Very true mara nyingi yule wakaribu ndio adui na pia nimeshuhudia kwa macho yangu nakupenda bure martha you are my best and I will still follow you so that I can learn more from you ,unanisaidia sana kimawazo na kama ningelikuwa na uwezo wa kukulipa basi ningelipa but nakuombea damu ya yesu ikuzingire
Dadangu nimeumia sana juu ya watu wa karibu nami, nashukuru kwa mawaitha yako na Mungu azidi kukuinua kwa huduma na kazi ya Mungu, love you my sister 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇸🇦
Asante sana dadangu martha kwa mafundisho ,yani kila mara ukipeana mawaitha ni kama unaongelea maisha yangu yale ambayo unaongelea yana maana sana na kila wataki najifunza neno jipya kutoka kwako watching you from kenya ,yani ningetamani unishauri kuhusu jinsi ya kukaa na mama mkwe au ndoa tufundishe tafathali, najua nitasaidika kutoka kwa maneno yake
Hello hope you will see my comment...I wish to be a gospel singer and I am sure I know how to sing but I don't know where to start ...I love everything about you be blessed always ❤❤❤❤
Amen, you are right my sister. I've gone through and experienced what you said with my close family members but still i ask God to forgive them and forgive me as well.
Mungu akubariki na azidi kukuongezea hekima na maarifa ya neno lake kiukweli mm ilinikuta nilimkalibisha mtu kwangu nikamsaidia baada ya apo akaniwekea sumu week mbili hospital sijui kinachoendelea duniani Ila damu ya Yesu ikaniokoa na mauti dada martha naomba contact zako nina shida na wewe
Very true mara nyingi yule wakaribu ndio adui na pia nimeshuhudia kwa macho yangu nakupenda bure martha you are my best and I will still follow you so that I can learn more from you ,unanisaidia sana kimawazo na kama ningelikuwa na uwezo wa kukulipa basi ningelipa but nakuombea damu ya yesu ikuzingire
Dadangu nimeumia sana juu ya watu wa karibu nami, nashukuru kwa mawaitha yako na Mungu azidi kukuinua kwa huduma na kazi ya Mungu, love you my sister 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇸🇦
Asante sana dada yangu mungu akulide
Asante sana dadangu martha kwa mafundisho ,yani kila mara ukipeana mawaitha ni kama unaongelea maisha yangu yale ambayo unaongelea yana maana sana na kila wataki najifunza neno jipya kutoka kwako watching you from kenya ,yani ningetamani unishauri kuhusu jinsi ya kukaa na mama mkwe au ndoa tufundishe tafathali, najua nitasaidika kutoka kwa maneno yake
Amina amina barikiwa from Kenya 🇰🇪wish nikuone siku moja Mungu akulinde na akufunulie mengi ili uzidi kutufunulia macho zetu...Amina ...
Your wisdom is a blessing to me Amen 🙏🙏🙏
Be blessed Martha am growing day by day with your lesson
Mungu akubariki saana ,,,mafundisho Yako Na maubiri Yako kupitia wimbo yananibarikigi sana mama Martha mwaipaja
Dada neno lako, limenigusa sana, asante sana, nitashukuru mungu kweli, mungu akubariki sana. 🙏🙏🙏Ameeen!
Hello hope you will see my comment...I wish to be a gospel singer and I am sure I know how to sing but I don't know where to start ...I love everything about you be blessed always ❤❤❤❤
Am glad God created Martha mwaipaja
Great advice full of God's wisdom , may God bless you in His own ways.
Amn balikiwa Sana Dada yangu maisha malefuu Sana Mungu akubaliki Sana unani Baliki Sana Mungu akubaliki 🙏🙏🙏
Amina amina nakupend dadangu unatuelimisha sana vijana ubarikiwe
Amen, you are right my sister. I've gone through and experienced what you said with my close family members but still i ask God to forgive them and forgive me as well.
Amen martha from kenya tunakupenda sana kwa himizo mafunzo na mengine mengi tunapokea kutoka kwako we are blessed to have you
Asante dada kwa maneno mazuri
Ameen umenifunza kitu mtumishi mungu akubariki🙏🙏🙏
Mungu akubariki na azidi kukuongezea hekima na maarifa ya neno lake kiukweli mm ilinikuta nilimkalibisha mtu kwangu nikamsaidia baada ya apo akaniwekea sumu week mbili hospital sijui kinachoendelea duniani Ila damu ya Yesu ikaniokoa na mauti dada martha naomba contact zako nina shida na wewe
Hapo Dada umenena. Misingi na Mipaka ya kwangu mwenyewe ni muhimu. With no fear or intimidation boundaries must be spelt out and respected.
