Asante Martha kwa iyo Exhortation. Nimebarikiwa sana sana ata na nyimbo zako zote nikiwa hapa America. Nakusikiza almost everyday. Mungu akumbariki sana na akupeleke mbali. Mimi natoka Nairobi.
Santii dada umesema nikatamani kama hawa wengine wangekua wanasikia kiswahili!Ujumbe mzuri dada watu wanachukua wafanyi kazi kama umbwa😭😭😭Mungu awasamehe 😱
I know you from one angle-singing. Today I have known you from spiritual exhortation. I am touched by your words. I am a Zambian who understand kiswahili. May God keep blessing you. I pray one day you will come to sing in Zambia. Only Bahati Bukuku has been here. All of you like Kenya.
Mungu akubariki sana mom
Jumbe na nyimbo zako zanibariki na kuniinua saana.
Asante sana kwa somo mungu akubariki martha mungu atanipigania na mungu ataniinua kupitia somo hili🙏
Una sauti ya upole sana.barikiwa sana Martha mungu abarika kazi yako na apanue mipaka yako🙏
Amen na hiyo nimeona kwenye maisha yangu halisiii kabisaa kabisa na MUNGU anatuonesha haya kabla ya kufariki
Acha Mungu akupe maisha marefu.
From Kenya love you so much mom
Nimekupata kabisa naomba Mungu anifunze njia zake ♥
Mimi ni mwislam lakini nakufatiliaga kilasiku Martha ninahushuhuda kupitia nyimbo zako mungu amenitendea mema mengi 🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Ata mimi nivilevile mungu aponye maisa🎉🎉
Ameeen dadangu, unatutia moyo Kwa wale ambayo tumekata tamaa, nashukuru sana Kwa haya mafunzo🙏🙏
Huwa unaniinua unainua imani yangu kila siku dada ubarikiwe na utiwe nguvu na mungu
Amen mama mujakazi ju ya ujumbe wako inayotoka kwenye wimbo nayiona kesho.
Amen amen chenye unataka kutendewa tendea wenzako. Asante
Umenena mtumishi wa mungu siz Martha nakupenda Niko kenya
Amen Mungu atupe neema ya kufanya yaliyo mazuri
Barikiwa sana martha mwaipaja !! Asante sana
Asante Martha kwa iyo Exhortation. Nimebarikiwa sana sana ata na nyimbo zako zote nikiwa hapa America. Nakusikiza almost everyday. Mungu akumbariki sana na akupeleke mbali. Mimi natoka Nairobi.
Barikiwa Mtumushi wa Mungu, nakufuata hapae DRC
Asante sana kwa maneno mema ya busara
I love Martha I wish I could meet u in person💝💖
Napenda sana uduma yako dada Martha....natamani sana kukuona macho but nina imani siku moja Mungu atatenda.mi.i ni muimbaji kutoka kenya
Amen
Amina 🙏🙏🙏ukweli mama umekonga ndipo!🇰🇪🇰🇪🇰🇪+🇹🇿🇹🇿barikiwa sana🙏🙏💃💃
Tenda wema utalipwa na Mungu mwenyewe sio lazima mwanadamu akulipe
Wow powerful Message you are Blessings to many
Asantee Sana mtumishi wa mungu unasema ukweli kabisa amina ubarikiwe sana
Yesu akutunze daima. .. umeongea kweli kabisa
God bless you 🙏 Martha nimebarikiwa sana na maneno unayo sema
l love 💕 nakutakia Maisha marefu
Its true Mwapaja I hv that experience through my neighbors very true, kwanza hao wokovu waaa hope this words wil teach them something be blessed mama
Dada Martha nakupenda Sana,
Amina Dada, Mungu akubariki sana kwa mawaidha mazuri
nakuelewa sana hongera sana martha mwaipaja
Amen and amen 🙏mungu akubariki sana dada
Santii dada umesema nikatamani kama hawa wengine wangekua wanasikia kiswahili!Ujumbe mzuri dada watu wanachukua wafanyi kazi kama umbwa😭😭😭Mungu awasamehe 😱
Nakupenda mamy unatufundish sana
Amina dada yangu mungu akubaliki sana
Hallelujah dada nimebarikiwa
Nakupata Dada Martha Barikiwa sana kwa uduma nzr ya kutujenga kiroho
Amen ukwelikabisa ubarikiwe namafuso masuri🙏🙏🙏
Amen woman of God may God bless you more
Much love from kenya
Ahsante kwa ushirika huo na munu akubariki
Kweli dada, nimejifunza sana kit, ubarikiwe sana dada
Very true 🙏🙏am blessed 🙏 watching
Amen dada umesema vizuri sana
Nabarikiwa vile unaongeaga Kwa Sauti Ya Upoleeee .. God Bless You My Dear Sister .
