MUHADHARA MADA:SUNNA SIO KUWEKA NDEVU AU KUVAA KANZU FUPI AU KILEMBA:SH.MUHAMMAD BACHU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 сен 2024

Комментарии • 21

  • @sakinasakku8340
    @sakinasakku8340 13 дней назад

    Jazakallahu kheir sheikh

  • @user-yj5on8cz3e
    @user-yj5on8cz3e 24 дня назад +1

    Shekh wangu bachu tupo pamoja lakini hapa sikuungi mkono, kuibeza sunnah ya bwana mtume, kuna makemeo makali ya kuvaa isbal sasa hapa kusema sunnah so kuvaa kanzu fupi au kuweka ndevu umeibeza sunnah ya bwana mtume alowasisitiza watu wavae nus faki, hapo shkh umeteleza sikuungi mkono nguo ndevu, mtume kasema Allah atowatazama watu wa ainahiyo siku ya kiama

    • @AminaHamadi-bw6vw
      @AminaHamadi-bw6vw 22 дня назад +1

      Kwa uwelewa wangu mm hajamanisha hivyo ambavyo umelewa wew yeye kakusudia kuwambia baadhi ya watu wanaofuga ndevu na kuvaa kazu fupi wakajiona tayari washamaliza sunna zote za mtume kuna na mengine tuendeleze kuzifanya sunna nyengine tusibaakie kwenye kanzu fupi na kufuga ndevu tu kwa uoni wangu samahan lkn km nitakuwa nimekuelewesha vibaya

  • @MakameMufadhil
    @MakameMufadhil Месяц назад +1

    Kweli ustadhi

  • @MohamedMeja
    @MohamedMeja Месяц назад

    Ust Mohd bachu anao elimu tatizoo lakea Ana presha zikiwaa juu hukosa hikma lkn ni msomii

  • @ABUUDARDAAI
    @ABUUDARDAAI Месяц назад +2

    Kichwa cha mada musiandikeni ivo

    • @Hamis-ks1sy
      @Hamis-ks1sy Месяц назад

      Wanazingua yaani kichwa cha habri na maelezo ni tofauti

    • @ABUUDARDAAI
      @ABUUDARDAAI Месяц назад

      Pia kuweka ndvu ni sunna kusema sio sunna ni makosa kwaio kuweni makini na vichwa vya khabari

  • @MbwanaRunza
    @MbwanaRunza Месяц назад +1

    Ikiwa arafa nchi zote ile moja huo MDA makka wasimama arafa mchana Tokyo n magharbi Je kuna arafa ya magharibi

  • @abubakaromar6101
    @abubakaromar6101 Месяц назад

    Mimi naona kuanzia aje Lamu na kufanyiwa wema na ukarimu na Masharifu sasa ndio amenza kuelewa kidogo kidogo

  • @mohamedrashid7864
    @mohamedrashid7864 Месяц назад +1

    Wajna leo sasa ndio umetoa da'awa ambayo kila muislamu akiisikiliza anachota jambo kutoka ktk maneno uliozungumza, dawa ya leo sio ya kiwahabi tu bali ni ya kila muislamu

  • @user-nr4xd4lh5s
    @user-nr4xd4lh5s Месяц назад

    Tatizo la mawahabi ni mawili kwanza ni ufahamu na pili ni ukaidi

    • @user-yj5on8cz3e
      @user-yj5on8cz3e 24 дня назад

      Ww walimu wako Wana ufahamu upi.😂😂😂kukata viuno maulidini na kutangaza hitima ya marehemu itakuwa jumapil

    • @user-nr4xd4lh5s
      @user-nr4xd4lh5s 24 дня назад

      @@user-yj5on8cz3ehamufuati mwezi hata saudia wanawaambia musitufuate angalieni mwezi matilai yenu bado mwashindana hio ndio shida inawasumbua

    • @user-nr4xd4lh5s
      @user-nr4xd4lh5s 24 дня назад

      @@user-yj5on8cz3e jibu swali hapo chini watu wa peponi

  • @seniornyungu9718
    @seniornyungu9718 Месяц назад

    UMEANZA KUSIFIWA NA WENZAKO SASA,HIYO NDIO MANHAJI YAKO KUKEJELI SUNNA ZA MTUME SALA NA SALAAM ZIWE JUU YAKE KWA KICHWA CHA HABARI TU,HAITOSHI KUHAMASOSHA WATU WATEKELEZE SUNNA ZINGINE BILA KUZIBEZA HIZO? UMEHARIBIKIWA KIMANHAJI,HUNA PAKUSHIKA UUNARUKARUKA TU.

    • @NuryaMusa
      @NuryaMusa Месяц назад +1

      Ww bwana. Mdogo mche ALLAH subhanah wataalah. Hivi. Qasim bin mafuta hajawah. Kusema. Hivyo Sunnah. Sikukata kanzu tu nakufuga ndev. .mbona nyie. Vijana. Wasasa. Sio. Waadilifu . Embu. Muogopeni ALLAH subhanah wataalah

    • @NuryaMusa
      @NuryaMusa Месяц назад

      Arafu sasa ulivyokua pimbi hata hujasikiliza. Ukasikia. Akikejeli. Suunah yaani. Nyie maswaafiqah mahadadiyah. Sijui mtamjibu nini ALLAh kwa. Kuwazulia. Wenzenu. Urongo

    • @user-nr4xd4lh5s
      @user-nr4xd4lh5s 24 дня назад

      @@NuryaMusa ufahamu na ushindani ndio shida ya mawahabi wanavyofahamu ndio hivohivo ukija na njia nyengine wanakwambia wwewe ni wa motoni wewe ni ukubali usiwapinge ndio muelewane mawahabi

  • @user-nr4xd4lh5s
    @user-nr4xd4lh5s Месяц назад

    China iko masaa nane mbele ya saudia. unasema arafa ni moja tu. je china hawana arafa hawaipati arafa ?kwa sababu siku inapita china ndio ifkie saudia

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 Месяц назад

    kama umeshindwa kuweka ndevi,na inaonekana wewe hupendi kufuga ndevu!!kufuga ndevu kupunguza nguo zidiburuze (isbaaal)ni ktk sunnah za mtume صلى الله عليه وسلم