hapo mnatakiwa mujitahidi kwenye kutengeneza stori maana naona zinajigongagonga kwa mfano mwanzo wa mchezo kijana kanamsimamisha mzee kwa heshima na inatafsirika kwamba wanajuana lkn aliposimamishwa yy kijana hapohapo kanaanza kukasiriki na kusema ww mzee nn,? sasa mlisahau hapo mwanzo mmeanza kwa udugu na urafiki,? alitakiwa kijana aitikie kwa heshma bila ya kumjibu kwa sauti na kejeli halafu aanze kufikiria huyu mzee ameniitia nn au kashanigundua kama nna karafuu baada ya kuja kwenye wito hapo ndio ifuatie kama kumchenjia kukasirika au kumpotezea na yy kuendelea na safari yake na washauri muwe makini sana katika kuekti kabla ya kufikisha ujumbe kwani mtakapojipanga vzr ndipo watu watakapoupokea vzr lkni ikiwa haufahamiki mnaanza kulose na mapema na hatimae kufeli na hatutak iwe hivyo
Babu waharibu nimemkuta nakarafuu au nnakuta nakarafuu usichanganye kipemba ndo tukitakacho
asnte 😀
Tuwamiss jamani mbona mpo kimya sana
Mbona hatuoni vitu vipya awa jamaaa
Karafuu pemba
Kwaja watu tena kundi kubwa
Tupo pamoja tunawasapoti kazi zenu
karibu pba
Kazi nzuri
pamoj
Mnaweza but Ongezeni bidii,, mtafika mbali
Good job Allah atuwongoze inshallah
Chongoe na timu yako kuweni serious ktk kz zenu
Mbona stori zenu mbaya
Maashallh
Huyo aliekabidhiwa mikarafuu kachemka
😀
hapo mnatakiwa mujitahidi kwenye kutengeneza stori maana naona zinajigongagonga kwa mfano mwanzo wa mchezo kijana kanamsimamisha mzee kwa heshima na inatafsirika kwamba wanajuana lkn aliposimamishwa yy kijana hapohapo kanaanza kukasiriki na kusema ww mzee nn,? sasa mlisahau hapo mwanzo mmeanza kwa udugu na urafiki,? alitakiwa kijana aitikie kwa heshma bila ya kumjibu kwa sauti na kejeli halafu aanze kufikiria huyu mzee ameniitia nn au kashanigundua kama nna karafuu baada ya kuja kwenye wito hapo ndio ifuatie kama kumchenjia kukasirika au kumpotezea na yy kuendelea na safari yake na washauri muwe makini sana katika kuekti kabla ya kufikisha ujumbe kwani mtakapojipanga vzr ndipo watu watakapoupokea vzr lkni ikiwa haufahamiki mnaanza kulose na mapema na hatimae kufeli na hatutak iwe hivyo
asante kwa maoni yako tutajitahidi kuzalisha kazi zenye ubora, umeangalia video zengine pia ,usisau kulike video zetu🤝
@@zfc_film_Production tengeza vitu vizr like zitakuja tu
Kwelii ynii unafaaa kuwaa dairtaa yanii
Mara hii karafuu gumzo pemba kumenoga
pamoja
Vipaji munavo pemba
Mnajitahidi, Mashaallah
pamoja sana tafadhali subscribe na like video zetu
Kazi nzur wana kazeni mtatoboa
pamoj
Mbele geuka hahaaaaa nyuma kimbiyaaa
🤣
Nimeikubali hii saf sana
Daima mbele nyuma mwiko nawapongeza kwa kazi nzr
big up mashllah
pamoja
🔥👍Good job!
pamoja