

    • @lucymwai7645
      @lucymwai7645 Месяц назад +2

      Okay, According to me mbona ni wanawake tupu hakuna mwanaume ata moja? Nikirundi nyuma kidogo nakumbuka yule Mukisii alikua anakunyua damu ya wanawake na kuwaua.

    • @qrankmw.
      @qrankmw. Месяц назад

      ehh..huyo dci ni ..utracrepidarian....

    • @Sharon_537
      @Sharon_537 Месяц назад

      Kuna wanaume ​@@lucymwai7645

    • @maggienganga1046
      @maggienganga1046 Месяц назад +2

      Exactly uyo jamaa ni innocent

    • @geoffreymuriithi1279
      @geoffreymuriithi1279 Месяц назад

      Peana mshukiwa basi

  • @kevinyadah1562
    @kevinyadah1562 Месяц назад +59

    We want forensic investigations..hawa si wa kuaminika

    • @daveondiekaaron2204
      @daveondiekaaron2204 Месяц назад +2

      YES

    • @Xxys8kg
      @Xxys8kg Месяц назад

      It's the same government that will conduct the investigation

  • @aviosilona316
    @aviosilona316 Месяц назад +77

    Uongo mara mia this guy is innocent no wonder sipendi kufuatilia story za serikali juu ni Uongo tuu eti from 2022 to 2024 mnajisikiza kweli😢

    • @zipporahkirigwy6783
      @zipporahkirigwy6783 Месяц назад +4

      True, meaning this massacre was done in the year 2022 🙄 I wonder what he's saying. This not true, was he alone doing all this rubbish. We want the whole truth.

    • @jawyhi9090
      @jawyhi9090 Месяц назад +1

      Kabisa

    • @martins.k3359
      @martins.k3359 Месяц назад +1

      Kaka sungura story .

    • @emmam4576
      @emmam4576 Месяц назад +1

      They think we are fools

    • @emmam4576
      @emmam4576 Месяц назад +1

      You think they bribe? They threaten tu. Yani kenyan police are a joke 😷. Ati machete and simcards. IDs wameokota kule Odeon😂

  • @samuelndegwamburu3273
    @samuelndegwamburu3273 Месяц назад +57

    Klub inafunguliwa asubuhi na polisi wako,mimi sio shabiki but kunakuanga na mpira asubuhi?

    • @billOudia
      @billOudia Месяц назад +1

      Copa america ilichezwa saa ngapi?

    • @maxmakobi2549
      @maxmakobi2549 Месяц назад

      Copa america imechezwa early morning acha kuwa msenge

    • @aliallan492
      @aliallan492 Месяц назад +5

      ​@@maxmakobi2549so tuseme yy ni shabiki sugu wa ball😂😂

    • @stevekiplagat9914
      @stevekiplagat9914 Месяц назад

      Asubuhi huanza saa ngapi😂

    • @janaleokesho8374
      @janaleokesho8374 Месяц назад

      Niliwatch ball masaa ya asubuhi copa finale

  • @licious4633
    @licious4633 Месяц назад +42

    Ngotha za pink na hand bag za pink ndio tujue ni wanawake😂😂😂

  • @yusrihamid827
    @yusrihamid827 Месяц назад +92

    Ukifwatilia hyo jamaa utapata wamemtoa kwa hosii ya machizi wakasema wamtumie kutuliza pressure ya wananchi😂😂

  • @brendawafula6592
    @brendawafula6592 Месяц назад +63

    Aya leta ule police aliua REX sasa

  • @leonardseur3717
    @leonardseur3717 Месяц назад +25

    😂😂😂😂😂😂😂😂Jaba is real, but thank God 30million Kenyans are well informed and we can't be manipulated 😂😂😂

    • @djfreddy2548
      @djfreddy2548 Месяц назад +1

      Tulipita 30 million sai tuko 50 million plus

  • @TTK_world
    @TTK_world Месяц назад +54

    We Won't Accept This Lie's Amelipwa Ajifanye Niyeye Nani Ajui Ruto Ruto Must Go

    • @mayaspanic221
      @mayaspanic221 Месяц назад +3

      Ati ndio tukose kuandamana kesho

    • @anthonyonuti8473
      @anthonyonuti8473 Месяц назад +5

      Hajalipwa, amefinywa viproper.... Utapata yeye ni wanted wa makosa zengine, lakini hii sasa amekua avenue, kujaribu kutuliza Tuesday Maandamano. Bottom line remains status quo, if you know you know..... Vivaa !!!!!

