RC. NAWANDA AWAAGIZA WAKURUGENZI KUWAPATIA MIKOPO VIJANA WANAOFANYA VIZURI KWENYE KILIMO.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024
  • Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mhe. Dkt. Yahaya Nawanda amewaagiza Wakuu wa Wilaya, Wakurugenzi na Maafisa kilimo kiwaibua vijana wanaofanya vizuri katika kilimo na kuwapatia Mikopo ya Vijana ya asilimia nne.
    Akiwa wilayani Itilima katika ziara ya ukaguzi wa Miradi na ufuatiliaji wa Shughuli za Kiuchumi Mhe. Nawanda alisema
    " Mkuu wa Wilaya, Mkurugenzi na Afisa Kilimo wa Wilaya Mhakikishe mnawaorodhesha vijana wote wanaofanya viziri katika kilimo na kuwapatia mikopo ya Vijana"

Комментарии • 1