MKASA WA BINTI ANAEJIUZA ELEMENT MASAKI,AFUNGUKA ''NATAMANI KUACHA HII KAZI ILA MAISHA MAGUMU.
HTML-код
- Опубликовано: 28 сен 2024
- FUATILIA KISA NA MKASA WA BINTI ANAEJIUZA MASAKI ATAMANI KUACHANA NA KAZI YA KUUZA MWILI LAKINI CHANGAMOTO NI UGUMU WA MAISHA.
She's very open.. And i believe her smile will change her life
Yeah she very cute ☺️…. And seem very honest and open person ❤
ruclips.net/video/fQ4LU8JQrCQ/видео.htmlsi=gSu_fy8UdCIJnwlU
Mpaka nimehic kulia😢😢
Pole Sana Dada na kweli Binti anajielewa Ila ni Maisha Tu Mungu atanisaidia
Mimi ni Wakigoma, i wish nimsaidie, she is very smart
Very true
Behind that smile there is hidden bitterness…Mungu akusaidie binti
For sure..
Kuna wenye maisha mazuri hawana hilo smile😮
Binti mzuri sana na ana akili Mungu amsaidie atoke huko
She was very honest maaaan. I even cried,From Kenya🇰🇪
May she live long
Nimepata uchungu sana nakumbuka kipindi naingia dar nilikuwa mdogo kuliko huyu alafu sikuwa na kazi ila nilipelekwa nikafanye kazi bar kwel nilipata kazi bar sikuwahi kujiuza ila nilikuwa napitia changamoto sana za matusi kwa wateja sikuwahi kuipenda hiyo kazi hata siku moja na mwenyezmungu aliliona hilo kuwa ni shida ndo zilinopeleka huko ila kiukwel sasa nimekuwa na nimeolewa na kaka mmoja wa kisukuma anayempenda mungu na aliyekubaliana na mim toka tulivyokutana hadi leo hii ni baba bora kwa wangu na nimume bora sana kwenye maisha yangu tulitoka dar tupo dodoma kwa sasa tumejenga kwetu na tunaishi kwa furaha sana hakika mungu atafungua milango ya huyu mtoto pia namuombea mungu amuonekanie katika kila hitaji lake na amfungulie milango yake ya baraka🙏
Ongela
hongera sana da rose
Ubarikiwesanna
Timiza malengo uache wewe Bado ni mdogo
👏👏@rosemary3017
Shes so genuine, brave and naive. I hope she gets education and help
Habari Jamii mko vizuri kwa kutafuta viewers mmefanya ubunifu mzuri, mmemtengeneza hadi katengenezeka😂😂😂
Ila nami nahisi hii content kabisa ÿa kutengeneza.
Kama nakuelewa vile
Dogo anaongea kwa kujiamin sana na huyu anaonekana ana akili sana mwenye ana uwezo anamjua had mungu kiasi Gani naamin IPO siku mungu atambadilisha 🙏🙏😢😢😢
Kbs yaaan
Ana akili kuliko hata wanao mhoji
@@machakuroger7068 sahihi
@@machakuroger7068😂😂😂
Mungu hakusaidie utoke huko 😢😢😢kujiuza ni kuweka rehan afya na maisha kwa ujumla😢 pole
Daaah sio poa mdogo wangu pole sana M/MUNGU MKUBWA nakuombea upate kazi INSHALLAH 🙏
Inauma sana huyu bint anaonyesha dhahiri hapend haya mambo kabisa.mungu atakusaidia bint
mmh hapana... ni kutokuridhika na ulichonacho. Yani mtu kaishia form 4 kaenda kujiuza kweli?
@gidemeritus9644 Bora hata afanye kazi za ndani😢😢
Hajui kama Kuna mtandao masikin et kaka hawez kujua Yani Bado mdogo sana nawaomben Alie guswa na anao uwezo amsaidie huyu bint eee mwenyez mungu mwangalie Kwa jicho la huruma huyu bint umuokoe ktk janga hili insha Allah
Nimepata huzuni sana nikimsikiliza huyu binti ..
ningejib ila ninyamaze
Pamoja na magumu anayo pitia lakini she still smiling ..😔 Mungu akuponye mi binafsi nakuelewa umaskini mbaya jmn 😭😭
Sanaa dear😢😢😢😢😢😢😢😢😢umaskini mbaya sana😢😢😢😢😢
I really like her courage...