    • @user-jy7ne3iw7y
      @user-jy7ne3iw7y Месяц назад

      Eeeih nyinyi watu ... Kwahivyo

    • @TTK_world
      @TTK_world Месяц назад

      @@anthonyonuti8473 🤣🤣🤣by the way 🤣🤣🤣

  • @kevinkamau9007
    @kevinkamau9007 Месяц назад +49

    A rotten government. The free Education Kibaki gave is bearing fruits Kenyans are enlightened.

    • @Monnie-Glory
      @Monnie-Glory Месяц назад +3

      Even the Alpha generation should be given free education. No Kenyan should ever be enslaved through lack of adequate education.

    • @mfululizowak9899
      @mfululizowak9899 Месяц назад +3

      ​That's what we are fighting for...a government like Kibaki's or better...@@Monnie-Glory

    • @sultanmswahilitv4864
      @sultanmswahilitv4864 Месяц назад +1

      True

  • @kanyikimani4342
    @kanyikimani4342 Месяц назад +4

    Bob Marley said. "You can fool some People sometimes but you can't fool all the People all the time"

  • @erickmuma696
    @erickmuma696 Месяц назад +7

    The way the DCI handling the evidence it’s a clear lie 😂😂😂😂😂😂😂

  • @uwesusaid5334
    @uwesusaid5334 Месяц назад +49

    Huo ni Uongo aise mtu mmoja anaweza Uwa Watu 42 😂😂 Kutoka Tanzania 🇹🇿 tunawapata Citizen

    • @unknownchannel494
      @unknownchannel494 Месяц назад

      Huenda ako ma Team

    • @mzeemombasa.3456
      @mzeemombasa.3456 Месяц назад

      @@uwesusaid5334 Kuna mmoja aliuwa mia, yeye alikuwa anawauwa anakunywa damu na kutupa miili. Google Onyancha today he is a born again.

    • @anneeriksson2079
      @anneeriksson2079 Месяц назад +1

      Didn't you hear that it's in a span of several years..

    • @carolinenjoroge9092
      @carolinenjoroge9092 Месяц назад +2

      Anaweza. Ma serial killer

    • @geoffreymuriithi1279
      @geoffreymuriithi1279 Месяц назад +1

      Tupe mshukiwa basi

  • @owenomwanawayesu6961
    @owenomwanawayesu6961 Месяц назад +8

    Alianza kuua watu 2022 na mili bado inatoka damu fresh?DCI ogopeni MUNGU

  • @floameyo6358
    @floameyo6358 Месяц назад +86

    No, this guy is being sacrificed

  • @CharlesMoreHappy
    @CharlesMoreHappy Месяц назад +75

    Kwani jamaa hangewahi patikana htra siku moja akienda kutupa mwili ..wacheni kupima wakenya akili

    • @SallySerin
      @SallySerin Месяц назад +6

      Na hawezi beba peke na alipita vipi hapo kwa mapolice bila kushukiwa for that long

    • @MuniraShughuli-kc7vj
      @MuniraShughuli-kc7vj Месяц назад +2

      Mungu yuko lkn mwajifanya nyinyi waerevu sio kwendeni zenu

    • @beatriceminja2148
      @beatriceminja2148 Месяц назад +3

      Hii government inaona watu akili hatuna .. hiyo ni uongo

    • @walenisi9278
      @walenisi9278 Месяц назад

      Yaani yeye pekee alikuwa akibeba pekee?

