Goodluck Gozbert -Tutaonana Tena (Tribute Song)
HTML-код
- Опубликовано: 28 фев 2019
- Watch Goodluck Gozbert New EP "Ushindi": • Goodluck Gozbert - Kin...
Follow Goodluck Gozbert
Instagram: goodluckgoz...
Subscribe to RUclips Channel: / @gozbertministries
a#goodluckgozbert
#TutaonanaTena #NgommaTZ
Hakika Wanadamu Tu, Maua....Bwana Ametoa naye Imempendeza Urudi Kwake_#NendaRafikiYangu
-In Memory of My Beloved Friend Ruge Mutahaba
©2019 Administered by Ngomma VAS Limited. - Видеоклипы
Mungu nijaalie mwisho mwema na wote wanaosoma comment hii
Amina
Akujalie
Pumzika kwa amani Balozi John Kijazi, na wote waliotangulia mbele za haki.
Amin
Amen
Daaah nimerudii 2024 😢😭😔 i miss u my mommy 💔
Hugs❤ to chira rest in peace😭
Ee Mwenyezi Mungu nipe subra wakati huu mgumu, lala salama mwanangu kipenzi😢😢
Tuliojua huu wimbo baada ya kifo cha raisi wetu wa wanyonge JOHN POMBE MAGUFILI.. like na tujiunge katika kumuombea MUNGU AIPOKEE ROHO YAKE..
Mm hapa dear.
Hata mm
Alitungiwaga ruge ni nyimbo nzuri kupita kiasi
pia mimi
Mungu ampe kauli sabiti raisi wetu
Mom I just turned 22 and it's almost three years since you left your beautiful daughters in this troubled world 😭 but we are working hard to mend where you didn't manage. Our Almighty has been our guide.
Sending you my love and hugs 😢❤
May God continue giving you comfort
Vizr uwaga avidumu kabisa 😢😢nimelia snaa nimemkumbuka mchumbaa wangu daaah inauma snaa 😢😢
Niko hapa kwa ajiri ya rais wa wanyonge rest in peace magufuli
Pumzika kwa Amani Baba mbeba maono ya Tanzania Mheshimiwa Dr John Pombe Joseph Maghufuli Tunamshukur Mungu kwa zawadi ya maisha yako hapa duniani had alipokuchukua ulikuwa kama malaika kweny namna ya mwanadamu,, Tanzania, Africa na dunia kwa ujumla tunakulilia sanaa
😭😭😭🙏🙏
😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😮😢😮😮😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😮😮😢😢😢😢😢😢
Ewe mungu nakuomba uniongoze katika njia salama niepushe na mabaya kama unamini mungu yupo commet hapa mashaallah
Ee mungu nisaidie nimalize mwendo salama pamoja na huyu anayesoma comments.
😭😭😭😭😭😭😭😭😭 RIP Rais wetu, tutaonana Tena 😭😭😭😭😭
Pumzika kwa amani Raisi Magufuri RIP MUNGU tupefaraja Watanzania tutaonana Tena Raisi Magufuri
My Heart is bleeding for our fallen Hero Mr.Kelvin Kiptum ....although i never knew you in person, it hurts like i did. Dance with angels champion😥😥😥😥😥
God let your grace be sufficient ❤
Niko hapa kuomboleza kifo cha raisi wetu mpendwaa
JoHN POMBE MAGUFULI
Mungu tutie nguvu watanzania.
🇹🇿🇹🇿🇹🇿😭😭
😭😭😭😭😭😭
Kabisa From Burundi
😔🥹💔 nipo hapa after kifo cha Gardner 💔🙇♀️😔
Yani mimi ndio kwanza nafaham kwamba kaimba yeye 😢❤❤❤❤😊
R. I. P my President Magufuli. I can't stop crying on you daddy 😭🇹🇿
Ooooh my President. Cant stop crying JPM. But why father. Soo sad.
