Tanzania yaani huwa naomba niimbe hivi hapa Kenya ..production nzuri na kwaya nzuri sana...nyimbo za utulivu fulan kisha uliotungwa ukaimbika vizur sana ...Nimependa sana yaan
Mmenibariki sana vijana wangu. Nakosa neno la kusema ila ibaki tu kwamba Upendo wake Mungu ni mkuu. Mbarikiweni sana. Nimemuona Sr. Becky hapo❤❤❤. Watching from +254
Daima namshukuru Mungu kwa ajili yenu. Vijana wenye nguvu walio tayari kumtumikia Mungu pasipo makuu. Safi sana na hongereni. Hakika hata malaika mbinguni wanafurahi
Kazi safi sana👏👏👏nimependa soloist sana!🥰🥰
Nasi tumekombolewa, damu ya Yesu imetuweka huru!🙏🙏🙏
Asante Dada
Tanzania yaani huwa naomba niimbe hivi hapa Kenya
..production nzuri na kwaya nzuri sana...nyimbo za utulivu fulan kisha uliotungwa ukaimbika vizur sana
...Nimependa sana yaan
🔥🔥🔥🔥tunaangalia kutoka kenya
Kazi nzuriii sana hiyooooo
Hongera wahusika. Kazi nzuri
Mmenibariki sana vijana wangu. Nakosa neno la kusema ila ibaki tu kwamba Upendo wake Mungu ni mkuu. Mbarikiweni sana. Nimemuona Sr. Becky hapo❤❤❤. Watching from +254
Daima namshukuru Mungu kwa ajili yenu. Vijana wenye nguvu walio tayari kumtumikia Mungu pasipo makuu. Safi sana na hongereni. Hakika hata malaika mbinguni wanafurahi
We're watching from canada
Ooh Nice Martha
Bmm kwaya hongereni sanaa tumebarikiwaaa mnoooo 🙏🙏🙏
Hongereni xn wanakwaya kwa wimbo mzuri wenye ujumbe mzuri
Hongereniii sana kaziii nzuriii🔥🔥❤️
kazi nzuri sana mbarikiwe sana ❤️🙏
Hongeren sana kwaya ya BMM from st.Johns university of Tanzania. Hakika utume nmebarikiwa sana na huu wimbo. Let's love lead first ♥️♥️♥️♥️
❤more love my people this is more than good
Hongereni Sana Mungu awabariki
Wimbo mzuri sana hongelini
Soloooo kama solooooo big up bruuh keep moving 🔥🔥🔥🥰
Tumwimbie BWANA,
Tumfanyie shangwe mwamba wa wokovu wetu. Tuje mbele zake kwa shukrani,
Tumfanyie shangwe kwa zaburi.
Well-done.🔥
Hongereeen jamaniii
Hongereni saaaaaaaaaaaana
Hongereni mnoo kwa kazi nzuri, Mungu awatumie kama vyombo vyake vya sifa siku zote 🙏
Kazi inapendeza Sana iko poa kabisa big up
Hongera sana Kwa kazi nzuri🙏
Wimbo mzr Sana huu mungu atujalie upendo siku zote unamafundisho ya kutosha mungu awabariki 🙏 sana
Hongera kwenu Wana BMM kwaya watoto wa mama
Kaz nxur sana
TANGANYIKA UNAFANYA KAZI KWA UBUNIFU SANA KIONGOZI HONGERA SANA
A person who sings well prays twise St Agustine.
Asanteni sana kwa ujumbe mzuri.Hongera kwa wote,waimbaji,mtunzi,mcheza kinanda na ma producer 🙏
nimebarikiwa sana Mungu azizi kuwabariki nanyi pia kwa njia ya kipekee
Ujumbe mzuri sanaa
I really love the soloist.
My newest favorite song for my next surgery September 8, 2022. I offer for your Catholic Church in Africa. Your Choir especially.
❤❤❤
Kaka @Ben_Nturama Hongera Sana kwa kazi nzuri. Najivunia Sana kuona kazi zako. Buhingu twakutakia utume mwema.
Amém Jesus 🙏🙌 desejo muita paz saúde pra todos vcs 🤚
Ile "YATUPASA"ya sololist ni💥💥 mpo vizuri Wana wa Maria🥰🥰
Kazi Safi🔥
Keep it up guys...kutuinjilisha ni hazina kubwa mbinguni 🌹
Hongereni San
Great thanks
Kaz ni nzuri xn hongeren wajukuu zangu
Hongereni xn wanakwaya kwa wimbo mzuri wenye ujumbe mzuri
🔥 mbarikiwe sawa watumishi wa Mungu 🔥🔥
❤️
Amina
Amen 🙏🙏
Nzuri sana!!
Sweet melodies 😘
Safi sana
♥️Hongera kwenu Wana BMM,kazii ni nzuri sana
🥰🥰🥰
kazi safi
Halooooooooo ni hatri
Amazing
IUNGE MKONO CHANNEL YETU YA KIKATOLIKI UINJILISHAJI UMFIKIE KILA MTU KWA KUBONYEAZA LINK HII
ruclips.net/channel/UCMTPLX06C0RCDf_to0ywjZg
❤
Aisee Hawa BMM wameamua kutufundishaaa
Aisee Jaman ujumbe +Mzikiiii vimetulia kazi nzuriiiiiiii mnooo bagoshaaaaa🙏🙏🙏🔥