Director kakoso unajua sana Nathani kila msanii wa move sas ivi anatamani kufanya kazi na wew kaka its your time bro unauwezo mkubwa sana endelea kutufundisha jinsi ya kufanya kazi nzuri safi sana
I really love this especially kipara with the English you speak bt cjui kama Huwa unajua chenye unaongea ama ni part of the movie to keep us enjoying big up director kakoso
so mens are all equal😂😂😂😂😂kakoso forgive me but we learn from our mistakes,,,,and once learned we agree on our mistakes and ask for forgiveness and everything moves on well❤❤❤❤much love from kenta🎉🎉
Hiyo scene ya Mwasi amekutana na Mwakatobe sijaipenda kwasababu wamekutana kienyeji sana wakat ingependeza zaid kama wangekutana nyumban kwa Mwakatobe na kuwe kuna mazingira ya kishirikina kisha afanye vitu vya kishirikina zaidi ya hapo ili kutuma hicho kimbola chake kwa Kakoso.
Crew ya CLAM haijawahi feli. Ushauri wangu kwenu mweu munatupa moja baada ya nyengine kama hivi mlivotufanyia kwa hii the lie. Mkituletea nyingi kwa wakati mmoja tutachoka kuwafatilia kote. NI ushauri tuu but kazi nzuri
Director kakoso unajua sana Nathani kila msanii wa move sas ivi anatamani kufanya kazi na wew kaka its your time bro unauwezo mkubwa sana endelea kutufundisha jinsi ya kufanya kazi nzuri safi sana
Thanks
@@directorkakosodirector pokea maua yangu toka kenya 🎉🎉🎉🎉 kazi yako mzuri kwa Kila moviee
Kingereza tuu cha Kipara😅😅
maana sijui kakisooomea wapi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Wow Jaden uko vizuri bila rasta# kakoso kazi nzuri tunajifunza madhara ya uongo humu na mengine mengi🎉🎉🎉
Kakoso kwa kweliiii unacezaaaa vizuliii sanaaa team yenu nayipenda sana mwansi big up sana wa kwanza from🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Mwakatobe kyk ubota wake soma hiyooo😂😂unanikosha san unavyoongea hata kam sipo kweny mood nitacheka tu😂😂
Wazungu husema all niolo🤣🤣🤣🤣 kipara utanimalizaaa
kiingereza kimevamiwa leo🤣🤣🤣
😂😂😂
I really love this especially kipara with the English you speak bt cjui kama Huwa unajua chenye unaongea ama ni part of the movie to keep us enjoying big up director kakoso
Umeongeaje..??😂😂naulizaje😂🤣mwaktombe si amekutupia kitu kizito🤣 Kenya's love❤❤
Jamani mwape wanawake maua yao yani wakisimamia msimamo wao haubadiliki Dah!!!🎉🎉🎉❤
😂😂😂😂😂😂ww mwasi mroge huyo mwanamke anakutukanaje hvyo 😁😁😁😁
Tunaomba usitucheleweshee muendelezo 😋😋😋
😂😂😂ncheke mie
Mm ndo wakwanza kutoka kenya wapi likes zangu
Niko apa juya kipara tu aki kingereza chake ndo kina ni bamba miye😂❤❤❤
Mwakatobeeee mwambaaa cheeefu domo ka pochii😂😂😂😂😂
Kingereza cha kipara mie hoi jmnii 😂😘🥰
Kanzi nzuri Sana endelea kupambana Mungu atakufikisha mbali
Kipala wanaman kumbe ni mzungu congratulations kipala wanaman❤❤❤
Jaden anakuwa mzuri sasa izo rasta hazikuwa viruri
Ila ni asivae ...Vipuli maana hayo sio mapambo yetu wanaume...
😢@@user-to1it9hk2z
Waoooooh kazi nzuri sana kwa mwasi. Naomba kuigiza na mimi
Kazi nzuri dear friend i love you movies
kakoso nakukubali sana nakufutilia nikiwa mozambique
Kwli haelekei kufuga rsta😂
Uno la sogonyo😂😂😂
❤❤❤❤kakosotunawasubili mnaweza
Kakoso mimi wewe apewi pole mwenye kilanga mm nipo upande wa mwasi ila kazi zako nzuri sanaaa
Aaa mwassi weee njoo kwangu jaman!!🤣🤣
🔥🔥🔥lishangazi lina wivu jamani 😂😂😂eti mshenzi wee😂😂😍👏
hahaha mwakatope bwana soma iyooooo
Nakukubali kutoka Congo drc
Safi sana kazi nzuri 💯❤
Iyo kingereza ya kipara nimetii😂😂
Kakoso n noma sana👊🥰
Jamani kipara wachana na kingereza😂😂😂
Nakubali sana🎉🎉
Kipara na kiingereza 😅😅😅😅🎉
maana acha ile ya kupatwa kwa jua na mwezi sasa huku ni kupatwa kwa kiingereza🤣🤣🤣🤣🤣
Kiswanglishi
Kipara bana😂😂all in all😅😅
Kabisa jaden kupendeza sasa
Kipara na kingereza wee hatari 😂😂
Mwakatobe🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Unajua sana Kaká
You are nice for everybody ?😅😅😅 OK nice
Kilazama na mamboyake huu ni wakatiwenu ushauriwangu kwenu malizeni kazizenu msizikatishe ili mashabik wawe na nyege ya kinacho fuata nashauri.