Mungu nijalie mwisho mwema,ni wewe tu hAkuna mwingine anayeweza,na wote wanaosikiliza wimbo huu 🙏
kifo cha rais wangu kimenifanya nije kusikiliza huu wimbo umeandika godluck umeandika mwambaa umeandika mjumbe wa Mungu R.I.P MAGUFULI
Tutaonana tena
The man l will never forget is my president magufuli
Rest in peace kipenzi changu yasin
Nina imani tutaonana tena 🕊️♥️
Mwenyezi MUNGU akupunguzie adhabu ya kaburi 🙏
Pumzika kwa anani kipenzi cha watanzania magufuri..😭😭😭
R.I.p my lovely mama,ninakukumbuka kila iitwapoleo pengo lako halizibiki mama hakuna wakukufananisha nae,upendo wako ndo ulikua halisi kwangu nasikitika sana mama yangu sitaisahau terehe 23,24,25 January,2005 zilikua siku ngumu na mbaya kwangu mungu akupumzishe kwa amani na mwanga wa milele akuangazie nakupenda mama yangu nakupenda sana aaàa
Jaman mungu atupe maisha malefu man nyimbo😭😭😭san mtu alienguswa naiyi nyimbo aweka lake🧠🤝🏿
Kwakweli nimesikiliza nyimbo zote za msiba ila huu ni moja ya the best ever song umekamilika jamani MUNGU NIPE MWISHO MWEMA DAAAA 😭😭😭😭😭😭😭
Daaaaah huu wimbo unagusa sana mioyo ya watu R.i.p our president 😭😭😭😭😭💔💔
𝑼𝒎𝒆𝒏𝒊𝒈𝒖𝒔𝒂 𝒔𝒂𝒏𝒂 𝒉𝒖𝒖 𝒘𝒊𝒎𝒃𝒐
Wimbo huu umfikie Baba angu kipenzi alie tangulia mbele za haki nakukumbuka sana baba mimi mwanao
Amin
RIP baba ubaya menilad nakukumbuka daima😭😭😭😭😭😭
Pole sana
Hugs 🫂
Mungu akutangulie huko ulipo Rais wetu tutakukumbuka Daima baba yetu😭😭😭😭🙏🙏🙏
Huu wimbo nausikiliza kwa mara ya kwanza kutokana na msiba wa raisi Magufuli. Umekuwa kama ndio official song kwa ajili ya msiba huu. Very well composed.
Very well composed💯💯💯
Fare thee well Mheshimiwa Rais Magufuli. You did your best for your country and your people. You had your weaknesses, like all human beings, but you were a patriot and a good man. Proud of you! Rest easy Magufuli.
Kama unaamini nyimbo ya mtu mmoja G.gozbet imefunika hisia za wa Tz wotee. weka like hapa👎👎👎
Ngindoland To. Nakupenda sana mama angu pumzika kwa amani .tutaonana tena mama
Kanuda Sasi Ameen mungu ataweka Barakha na nguvu kwenye Mioyo yetu.
Namkubali Sana Tena Sana Mr God luck
Imeniumiz sn
Kali sana hii
Rip Dr.philip Munyao Munyambu❤may God grant you eternal peace
Tutaonana tena kipenzi changu hata kama uko mbali na mm jua nakukumbuka sana kipenzi❤😭😭😭😭
Nimerudi kuusikiliza huu wimbo baada ya kumpoteza clamate wangu wa chuo, mpole, hakua na neno na mtu ni yeye na mambo yake mkikutana tabasamu salamu😢😢😢😢. Rest In Peace. Neema Mzena, tutaonana tena😢😢😢😢
I miss you mama mungu akupunguzie adhabu za kaburi inshallah
😢 My mom too has been a very long time without saw her
I'm here mourning the death of World record holder in Marathon Kelvin Kiptum ,rest well Kelvin 🇰🇪🇰🇪 Kenya is mourning, the world is mourning,you've left an incredible legacy
Have come here too
Where is your sting! Oh death!
Continue R. I. P My hubby - Charles Johnstone Machiwa, My twin Sister - Mercy Wanjiru Mwanga and My beloved brother - Boney Abdul Razak.
You guys left a void never to be filled up.
Watoto wote wamekuwa.
I thank God.
Tuonane bandarini kule ya Baba Mungu.
Amina
R. I.P dr john pombe magufuli kweli duniani tunapita tu 😢🙏
I remember you my mother Paulina Tibelinda(R.I.P)
Nimejikuta adi namkumbuka Maguful daah 😭😭😭😭😭😭
Just imagine nimepitia uku leo Mungu atujalie viongozi wengi kam alivyokua Mzee Magu.. RIP mtetezi wa wanyonge
Mwenyezi Mumgu azidi kumuweka salama Rais wetu mpendwa Magufuli..Hakika tulimpenda sana..kila page ninayopita wananchi wanamlilia magufuli,kila video ninayoangalia watu wanalia kuondokewa na Magufuli,Hakika alikuwa kiongozi wa Watu na sio Mtu..tuendelee kumuombea huko aliko,azidi kupumzika kwa amani.