Amen ubarikiwe sana mungu aendelee kuinua huduma yako nakupenda Dada martha
Amen Amen! Mwenyez Mungu akuinue sana my dear
Acha bwana aku bariki Sana neno hii ina ni bariki Sana Amen.
Love Martha 🇰🇪💘
Asante sana mtumishi wa MUNGU
Ubarikiwe Martha hakika unamaono ya ndugu vile tunavyoishi amina
Amina ubarikiwe mutumishi wa mungu
Amen 🙏🙏 ubarikiwe sana martha mwaipaja
Point taken our dear gospel singer God bless you.
Mungu nisaidie nielewe zaidi,kwani nisiamini mtu km c Yesu wangu.asante saana
Ubarikiw mtumishi
MUNGU akubariki kwa ujumbe mzuri Sana Dada yangu
ukweli mtupu dada mwaipaja mungu akubariki kwa hayo
Amen nyimbo zako ni za upako
wauuuuu thanks god bless you umetosha kuwa mhubari nakupenda sana unamafuzo maziri sana tembea Kenya
Asante sana mum kwa mafunzo Mungu akubariki
Amen asante kwa funzo la leo barikiwa martha
Amen , be blessed dear sister for word's of encouragement, balikiwa sana kw jina la yesu Amen
Ameen ubarikiwe sana Martha lv u so much
Mungu akubariki my.
Aminaaa Mtumishi wa mungu barikiwee snaaaaaa🙏🙏
Amen, piga injili dadangu
Ubarikiwe dada. Unasema kweli. Ndugu wengi si wazuri. Ninapitia hivyo vita. Sala na mipaka ni dawa. Ubarikiwe
Dada nabarikiwa na huduma yako sana
Asante dada ni ukweli kabisa barikiwa
Amen Ahsante sana kwa ushauri wako mzuri Dada Martha
Barikiwa dada kipenz
Amen, ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu
Ameeeeeen my Dada. Asante kwa message hii,
Amen nimejifunza kitu🇰🇪
Amina nikweri mtu wa kalibu ni adui
Amen ubarikiwe mtu wa Mungu
Amen umenibariki hakika
From Togo Aemn
Kweli dugu ndomubayaaaa bxs❤️🇧🇮
Asant nimeumzwa na lafik sana nisaidie mawasiliano ako naomba sana asant kwa somo
Amina dadangu , na mungu akutende mema.
Nakuelewa sana mtumishi wa Mungu
Amina. Ubarikiwe mtumishi wa Mungu
Mungu akubariki mama
Barikiwa mtumishi
Asanti mamaa😭🙌
More grace Martha mwaipaja
Mung akubaliki mama
Hakika adui wa mtu ni wa karibu Sana
Can't explain the way umenigusa. It's like you know what I'm going through. Umenifariji kwakweli Mungu akubariki 😀😀
Asante nimejifunza
Amen amen amen 🙏🙏🙏 is true l feel them God bless you Dada for good message l bless
Safi stay blessed sweetheart
Ukweli, Ile kuumizwa nimeumizwa na,watu wa karibu yangu,e.g. Mama mzazi,ndugu zangu sitowai sahau wala sidhani kama maumivu yataja kuisha.
Amen,be bless my dear sister
Kweli kbx ubarikiwe
Nimejifunza mengi
Umesema kitu yamaana sana ... Amen
This my story better be alone you and God
Emen 🙏🙏nikweli kabisa ubarikiwe
Good work my dear, keep going 🙏🙏
Naitaji collabo Na wewe, Ann kutoka kenya👏👏
Ameni dada uwa nakupenda sana
Aaamen mtumishi
Amen nakupenda bureeeee
True I agree with you 100%
It's very true dear🙏🙏
U right
Very true blessed sister 🙏🙏🙏
Great wisdom and very true. 👍👍
So powerful my beloved sister
Ndiyo ndiyo iyokweri
A men martha hiyo ni kweli hata mimi napitia hayo kwa ajili ya dada yangu hatuwelewani kwa sababu ni jirani mlangoni
Amina Amina 🙏🏼🙏🏼❤️
Amina dada mung azid kukubark
God bless you
I'm listening
Ameen dada ni kwelii
Kweli kabisa ubarikiwe sana
Kweli kabisa
Amen 🙏🙏 be blessed too
Ubalikiwe
Amen 🙏
Point Martha God bless you
Ameeen.!?🙏 God bless you..!?🙏🙏🙏🙏
Amén
Amen
Amen mafundisho yako ni mema sana