#Burundian_Movie

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 окт 2024
  • Kwenye Kijiji cha Nyabujyegeri Mambo yamekuwa mazito Baada Ya Jini Tausi Kutokea Wana Kijiji sasa mambo yakutowa kafara lazima yafanyike haraka, kutana na Kijana Sonko na Zowa Kwenye Utata wakumzibiti jini Uyo
    #JiniTausi
    #swahili_films
    #Tambwe

Комментарии • 72

  • @tambwe
    @tambwe  2 года назад +7

    Habari zenu Ndugu zangu Naomba msikosi Pia Kutazama Filamu Yetu Nyingine Nzuri
    ruclips.net/video/0gO80ymPFNc/видео.html

    • @mcteekaya.k.abigstorm5699
      @mcteekaya.k.abigstorm5699 2 года назад +1

      @Tambwe The Great Films..
      Sawa basi lazma nitatazama

    • @tambwe
      @tambwe  2 года назад +1

      @@mcteekaya.k.abigstorm5699 Asante sana Kaka Na Mungu akubariki

  • @salimandayishimiye2097
    @salimandayishimiye2097 3 года назад +12

    Mimi leo sijachekewa team Tambwe tujuwane bas 😉😉

  • @sukariyao6537
    @sukariyao6537 2 года назад +2

    Aiseee movie kali sana ongereni nyote wahusika mko vixuri sana 🥰🔥🔥🔥💃

  • @faustintwagirayezu5530
    @faustintwagirayezu5530 2 года назад +1

    Film muzuli sana🇰🇪🇧🇮 Remy Tambwe

  • @team_JosKenya
    @team_JosKenya 3 года назад +3

    Joseph TheGreat is here

  • @eliasmyamba4767
    @eliasmyamba4767 Год назад +1

    Kazi mzuri sana nimeipwnda kwakweli

  • @sulemaniyongongemfalme8799
    @sulemaniyongongemfalme8799 3 года назад +1

    Wow wow kazi nzuri sana kabisa na Filamu nzuri sana kabisa napenda sana courage sana Papa tambwe na papa Lucien

  • @pascalofficiel1940
    @pascalofficiel1940 2 года назад +2

    Kazi nzuri sana kabisa

  • @fatmaf1466
    @fatmaf1466 3 года назад +2

    Nawapenda bure T nakubali

  • @alanthereal1365
    @alanthereal1365 3 года назад +3

    Kizazi sanaaaa

  • @norahnanunu2578
    @norahnanunu2578 3 года назад +3

    Love u more Ramata good actress u made it well🥰🥰🥰🥰

  • @mbpromotersexboy9007
    @mbpromotersexboy9007 3 года назад +1

    Onger kijana Kaz nzurii inajitembeza..mbpromoter

  • @spanaone4all743
    @spanaone4all743 2 года назад +2

    nimeipenda sana sana

  • @baimarrajahbuayan6237
    @baimarrajahbuayan6237 2 года назад +2

    Saaaaf nzur haswaaa
    ❤️❤️❤️❤️❤️💘

  • @asiadjuma8500
    @asiadjuma8500 3 года назад +4

    Kidog nimechelew lkn nimewai
    Niliisubir kw ham
    Like😘😘

  • @nemadorcas5700
    @nemadorcas5700 Год назад +2

    Ina uwa sana

  • @francineniyonkuru741
    @francineniyonkuru741 3 года назад +2

    Yani nimekuwa na wakumbuka Team Remy tujuwane jamani 🤣🤣🤣🔥🔥

  • @evansmasicia6753
    @evansmasicia6753 2 года назад +1

    Tamu sana

  • @mcteekaya.k.abigstorm5699
    @mcteekaya.k.abigstorm5699 2 года назад +2

    Kazi nzuri sana Bwana Tambwe..Watchin n enjoying from Doha Qatar

    • @tambwe
      @tambwe  2 года назад +1

      Asante sana kaka ,Ubarikiwe sana

  • @renilidaamina1959
    @renilidaamina1959 3 года назад +4

    Good

  • @salhaaa4996
    @salhaaa4996 2 года назад +1

    Kazi zuri sana

  • @nadinnmugisha5168
    @nadinnmugisha5168 3 года назад +1

    Nimechelewa kidogo ila haijakuwa wasi ngoja nione sasa kimoja tu na ❤️

  • @rehemarehema3258
    @rehemarehema3258 2 года назад +2

    Komera

  • @BMCOMPANY_FILM
    @BMCOMPANY_FILM 2 года назад +1

    Nawakubali Sana from Tanzania
    Naitaji kazi na nyinyi naitaji number zenu A kazi

