Shekh wangu bachu tupo pamoja lakini hapa sikuungi mkono, kuibeza sunnah ya bwana mtume, kuna makemeo makali ya kuvaa isbal sasa hapa kusema sunnah so kuvaa kanzu fupi au kuweka ndevu umeibeza sunnah ya bwana mtume alowasisitiza watu wavae nus faki, hapo shkh umeteleza sikuungi mkono nguo ndevu, mtume kasema Allah atowatazama watu wa ainahiyo siku ya kiama
Kwa uwelewa wangu mm hajamanisha hivyo ambavyo umelewa wew yeye kakusudia kuwambia baadhi ya watu wanaofuga ndevu na kuvaa kazu fupi wakajiona tayari washamaliza sunna zote za mtume kuna na mengine tuendeleze kuzifanya sunna nyengine tusibaakie kwenye kanzu fupi na kufuga ndevu tu kwa uoni wangu samahan lkn km nitakuwa nimekuelewesha vibaya
Wajna leo sasa ndio umetoa da'awa ambayo kila muislamu akiisikiliza anachota jambo kutoka ktk maneno uliozungumza, dawa ya leo sio ya kiwahabi tu bali ni ya kila muislamu
UMEANZA KUSIFIWA NA WENZAKO SASA,HIYO NDIO MANHAJI YAKO KUKEJELI SUNNA ZA MTUME SALA NA SALAAM ZIWE JUU YAKE KWA KICHWA CHA HABARI TU,HAITOSHI KUHAMASOSHA WATU WATEKELEZE SUNNA ZINGINE BILA KUZIBEZA HIZO? UMEHARIBIKIWA KIMANHAJI,HUNA PAKUSHIKA UUNARUKARUKA TU.
@@NuryaMusa ufahamu na ushindani ndio shida ya mawahabi wanavyofahamu ndio hivohivo ukija na njia nyengine wanakwambia wwewe ni wa motoni wewe ni ukubali usiwapinge ndio muelewane mawahabi
kama umeshindwa kuweka ndevi,na inaonekana wewe hupendi kufuga ndevu!!kufuga ndevu kupunguza nguo zidiburuze (isbaaal)ni ktk sunnah za mtume صلى الله عليه وسلم
Jazakallahu kheir sheikh
Shekh wangu bachu tupo pamoja lakini hapa sikuungi mkono, kuibeza sunnah ya bwana mtume, kuna makemeo makali ya kuvaa isbal sasa hapa kusema sunnah so kuvaa kanzu fupi au kuweka ndevu umeibeza sunnah ya bwana mtume alowasisitiza watu wavae nus faki, hapo shkh umeteleza sikuungi mkono nguo ndevu, mtume kasema Allah atowatazama watu wa ainahiyo siku ya kiama
Kwa uwelewa wangu mm hajamanisha hivyo ambavyo umelewa wew yeye kakusudia kuwambia baadhi ya watu wanaofuga ndevu na kuvaa kazu fupi wakajiona tayari washamaliza sunna zote za mtume kuna na mengine tuendeleze kuzifanya sunna nyengine tusibaakie kwenye kanzu fupi na kufuga ndevu tu kwa uoni wangu samahan lkn km nitakuwa nimekuelewesha vibaya
Kweli ustadhi
Ust Mohd bachu anao elimu tatizoo lakea Ana presha zikiwaa juu hukosa hikma lkn ni msomii
Kichwa cha mada musiandikeni ivo
Wanazingua yaani kichwa cha habri na maelezo ni tofauti
Pia kuweka ndvu ni sunna kusema sio sunna ni makosa kwaio kuweni makini na vichwa vya khabari
Ikiwa arafa nchi zote ile moja huo MDA makka wasimama arafa mchana Tokyo n magharbi Je kuna arafa ya magharibi
Mimi naona kuanzia aje Lamu na kufanyiwa wema na ukarimu na Masharifu sasa ndio amenza kuelewa kidogo kidogo
Wajna leo sasa ndio umetoa da'awa ambayo kila muislamu akiisikiliza anachota jambo kutoka ktk maneno uliozungumza, dawa ya leo sio ya kiwahabi tu bali ni ya kila muislamu
Tatizo la mawahabi ni mawili kwanza ni ufahamu na pili ni ukaidi
Ww walimu wako Wana ufahamu upi.😂😂😂kukata viuno maulidini na kutangaza hitima ya marehemu itakuwa jumapil
@@user-yj5on8cz3ehamufuati mwezi hata saudia wanawaambia musitufuate angalieni mwezi matilai yenu bado mwashindana hio ndio shida inawasumbua
@@user-yj5on8cz3e jibu swali hapo chini watu wa peponi
UMEANZA KUSIFIWA NA WENZAKO SASA,HIYO NDIO MANHAJI YAKO KUKEJELI SUNNA ZA MTUME SALA NA SALAAM ZIWE JUU YAKE KWA KICHWA CHA HABARI TU,HAITOSHI KUHAMASOSHA WATU WATEKELEZE SUNNA ZINGINE BILA KUZIBEZA HIZO? UMEHARIBIKIWA KIMANHAJI,HUNA PAKUSHIKA UUNARUKARUKA TU.
Ww bwana. Mdogo mche ALLAH subhanah wataalah. Hivi. Qasim bin mafuta hajawah. Kusema. Hivyo Sunnah. Sikukata kanzu tu nakufuga ndev. .mbona nyie. Vijana. Wasasa. Sio. Waadilifu . Embu. Muogopeni ALLAH subhanah wataalah
Arafu sasa ulivyokua pimbi hata hujasikiliza. Ukasikia. Akikejeli. Suunah yaani. Nyie maswaafiqah mahadadiyah. Sijui mtamjibu nini ALLAh kwa. Kuwazulia. Wenzenu. Urongo
@@NuryaMusa ufahamu na ushindani ndio shida ya mawahabi wanavyofahamu ndio hivohivo ukija na njia nyengine wanakwambia wwewe ni wa motoni wewe ni ukubali usiwapinge ndio muelewane mawahabi
China iko masaa nane mbele ya saudia. unasema arafa ni moja tu. je china hawana arafa hawaipati arafa ?kwa sababu siku inapita china ndio ifkie saudia
kama umeshindwa kuweka ndevi,na inaonekana wewe hupendi kufuga ndevu!!kufuga ndevu kupunguza nguo zidiburuze (isbaaal)ni ktk sunnah za mtume صلى الله عليه وسلم