ALLY KAMWE AUTUPIA DONGO USAJILI WA SIMBA/JOSHUA MUTALE SIO KIWANGO CHA CHAMA/HAWEZI KUCHEZA YANGA
HTML-код
- Опубликовано: 2 окт 2024
- Timu ya Young Africans Leo July 2,2024 imezindua mfumo Rasmi wa mashabiki wao kupata taarifa zinazoihusu klabu hiyo,akizungumza na waandishi wa Habari Afisa habari na mawasiliano wa klabu hiyo Ali kamwe amesema kuwa njia hiyo itawasaidia mashabiki wa yanga kupata habari za timu hiyo hasa katika kipindi hiki cha usaj
Chama sio simba na simba sio chama simba itabak kuwa simba na chama atabaki kuwa ni mchezaji tu kama wengine
😂😂yani utiite makolo nakadi utupe we mwendawazimu sanaaa
Ligi Ianze tu baadhi ya Midomo Iweze Kufungwa
Huyu msemaji hanamapungufu ya akili
Kwann yanga wasiame lingi naona akuna wa kumfunga apa tz
Wewe kamwe hujitambui kabisa
Kwel baba wape vindonge😅
Huyu msemaji IQ yake ni HASI
Ally Kamwe ni mshenzi kweli kweli🤣🤣🤣 kwani unaugomvi na baba yako?
Ally babako ko unamwita kolo wewe waajabu 😂😂😂
Ila komwe😂😂😂😂😂
Vua miwani tukuone kiburi chako,chama ametengenezwa nani wewe chama ulikua unamjua ally kamwe hana akili nimeamini😅😅
Fala mkubwa wewe
Ali kamwe unaumwa were kapimwe akili wwe
kwani lazima wote tushabikie yanga huna jipya 😂😂😂
Utopolo mwaka huu mujipange mwaka huu
Ushawaita makolo sasa unawapaje kadi makolo
Aya topolo
Yanga ndoo ilimteta chama wakashindwana nae mkataba akaenda simba tanzania Nandoo itakayo muondoa tanzania mazimaaaa
Chama anaenda kuanza upyaaaa pale Yanga.
Rop ropo
❤❤😂
Chama kaja simba ulikua hana umarufu wowote katengenezwa na simba katumika mpk leo nyinyi mnamchukua kama used ndo unatamba kama sijui umempata nani jinga kweli ani
Si kama nyie mnavyomlilia used mayele nyani aoni kundule unataka ukae na mchezaji mpka astaafu kwa kipi mlichonacho au mnachompya chaa ajabu 😂maneno ya mkosaji na usipoangalia tutakuchukua adi used ww