Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
Safi sana mkojani gang hakika tumefrahi kuona vijanawako wa kale unakuwanao karibu huu ni mfano wa kuigwa sana kwa wasanii wote
Mkojani nakupenda sana unachekesha balaaaa😂😂😂
welcome back nagwa we always. Miss energy and strength
mpango mzima 2wende nalo naipenda hii timu mkojaaaaaan Tena maaaluni khayuuni big up
Welcome back nagwa,mkojani gang on fire
Nafurai kumuona nagwa ❤❤❤ tena Kwa mkojani
Daah kiwango kipya kiwango cha juu.Hii inaamsha soko la filamu kwa mara nyengine.Hongereni sana
🎉🎉🎉❤nawapenda wote tyuu
Nimechelewa kuanzaa shem shem ila tutaenda sawa tu naona ina balaa🔥🔥 Ngoma nagwa ndani ya nyumbaa🎉🎉
Upo vizur😅😅😅😅😅
@@PaulChiyauga sanaaa 🔥😄
Big Nagwa u're talented
Nagwa ni anakuja kuwa star Africa tunzeni hii🎉🎉
Haji Adam on 💥🔥🔥🔥 nakubali sana kazi za huyu mwamba
Wana mkojan gang tupo hii nyengine tena ,,,,wakwanza 😊😊
Nimefulah kumuona nagwa haji Adam 🔥🔥🔥🔥
I am happy to see nagwa again.
Mkojani Tanzania one miaka yote.baada ya marehemu mzee majuto.mkojani salut broo.natamani kufanya kazi na ww one day broo
Mkojan plz 🙏🙏🙏🙏 hii movie isiishe ivi ivi tuletee na chado master tumemmiss san anaekubaliana na mimi aje apa kwa like tujuane
Wakeanzaaaaaaa tatizo mkojani sahv mwishoni unaharibu
Owaaa mambo si ndo hayoooooooooo tunataka mavitu wewe oyoooooooooooooooo🤣🤣🤣🤣🤣🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Nagwa karudi gengeni mambo yatarudikuwa matam sana na kukubari sana mwambawangu nagwa ❤❤
Kazi nzuri sana
Safi sana aisee kichupa kikali
Iyo kali mkojan ❤nipo uku Mozambique
😂😂 mkojani ni GOAT 🔥
Wa kwanz mm leo like zangu 100
Oya mkojani yule muuni mungine umempeleka Wapi yule anajua kumzidi nagwa by the way love from congo🇨🇩
Mkojani naanguka nawe one love❤🎉
Wamwishoooo❤❤❤🇴🇲🔥🔥
Mkojani to the moon🎉🎉🎉
Watu mpo fastes haya me nime chelewa like kwa mkojani❤️
Salutes sana ngoma Nagwa 💪
Kaz nzr sana mashallah
Nakubali sana movie zako mkojani
dooh ongeza mkojan asee
Pamoja sana mkojani gang🎉🎉🎉
Nakubali mkojan na timu nzima
Heee Lucky / Haji
Mkojani movie zako zina kerere sana jitahd kupunguza kerere
Jamani mbona fupi sana anyway karibu sana ganster Nagwa
marjaavaan tune🎉
cool to see my BIG nagwaaaaaa
Mkojan ni mrithi wa mzee majuto
Angerud na chumvi nyngi gang ingenoga sana
Leo wa kwanza kutoka zanzbar naomba like zenu
Ngoma nagwaaaaa🙌🙌🙌
Kazi nzuri ila munatuangusha kwa dakika
Haji Adam baba wa hisia anajua sana
Mkojani Gang...Ndio kwanza tunaanza Kwa Fujo
Wakwz leo nipeni like zangu
Kendi humu nimekupenda sana
km kawaida mkojani huna baya, pole kwa kuanza na mafua
Taem mkojan tujuane 😂😂❤❤🎉🎉🎉