A very young girl may God see her through 🇰🇪
Hi there
Ar u in Nairobi
@@ayubzaka1598 Hi, i am far away from Nairobi
Surely
Mwenyezi mungu akufanyie wepesi Zuwena
ruclips.net/video/fQ4LU8JQrCQ/видео.htmlsi=gSu_fy8UdCIJnwlU
Sio ya kuchekerea hi kaz jmn maradhi ni mengi uyu sawa na mtto wangu miaka yake ndio mtto wangu jmn allah awaongoze watto wetu na hatujarie mwisho mwema
Hatari
High Confidence nimependa one day yes mungu atomuacha bure
Kizuri Zuwena.Allah akujaliye upate mtu akusaidie
Very sad story gal like this government shld take her to school
19yrs to small shld be in form 3or four
Dah inaumiza sana ,ukweli maisha ni magum ila tunahtaji subira na juhudu,pia mungu atunusuru sote kwan hakuna aijuae kesho yake
Samahani kama itawezekana naomba number za huyu dogo anahitaji kusaidiwa sana sana bado ni mdogo bado anaweza kusaidiwa na akafanya mambo ya haki na akafanikiwa na akatunza familia yake
Acha umalaya unataka kumtomba tuu huna lolote
😂😂😂
😂😂😂kal
@@robertmzizima9621😂😂😂😂😂
😂😂😂 you're so funny @@robertmzizima9621
Namuonea huruma bado mdogo mwenyewe anaonesha mcheshi mpole sema tu maisha dah nimeumia 😭😭😭
Waooow just a happy soul
Sad story my gal I wish I cld help u
Mdogo sana maskin mwili ndio umemzid tu
Daaaah... It's so sensitive 😔
Anatabasamu zuri anajiamini tumpatie mtaji atoke Huku Coz Mungu anamjua Pia...
Ingawa wanasema 'Kunguru Hafugiki ' 😢
One thing we should not forget is that prostitution is not as a result of poverty but a spirit that enters one who is insensitive to spiritual matters, she needs counseling and deliverance before being given financial support, sometimes I usually ask myself " how much is enough"
Very true
Ni kweli
Very true
This is very true,the devil traces your life and blocks your paths later on he intrudes spirits in you
Nimependa confidence yake. Akisaidiwa naweza kuwa mtu mkubwa Sana.
sio confidence ni ujinga alionao kichwani hajui hata anachokiongea, hiyo ni tabia tuun angekuwa wa kuacha mtaji wa mama ntilie alikuwa kashaupata kwama kwa siki elfu hamsini
Yes ni ujinga angekuwa anajitambua angejifunika uso, na Kama anasema anapata sh elfu 50 kwa siku anshindwaje kupata mtaji Kama watu wanaanza na mtaji wa sh elfu 10?
@@winifridarugayana7312elfu 50 kwa siku na anasema ni hela ya kula hamna mafanikio yoyote
😭😭😭😭 mdgo wangu Zuh nimeumia kweli natamani nikusaidie Ila Sina nakuombea mungu akupe mtu atakae kusaidia ila nakuombea ukipata ata mtu wakukupa kazi ata zandani usikatae maisha nimagum ila iyo kazi Ina changamoto sana magonjwa mengi yanayotibika nayasio tibika😭😭
Mamb
Pole sana,,cjui nikusaidie nn mimijaman,,,watanzania huyu ni mwenzetu
Hakuna maisha magumu mbele ya Mwenyezi Mungu ☝️ "
Exactly 💯 ni vile tu sisi binadamu tumekua na vichwa vingumu hatutaki kuisikia sauti yake.