Amen ubarikiwe dada
Ameni mtumish wa MUNGU barikiwa sana kwaujumbe mzuri sana
Ameeeeeeeni🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Thank you for the powerful message!!ubarikiwe mtumishi
Amina ,funzo mzuri sana martha mwaipaja,Mungu akubariki .Nakupenda sana dada
I love u Martha.This are kind n true words but for the wise n few ones.God help us to keep in practise!Blessings dear.
Amina Dada yetu mzuri, ubarikiwa
Amen amen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏 sister God bless you
Barikiwa pia dad Martha
May God bless you stay blessed
Wow wow wow.!!? Ameeen.!?🙏 Very very true.!!? Good advise. God bless you 🙏.!?👏👏
Asante kwa mahubili yako nabarikiwa sana
I love the way you always speak the truth... Mungu akuongezee hekima na maarifa zaidi mtumishi wa Mungu 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪unapendwa😍🤗
Asante sana muyimbaji wetu maneno Yako Mazuru mimi imurundi Amina kwa maneno mazuri
Kwa kweli tunakushukuru. Maneno yako ni kweli. Personally, i will never lose love for you. Still 𝕟𝕖𝕒𝕣𝕖𝕣 to you as the air you breathe. 𝒢ℴ𝒹 𝒷𝓁ℯ𝓈𝓈 𝓎ℴ𝓊
Poa sana dada martha
Amen Amen🙏🙏🙏🙏Neno la Kweli na la kujenga Blessings 💯💯
Ameeeeeen Ameeeeeen Ameeeeeen my love dada
Nakupendaaaaa pia jmn
Da matha ...ongeza maandiko ya kibliblia hata mawili matatu...maneno yako tu matupu hayatoshi...yanapinguza uzito..wa unayoyazungumza...
U r really inspiring me..Continue with that same spirit hence God bless u
Asante dada kwa fundisho mzuri na hapo ameongea ukweli kabisa
Amen God bless you abundantly sister
Martha i like your voice and the dance ,tho i dont really understand swahili but i enjoy ur music very much keep on preaching my dear.
Amen amen ukweli tupandacho ndicho tutacho vuna, watching from Kenya
Ameeen Ameeeen🙏🙏🙏ubarikwe sana mtumishi kwa Neno na kwa mafundisho mema ni ukweli tupendane
Much love mommy....your teach always inspiration be blessed abunfutly much l8ve from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Amen
Huu ujumbe ni mzuri na mkubwa sana Barikiwa sana Mtu wa MUNGU
Mungu akubariki
Thank you so much mummy may God blessed you ...we really love your ministry it so powerful
Let the Grace of Lord Be with you and do you Good in whatever you plan.
Very true my sister from Kenya following u with love. We should be accountable to our actions.
Amen🙏
from qatar ,ukweli kabisa my sister
Barikiwa dada kwa ujumbe mzuri sana 🙏🙏. Nikweli, usichotaka kutendewa nawewe usitendeyane
You blessed me by your words
Plant 🪴 good seeds for the future.
Amen amen
I wish to do song with you one day....mimi ni upcoming gospel minister and I would wish niimbe na wewe panapo na nafasi...asante
Thanks for advice am grateful my mom you are my best I wish I could be talking to you daily for advice
Asante sana nagupenda sana rafiki yetu
God bless you sister
Mungu akubariki mama
You make me not to stop commenting I love and am sure I will meet you one day juliet from Kenya
Thank you for the words of wisdom 🙌🏾🙏🏾🙏🏾
Mungu akubariki Martha🙏🏾
Umenichenga sana Dada ...be blessed
Malipo ni hapa hapa duniani.....💯💯💯💯💯
Nimekuelewa dada martha, nakupenda sana
Very true Barikiwa sana..Neno la nguvu sana ..nakupenda sana W.O.G from Kenya❤❤
Amen and Amen
The lord follows the true
Amna mamaa
Congratulations 👏for good work kp it up
🇰🇪 Amen
I know you from one angle-singing. Today I have known you from spiritual exhortation. I am touched by your words. I am a Zambian who understand kiswahili. May God keep blessing you. I pray one day you will come to sing in Zambia. Only Bahati Bukuku has been here. All of you like Kenya.
Kweli Kabisa Amen
Great my dia sister may God bless you,,,go go go keep inspiring us🙏🙏🔥🔥🔥
Ubarikiwe sana kwa ujumbe huo mtumishi