Kipara mtu 🔥🔥
Kakoso kula chuma icho😂😂
Ulipo nipo mpendwa napenda San kanzi zako broo zipo moto San Mungu akubaliki popote ulipo
Jaden rasta hazikufayi ukohesamu❤bila rasta🎉🎉
Kipara n hicho kidhunguuuuuuu😅😅😅😅😅
😁😁😁😁😁🤣mwasi unatukusiya wanawake tunamapezi yazati kakoso pewa azabu unaistaili🇧🇮
Waooo mwakatobe uyooo
Kipara Acha kutupiga na vingereza 😂😂
😂😂😂😂kiingeleza typing
Jifunze kingereza bro
hii kizungu ya kipara,,oro in oro 😅😅😅
😅😅😅😂😂😂😂 mwakatobee sasa😂😂😂
Nice move 👍👍👍👍🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤from Kenya 🇰🇪
Kakoso ameweza
From congo Nipo na nynyi 100%
Kumbe kakoso sio kakosa yanikwamba mwasi atani mweupee😂
Big up brooh❤
Vizuri sana
Waomba like hawachelewi😂😂😂😂
tatzo unatoa Sana uno la sogojo ndy maana hatusabcrib😂😂😂😂😂
Kazii nzuri sana nimeipenda
Kipara na kizungu😂😂😂😂😂
Sengo mashaallah ❤❤
Kazi nzuri
so mens are all equal😂😂😂😂😂kakoso forgive me but we learn from our mistakes,,,,and once learned we agree on our mistakes and ask for forgiveness and everything moves on well❤❤❤❤much love from kenta🎉🎉
Dah bro kipara ck hz uno vzr
Mungu akutangulie
Nice vraiment kakoso
Nyie aki mwas mzur
Huyu kipara si achane tu na kizungu😂😂😂aongee tu kiswahili chake kizungu ni za watu wengine ila si ya watanzania😢😂😂😂😂
next pleaz
Mimi ni mukenya 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 jakwanza kuona
Umitisha sana❤
Umemaliza mapema kskoso
Soma iyooooooooo
Kipara Mzee wa Oro in Oro😂 nipeni like zangu jamani
Lete vituu kakoso tunasubiria
Jaman mbona tumesabu😂😂😂
Kamwasi kazuri 🎉🎉🎉🎉
Next 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Kipala na kingeleza sasa😂
Oro ovo oro much love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪😂😂😂😂😂
English for me😂😂😂😂😂nice
Hiyo scene ya Mwasi amekutana na Mwakatobe sijaipenda kwasababu wamekutana kienyeji sana wakat ingependeza zaid kama wangekutana nyumban kwa Mwakatobe na kuwe kuna mazingira ya kishirikina kisha afanye vitu vya kishirikina zaidi ya hapo ili kutuma hicho kimbola chake kwa Kakoso.
Jaden ukiwa huna rasta unapendeza usisuke tena
Sawa 🙏
Nzuli.sana.muenderezo
Kipala unaharibu movie yetu na kithungu chako
Kipara😂😂😂😂 kingereza chako t mie hoi🤣🤣 bt big up sana kaka mkubwa❤.
Ngufu kaka ata uku Mozambique tuna kufatilia
Crew ya CLAM haijawahi feli. Ushauri wangu kwenu mweu munatupa moja baada ya nyengine kama hivi mlivotufanyia kwa hii the lie. Mkituletea nyingi kwa wakati mmoja tutachoka kuwafatilia kote. NI ushauri tuu but kazi nzuri
Wanaangaika na project nyingi had wanachelewesha zingine kwa kutoku focus nazo ili watoe hiz
Moja baada ya ingine ingefaa
Kipara ni noma xana
Ushakula kibola kakoso😂
kiingereza cha kipara 😂😂😂😂 im sory im sorry so sorry
Kipara unatukera bhana
😂uno la sogojo hilooo
Uno la sogojo 😅😅
nimechelewa kodogo😢,lakini bora kuchelewa kuliko kukosa,nipeni likes wadau
Kipara tumia lugha ya kiswahili pekee itapendeza zaidi
Nimependa sanq kingereza asee
Kama umefrahi😂😂 kumwona mwakatobe.gonga like❤❤