Nazungumzia uzoefu wangu hapa Canada, nikiwa kama Mtanzania sijawahi pata tabu na Mrundi, Waganda,Wakenya,Wazimbabwe, Wacongo, najua zipo changamoto hii ina prove sisi sio Malaika lakini naona wote wako poa tu, ila Nilichokiaona Wakenya wenyewe kwa wenyewe hawapendani kabisaa, kama ilivyo kwa Watanzania, wa Tanganyika na Wazanzibar wakikutana utasema hakuna ndugu kama hawa lakini kuna chuki kubwa saana kwa Wazanzibar dhidi ya Watanganyika nahisi mambo ya Siasa wanaleta hadi Nje ya Nchi lakini ni Watu wazuri saaana wenyewe kwa wenyewe huwa wanasaidiana kwahilo Mwenyezi awabarik, sio sisi Watanganyika huwa tunakimbiana na ukiharibikiwa ndio furaha yao, ila Wazanzibar wanapeana Connections saaana
Mama yupo natural na kapendeza kweli kweli. Sio mademu wa mwendo kasi, mikope iko offside, miwigi inanukaaa. Hebu jifunzeni kwa huyu mama. nyie ni wazuri bila mikope offside na hayo makatani.
Nawashukuru sana milldy ayo kwakututembelea Nchini kwetu kalibuni Sana BURUNDI Namshukulu mama wa BURUNDI Denise nkurunziza kwa moyo uliekuwanao wakusaidia watoto hatima Mungu ukupe baraka WARUNDI WOTE TUNAKUPENDA SANA MAMA YETU
Watanzania tunaipenda Nchi ya Burundi Walundi wote ni ndugu zetu nikiwa Rais nitaanzisha programu maalumu ya kuongeza urafiki na undugu wa Burundi na Tanzania
Sisi Ndugu Burundi na Tanzania sababu kuna aina ya vitu vingi tunavyo kutania licha ya Lugha na Shirika la East África,Allah azijalie Inchi zetu afya maendeleo amani Upendo kama kawa na wazidishie afya uhai Má Rais Wetu Waheshimiwa General Never Evariste Ndayishimiye na Dr JPM,pia Mama Buntu
I would wish to give a hand in training their youth on matters of renewable energy, services and even production. There is potential. Nobody is incapable, it's just about the right mindsets.
Abarundi🇧🇮 nkanje mwemera Denise Nkurunziza tumenyane 👊
Ndagufana
Natwe abatanzania tulamweye...
@@benzenesanyofficial3841 murakoze
👍
Nashitse❤
Warundi watu safi saaana, hata ukikutana nao Nje ya nchi hawana Maringo na majivuno,
Huwajui.
Labda siyo mrundi
Warundi ni watu wazuli sana ndio Raymond Oyieko you say the truth
Nazungumzia uzoefu wangu hapa Canada, nikiwa kama Mtanzania sijawahi pata tabu na Mrundi, Waganda,Wakenya,Wazimbabwe, Wacongo, najua zipo changamoto hii ina prove sisi sio Malaika lakini naona wote wako poa tu, ila Nilichokiaona Wakenya wenyewe kwa wenyewe hawapendani kabisaa, kama ilivyo kwa Watanzania, wa Tanganyika na Wazanzibar wakikutana utasema hakuna ndugu kama hawa lakini kuna chuki kubwa saana kwa Wazanzibar dhidi ya Watanganyika nahisi mambo ya Siasa wanaleta hadi Nje ya Nchi lakini ni Watu wazuri saaana wenyewe kwa wenyewe huwa wanasaidiana kwahilo Mwenyezi awabarik, sio sisi Watanganyika huwa tunakimbiana na ukiharibikiwa ndio furaha yao, ila Wazanzibar wanapeana Connections saaana
@@ndukulusudikucho_ ni ukweli even here in Australia warundi hawana maneno mingi wako safi kabisa na Mungu azidi kuwabaliki
Mama yupo natural na kapendeza kweli kweli. Sio mademu wa mwendo kasi, mikope iko offside, miwigi inanukaaa. Hebu jifunzeni kwa huyu mama. nyie ni wazuri bila mikope offside na hayo makatani.