Unyama sana
Welcome back Ngoma Nagwa
Mmmmmmmmmh nagwa kavaaa heren jamn nagwa vua hizo
Mkojani Ahsante kaka Niko London Nakufuatilia
tuko pamoja sana kaka mkojani
Naitwa miraji mussa chambo nimeipenda
Hakika hapa mmetufrahisha mafansi wenu
Mtanga🔥🔥🔥
Nagwaaaa is back hongera
Pambe🙌🔥🔥🔥🔥
Mkojani nakukubali
❤❤❤❤❤haya mambo yameanza
Hvi wewe unae angalia unaamini mkojani anachekesha sanaa 😂😂😂😂like ikiwa kwel
Dah so kakosekana mwanangu samofi tu
Mchumba kasebenzaa😂😂😂✋✋ Nagwa hana mpinzani welcome back
Wakwanza leo naomba like basi
NAGWA UNAPENDEZA SANA UKIWA MKOJANI GANGA
Pole sanaaaa nagwaaa😢😢
Mwanamme anavaa hirini uwo niufala Nagwa
nakubali mkojani
Nagwa anaweza
Big up kundi letu pendwa🎉
Wamwisho mimi ila nahomba like 10 tu wana mkojani gang
🤣🤣 ng'ooombe hunijuuuii
Mkojan m timu yak nawakubal sana ila naomba pleas tuongezee dakika jamn 9 kwer mmezd kutubania bando lenyewe la mchong jamn
Yaan nagwa mhuni kweli hicho ki beg😂😂😂😂😂😂😂
We kuweza 😂😂😂
Dakika chache
Mkojani apo kwa vurugo ndo wataka😂😂😂😂😂😂😂huwez tulia
Ngoj nichek
❤ one love mkojani gang ❤
Mkojani pole kwa homa 😂😂😂🎉🎉🎉🎉
A, from Oman hahahhahah❤we kuweza 😂😂😂Hii imeenda
Namkubal sana 26 nagwa wana man
Mkojani una mafua🤣🤣🤣🤣🤣🤣
mkojani bin darwesh bin tarbush
Nagwa karibu tena nyumbani
Dah m nagwa akiigiza kaachwa huwa ananiliza sana😢😢😢
Hii kali wanangu wa bongo movie like mhimu
Nagwa kipaji kikubwa sana
Kado kazi anayo😂😂😂
daaah mapenzi nuksi mchizipoti analilia mapenzi saluti nagwa boy
Haji Adam amefulia anashirikishwa comedy
Tulia wewe kafulia na nini sasa
Nagwa welcome again in Mkojani gang
😂😂😂😂😂😂😂😂mkojani miaka 100 baba😂😂😂❤❤❤❤🎉
💪💪💪
magolide mijino 32 ndo magaidi akibisha mtiee doleeee
Mkojani gang nagwa team
Safi sana mkojani gang hakika tumefrahi kuona vijanawako wa kale unakuwanao karibu huu ni mfano wa kuigwa sana kwa wasanii wote
Mkojani nakupenda sana unachekesha balaaaa😂😂😂
welcome back nagwa we always. Miss energy and strength
mpango mzima 2wende nalo naipenda hii timu mkojaaaaaan Tena maaaluni khayuuni big up
Welcome back nagwa,mkojani gang on fire
Nafurai kumuona nagwa ❤❤❤ tena Kwa mkojani
Daah kiwango kipya kiwango cha juu.Hii inaamsha soko la filamu kwa mara nyengine.Hongereni sana
🎉🎉🎉❤nawapenda wote tyuu
Nimechelewa kuanzaa shem shem ila tutaenda sawa tu naona ina balaa🔥🔥
Ngoma nagwa ndani ya nyumbaa🎉🎉
Upo vizur😅😅😅😅😅
@@PaulChiyauga sanaaa 🔥😄
Big Nagwa u're talented
Nagwa ni anakuja kuwa star Africa tunzeni hii🎉🎉
Haji Adam on 💥🔥🔥🔥 nakubali sana kazi za huyu mwamba
Wana mkojan gang tupo hii nyengine tena ,,,,wakwanza 😊😊
Nimefulah kumuona nagwa haji Adam 🔥🔥🔥🔥
I am happy to see nagwa again.
