Vituko vya wizi No.2

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024
  • #zanzibar #pemba #pembaComedy

Комментарии • 36

  • @bimuabdallah9083
    @bimuabdallah9083 Год назад

    Babu waharibu nimemkuta nakarafuu au nnakuta nakarafuu usichanganye kipemba ndo tukitakacho

  • @ggohf7004
    @ggohf7004 6 месяцев назад

    Tuwamiss jamani mbona mpo kimya sana

  • @abdulazizimohd4230
    @abdulazizimohd4230 11 месяцев назад

    Mbona hatuoni vitu vipya awa jamaaa

  • @khudhaimambwana2639
    @khudhaimambwana2639 Год назад

    Karafuu pemba

  • @zubeirsalum128
    @zubeirsalum128 3 года назад +1

    Kwaja watu tena kundi kubwa

  • @zanwisetz
    @zanwisetz 3 года назад +1

    Tupo pamoja tunawasapoti kazi zenu

  • @hemedbinhemed
    @hemedbinhemed 3 года назад +2

    Kazi nzuri

  • @takdirmahmoud
    @takdirmahmoud 3 года назад

    Mnaweza but Ongezeni bidii,, mtafika mbali

  • @salumukhamis2066
    @salumukhamis2066 2 года назад

    Good job Allah atuwongoze inshallah

  • @alinassor391
    @alinassor391 3 года назад

    Chongoe na timu yako kuweni serious ktk kz zenu

  • @safiasafiahamad4276
    @safiasafiahamad4276 2 года назад

    Mbona stori zenu mbaya

  • @barghashally7791
    @barghashally7791 2 года назад

    Maashallh

  • @hemedmedy693
    @hemedmedy693 3 года назад

    Huyo aliekabidhiwa mikarafuu kachemka

  • @imash04tv20
    @imash04tv20 3 года назад

    hapo mnatakiwa mujitahidi kwenye kutengeneza stori maana naona zinajigongagonga kwa mfano mwanzo wa mchezo kijana kanamsimamisha mzee kwa heshima na inatafsirika kwamba wanajuana lkn aliposimamishwa yy kijana hapohapo kanaanza kukasiriki na kusema ww mzee nn,? sasa mlisahau hapo mwanzo mmeanza kwa udugu na urafiki,? alitakiwa kijana aitikie kwa heshma bila ya kumjibu kwa sauti na kejeli halafu aanze kufikiria huyu mzee ameniitia nn au kashanigundua kama nna karafuu baada ya kuja kwenye wito hapo ndio ifuatie kama kumchenjia kukasirika au kumpotezea na yy kuendelea na safari yake na washauri muwe makini sana katika kuekti kabla ya kufikisha ujumbe kwani mtakapojipanga vzr ndipo watu watakapoupokea vzr lkni ikiwa haufahamiki mnaanza kulose na mapema na hatimae kufeli na hatutak iwe hivyo

    • @zfc_film_Production
      @zfc_film_Production  3 года назад

      asante kwa maoni yako tutajitahidi kuzalisha kazi zenye ubora, umeangalia video zengine pia ,usisau kulike video zetu🤝

    • @imash04tv20
      @imash04tv20 3 года назад

      @@zfc_film_Production tengeza vitu vizr like zitakuja tu

    • @maryammbarouk2655
      @maryammbarouk2655 2 года назад

      Kwelii ynii unafaaa kuwaa dairtaa yanii

  • @samerjunior2158
    @samerjunior2158 3 года назад

    Mara hii karafuu gumzo pemba kumenoga

  • @ibrahimrashid7017
    @ibrahimrashid7017 2 года назад

    Vipaji munavo pemba

  • @takdirmahmoud
    @takdirmahmoud 3 года назад

    Mnajitahidi, Mashaallah

  • @idarousally4104
    @idarousally4104 3 года назад

    Kazi nzur wana kazeni mtatoboa

  • @maryamabdullah9169
    @maryamabdullah9169 3 года назад

    Mbele geuka hahaaaaa nyuma kimbiyaaa

  • @saidmohd7914
    @saidmohd7914 3 года назад

    big up mashllah

  • @kitaaofficial4119
    @kitaaofficial4119 3 года назад

    🔥👍Good job!