Sante kaka 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Hatari sana 😂😂😂😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣
Ndo nyie nyie mkitoka nje mkayaona ayo makope na makatani mnayatongoza uo ndo ukweli
Millardayo,hongera sana na nakutakia uwe na amani mema huku kwetu Burundi
Nawashukuru sana milldy ayo kwakututembelea Nchini kwetu kalibuni Sana BURUNDI Namshukulu mama wa BURUNDI Denise nkurunziza kwa moyo uliekuwanao wakusaidia watoto hatima Mungu ukupe baraka WARUNDI WOTE TUNAKUPENDA SANA MAMA YETU
Furaha ninayo kuona millard ayo kwetu Burundi sijuwi niseme nini uyu maman kwetu burundi nikipenzi cawatu Mungu amuongezeye siku zakuishi
Respect Milliard Ayo Tv kazi yenu ni nzuri sana nawapenda saaana
She speaks kiswahili 😍I really love her heart ❤️😭
Thank you
May God bless you Mama Denise Nkurunziza.
Gear za lugha zimekwama, ikaingizwa Gear ya Kirundi
Ikatokea 👏🏾👏🏾👏🏾
✊🏾🇧🇮
She is so humble and elegant
Wow! Waburundi warembo kweli kweli....huyu dada anae tafsiri ni mrembo sana
Asante
🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Mimi na warundi wote tunampenda Denise NKURUNZIZA
Hata Watanzania, tunampenda sana. Tunawapenda na Warundi wote
@@godymbanyi1878 tunawapenda zaidi❤
Love you Maman Buntu
ndashima cane Imana yaguye his wisdom
Tunakupenda sanaaa mama yetu kipenzi Mungu eendelea kukupigania😍😍😍
Waaaaoooo kuanziya leo nawapenda sana from BURUNDI
Thanks
Asante Sana Ayo TV tumeshukuru Sana kwa kwenda kumutizama muke wa rayisi wetu🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🙏🙏🙏
Maman Gikundiro,esther,Maman Buntu,...Turakwikundira muvyeyi mwiza
Naombeni namba ya uyo mkalimani sooo beautiful duuuuuuu ndagukunda chane love from kigoma tanzania
Nakubali...
AyoTv.
Karibu kwetu.
#KikiHouston
Urakundwa Maman Imana ikuzigame cane❤❤❤❤
ayo tv karibu kwetu burundi nawapa heko mumenikubalisha
Thank you Millard Ayo for coming and showing love to Burundi,
From 🇧🇮 Saudia karibu san ndug zetu wa tanzania 🙏
Iyoooo ako mana🙏🙏🙏🙏. Imana igukomeze mubyeyi mwiza!!! 🇷🇼❤️🇧🇮
Waooo Maman buntu ndagukunda abaurundi bamukunda tumenyane 🇧🇮🇧🇮🇧🇮❤️❤️❤️💞💞💞
Uburundi bwarahezagiwe cane kugira umuvyeyi mwiza nkuyu ubwacu n'umugisha munini ico twokora tumusengere buri musi imana iguhezagire Mama buntu 🇧🇮🙏🙏
Ongereni sana oyo TV kwakufika kwetu Burundi karibuni sana ilove you so much denise💕💕✌️
I'm from Zanzibar Tanzania you're my friend since 3 years ago
She is so gracious ❤️
🇧🇮 Inchi yangu Burundi 💋❤️💕💐🌹 karibuni sana kwetu Ayo Tv🌷🌹❤️
Thank you very much mumy Denise Bucumi Nkurunziza.
Imana ikongereze uburyo bwo gufasha abo batishoboye jtm Maman Bndi Imana ikongereze ni misi yo Kubaho
Yoooo😊😊😊😆urakoze cyane maman Imana iguhumugisha kd ikomeze kukwegera
Mashaallah mama Denise
Nice kadada kamtandio.
Good regional gesture of mixing contents with our neighbors from East Africa. #TresBien
Imana izaguhezagire mama wa taifa
Mungu akubariki sana Mama yetu Denise Nkurunziza . Jehovah azidi kuilaza roho ya marehemu mahala pema peponi .
Ndamukunda uyumu mama...imana iguhe umugisha
Mama wa taifa.