Daaaaaaaaah inauma sana bora mm napambana na kaz za ndani mungu tusaidie😢😢
Acha uzembe Mungu hajakuumba kuwa hivo.
Uzembe gani Tena si Bora hiyo Kaz za ndani mshahara mzuri Tena kama Yuko nje@@petermakubi
@@petermakubi sio uzembembe pia ni Kaz Kama Kaz nyingine kuliko kujiiza 😏🤣🤣
@@AnnaAmanda-v4q mhhh Fanya kwa muda uachane nayo, hiyo siyo kazi unasaindia watu kuishi hapa duniani 😄😄,, kazi yoyote ya kuajiriwa ni utumwa so unakubali kuendelea kuwa mtumwa??.
@@AnnaAmanda-v4q mm mwenyewe nimeajiriwa some where but nimerealize kwamba nasaindia watu kuishi,so akili kichwani ndg.
Pole sana dada waandishi naomba kiasi alichokisema mumpe ili afanye biashara aliyosema huenda ikawa mwanzo wamaendeleo yake
Na wakishindwa anitafute in box wallah nimeumia sana
@@mariammpamka dunia inachangamoto nyingi muhimu kilajambo kumtanguliza M/MUNGU wapo wanaombeza nao hawajui mwisho wao au wa watoto zao
@@mariammpamka kwene iyo crip kunanamba ungeichukua
Masikini msichana mdogo pole sijui kimelewa chenyewe kinajiamini mungu ammpe mtu wakumsaidie aache izi kazi
Kaz ni Kaz, Kaz njema dadangu
Mnarahisisha maisha mtu una miguu. Na mikono unashindwa kutafuta kazi nyingne
.Mungu akusaidie dada. 😢😢😢
Dar es salaam ina change LYFE ya mtu kama ujitambuii😢
Mdogo wangu pole sana Dah nguvu unazo unaweza kufanya kazi nyengine
umeona.... angeweza kufanya kazi yeyote ile akaamua kuuza naniliu. Kujiuza ni choice aisee
@@gidemeritus9644 Wanadhani ndio sehemu pekee ya kupata hela haraka haraka
Tamaa awatak kufanya kaz za halali
😢
😭😭😭😭😭😭😭shida ni mbaya sana ananikumbusha mbali sana mungu akusimamie zuena
Pole sana mdg wangu ila bado upo na upendo wetu sana tunakupenda usilie ipo siku utapata mabadiliko ❤❤❤
Ety mume wake atajuaje??amesahau once on internet lives for eternity😌
Na vile mm natafta mwanamke bibi anayeweza kanizalishia watoto ata kama mmoja hv.jamni mola si unibarki na huyu dogo.Yuko smart Kimwili na kiakili.shida nazo ndiyo changamoto hapa dah kapotea huyu mpenzi.christian Bella kaimba kufanya kosa sio kosa Bali kukirudia ndiyo kosa.😍😍😍❤️❤️
Acha umalaya lea familia 😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂@@NiceWatson-y7e
R@@NiceWatson-y7e
Pole Sana MUNGU akukinge na maradhi
Amina mzuri mwenyewe
Dah!!? Pole sana unanikumbusha machungu, mungu akusridie Sanaa
Huyu kalewa😂😂
😂😂😂😂kumbe tumeona wote,kalewa huyu mwanangu, MUNGU amuokoe
Aseeee pole sana bidada.....binti mdogo sana miaka 19!!!!!!
Mungu Amsahidihe.. Sana.. Msahidien kwa wale ambao wako karibu
Unaweza kumsaidia ata ukiwa mbali
Huyo babake kumbafu sana,Mimi binti yangu kama ana uwezo wa kuwaza kama huyu yaani nitahakikisha anaenda kwenye malengo yake.
Tunaelekea kubaya sana😭😭😭
Amesema hakupenda na hapendi 2muombe tu yy na wengine
Aaaaaa nina miaka 19 aaaaaa natokea kigoma aaaaa maisha magumu😂😂😂😂😂 Tanzania nchi yng ya uhuru na amani🙌
Aaaaah kwa sababu ya life maisha kigoma jwmqn khaaaaa😂😂😂😂
They need am Oscar award lol 😂😂😂
It’s kinda content creating in profitably just an Oscar award deserves that.