    • @tambwe
      @tambwe  2 года назад

      Asante sana kwa Upendo na Pia karibuni sana
      Whatsap number +257611123511
      E-mail : tambweremy4@gmail.com
      Facebook: Tambwe Remy

  • @jeanclaudeofficial9653
    @jeanclaudeofficial9653 2 года назад +2

    😍😍😍

  • @ajobapiuum2305
    @ajobapiuum2305 Год назад +1

    ZOWAH MJANJA SANA

  • @augustinpawan3898
    @augustinpawan3898 2 года назад +1

    Kabisa hii film inatishaaa ila ninzuri ina mafundisho makubwa

  • @Mpakauseme
    @Mpakauseme 2 года назад +3

    Aise kumbe watu wa Burundi wanazunguza kiswahili kilicho nyooka aisee ni poa sana

  • @sukariyao6537
    @sukariyao6537 2 года назад +4

    Napenda huyo Dada Anaongea rafudhi nzuri hadi raha 😂

  • @angepamellakigeme1997
    @angepamellakigeme1997 3 года назад +2

    🔥🔥🔥🔥

  • @madibamwana786
    @madibamwana786 3 года назад +1

    Nimependa hi movie

  • @chizahamisi
    @chizahamisi 3 года назад +2

    bro kza mna sio poa

  • @GedeonJamesGedythedon
    @GedeonJamesGedythedon 3 года назад +1

    Good job guys

  • @mbpromotersexboy9007
    @mbpromotersexboy9007 3 года назад +1

    Dada yake y Zoya inabidi next filam arekebishwe kwa lugha anawez Ila muoga kwakuongey lugha iyii

  • @edgardesiremanirampa8471
    @edgardesiremanirampa8471 3 года назад +1

    Courage kaka Tambwe

  • @ayshaasd2638
    @ayshaasd2638 3 года назад +2

    Nivyema kabis

  • @fuhftyfiufffg478
    @fuhftyfiufffg478 2 года назад +2

    akili ana akili sana kama jina lake anatumia siyasa kwakumutowa maneno songo

  • @asyangenzebuhoro6754
    @asyangenzebuhoro6754 3 года назад +1

    Akili ni mbeya afu waaakili kama jina lake ☺☺☺

  • @berrymelodyburundian5108
    @berrymelodyburundian5108 3 года назад +2

    💣💣💣💣

  • @chizahamisi
    @chizahamisi 3 года назад +2

    vumilia yatakwisha

  • @therencewatara1770
    @therencewatara1770 2 года назад +1

    Hebu miniambie jambo mmoja aba bantu ni abarundi???ao na wa Tansania

  • @ndikumwenayojonas8024
    @ndikumwenayojonas8024 2 года назад +2

    Dio wamejitahid ila tusiw tunasifia bila kuongelea makosa yaliotendek mm siez kufumbia hili wakiwa wanaigiza ukiteg sikio vizul unasikia saut tofaut zawat wanyum n'a zin sikika rekebishen kwakwel il l'engin poa tu

    • @tambwe
      @tambwe  2 года назад

      Asante sana Kaka Kwa Ushauri wako pia tutaufanyia kazi na Mungu akubariki sana kaka ,tushauri tunapo kosea ni muhimu kwetu

  • @sengabwami1724
    @sengabwami1724 2 года назад +1

    Ni chelson chifu tukaze mwendo

  • @razeqarazeqa2177
    @razeqarazeqa2177 3 года назад +1

    Onger San nzur tume ipenda

  • @kobwatv812
    @kobwatv812 2 года назад +1

    👍👍👍👍

  • @AMI-ip1lx
    @AMI-ip1lx 2 года назад +1

    💣💣💣💣💣💣👌

  • @zamdasaid7248
    @zamdasaid7248 2 года назад +2

    Movie nzuri

  • @nemadorcas5700
    @nemadorcas5700 Год назад +2

    Niseme nini?ila munatesa

  • @kasisamarielouise9353
    @kasisamarielouise9353 Год назад +1

    Basi mlevi kumbe akikutana na jini huo zinaisha pombe

  • @therencewatara1770
    @therencewatara1770 2 года назад +1

    Hebu miniambie jambo mmoja aba bantu ni abarundi???ao na wa Tansania

    • @tambwe
      @tambwe  2 года назад

      Abarundi bakina film zigiswahiri

    • @therencewatara1770
      @therencewatara1770 2 года назад

      Urakoze can kumpa inyishu Imana iguhezagire nn ncut nabo muntara yahe.kiswahili kizuri san

  • @asyangenzebuhoro6754
    @asyangenzebuhoro6754 3 года назад +1

    Nimekuwa naisubiri kwa hamu

  • @dagirmnyama2253
    @dagirmnyama2253 2 года назад

    .gg

  • @tambweTv
    @tambweTv 3 года назад +2

    Good job