DADA ALIYEFILISIKA KWA UTAJIRI MKUBWA ALIOMILIKI AFUNGUKA MAISHA ALIYONAYO

Поделиться
HTML-код

Комментарии • 142

  • @KassanKifuma
    @KassanKifuma 2 месяца назад +1

    Samweli KATIKA maojiano ingine anasema kwamba Kila mzazi yupo. Huenda samweli ni muhongo pia maana dada anasema. Baba kashatolewa kafara

  • @HadijaIddi-vi1qm
    @HadijaIddi-vi1qm 2 месяца назад

    Kikubwa kumtegemea Mungu pekee bas emungu nakuomba niepushe katika ushetan huu

  • @fransiscahkabua
    @fransiscahkabua 10 месяцев назад +4

    This is true I went through this in the family .mi dad is dead.thus spirits are torturing people without knowing somebody in the family is behind the scene .This is serious don't even joke about it ca finish whole family. May JESUS protect us.

  • @reachelchemtai2604
    @reachelchemtai2604 10 месяцев назад +2

    Tamaa ni mbaya Sana hata hujali la. Mungu shatani Hana huruma

  • @aliasha804
    @aliasha804 9 месяцев назад +3

    Pastor Ezekiel ni mtumishi wa Mungu halali yeye sio freemason chunga kinywa chako wewe

    • @LaurianeMatondo
      @LaurianeMatondo 9 месяцев назад

      Wewe mpofu huwezi kubali sababu huna macho ya roho

  • @HappyMatias
    @HappyMatias 7 месяцев назад

    Mtegemee mungu kufanikiwa kupo

  • @amanimargaret.1576
    @amanimargaret.1576 10 месяцев назад +6

    Samuel kasema alitoka freemason sababu kakataa kutoa babake..kumbe kamtoa😢basi huyu kijana bado ako Freemasons..mwanahabari Samuel ni mupgo

    • @paulinekangu729
      @paulinekangu729 9 месяцев назад

      Wewe umewahi ona mtu yeyote ametoka freemason na bado ana Mali ya huko? Mimi simuwamini huyu kijana kabisa.

    • @GetrudeElias-f5o
      @GetrudeElias-f5o 7 месяцев назад

      Mm nahis alovo ombwa baba ndio kakimbia kutoa sir nakujitowa ndio ikawa ngum so baba akachukuliwa ndio nayyeye kwa ushuda wa pil akawa ana changanya maelezo

  • @JacobSamwel-l2r
    @JacobSamwel-l2r 8 месяцев назад +1

    Hawa lussifa ana wasumbua wataingia jehanamu watachomwa moto😮😮😮

  • @Gladys-d2i
    @Gladys-d2i 8 месяцев назад +1

    Nimejaribu kuvuatilia story ya Samuel me Ata zimwelewi anatujanganya uongo nini?

  • @ASKENAZMICHAEL
    @ASKENAZMICHAEL 9 месяцев назад +3

    Samwel alisema kwao watoto wako sita na yeye n mtoto wa mwisho lkn ccter anasema watoto wa nne tu which is true

  • @amanimargaret.1576
    @amanimargaret.1576 10 месяцев назад +4

    Mtangazaji Samuel atakutoa wewe sasa achana na Samueeeeeli ni freemason..

  • @PredeterKimrey-y2q
    @PredeterKimrey-y2q 10 месяцев назад +1

    Mm ningeshauli kitu kwann msichukue vielelezo vya picha na vitu ili watu wajue nikweli au laah kwa macho

  • @eufemiagadau9785
    @eufemiagadau9785 9 месяцев назад +1

    Wenye akili tumejua samweli anaigiza tu kutulia MB zetu japo,uongo wenu mmejitahidi kuigiza KWA HILI mwandishi umefeli wapo sumbawanga kijiji gani? Na hospitali ipi alifia huyo baba ? Pia anaitwa samweli nani? Ukoo gani huyu ,shule huku swax kasoma shule gani?mama enu wa ukoo gani?