Mungu atujalie mwisho mwema tunao mwamini japo tunaangua huovuni mara kwa mara
Nipo hapa kuomboleza kifo ch rais wangu jpm pumzika kwa amani babaangu , hakika tumejivunia sana uwepo wako , matumain yetu tutaonana ten kw mungu 😭 always we love you baba
Daah huu wimbo niseme tu unanipa hisia zaid za mpendwa wetu..🙏🙏
😤😤😤😤😤
Daaah ...!!!! Huu ni mpango wa MUNGU ambao binadamu hawezii kuzuia kabisaaaaaa . Tutaonana tena kijana wa Afrika , the President of Africa ....! 😢😢😢😢😢😢😢😢😢
R.I.P magufuli kama umeuzunishwa km mtanzania mwenzangu shusha like yako
😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
😭😭😭😭😭😭 so sad
Duniani utnapita eheeeeee mungu tusaidie 😭😭😭😭😭😭😭😭
Daah Hadi Leo Bado napata Huzuni Sana, nikimkumbuka
O my God my beloved make us to meet him in heaven,honestly he was the greatest president who made all Tanzanian to feel we are equal
Nakumbuka sana president mwinyi na mkapa na jpm
Amen, Wimbo HUU haiishi kunitowa machozi kila NIKISIKILIZA , Namkumbuka Mamaangu ,Mungu aendelee kumpumzusha KWA AMANI Amina, asantee Mungu KWAAJILI ya MAISHA yakee tuliyoishi nae hapa Duniani aminaaaa
Lost my paternal aunt yesterday 😭😭😭she has joined my dad, mum and my sister. May their souls rest in eternal peace 🙏🙏🙏
May their soul rest in peace ❤️
Take heart my dia
😭😭take heart
May her soul rest in peace even my aunty is dead from a car acciedent
😢
Siamini kama ndo Nasikiliza tena kwa Ajili Jemedari Wa Bwana wa Majeshi Aliyetutoka Hapa Duniani @Prophet TB JOSHUA May your Soul Rest in Paradise Man of God #Mwendo Umeumaliza #12 June 1963 up to #5 June 2021😭 R.I.P #Tutaonana tena 🙏
Daah My president JPM😭😭😭 Rest in peace my president. 1day we will meet again 😭😭😭
Wimbo huu umenigusa Nimemkumbuka mama yangu aliniacha nikiwa Mdogo Angekuwepo mama ningejivunia na Mimi kuwa na mama Tutaonana mama ashukuliwe Mungu atufalijiaye tuliaye
Da atamimi umwimbo ninamkumbuka mama yangu mama
Pole sana
😭😭😭😭bi huzun kwa kweli msiba cyo kitu you kuzoeleka
𝑫𝒂𝒂𝒉𝒉𝒉 𝒑𝒐𝒍𝒆 𝒔𝒂𝒏𝒂
@@hothumandaudi2989 𝒑𝒐𝒍𝒆 𝒔𝒂𝒏𝒂
Tutaonana tena baba. Mungu nijalie nifike nyumbani kwako Mbinguni 😭😭😭😭
Niko hapa n omboleza kifo cha mamangu rip.mum😢😢😢
Namkumbuka mdogo wangu vicent aisee kufiwa usikie kwa jirani 😭😭
Naskiliza kwa Mara nyengine baada ya kifo cha Rsis Magufuli
😭😭😭😭😭
Waaa unajikut walia pkee yko , kazi ya mungu sisi hatum LA kufany zaid ya kumuomb
Nakukubali sana G. gozbet hii ngoma ni hatari
Wimbo wangu wa mwaka baada ya kumpoteza shangazi 1/10/2020 na baba yangu 17/11/2020 Namshukru Mungu kwa yote🙏🙏🙏🙏
Pole sana dr
Dad you just left me so soon😭😭I miss you already dad am sure wherever you are ,,you very happy and fine .I love you daddy 😭😭😭
So sorry 🫂
Jina la Bwana Mungu lihimidiwe sikuzote ......
Hakika Mungu ni Mungu tu na atabaki kuwa Mungu...
Barikiwa Sana Good lucky kwa nyimbo hii yamaombolezo japo inaliza lakin iko vzr
Pumzika kwa amani wazazi wangu baba na mama pamoja na babu yangu mungu awape mapumziko ya milele huu wimbo umenifanya nilie sana dah hakuna kitu kigumu kama kuishi bila ya wazazi😭😭😭😭😭😭😭😭
Pole
😭😭😭😭
Pole sana mpendwa
Poleee dear 💖
I can feel your pain
when i listen to this song, i break when i remember my grandmother and Uncle Nick. May they continue resting in peace
RIP my only and ever presdent John Pombe Magufuli umetuachia machungu sana , nchi sasa haina mbele wala nyumban...tanzania ya sasa n ya matajiri maskn asubr kwanza ooohh baba nenda salama , kama kuna mkono wowote ulihusika kumuondoa mfalme wetu na ulaniwe mkono ule
Dad and mum..I am here mourning your deaths. It is a miracle that I just turned 32 years 3 days ago and by God's grace I have a beautiful daughter that is also turning 6 this September. When by bad luck she ask me one day how you like then I might fail to give her the accurate response since I never saw anyone of you.