    • @symonwanjohi3294
      @symonwanjohi3294 Месяц назад

      @@CharlesMoreHappy Bona onyancha pai hakupatina

  • @EstherKubwa
    @EstherKubwa Месяц назад +37

    Let me tell you mkae mkijua kuna sirikari ingine juuu yenu nayo hio sirikari nia mbinguni naiko tayari kufichuwa siri zote katika ulimwengu huu wawanadamu☝️

    • @vumbisnap
      @vumbisnap Месяц назад +1

      Sisi tuko serious hapa bwana wacha mchezo

    • @africanson7349
      @africanson7349 Месяц назад +3

      ​@@vumbisnapyenye amenena ni kweli kabisa kaka

  • @Rockbalozi
    @Rockbalozi Месяц назад +8

    Huu ni urongo, ufanye uhalifu halfu evidence unaweka kwa nyumba, huyo amepewa pesa ili uchunguzi uishe,, mbona watu wenye cheo kwa serikali., wakipotezwa. Uchunguzi unamaliza mwaka mzima, lakini huyu siku za kuhesabu tu.

  • @sarahcorak7683
    @sarahcorak7683 Месяц назад +19

    Aki seriously!!! Yani you expect Kenyans to buy this story😳 ....where was DCI when people were reporting their missing loved ones 😢 May the women rest in peace.

  • @bbd359
    @bbd359 Месяц назад +41

    Lying😢
    If someone else stole the phone
    Sold it out.??
    I don't bealive DCI

    • @ruthkithome764
      @ruthkithome764 Месяц назад +2

      Do you understand what's forensic analysis of mobile phones

    • @carolinenjoroge9092
      @carolinenjoroge9092 Месяц назад +1

      Kitu yako ikiibiwa itasaidika na police abstract.

    • @emilysawayi5787
      @emilysawayi5787 Месяц назад

      Never buy second hand phone however cheap

  • @MaryAkowe
    @MaryAkowe Месяц назад +53

    😂😂Afro Cinema continues shortly

    • @4custaywithme
      @4custaywithme Месяц назад +1

      AERIAL YANGU HAISHIKI

    • @tracya2509
      @tracya2509 Месяц назад +1

      😂😂😂
      Umesema tuko episode gani???

    • @adamjaama7086
      @adamjaama7086 Месяц назад

      Tuko episode 10@tracya😂😂😂😂

    • @ElizabethNthena
      @ElizabethNthena Месяц назад +1

      Twist left kidoogo😂😂​@@4custaywithme

    • @4custaywithme
      @4custaywithme Месяц назад

      @@ElizabethNthena NIMETWIST IKO POA asante

  • @dickensojiambo275
    @dickensojiambo275 Месяц назад +33

    Jamaa mwenyewe anakaa mkulima wa nyanya hii ni uongo government can do anything

  • @SailezKingBee
    @SailezKingBee Месяц назад +3

    Hii ni uongo sana maumbwa government mnajaribu kututumia Sisi Kufisha police wenu walikata watu wakatupa God washing you Mlaaniwe😢😢

  • @hellenamwoma8455
    @hellenamwoma8455 Месяц назад +23

    Nilikua nataka kubelieve hii story lakini nikakumbuka hii ni kenya😮

    • @lenah449
      @lenah449 Месяц назад

      Same here😂

    • @emorutnicholas1893
      @emorutnicholas1893 Месяц назад

      Uongo reloaded, Wakenya hatupangwi na huo UONGO, Serikali kupitia Polisi wahuni ndo wahusika ya mauaji

  • @josephmwangi6727
    @josephmwangi6727 Месяц назад +10

    What a conclusive investigation, just in a few hours, hongera DCI😅😅

  • @perezokeyo4083
    @perezokeyo4083 Месяц назад +2

    No..I refuse to be lied to...how did they find him very fast, if people who killed msando , Jacob juma and the rest have never been found, how fast...uongo bana

  • @erico1991
    @erico1991 Месяц назад +4

    Niliambiwa nikiwa mdogo serikali inamanisha "sirikali",,the problem ni watu wamegrow sasa siri sio siri tena

  • @estherkariuki1586
    @estherkariuki1586 Месяц назад +25

    I do not believe yhe story...this is just undercover.