    • @AnethSwila-tw9mv
      @AnethSwila-tw9mv 9 месяцев назад

      Umenifurahisha kwa swali lako ni Kijiji gani na swanga sehemu ipi

  • @fredrickrana1037
    @fredrickrana1037 9 месяцев назад +1

    Reasons to why hizi ni story za jaba
    1. Jamaa alisema jina lake halisi ni Emmanuel. Samueli ni ya free mason but bado naskia akiitwa samueli.
    2. Samueli kasema awali hakuuwa babake but sasa dadake yuasema babake kafa
    Maneeeeeeeno hayo

  • @2pacofking
    @2pacofking 10 месяцев назад +4

    Mbona Samuel alisema kwamba alikataa kumtowa kafara baba yake
    Kumbe alimtowa baba ya INAUMIZA🤮🤮🤮🤮

    • @janeombati2290
      @janeombati2290 10 месяцев назад +1

      Samuel muongo huwenzi miliki mali za shetani bira garama na ukitoka zinawarundia wenyewe wamwite anje atufafanulie

    • @janeombati2290
      @janeombati2290 10 месяцев назад

      Unawenza aje kucherewa kwenda kunzika mzazi wako mimi simwamini Samuel

    • @comedyarena3102
      @comedyarena3102 9 месяцев назад

      Ukweli

  • @2pacofking
    @2pacofking 10 месяцев назад +3

    😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭Samuel mtummbaya kumbe

  • @EmmanuelChao
    @EmmanuelChao 9 месяцев назад +1

    Alisema anaitwa Emanuel alafu shetani alimbadilisha jina na kumwita samweli,na anasema ameshatoka freemason lakini bado anaitwa samweli,basi huyu jamaa ajatoka bado

  • @JoyceBuda
    @JoyceBuda 9 месяцев назад

    Nyie nae mnakera bwana Samwel alisema mke Wake alizoea alivyokua anatoka leo hii hapa hana mchumba wala nn upuuzi na uongo

  • @GideonKelvin-cm5pp
    @GideonKelvin-cm5pp 9 месяцев назад +1

    Ilitujue kama kweli samweli katoka freemason embu Maks Media ombeni meeting ya interview na samweli saa 6 usiku siku ya j3,j4 na ijumaa ilituon kama ataenda ibadani au laa

  • @gastosalehe3658
    @gastosalehe3658 9 месяцев назад +1

    Mbona mnatuchanganya ndugu mtangazaji mara baba yake samweli kafa mara hajafa sasa tushike lipi tuache lipi

  • @LizBrenda-i8w
    @LizBrenda-i8w 9 месяцев назад +1

    Samueli ako mission mjichinge sana na yeye

  • @mutioruth
    @mutioruth 10 месяцев назад +1

    Mi pia naona bado hajatoka huko.
    Kwanza si alisema hakumtoa babake kafara.dadake huku anasema opposite

  • @BakariKassim-gs5ke
    @BakariKassim-gs5ke 10 месяцев назад +2

    Hao ni waongo tu

  • @daudilangat6123
    @daudilangat6123 10 месяцев назад +3

    Kwani kila mtu ana za kwake Samuel alisema hakumtoa babake huku dadake anasema bb yao alitolewa kafara muaji hizo story zenu

    • @BlessingsMatowe
      @BlessingsMatowe 9 месяцев назад

      Hata na mimi na shangaa mbona alisema wakati alikuwa anasusuwa kumtowa bwana Yesu akamtokea basi biashara akaishia hapo yeye na shetani wake

  • @bupemoreen9974
    @bupemoreen9974 9 месяцев назад

    Mbona huyu ni Kama Yule alosema alikua Demi wake haaaahaaaa

  • @comedyarena3102
    @comedyarena3102 9 месяцев назад +3

    Samweli alisema hakumua baba yake

  • @YohanaRajab
    @YohanaRajab 9 месяцев назад

    😅so kwaumbea huo ila mpo vizuri japo mmekosea kidog ila muwe wakweri kama mmetuletea stori2

  • @namwelgeorge
    @namwelgeorge 10 месяцев назад +2

    hatuwaelewi kwa sababu kila mtu ana fikra zake

  • @mildredakinyi9855
    @mildredakinyi9855 9 месяцев назад

    Huyu samueli ametumika kuwaficha hawa matapeli . Mbona kenya tume adhirika sana na hawa natapeli. Samueli su mkweli

  • @MachoziKitabu
    @MachoziKitabu 10 месяцев назад +1

    Inauma sana

  • @PeterNzinza
    @PeterNzinza 10 месяцев назад +2

    Samweli nimuongo

  • @PatriciaAkena
    @PatriciaAkena 9 месяцев назад

    I think so he repeat himself..so sad watoto wale wanakata kusoma wanataka pesa ya raisi

