Askofu msaidizi John Kiplimo Lelei wa kanisa katoliki atawazwa nyumbani kwao Uasin Gishu
HTML-код
- Опубликовано: 23 май 2024
- Sherehe ya kutawazwa kwa askofu msaidizi dayosisi ya Eldoret John Kiplimo Lelei wa kanisa katoliki inaendelea nyumbani kwao katika kanisa la St. Mary's Osorongai eneo la Kipkaren Uasin Gishu. Viongozi wakiwemo msaidizi wa rais Faruk kibet, wabuge na askofu wa kanisa katoliki Dominic Kimengich wanahudhuria...John Wanyama anaungana nasi moja kwa moja kutoka Kipkaren atufahamishe yanayojiri
Thank you Fr. Vincent Kibet for giving us updates and what to expect with regard to our new auxillary Bishop John Kiploimo Lelei ordination
Sister hajasema kitu....