Martha Mwaipaja Hatari ya Mtu wa Karibu

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024

Комментарии • 146

  • @julliettiramwenia7481
    @julliettiramwenia7481 3 года назад +3

    Very true mara nyingi yule wakaribu ndio adui na pia nimeshuhudia kwa macho yangu nakupenda bure martha you are my best and I will still follow you so that I can learn more from you ,unanisaidia sana kimawazo na kama ningelikuwa na uwezo wa kukulipa basi ningelipa but nakuombea damu ya yesu ikuzingire

  • @juddexoloro5881
    @juddexoloro5881 3 года назад +3

    Dadangu nimeumia sana juu ya watu wa karibu nami, nashukuru kwa mawaitha yako na Mungu azidi kukuinua kwa huduma na kazi ya Mungu, love you my sister 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇸🇦

  • @julliettiramwenia7481
    @julliettiramwenia7481 3 года назад +2

    Asante sana dadangu martha kwa mafundisho ,yani kila mara ukipeana mawaitha ni kama unaongelea maisha yangu yale ambayo unaongelea yana maana sana na kila wataki najifunza neno jipya kutoka kwako watching you from kenya ,yani ningetamani unishauri kuhusu jinsi ya kukaa na mama mkwe au ndoa tufundishe tafathali, najua nitasaidika kutoka kwa maneno yake

  • @idaahnolary9565
    @idaahnolary9565 3 года назад

    Amina amina barikiwa from Kenya 🇰🇪wish nikuone siku moja Mungu akulinde na akufunulie mengi ili uzidi kutufunulia macho zetu...Amina ...

  • @mamarohosafi2046
    @mamarohosafi2046 3 года назад +5

    Your wisdom is a blessing to me Amen 🙏🙏🙏

  • @esthermutua1287
    @esthermutua1287 3 года назад +4

    Be blessed Martha am growing day by day with your lesson

  • @MosesEmmanue
    @MosesEmmanue 3 года назад +3

    Mungu akubariki saana ,,,mafundisho Yako Na maubiri Yako kupitia wimbo yananibarikigi sana mama Martha mwaipaja

  • @lorelaylady4417
    @lorelaylady4417 2 года назад +2

    Dada neno lako, limenigusa sana, asante sana, nitashukuru mungu kweli, mungu akubariki sana. 🙏🙏🙏Ameeen!

  • @tabithamuluki934
    @tabithamuluki934 Год назад

    Hello hope you will see my comment...I wish to be a gospel singer and I am sure I know how to sing but I don't know where to start ...I love everything about you be blessed always ❤❤❤❤

  • @luzskin254
    @luzskin254 Год назад

    Am glad God created Martha mwaipaja

  • @loisewambui1871
    @loisewambui1871 3 года назад +4

    Great advice full of God's wisdom , may God bless you in His own ways.

  • @relaxmebini4207
    @relaxmebini4207 3 года назад

    Amn balikiwa Sana Dada yangu maisha malefuu Sana Mungu akubaliki Sana unani Baliki Sana Mungu akubaliki 🙏🙏🙏

  • @emmaforrealtz1
    @emmaforrealtz1 3 года назад +2

    Amina amina nakupend dadangu unatuelimisha sana vijana ubarikiwe

  • @levimakaliakaphenacolletta5076
    @levimakaliakaphenacolletta5076 Год назад +1

    Amen, you are right my sister. I've gone through and experienced what you said with my close family members but still i ask God to forgive them and forgive me as well.