  • @MaryAkowe
    @MaryAkowe Месяц назад +10

    😂😂hahaha .hizi evidence ni safi sana.

  • @gman3245
    @gman3245 Месяц назад +2

    He was arrested just within 1day how fast?? This guy he's Was fixed 😊😊 100% doubt

  • @orlandoreagan6443
    @orlandoreagan6443 Месяц назад +4

    If this man is sick,did they take him to confirm that he's not in his right senses before arrest,did the parents of the late wife report the didsapearance of their daughter or relative

  • @catherinethou
    @catherinethou Месяц назад +4

    Hii government iende ifanye kazi na senior Dave mwenye anafanya kazi more than Dci wa government

  • @jtwinsshow
    @jtwinsshow Месяц назад +20

    The government so poor at custing😂😂

  • @faithomollo9721
    @faithomollo9721 Месяц назад +2

    How comes the tools are very clean without any dent

  • @Serah_Dixon
    @Serah_Dixon Месяц назад +2

    Huyu anatoa wapi hard drive na laptop. Angekua ameuza😢danganya toto jinga

  • @AfriKan-Nazi
    @AfriKan-Nazi Месяц назад +16

    Mnalipana ngapi ndio pia mimi mn mniaccuse

    • @marykinuthia6067
      @marykinuthia6067 Месяц назад +2

      😂😂😂😅😅😮

    • @adamjaama7086
      @adamjaama7086 Месяц назад +2

      Wanapeana 100k uko tayari @kenya 😂😂😂😂

    • @AfriKan-Nazi
      @AfriKan-Nazi Месяц назад

      @@adamjaama7086 nilithani mtatenga kama mirrion kwa kila mwili mnaniekelea

    • @ruthkerubo4386
      @ruthkerubo4386 Месяц назад

      😂😂

  • @JoshuaShole-wl2zm
    @JoshuaShole-wl2zm Месяц назад +9

    Apa ni karata police wanajua hao DCI ndio wanauwa

  • @cookingwithNamisi
    @cookingwithNamisi Месяц назад +2

    True, this is afro cinema. Aje sasa ? Mungu shuka huku Kenya tukuone

  • @prot6liv981
    @prot6liv981 Месяц назад +1

    His first victim was his wife yet noone in her family reported her missing and then he went on a killing spree... doing all that work and somehow he got away with it all...kweli I have seen this movie its called Dexter

  • @KelvinWamwea
    @KelvinWamwea Месяц назад +3

    We're not fools period. 😁😁😁😁

  • @kadilamore802
    @kadilamore802 Месяц назад +4

    😅😅 😂everything pink😂 i don't know why nacheka

  • @princeofaragon728
    @princeofaragon728 Месяц назад +12

    They captured him while watching Europe finals and arrested him in the morning,what a story!!!

    • @mauriceomolo4604
      @mauriceomolo4604 Месяц назад

      He was watching football with them and they left him to go and sleep before they pounced on him in his house and arrested him in morning. Woiwoi- children of liar are shrewd liars too.😁😅😅😅😅😅😅😅

    • @marymusanga2199
      @marymusanga2199 Месяц назад +1

      Very interesting indeed

    • @princeofaragon728
      @princeofaragon728 Месяц назад

      @@mauriceomolo4604 Surely😂

  • @kenjames8940
    @kenjames8940 Месяц назад +2

    Mbona hamuku-track hio simu wakati mwenye simu alipotea...we are not fools

  • @LlinscoTradingEmpire
    @LlinscoTradingEmpire Месяц назад +5

    If he murdered his wife,, did she not have relatives who were looking for her,.. koz if they were looking for her they would have suspected him long time ago, where are the police reports showing of missing persons.. they should stop beating around the bush.,,

  • @janekimango1189
    @janekimango1189 Месяц назад +14

    Pole sana to this guy
    He knows nothing about!