  • @ShamilaMsabah
    @ShamilaMsabah 9 месяцев назад

    Jaman sasa tumuelewe nan maana aligombana na lusifa ili asimtoe baba kumbe ali alimtoa duuh

  • @VictorineAchieng
    @VictorineAchieng 10 месяцев назад +1

    Inamaana huyu samwel bado yupo freemason ajatoka huku akidanganya ETI ashatoka huko huyu km ashageuzwa akili Na hicho chama

    • @michelinemapendo6652
      @michelinemapendo6652 10 месяцев назад

      Mimi nikimusikiliza najisikiya akingaliki na nguvu zakishetani yaaani akingaliki Frimason 😢😢😢 Mungu Atulinde 😢😢😢😢

    • @clasclass
      @clasclass 10 месяцев назад

      Pia mimi nahisi hivo maana anadanganya watu eti Ezekiel na geo davie ni watumishi wa kweli wa Mungu ilhali some twajua Ezekiel na geo davie ni freemason, Mungu amsamehe

  • @dotaofmosthigh2489
    @dotaofmosthigh2489 9 месяцев назад +1

    Alafu sis yake anasema walishangaa hela kazitoa wapi samueli,huku samueli alisema watu kijiji ninwalikuwa washajua yeye ni tajiri......mbona

  • @feliciarfrancis2388
    @feliciarfrancis2388 10 месяцев назад +2

    Samwel anatakiw aje afafanue zaidi kuhusu hii ,hawa watu kuna kitu wanacho !!!!!

  • @LUGADAGUJA
    @LUGADAGUJA 8 месяцев назад

    Samwel alisema mwanzo aliendaga mzazi aliendaga aka mpa hela yakutosha waogo

  • @farhannahkulishwaburekunam5360
    @farhannahkulishwaburekunam5360 10 месяцев назад +1

    Na huyo keshaanza kumtoa baba sasa atafata mwingine hatari

  • @JacobSamwel-l2r
    @JacobSamwel-l2r 8 месяцев назад

    Hawa waongo

  • @noelmbosa2736
    @noelmbosa2736 8 месяцев назад

    Mmmmmmmmm!!!!

  • @MannoKabongo
    @MannoKabongo 9 месяцев назад

    Muongo Samuel amemuuwa mzazi wake

  • @EvalineRyoba-gr8xn
    @EvalineRyoba-gr8xn 10 месяцев назад +1

    Mbona samwel muongo hivyo mungu azidi kumlani

  • @PatriciaAkena
    @PatriciaAkena 9 месяцев назад

    Mtu wa freemason hua awa uthuri mzishi arusiwi kumuona

  • @LucywanjiruMwangi-fy5vz
    @LucywanjiruMwangi-fy5vz 9 месяцев назад

    Samueli ni muongo sana,bona aedelea kujiita samueli ,jina alilopewa
    na shetani

  • @DotoFulgence
    @DotoFulgence 9 месяцев назад

    Samweli anasema wazazi wapo wapo fiti baba yupo hai dada ake anasema baba amefariki vp tumuamini nan au ni mchongo huu

  • @HappyStephan
    @HappyStephan 5 месяцев назад

    Hawa ni wanafki wakubwa2

  • @georgesalala1781
    @georgesalala1781 9 месяцев назад

    Hawa wanashangaza na maneno Yao. Hilo jina la samwel alipewa huko freemason: inakuwaje familia au ndugu wanaendelea kumtaja kwa jina Hilo? Hii ni story ya kutunga.

  • @collinstraveler
    @collinstraveler 9 месяцев назад

    😂😂waigizaji hatari😅😅😅😅

  • @ModaleLuutu
    @ModaleLuutu 9 месяцев назад

    Inamaana samweli anadanganya .yeye iko kwenye campany yakuchukuwa wengine awapeleke ufrimacone

  • @FrankDaniel-q1t
    @FrankDaniel-q1t 10 месяцев назад

    Jamani.acheni.kupotosha.watu.hichochama.siochawahuni.kama.unavyowapotosha.achenille.mb.zawatu

  • @LUGADAGUJA
    @LUGADAGUJA 8 месяцев назад

    😮hawa ni sitoli

  • @IddLuambano
    @IddLuambano 9 месяцев назад

    Mwongo tu samweli ni lazima utoe kafara uwezi kutoka kule acha uhuni

  • @abdinasirbashey
    @abdinasirbashey 9 месяцев назад +1

    This is drama, look Samuel does he look like someone travelled across the world or billions he is talking, even their drama is fake