Kurikira pastor joel kuri Papa bitangaza tv muhabwe umugisha
Ohh naona nkurunziza umukuru wigihugu we miss you kabisa komeza denise
Спасибо большое Milliard Ayo and Ayo tv
Iyi ladio nayipenda sana mila na ayo tunawapenda sana burundi
Millard ayo
Rest In Peace #herHusband #nkurunziza
This girls speaking swahili
She.s so beautiful 😍 I swear
🙌🙌YOU HAVE MY RESPECT
Bwana yesu awabariki sana wa Tanzania
Mungu ambariki mama yetu Huyo
Vidox ebu nichukulie namba kwa huyo mrembo anayetafsiri bhana. Nimemuelewa
Millard haufananishwi kwa kutafuta habari. Keep it up!
Asanten gusikia hivo mubalikie ten
Imana ikuzigame mama wacu♥️♥️♥️
Zingine ladio zote zifunge miladi na ayo inafaaa kwakazi nzuli
Yesaa
Munguabariki wa Tanzania kwakudutembereya bwana yesu awavakiri sana karibuni tena kwetu😍😍😍😍😍😍
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇧🇮🇧🇮
Ndakwemera maman bintu
This is why l have been first line to subscribe On Millard Ayo TV since
Thank you maman Buntu and we love you soo much
Nawapenda Sanaa kwenda kwetu Bujumbura
Asante sana millardayo kufunza warundi utangazaji
Mama i thanks God who gave you strength
welcome kwetu 257
Ayo big up
Watanzania tunaipenda Nchi ya Burundi
Walundi wote ni ndugu zetu nikiwa Rais nitaanzisha programu maalumu ya kuongeza urafiki na undugu wa Burundi na Tanzania
Wow nice
Sisi tunawapenda zaidi ndugu zetu wa Tanzania❤❤❤
Sisi Ndugu Burundi na Tanzania sababu kuna aina ya vitu vingi tunavyo kutania licha ya Lugha na Shirika la East África,Allah azijalie Inchi zetu afya maendeleo amani Upendo kama kawa na wazidishie afya uhai Má Rais Wetu Waheshimiwa General Never Evariste Ndayishimiye na Dr JPM,pia Mama Buntu
😁😁😁
Wooow
R.I.P but huyo Alikuwa mzee sasa,,tuache utani amefariki akiwa bado kijana ,,Uzee unaanzia 60yrs
Kwetu sisi ni msemo wa heshima
Nampenda sana mama yangu😘
Nampendaga ☝️
ayo karibu nyumbani kwetu 🇧🇮🇧🇮
Ndamukunda cyane uyu mubyeyi
Number one oyooooo
Nawabali sana ayo tv
Mama yetu mungu akubariki
ayo tv mko poa Sana hamtoagi habari za uongo kama ma tv mengine.
Icompa tugahura muvyeyi ndagukunda cane😘
You have a good smile my sister
Good job 👍🏿
Barabara ya 13 Ulyankulu asili yao ni Burundi. Warundi kuimba injili ni kipaji chao maridhawa.
Ayo mbona hatuoni vipindi awo interview mmefanya na wasanii wa Burundi
👍
Mtangazaji uko top sana
I lava lava u Mama Denise
I like it kabsa
Oooh GaGa wakuze vrmt kiswaili safii kbs
Welcome 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🙏🙏🙏
Karibukwetu🇧🇮🇧🇮
Tunamtakia raheri na afia mzuri mama huo tena asante sana milliard ayo na mama huo aendelee kufanya kazi zake hadi inchni Tanzania..
Jaman mwenye namba ya huyo mtoto anipe kuna zawadi yake
Mtoto gani
😂😂😂
Vip nadra au ni wew nin
Ayo tv nakupenda bure
Love 🇧🇮🇧🇮🇧🇮😘😘😍
🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮Ndamwera ijana kwijan
Mama bantu uko powa Sana mama mungu akubariki 🤲
Huyu Translator Mzuri kweli very beautiful and Natural no editing no Make up Naenda kuishi Burundi Soon
Unipitie twende wote bhana. 🙈🙈🙈
You're warmly welcome bro and you will get more than enough of what you need
😦😦😦
🤣🤣karibu shemeji
@@paulalphonce5848 karibuni mashemeji
🇧🇮🇧🇮
Huyu ni mama yetu 💓💓
Shes preety
I would wish to give a hand in training their youth on matters of renewable energy, services and even production. There is potential. Nobody is incapable, it's just about the right mindsets.
Nimejikuta naelewa