  • @erickjuma7643
    @erickjuma7643 Месяц назад

    The courage this gvt has is immense. How do you oie this boldly?

  • @qrankmw.
    @qrankmw. Месяц назад +4

    eh.kanja.bungei.amin all must go..why are wananchi doing their job going into the quarry as they stand pretty far away reading statements.?.and we pay them using same wananchi's tax money.?..useless !

  • @richardmutiku2260
    @richardmutiku2260 Месяц назад +3

    Hapa uongo ndio mingi. Watu wakwao watuambie kwanza aliua bibi aje na akapotea aje. Majirani pia watupee story mtu Kumi na within 2 weeks na karibu na mahali ya kutupa na hakuna fununu.😮

  • @ring-tone278
    @ring-tone278 Месяц назад +7

    Kenyans". Bodies have reached 20. He asked pray for him. Very dirty work.
    What is the difference between Ruto and Mackenzie?!? Someone.

    • @patriciamuenimulwa1808
      @patriciamuenimulwa1808 Месяц назад +1

      Everything is now ruto 😅. Sometimes its good to use common sense.

  • @EverylineMongarora
    @EverylineMongarora Месяц назад +2

    Hii n kulipwa amelipwa wa2aje kutupepa kujiunga plz ruto must go hii ni kazi ya Ruto ndo watu wasijue n serikali hawa wameuliwa juu ya upinzani wa serikali bado hii serikal haitakuwa na amani kama ruto hatajiondoa 😢😢😢😢😢

  • @sitcomsfulcrum
    @sitcomsfulcrum Месяц назад +2

    Wameamua kutupima we all know the culprits bwana😂😂😂 siezi amini hii gava

  • @HannahNjaramba
    @HannahNjaramba Месяц назад +17

    Mwache ujinga kuekelea mtu aliua

    • @bernardkariuki2615
      @bernardkariuki2615 Месяц назад +1

      Ama wewe ndiye uliuwa uko na hasira mingi hivi,that is a confession.

    • @HannahNjaramba
      @HannahNjaramba Месяц назад

      @@bernardkariuki2615 eeeeh ni mm

    • @bernardkariuki2615
      @bernardkariuki2615 Месяц назад

      @@HannahNjaramba I wish ungepatana na huyo muuzaji akufuck nyuma na akuweke kwa gunia fala hii

  • @lynnewaskasiaka
    @lynnewaskasiaka Месяц назад +3

    Hata wewe unafaa ku resign.uongo!!¡

  • @SusanIrungu-m9i
    @SusanIrungu-m9i Месяц назад +1

    Wakenya aaaaiii tusibebwe namna iyo uongo uongo mtupu aki walai wanataka wakenya watulie na maongo zao wa kwende uko

  • @gladysglado7074
    @gladysglado7074 Месяц назад

    Uongo Mungu will show up everything Kenyans😊

  • @masterdismas
    @masterdismas Месяц назад +18

    That,s just tricks

  • @KathiniMulwa
    @KathiniMulwa Месяц назад +24

    Hakuna mtu anajua huyu jamaa na bibi yake mwenye aliua atuelezee aky me nimechanganyikiwa

    • @AnkoLolo-mv5bk
      @AnkoLolo-mv5bk Месяц назад +2

      Bibi aliye jufa atatoaje ushuhuda nikikuuliza?

    • @rootsblakwafula3474
      @rootsblakwafula3474 Месяц назад

      Elewa swali. Mwenzako ameuliza swali genuine kabisa​@@AnkoLolo-mv5bk

    • @joykhayega6974
      @joykhayega6974 Месяц назад +2

      ​@@AnkoLolo-mv5bkmbna hakuna hata mtu mmoja anayemjua kwan alikua a anaishi space??