  • @philisterangayi3192
    @philisterangayi3192 3 года назад +1

    Amen martha from kenya tunakupenda sana kwa himizo mafunzo na mengine mengi tunapokea kutoka kwako we are blessed to have you

  • @janetjano8702
    @janetjano8702 3 года назад +2

    Asante dada kwa maneno mazuri

  • @reginakombe8524
    @reginakombe8524 3 года назад +2

    Ameen umenifunza kitu mtumishi mungu akubariki🙏🙏🙏

  • @judithkyomwenge1423
    @judithkyomwenge1423 3 года назад

    Mungu akubariki na azidi kukuongezea hekima na maarifa ya neno lake kiukweli mm ilinikuta nilimkalibisha mtu kwangu nikamsaidia baada ya apo akaniwekea sumu week mbili hospital sijui kinachoendelea duniani Ila damu ya Yesu ikaniokoa na mauti dada martha naomba contact zako nina shida na wewe

  • @patriciankirote5587
    @patriciankirote5587 3 года назад +2

    Hapo Dada umenena. Misingi na Mipaka ya kwangu mwenyewe ni muhimu. With no fear or intimidation boundaries must be spelt out and respected.

  • @rhodajames2563
    @rhodajames2563 3 года назад +2

    Amen ubarikiwe sana mungu aendelee kuinua huduma yako nakupenda Dada martha

  • @olympialasway7511
    @olympialasway7511 3 года назад +3

    Amen Amen! Mwenyez Mungu akuinue sana my dear

  • @bassasamuel9281
    @bassasamuel9281 3 года назад

    Acha bwana aku bariki Sana neno hii ina ni bariki Sana Amen.

  • @maggiemapenzi2960
    @maggiemapenzi2960 3 года назад +5

    Love Martha 🇰🇪💘

  • @kwizeragilbert1352
    @kwizeragilbert1352 3 года назад +1

    Asante sana mtumishi wa MUNGU

  • @ruthdogani8745
    @ruthdogani8745 2 года назад

    Ubarikiwe Martha hakika unamaono ya ndugu vile tunavyoishi amina

  • @graciennevutara6616
    @graciennevutara6616 3 года назад +3

    Amina ubarikiwe mutumishi wa mungu

  • @thomasphilimonmolel8855
    @thomasphilimonmolel8855 3 года назад +2

    Amen 🙏🙏 ubarikiwe sana martha mwaipaja

  • @aleypetro6060
    @aleypetro6060 3 года назад +2

    Point taken our dear gospel singer God bless you.

  • @mildredwekesa3357
    @mildredwekesa3357 3 года назад +1

    Mungu nisaidie nielewe zaidi,kwani nisiamini mtu km c Yesu wangu.asante saana

  • @christopherkimati5372
    @christopherkimati5372 3 года назад

    MUNGU akubariki kwa ujumbe mzuri Sana Dada yangu

  • @eugenemusalia4918
    @eugenemusalia4918 3 года назад +2

    ukweli mtupu dada mwaipaja mungu akubariki kwa hayo

  • @violetkadevede3230
    @violetkadevede3230 3 года назад

    Amen nyimbo zako ni za upako

  • @arbat.kavosa5759
    @arbat.kavosa5759 2 года назад

    wauuuuu thanks god bless you umetosha kuwa mhubari nakupenda sana unamafuzo maziri sana tembea Kenya

  • @massbass6090
    @massbass6090 3 года назад +2

    Asante sana mum kwa mafunzo Mungu akubariki

  • @philisterangayi3192
    @philisterangayi3192 3 года назад +2

    Amen asante kwa funzo la leo barikiwa martha

  • @happinesskwamboka1540
    @happinesskwamboka1540 3 года назад +1

    Amen , be blessed dear sister for word's of encouragement, balikiwa sana kw jina la yesu Amen

  • @happynesgbrieli9056
    @happynesgbrieli9056 2 года назад

    Ameen ubarikiwe sana Martha lv u so much

  • @furahasanga2534
    @furahasanga2534 3 года назад +3

    Mungu akubariki my.