  • @JadotNkiko
    @JadotNkiko 9 месяцев назад

    Djami ya samueli ina hitajika kuomba sana

  • @gracelynfortlightamooti6763
    @gracelynfortlightamooti6763 9 месяцев назад

    Mwenyewe alisema hataki kumpa shetani pesa zake, ni kwanini asimpe kama ameisha toka?🤷

  • @mwanaidimdee698
    @mwanaidimdee698 9 месяцев назад

    Wamepangwa huyo samweli cjui kapewa bei gani?

  • @georgeoromo799
    @georgeoromo799 9 месяцев назад

    Samweli ni mwuaji na hajaondoka katika freemasonry yuabudu shetani huyo kijana 😢.na atswatoa kafara nyote.

    • @gracelynfortlightamooti6763
      @gracelynfortlightamooti6763 9 месяцев назад

      Anaonekana kabisa huyo kijana still working for Satan. Angekuwa amefariki mwenyewe, ila alimpa alicho muomba

  • @2pacofking
    @2pacofking 10 месяцев назад +1

    Inaumasana😂😂

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 10 месяцев назад +2

    Kuanzia leo sifuatilii tena story zenu mnaokota watu waje kuigiza hapa kusema ukweli mnaboa sana tena naripoti account yako ndiyo nitoke mazima

  • @BakariKassim-gs5ke
    @BakariKassim-gs5ke 10 месяцев назад +1

    Ripota msenge na huyo dada malaya tu wote wanasagana mbwa hao

    • @JustinMarcus-h7w
      @JustinMarcus-h7w 5 месяцев назад

      Acha matani wewe wa2 wanatokewa na ayah matukiooo sio vzr bhn ndg😢😢

  • @MoshiSaidiy
    @MoshiSaidiy 9 месяцев назад

    Wasenge tu

  • @amanimargaret.1576
    @amanimargaret.1576 10 месяцев назад

    This is a movie but why

  • @2pacofking
    @2pacofking 10 месяцев назад +1

    Inaumiza sana baba nimtu muimu sanakwenye family👪👪👪👪 sana na MAMA😂😂😂😂😂

    • @AshaJohn-rc2wx
      @AshaJohn-rc2wx 10 месяцев назад

      Sumbawanga ya wapi hapo we mtangazaji mbona mnatudanganya sana

  • @rayahamisi118
    @rayahamisi118 10 месяцев назад

    Wee kumbe simba wanga😊😊😊 bas

  • @GraceLucy-h1l
    @GraceLucy-h1l 10 месяцев назад +1

    huyu alikuja kuongea kama hajajitayarisha kimawazo

  • @godfreymusungu
    @godfreymusungu 10 месяцев назад

    Huyo jama bado ako freemason, juu alisema walitaka auwe babake then akakataa,na mbona dadake kasema ukweli,kuwa,kauwa babake akiwa bado Freemason,don't full people.

    • @clasclass
      @clasclass 10 месяцев назад

      Na pia anatetea mapastors wa freemason Ezekiel na geo davie kwa kudanganya eti ni wa kweli

  • @HabibuMzanda
    @HabibuMzanda 9 месяцев назад

    Bado hamjasema hii ndo youtube na hii bila internet data haifanyi kazi 😂😂😂😂

  • @YeyeGenge
    @YeyeGenge 9 месяцев назад

    taften hela halali jaman mmh hata kama 200 yak

  • @duncanombasa3636
    @duncanombasa3636 9 месяцев назад +1

    Nani amekufa sasa kwa vile samwel anasema babake yupo

  • @JamesKamau-k6s
    @JamesKamau-k6s 9 месяцев назад

    Iyo story zenyu ni za njamba_samweul alisema akotoa bake tena aty amekufa

  • @reenyaysher7639
    @reenyaysher7639 9 месяцев назад +1

    Hii chanel ni ya uongo ebu tu report youtube maana wanatunga stories😮😮

  • @SharifaDadi-o6u
    @SharifaDadi-o6u 10 месяцев назад

    Samweli ni mshenzi tu alimtoa baba yake alafu anadanganya samweli ni nyoka

  • @FEIDEYII
    @FEIDEYII 10 месяцев назад

    Mbona munatuchezeya hakilini djamani mbona samweli alikataa kama hakutoa babayake kafara nyinyi mime towawapi hii story wapi