I feel your bro let their souls rest easy😢😢
Wenye power ya Media huu wimbo mngeupa nguvu ya kufariji angalau apatkane mtu wa kumuangalia hasa linapotokea suala la kufariji kama ilivokua kwa komba huko nyuma.. tusiwaze pesa tu kwenye hali ya majonzi kama hii. #NilikupendaNinakupendaNitakupendaMagu
R.I.P Mom & Daddy its been more than 20 years still i remember you😭💔💔💔
Namkumbuka mzee wangu.. R.I.P daddy !!
Lost my dear son on sunday, tutaonana tena champion,mummy will miss u dearly
Polee
Yaan uu wimbo nimeumia sana
Ooh dear GOD help us to finish the race with u give us courage n strength our heavenly FATHER, Rest in peace our African hero magufuli for sure tutaonana God bless Tanzania, God bless Africa 🇰🇪🇰🇪
Exactly one month since my son was laid to rest. I feel weak and useless. God heal my soul. Tutaonana tena mwanangu 😭😭😭😭😭💔🕊️
Pole kwa kumpoteza mwanao,kila jambo Mwenyezi Mungu analifanya kwa sababu..yeye alikupa na ndie aliyechukua..tuendelee kumuomba azidi atufanikishie yale yote mazuri aliyokusudia juu yetu..R.I.P mtoto mzuri 😢
Pole, sana Mungu akutie nguvu
Sorry for your loss 😢
Rest in peace mamaaa ...Grace Njeri Kamau
Jehova tujalie mwisho mwemaaaaaa......
Kila nikiisikiliza hii nyimbo nashindwa kuzuia machozi😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Kazi ya Mungu haina makosa. Poleni ndugu zangu watanzania..May his soul Rip.
Mungu nijalie mwisho mwema coz cjui saa wala dk lin utaniita, yote kwa yote nitakuona tena my mom
Mungu tukumbuke siku zote daima
It is painful but we have no control 😭😭😭😭😭 In loving memory of Nyandira Cain Meng'anyi. Rest easy legend . Tunawaombea ndugu zetu wote . Pumzikeni Kwa amani.
Mungu atupe mwisho mwema 🙏🙏
R.I.P SHUJAA WETU😭😭😭
Allah atujaalie mwisho mwema sote tuliobaki njia yetu ni moja
Mwenyezi MUNGU nakusihi kwa rehema unisamehe mm na family yangu 'utubariki xku zote za maisha yetu tukawe na mwisho Mwema.
Mom, 23rd August 2018. Dad, 18th Nov 2023. May your souls rest in peace. We ill surely meet again.
See you again my lovely president Magufuli 😢😢
Asante kwa kutufariji mwimbo mzuri sanaa.
Mungu wa mbinguni utuonyeshe njia iloyo sahii make kila nafsi itaonja mauti
Mungu wangu Poleni Sana. Wagapi wame liya nahi song ❤️❤️😭😭😭😭😭😭
Wengi tumelia
Ndio
jeanne kabwa huu wimbo unatia uzuni sanaaaa
Edwin Ilomo yooo Pole Sana Mimi pia
Ndio kabisaa
REST IN PEACE PRESIDENT MAGUFULI😢😢😢
Fare thee well Sam... Safiri rafiki.. Ndugu safiri salama
R I P mwanangu kipenziiiiii uliniacha wakati najifungua utuombee .... Namshukuru mungu hakuchelew kunifuta machozi amen
I just lost my one close friend and this song...has really given me strength to mourn him😭😭😭😭😭
Pole sana mungu akupe nguvu kuhimili kipindi kizito unachopitia
Same here❤
Our president r.i.p dady we love u...😭😭😭😭😭
😭😭😭😭 pumzika jembe la Tanzania ningumu Kuku sahau
Tutaonana Tena mungu nijaliye mwisho mwema
Daaah huu wimbo unaleta machozi kabisa😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Gozbert huu wimbo unanikumbusha rafiki zangu wote waliotangulia... Kelvin Mwambwelwa, Jackline Joachim, Himatwaha Cngam... Tutaonana tena hakika
Pole sana dr
@@doricekadushi3924 Thanks 🙏
Rip mama… i love u so very much! Moyo wangu bado umepasuka vipande vipande
Majira haya machungu ya kumpoteza Rais wetu JPM... Najua tutaonana tena 😭💔
Daaaah 😭😭😭😭😭
Tutaonana tena .. MAGUFULI Nenda Baba Nenda , Safari umeimaliza salama. Byee Baba yetu hatutakuona tena.. POLENI WATANZANIA WENZANGU , its hard to believe... Daaaah
R.I.P JPM kipenzi cha Watanzania wa hali ya chini. Bado twakupenda Baba
Asante MUNGU wangu kwa kila kitu ajiri yetu binadam tusio kuwa na fadhira lakini wazidi kutubaliki