  • @paulsimon9171
    @paulsimon9171 2 года назад

    Aminaaa Mtumishi wa mungu barikiwee snaaaaaa🙏🙏

  • @abusaif6856
    @abusaif6856 3 года назад +1

    Amen, piga injili dadangu

  • @maxmushi9579
    @maxmushi9579 3 года назад +3

    Ubarikiwe dada. Unasema kweli. Ndugu wengi si wazuri. Ninapitia hivyo vita. Sala na mipaka ni dawa. Ubarikiwe

  • @tinakumburu6346
    @tinakumburu6346 3 года назад +1

    Dada nabarikiwa na huduma yako sana

  • @marycruxewabuko8111
    @marycruxewabuko8111 3 года назад +2

    Asante dada ni ukweli kabisa barikiwa

  • @jamesdonard2081
    @jamesdonard2081 3 года назад +1

    Amen Ahsante sana kwa ushauri wako mzuri Dada Martha

  • @Malebo945
    @Malebo945 3 года назад +3

    Barikiwa dada kipenz

  • @emillyauma1521
    @emillyauma1521 3 года назад +5

    Amen, ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu

  • @heriethinnocent3283
    @heriethinnocent3283 3 года назад +1

    Ameeeeeen my Dada. Asante kwa message hii,

  • @mwanashagladys4581
    @mwanashagladys4581 3 года назад +2

    Amen nimejifunza kitu🇰🇪

  • @fatumaulaya6111
    @fatumaulaya6111 3 года назад +1

    Amina nikweri mtu wa kalibu ni adui

  • @janetjanet8669
    @janetjanet8669 2 года назад

    Amen ubarikiwe mtu wa Mungu

  • @rebekamtewele136
    @rebekamtewele136 3 года назад +2

    Amen umenibariki hakika

  • @kofisafokofi1723
    @kofisafokofi1723 3 года назад +1

    From Togo Aemn

  • @nshimirimanabella3182
    @nshimirimanabella3182 Год назад

    Kweli dugu ndomubayaaaa bxs❤️🇧🇮

  • @geopreymoses1588
    @geopreymoses1588 Год назад

    Asant nimeumzwa na lafik sana nisaidie mawasiliano ako naomba sana asant kwa somo

  • @maximillaagnes5712
    @maximillaagnes5712 3 года назад +1

    Amina dadangu , na mungu akutende mema.

  • @gressomary7738
    @gressomary7738 3 года назад

    Nakuelewa sana mtumishi wa Mungu

  • @dorahmwakala5457
    @dorahmwakala5457 3 года назад +1

    Amina. Ubarikiwe mtumishi wa Mungu

  • @user-kw8vp6uk2x
    @user-kw8vp6uk2x 9 месяцев назад

    Mungu akubariki mama

  • @jema1232
    @jema1232 3 года назад +1

    Barikiwa mtumishi

  • @Williamskenya5228
    @Williamskenya5228 3 года назад +4

    Asanti mamaa😭🙌

  • @mercyndunge2467
    @mercyndunge2467 2 года назад

    More grace Martha mwaipaja

  • @kaitesihope6909
    @kaitesihope6909 3 года назад +1

    Mung akubaliki mama

  • @frankmukiza6949
    @frankmukiza6949 3 года назад +3

    Hakika adui wa mtu ni wa karibu Sana

  • @stanleymellack3176
    @stanleymellack3176 3 года назад

    Can't explain the way umenigusa. It's like you know what I'm going through. Umenifariji kwakweli Mungu akubariki 😀😀

  • @devothafilbert2347
    @devothafilbert2347 3 года назад +1

    Asante nimejifunza

  • @vjsshtusdyu3600
    @vjsshtusdyu3600 3 года назад

    Amen amen amen 🙏🙏🙏 is true l feel them God bless you Dada for good message l bless

  • @dianafrancis2636
    @dianafrancis2636 3 года назад +2

    Safi stay blessed sweetheart

  • @Ann-vr7ti
    @Ann-vr7ti 3 года назад +2

    Ukweli, Ile kuumizwa nimeumizwa na,watu wa karibu yangu,e.g. Mama mzazi,ndugu zangu sitowai sahau wala sidhani kama maumivu yataja kuisha.