  • @AdamuAthuman-ni3on
    @AdamuAthuman-ni3on 9 месяцев назад

    She's totally lying.not samwel,s sister,,,just content

  • @reenyaysher7639
    @reenyaysher7639 9 месяцев назад

    Wanaigiza wote hawa😮

  • @eugeniamartin7737
    @eugeniamartin7737 9 месяцев назад

    Waongo wakubwa nyie. Samwel anasema Baba yake yupo, dada yake anasema Baba yao alikufa. Which is which

  • @clasclass
    @clasclass 10 месяцев назад +16

    Samueli ni muongo, anashinda ametetea mapastors wa freemason kina Geo davie na Ezekiel kwa kudanganya watu eti ni watumishi wa kweli wa Mungu, Yesu kristo amsamehe maana atahukumiwa moto wa jehanamu, ebu mfwatililieni mtume meshack of ukweli ministries in RUclips channel mwone jinsi anavyowakemea hawa kina Ezekiel na kina geo davie

    • @nurafedrick378
      @nurafedrick378 9 месяцев назад +2

      Chini ya jua Mungu pekeee ndo tumaini kupitia mwanae yesu kirstu aliefia msalabani kwa Ajili yetuu

    • @Sylvester-wk4dp
      @Sylvester-wk4dp 9 месяцев назад +3

      Munachukia Samuel kwababu anasema ukweli na nyinyi amtaki. Ni nyinyi mutachomeka.

    • @susangitahi1999
      @susangitahi1999 9 месяцев назад +1

      Wewe ndiye mwongo.kwani wewe uko kwa ufalme wa giza?

    • @mildredakinyi9855
      @mildredakinyi9855 9 месяцев назад +1

      Ni kweli huyu kijana si mkweli ametumika kuwaficha Hawa natapeli

    • @yohanajackson4870
      @yohanajackson4870 9 месяцев назад +1

      😊😊😊

  • @yukundapeter8200
    @yukundapeter8200 10 месяцев назад

    Muongo iweje dada na liwifi yafanane sura hadi sauti.

  • @hassanyunus4634
    @hassanyunus4634 10 месяцев назад +2

    Ina maana wanaigiza

  • @FaridaNgitu
    @FaridaNgitu 10 месяцев назад

    Samweli bado ajatoka

  • @AthanasiaChelu
    @AthanasiaChelu 6 месяцев назад

    Bado yupo uko sas kwann atoe siri wakt BDO yupo uko

  • @jonasmpita2206
    @jonasmpita2206 9 месяцев назад

    Bora dada kasema ukweli, maana kakaake cha ajabu ndo kuna video anawasema watumishi wa Mungu wakati yeye kambutua mdingi

  • @FaridaNgitu
    @FaridaNgitu 10 месяцев назад

    Yuko kwenyechama ya wana

  • @truthandrighteousness
    @truthandrighteousness 9 месяцев назад

    Mbona freemason huonekana kufanya mambo yao kwa kuficha sana?? Wana hofu gani??

  • @osimbojoseph2177
    @osimbojoseph2177 10 месяцев назад

    Samueli alitoa babake kafara?

    • @comedyarena3102
      @comedyarena3102 9 месяцев назад +1

      Alisema alikataa kutoa baba yake kafara mbona tena kafariki

  • @jacintahshighadi8305
    @jacintahshighadi8305 9 месяцев назад

    😂😂😂😂weuh apa muko job ukweli uko wapi sasa

  • @Sylvester-wk4dp
    @Sylvester-wk4dp 9 месяцев назад

    I think u sacrificed your father b4 u servived🇺🇬

    • @Sylvester-wk4dp
      @Sylvester-wk4dp 9 месяцев назад

      Samuel let us know, did u sacrifice your Father after escape or b4?🇺🇬

  • @sharifahabsi5004
    @sharifahabsi5004 9 месяцев назад

    Mmmmmh

  • @PredeterKimrey-y2q
    @PredeterKimrey-y2q 10 месяцев назад

    Mh!!