    • @chrispinesimiyu
      @chrispinesimiyu Месяц назад +1

      Kwani hata majirani hawamjui au hawajawai muona?

    • @KathiniMulwa
      @KathiniMulwa Месяц назад

      Hahahaha sasa gotha za pink zinatuhusu na nini na tunataka kujua how and why wanawake wanauliwa hivo watuonyeshe vedio akiogea basi kama vyenye mastan wanjala aliogea ai

  • @user-tk1wy5eg4q
    @user-tk1wy5eg4q Месяц назад

    Mnadanganya Watoto wa kibaki..😂wamesoma kama kibaki mwenyewe..they are so smarter

  • @lucymwai7645
    @lucymwai7645 Месяц назад +1

    This is very very sad, Oh my God Almighty hi ni maneno gani jameni. 😢😢😢. From 2022 up to this time Familia ya Bibi yake hawajawai chuku huyo Kijana?

  • @damaricenawire5760
    @damaricenawire5760 Месяц назад +15

    My question is walijua aje Ni yeye muweche kutupima bangi

    • @mayaspanic221
      @mayaspanic221 Месяц назад +2

      I'm also wondering

    • @JamesWaithaka-np8uj
      @JamesWaithaka-np8uj Месяц назад

      Alikua na tenje ya mmoja was marehemu.

    • @damaricenawire5760
      @damaricenawire5760 Месяц назад

      @@JamesWaithaka-np8uj ooh hata kama Ni Ivo kumaanisha hayuko pekee yake wako Wengi Na wako Na leader wao

  • @rogersmutua
    @rogersmutua Месяц назад +11

    We don't have a country here

  • @filexingutia3620
    @filexingutia3620 Месяц назад +1

    Mind you we are not fools. DCI wameweka masimu , sila na tarakilishi kwa nyumba ya mtu na kisema kwamba yeye muuaji. We shall not entertain such lies here in 🇰🇪. These are Pure lies and jokes of the century. Try those jokes elsewhere kesho tunaanguka nayo💪🙌

  • @taifakali1981
    @taifakali1981 Месяц назад

    Thanks our dci ihis new cult

  • @aminarama1633
    @aminarama1633 Месяц назад +6

    SubhanaAllah, lakini yeye pekee hawezi lazima awe na wenzake

  • @daprince7545
    @daprince7545 Месяц назад +3

    Mna cover hio story, since 2022 mpaka saii DCI ndio wamempata mshukiwa. Jst playing with kenyan's brain. Apa tumechezwa 💯

  • @liliannduku1765
    @liliannduku1765 Месяц назад

    Yaani shakahola was first scene second was Airbnb now it's kware aki mungu tuonekanie😭😭😭😭

  • @rebeccahmudola7040
    @rebeccahmudola7040 Месяц назад

    Me watching this the day Collins is clear and that he is not involved. Leaves wondering how you can rot in jail for someone else crime.

  • @emilywangui
    @emilywangui Месяц назад +6

    Wakenya mnajifanya mnajua ,I hope mnakubuka 2011 ile story ya onyancha ule mkisii alikuwa anakula wamama naivasha...alikula more than 100 ladies na hii mnasema ni uongo

    • @EngineerTractor-df2jh
      @EngineerTractor-df2jh Месяц назад

      Tell them brother very sad

    • @aviosilona316
      @aviosilona316 Месяц назад

      Tunakataa juu ya hapo 2022 hadi leo kwani tuko nchi gani😢

    • @user-yd1vh7xn5g
      @user-yd1vh7xn5g Месяц назад

      Malaya wewe . Basi Jomaisi angekupata wewe na akukate vipande vipande ndio ujue wakenya sio wajinga.

    • @mzeemombasa.3456
      @mzeemombasa.3456 Месяц назад

      ​@@aviosilona316 The DCI are correct on this , the only problem we had was that Police were not serious on investigating the reported cases. That's led to the delay of Justice.