  • @kennedyolenyo3960
    @kennedyolenyo3960 2 года назад

    Amen,be bless my dear sister

  • @blessedkenya8640
    @blessedkenya8640 3 года назад +3

    Kweli kbx ubarikiwe

  • @neemashabani8431
    @neemashabani8431 3 года назад +1

    Nimejifunza mengi

  • @janefermusangi2034
    @janefermusangi2034 3 года назад

    Umesema kitu yamaana sana ... Amen

  • @Phiphi31
    @Phiphi31 3 года назад +1

    This my story better be alone you and God

  • @solangerecho
    @solangerecho 3 года назад +2

    Emen 🙏🙏nikweli kabisa ubarikiwe

  • @annekavithe
    @annekavithe 3 года назад +2

    Good work my dear, keep going 🙏🙏
    Naitaji collabo Na wewe, Ann kutoka kenya👏👏

  • @lilianmatanuzi5149
    @lilianmatanuzi5149 3 года назад

    Ameni dada uwa nakupenda sana

  • @constanciapeter2497
    @constanciapeter2497 3 года назад +2

    Aaamen mtumishi

  • @tataraemanuel7424
    @tataraemanuel7424 3 года назад

    Amen nakupenda bureeeee

  • @franciscambatha4314
    @franciscambatha4314 3 года назад +1

    True I agree with you 100%

  • @faithkomen2258
    @faithkomen2258 3 года назад +3

    It's very true dear🙏🙏

  • @holylostborn
    @holylostborn 3 года назад +3

    U right

  • @femmymtuva9624
    @femmymtuva9624 3 года назад +2

    Very true blessed sister 🙏🙏🙏

  • @rachaelbenson162
    @rachaelbenson162 3 года назад

    Great wisdom and very true. 👍👍

  • @pstjuditha201
    @pstjuditha201 3 года назад

    So powerful my beloved sister

  • @magnifiquentkrtmna320
    @magnifiquentkrtmna320 3 года назад +2

    Ndiyo ndiyo iyokweri

  • @pamelamaelo9391
    @pamelamaelo9391 Год назад

    A men martha hiyo ni kweli hata mimi napitia hayo kwa ajili ya dada yangu hatuwelewani kwa sababu ni jirani mlangoni

  • @justinekyaruhire5779
    @justinekyaruhire5779 3 года назад +3

    Amina Amina 🙏🏼🙏🏼❤️

  • @esthersayoni6532
    @esthersayoni6532 3 года назад

    Amina dada mung azid kukubark

  • @benendetaorega748
    @benendetaorega748 2 года назад

    God bless you

  • @oktanianndaruhela8525
    @oktanianndaruhela8525 3 года назад

    I'm listening

  • @annejoseph8564
    @annejoseph8564 3 года назад +2

    Ameen dada ni kwelii

  • @consolatamaunde8967
    @consolatamaunde8967 2 года назад

    Kweli kabisa ubarikiwe sana

  • @sootb8470
    @sootb8470 3 года назад +2

    Kweli kabisa

  • @bridgetnafula4375
    @bridgetnafula4375 3 года назад +1

    Amen 🙏🙏 be blessed too

  • @saudasalehesaudasalehe6272
    @saudasalehesaudasalehe6272 3 года назад

    Ubalikiwe

  • @sharontabitha9074
    @sharontabitha9074 3 года назад +3

    Amen 🙏

  • @pimgee7237
    @pimgee7237 3 года назад

    Point Martha God bless you

  • @donmwaruma4238
    @donmwaruma4238 3 года назад

    Ameeen.!?🙏 God bless you..!?🙏🙏🙏🙏

  • @hanrietentumba5113
    @hanrietentumba5113 Год назад

    Amén

  • @bridgitmwololo3527
    @bridgitmwololo3527 3 года назад +2

    Amen