  • @EvalineRyoba-gr8xn
    @EvalineRyoba-gr8xn 10 месяцев назад +1

    Me siamini au mnaigiza ili mpate views na malike tu hizo ni kiki tu muogopeni mungu nyie wahandishi

  • @EliasEmanuel-yg5po
    @EliasEmanuel-yg5po 9 месяцев назад

    Ninamkasa mkali

  • @JeniferWafula-e6n
    @JeniferWafula-e6n 10 месяцев назад

    Samuel ni muongo na muaji

  • @felixmugambi2237
    @felixmugambi2237 10 месяцев назад

    Hinaonekana hii ni muchezo

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 9 месяцев назад

    WEWE MDADA USIJICHAFULIE JINA NA KUUZA SULA YAKO KWA KULIPWA PESA KIDOGO BAADA YA SIKU MBILI TATU KUOMBA MISAMAA MITANDAONI HUYO SAMUEL MUONGO KUPINDUKIA WAONGO MNACHANGANYANA SASA YELE SIKU ZA NYUMA ALIONGEA VINGINE WAONGO WOTE NYINYI UMELIPWA PESA NGAPI MADAM KAMA MAISHA MAGUMU KWAKO UZA KUMA YAKO UONGO SIO MZURI SULA KAMA NGEDELE WA INDIA 😂😂😂

  • @pamelaochieng4358
    @pamelaochieng4358 10 месяцев назад +1

    Huyu samwel si alisema alikataa kumtoa babake kafara, ?

    • @silviaingutia2870
      @silviaingutia2870 10 месяцев назад

      Samuel alisema walitaka atoe bbke akakataa kuumanisha hajafa bbke

    • @pamelaochieng4358
      @pamelaochieng4358 10 месяцев назад

      Lakini dadake ndio huyu anasema baba aliaga

  • @DicksonJoelyshija
    @DicksonJoelyshija 10 месяцев назад

    Hawa ni, wahuni wa mtandaoni, samwel alidai kwamba. Alikataa kumuua baba yake, nawewe unasema kwamba alikufa baba yako acheni ushamba, basi

    • @PeterNzinza
      @PeterNzinza 10 месяцев назад

      Kweri Hawa niwahuni nasamweli wake

    • @DotoFulgence
      @DotoFulgence 9 месяцев назад

      Ata awaeleweki apa kuna uwongo wenye ukweli

  • @DaudChomola
    @DaudChomola 10 месяцев назад +1

    Mbona samwel alisimulia kwamba alikataa kumtoa kafala baba yake? Na ndio chanzo Cha kujitoa freemason? Sasa huyu dada simuelewi..au ikoje?

    • @pacifiquemuzo7446
      @pacifiquemuzo7446 10 месяцев назад +1

      Samuel nimuhongo kabisa kunasiri ambayo haja zungumuza .

    • @felixmugambi2237
      @felixmugambi2237 10 месяцев назад

      Hii ni mchezo

    • @curthbertsimbao4636
      @curthbertsimbao4636 10 месяцев назад +2

      Mmmmmmh unmhuuu hawa jamaa!! Mi sielewi

    • @angelsgabriely3575
      @angelsgabriely3575 9 месяцев назад

      Samwel ni muongo alshamtoa baba yake,.ndo maana alpank walvosikia wanaenda kwa mtaalam,..samwel bado freemason mkubwa sana,..amemtoa baba yake km sadaka ya ngombe,.ukiambiwa utoe ngombe ni mzaz,ndo maana naye akachnja ng'ombe

    • @eufemiagadau9785
      @eufemiagadau9785 9 месяцев назад

      Wala hakujiunga hata hao freemason hawajui kabisa huyu awa wanatafuta kiki labda WANATANGAZA INJILI KUAMINISHA WATU KUWA JINA LA YESU KRISTU NI KUBWA KULIKO freemason njia waloitumia kufukisha ujumbe ndio utata jitanhazeni

  • @ArmindoAugusto-s6q
    @ArmindoAugusto-s6q 9 месяцев назад

    Samwel wewe unachanganha wato unasema umekataa kutowa babá yako kafara dada anasema urihuhuwa Ngombe mashishi ya babá.

  • @rayahamisi118
    @rayahamisi118 10 месяцев назад

    Wapi uko mashamba milion 2

  • @dotaofmosthigh2489
    @dotaofmosthigh2489 9 месяцев назад

    Alafu sis yake anasema walishangaa hela kazitoa wapi samueli,huku samueli alisema watu kijiji ninwalikuwa washajua yeye ni tajiri......mbona