Mkojani Tanzania one miaka yote.baada ya marehemu mzee majuto.mkojani salut broo.natamani kufanya kazi na ww one day broo
Mkojan plz 🙏🙏🙏🙏 hii movie isiishe ivi ivi tuletee na chado master tumemmiss san anaekubaliana na mimi aje apa kwa like tujuane
Wakeanzaaaaaaa tatizo mkojani sahv mwishoni unaharibu
Owaaa mambo si ndo hayoooooooooo tunataka mavitu wewe oyoooooooooooooooo🤣🤣🤣🤣🤣🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Nagwa karudi gengeni mambo yatarudikuwa matam sana na kukubari sana mwambawangu nagwa ❤❤
Kazi nzuri sana
Safi sana aisee kichupa kikali
Iyo kali mkojan ❤nipo uku Mozambique
😂😂 mkojani ni GOAT 🔥
Wa kwanz mm leo like zangu 100
Oya mkojani yule muuni mungine umempeleka Wapi yule anajua kumzidi nagwa by the way love from congo🇨🇩
Mkojani naanguka nawe one love❤🎉
Wamwishoooo❤❤❤🇴🇲🔥🔥
Mkojani to the moon🎉🎉🎉
Watu mpo fastes haya me nime chelewa like kwa mkojani❤️
Salutes sana ngoma Nagwa 💪
Kaz nzr sana mashallah
Nakubali sana movie zako mkojani
dooh ongeza mkojan asee
Pamoja sana mkojani gang🎉🎉🎉
Nakubali mkojan na timu nzima
Heee Lucky / Haji
Mkojani movie zako zina kerere sana jitahd kupunguza kerere
Jamani mbona fupi sana anyway karibu sana ganster Nagwa
marjaavaan tune🎉
cool to see my BIG nagwaaaaaa
Mkojan ni mrithi wa mzee majuto
Angerud na chumvi nyngi gang ingenoga sana
Leo wa kwanza kutoka zanzbar naomba like zenu
Ngoma nagwaaaaa🙌🙌🙌
Kazi nzuri ila munatuangusha kwa dakika
Haji Adam baba wa hisia anajua sana
Mkojani Gang...Ndio kwanza tunaanza Kwa Fujo
Wakwz leo nipeni like zangu
Kendi humu nimekupenda sana
km kawaida mkojani huna baya, pole kwa kuanza na mafua
Taem mkojan tujuane 😂😂❤❤🎉🎉🎉
Unyama sana
Welcome back Ngoma Nagwa
Mmmmmmmmmh nagwa kavaaa heren jamn nagwa vua hizo
Mkojani Ahsante kaka Niko London Nakufuatilia
tuko pamoja sana kaka mkojani
Naitwa miraji mussa chambo nimeipenda
Hakika hapa mmetufrahisha mafansi wenu
Mtanga🔥🔥🔥
Nagwaaaa is back hongera
Pambe🙌🔥🔥🔥🔥
Mkojani nakukubali
❤❤❤❤❤haya mambo yameanza
Hvi wewe unae angalia unaamini mkojani anachekesha sanaa 😂😂😂😂like ikiwa kwel
Dah so kakosekana mwanangu samofi tu
Mchumba kasebenzaa😂😂😂✋✋ Nagwa hana mpinzani welcome back
Wakwanza leo naomba like basi
NAGWA UNAPENDEZA SANA UKIWA MKOJANI GANGA
Pole sanaaaa nagwaaa😢😢
Mwanamme anavaa hirini uwo niufala Nagwa
nakubali mkojani
Nagwa anaweza
Big up kundi letu pendwa🎉
Wamwisho mimi ila nahomba like 10 tu wana mkojani gang
🤣🤣 ng'ooombe hunijuuuii
Mkojan m timu yak nawakubal sana ila naomba pleas tuongezee dakika jamn 9 kwer mmezd kutubania bando lenyewe la mchong jamn
Yaan nagwa mhuni kweli hicho ki beg😂😂😂😂😂😂😂
We kuweza 😂😂😂
Dakika chache
Mkojani apo kwa vurugo ndo wataka😂😂😂😂😂😂😂huwez tulia
Ngoj nichek
❤ one love mkojani gang ❤
Mkojani pole kwa homa 😂😂😂🎉🎉🎉🎉
A, from Oman hahahhahah❤we kuweza 😂😂😂Hii imeenda
Namkubal sana 26 nagwa wana man
Mkojani una mafua🤣🤣🤣🤣🤣🤣
mkojani bin darwesh bin tarbush
Nagwa karibu tena nyumbani
Dah m nagwa akiigiza kaachwa huwa ananiliza sana😢😢😢
Hii kali wanangu wa bongo movie like mhimu
Nagwa kipaji kikubwa sana
Kado kazi anayo😂😂😂
daaah mapenzi nuksi mchizipoti analilia mapenzi saluti nagwa boy
Haji Adam amefulia anashirikishwa comedy
Tulia wewe kafulia na nini sasa
Nagwa welcome again in Mkojani gang
😂😂😂😂😂😂😂😂mkojani miaka 100 baba😂😂😂❤❤❤❤🎉
💪💪💪
magolide mijino 32 ndo magaidi akibisha mtiee doleeee
Mkojani gang nagwa team