    • @catherinewangari4942
      @catherinewangari4942 Месяц назад

      Wageni warundishwe kwao, na ingekuwa ni mkenya inchi ya wenyewe ,ingekuwaje,juuzi university student alipatikana kwa ndooo sisi,

  • @elicamcompany
    @elicamcompany Месяц назад +3

    tuambieni ukweli coz ii nikiswahili 2

  • @fredrickeshitemi898
    @fredrickeshitemi898 Месяц назад

    Kenya kenya ujanja mingi but God ndio anajua final destination 🙏

  • @GeorgeKariuki-bb8wn
    @GeorgeKariuki-bb8wn Месяц назад

    I used to fear men now am afraid of them...am a lady...am using my cousins phone😢😢😢

  • @kagamedimaria4787
    @kagamedimaria4787 Месяц назад +3

    Story za jaba na za ujinga

  • @juliakanyoro5964
    @juliakanyoro5964 Месяц назад +7

    Lies lies this guy anechotewa so that the government gets off the hook

    • @DesertTears
      @DesertTears Месяц назад

      Unataka ngapi na wewe ukatoe ushahidi???

  • @lontetilodungokiok2261
    @lontetilodungokiok2261 Месяц назад

    The thing is the almighty father who is in heaven knows everything,let live all for him

  • @marthakamau20
    @marthakamau20 Месяц назад

    innocent boy ameoingwa na kulazimishwa akubali
    hizi ni story za jaba uongo mtupu
    police wa hio area wanajua Kila kitu
    Juu hao watu waliuliwa waliuliwa sehemu mbali mbali na kuletwa huko
    police huwa wanangudua mtu akimbeba bangu
    Maiti dio walishidwa na kungundua
    hapa Iko siri fiche

  • @DesertTears
    @DesertTears Месяц назад +3

    Haki Afrika,Boniface Mwangi😂😂😂😂😂 Gen z😂😂😂😂 na wapumbavu wengine wote mko wapi???😂😂😂😂

    • @rosamariewanjiru8659
      @rosamariewanjiru8659 Месяц назад +2

      Tuko hapa senge hii. Mpumbavu sana kama you believe this.

    • @user-yd1vh7xn5g
      @user-yd1vh7xn5g Месяц назад +1

      Huu ni uongo mtupu , serikali ya rais Ruto inahusika katika mauaji haya ya kinyama ila wametafuta njia ya kutuliza wakenya. Huyu jamaa tayari alikuwa mfungwa wa maisha katika gereza moja basi wakamtumia iliwatuchanganye. Gen Z say No to Ruto.Mbona Koome kajiuzulu mapema hivi? Ukweli upo wazi wazi.

  • @GloriaVaati-ls9ql
    @GloriaVaati-ls9ql Месяц назад +8

    Hii sura ngumu hivi..ebu mtuachie huyu jamaa tumkanye....kumanina zake...

    • @user-bb9hw5vw6h
      @user-bb9hw5vw6h Месяц назад +1

      Is a lie

    • @wafulak2
      @wafulak2 Месяц назад +1

      Ni uongo this is a game 😂😂😂😂

    • @GloriaVaati-ls9ql
      @GloriaVaati-ls9ql Месяц назад

      @@wafulak2 unasema ni huongo kwani umekuwa DCI....basi enda utupe report za ukweli...shida yenu ni kuingiza siasa wakati ambao haufai....

    • @GloriaVaati-ls9ql
      @GloriaVaati-ls9ql Месяц назад

      @@user-bb9hw5vw6h then go and tell the truth....kila kitu mnasema ni huongo....ebu muache serikali ifanye kazi yake

  • @ivinesizy1616
    @ivinesizy1616 Месяц назад +2

    This is a lie that i can't buy

  • @angelakitonyi6761
    @angelakitonyi6761 Месяц назад +1

    Undercover.Well paid dude

  • @Kenyalove
    @Kenyalove Месяц назад +4

    Let the suspect speek up hatujamsikia akisema kua yeye ndio ameuwa.

    • @joykhayega6974
      @joykhayega6974 Месяц назад

      Ndo nashangaa ,,tunaonyeshwa tu picha ,,kwan picha inaeza ua mtu😮

  • @Unclesam00001
    @Unclesam00001 Месяц назад +4

    Uongo how first...huyu mmelipa before maandamano kesho

  • @BeatriceMrunde-hu3vs
    @BeatriceMrunde-hu3vs Месяц назад

    Uwongo huyo jamaa hajauwa mtu...serikali iseme ukweli...mbona before mandamano watu hawakufa Sahi ndo wanauwawa...msitukoroge serikali inajuwa

  • @bishopbensonmututa4246
    @bishopbensonmututa4246 Месяц назад +3

    Shugulikieni corruption na hiyo speed

  • @patricknyiti5303
    @patricknyiti5303 Месяц назад

    The Guy looks like secret service employee ..!!! He will be sentenced but his home will not be in Prison

  • @wyclefmarie5385
    @wyclefmarie5385 Месяц назад

    Wacheni ujinga, we ain’t no kids and the news media just falling for it what a shame

  • @Chakol123-k7s
    @Chakol123-k7s Месяц назад

    Huu ni uwongo mtu kuua watu 9 halafu life yake iwe normal sasa anaua kama for fun au 😢nop hii ni michezo huyo jamaa atashikwa ili wakenya watulie halafu ataachiwa huru trust me.. huyu jamaa ataachiwa huru hapo wanawazuga tu watchng frm 🇹🇿

  • @gtdetan
    @gtdetan Месяц назад

    "Sagrifisial lamb" Who is the Boda guy that supposedly blew the whistle? What serial killer tells a total stranger to help him dump a body in a quarry that is under serious public scrutiny for the gruesome discoveries inside? He claimed to have killed his wife in 2022, kwani nobody missed her? What book has her missing persons OB number registered in it?

  • @FabbyDeyah2024
    @FabbyDeyah2024 Месяц назад

    The Goonverment..Man eats Man Society..Idia Amin Government..God have Mercy on poor and Innocent Kenyans Who are fighting for their Rights 😭😭🙏🙏🙏🙏

  • @seme8497
    @seme8497 Месяц назад

    Tell the DCI we are not foolish, they should not try that with us

  • @user-yo6dy7kp2m
    @user-yo6dy7kp2m Месяц назад

    Wacha kutubeba wanaa...watu walio tupwa bags zao zaonyesha zililetwa kwa ukaribu zaidi na kufanana kware iko near by police huyo mtu alileta vipi mili hiyo mtu mmoja bila police kujua nambona watu wahapo karibu awajapoteza watu wao kwani yeye alikuwa anaenda uwa watu wapi na kiwasafirisha vip juu sifamilia za county ya Nairobi wa hapo karibu serikali iwache kuziba ukweli kwa kumtumia huyo kijana DCI must go mumeanza kudanganya wakenya

  • @ValentineMinayo-b5c
    @ValentineMinayo-b5c Месяц назад

    He doesn't even look like a killer kuna kitu behind this guys,

  • @jamillahmussa3775
    @jamillahmussa3775 Месяц назад +1

    Hii sura ukiangalia kwa undani innocent, huyu amenunuliwa tu ajiseme uongo, ju bado ni kijana mdogo, na ukimtama uso si muaji,, i hunguzwe kiundani watapata ni watu tofauti,

  • @esthersialo-4567
    @esthersialo-4567 Месяц назад +1

    Hata hakai sura ngumu ya kuua watu😂😂😂
    Sasa mlimlipa huyo ngapi

  • @liamhawi2271
    @liamhawi2271 Месяц назад

    Impossible,we are not fools,only God knows, soon things will be brought to light

  • @FatmamuhammadTumamoha-v2h
    @FatmamuhammadTumamoha-v2h Месяц назад

    Wamlete huyo mshukiwa tu mhoji wenyewe...cause it seems hao DCIS na polisi wameanza mchezo!