Mnabowa sana watangazaji kinachoniumiza nyinyi ndio mliokutana na uso kwa uso kwanini msitowe michango ya rambi rambi.na kuchukuwa number zake ili azidi kusaidiwa.bado mdogo huyo ila njo maisha isha mfunguwa akili.akisaidiwa kidogo bila shaka atatobowa juu kimaneno tu. kanaeleweka hakana uoga hapendi kufeli maishani.pole sana dada ipo,utafanikiwa.
Ata km atasadiwa iyo kaz awaachi
Mshamba ww@@zainabwage4658
Rambi rambi kwani amekufa
Aseee kwa kiasi furani nimesoma hisia zake, hilo tabasamu limeficha vitu vingi sana
Duh pole xn mungu akujalie huondokane na magumu😮😮
Astghafirullah Allah Atunusuru mie maisha magumu nilikujaOman nahadi leo nipo oman mwakaWa10nimerekebisha maishaYangu namshukuru mungu nimejenga nakusomesha mpkavyuo wanangu sithubutu hiikaz namuogopa Allah baAdhabu Zake
Ukaona uchumi unao ngoja niendeviwanja acha hiyo sio kazi bola ubebe mboga uzee
Allah amjalie kheri
Duuu inauma sana ila maisha hay basi
Shetani yupo kazini
Alle jay
Naomba namba za zuwena tafadhali nina jambo nae nimemsikiliza nimemuelewa sana mpaka machozi yananitoka😢
nimempenda sana. Mungu ampe nguvu kilichojificha nyuma ya furaha yake.
Dah so sad💔 mungu tusaidie mabintii
Tangu aanze jmn had leo hajafanikiwa anyway mungu tupe mwisho mwema wadada 🙏
Mtihani kweli yaani maisha magumu ndiyo ujiuze mwili
Acha hiyo biashara
Kwanza ikifa Bola ya kutibiwa ndiyo utaenda kucheka vzr hicho utakacholipwa
Mungu akuongoze ktk haqqi
Maisha magumu wapi uliona kule kigoma Mtoto anauza ndizi na maisha yalisonga na analea familia
Sasa Kwan mtoto anae uza ndizi Tanzania ni mmoja
Kuna watu wa kigoma wanaishi marekani wamusaidie huyu Binti 🤕
Mungu akutangulie
Sasa kama kiasi cha chini ni elfu50 na anasema ashaipata zaid y iyo kwnn asiichange iyo 50 mara kadhaa ili afanye iyo biashara 😢me nahis wanapend tu kujidhalilisha
keshazoea
😊
Shetani ni mjinga sana akisha kuvuta kwake huwa anakuonyesha kwamba kiasi ulicho nacho bado ni kidogo kwa hiyo anaenelea kukushauri kwamba endelea kidogo ili upate hata milioni moja hivi .alafu ukipata hiyo milioni anakwambia hebu subiri upate angalau tatu hivi
Yaan na yupo comfortable kujieleza dah mungu akubadilishe
Naomba nambayake🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Chukuwa yangu jmn nisaidie milioni 3 tu nimalizie kibanda changu mmbande nitulie dah maisha magumu haswa mpk unatamani upige makelele😢
@@nannakhamis5350weka namba
Astaghfirullah huna hata kimeme mtoto wakike roho ikichukuliwa uko ktk zinaa
Kwenda kule unahukumu mtu we umekuwa nani nyie waislam wachafu kila kona kazi kuhukumu wenzenu kila mala
@@carenmihayo7991 Kwa hivyo unafurahia kuuza samaki wake?
Da inasikitisha sana
Sisi kwetu mabiti ndo kazi. Nipo Kigali Rwanda nawapenda
Wanang wa Zanzibar kwa uchi , OGOPA
Mwenye tabia yake hawez kuacha.....we mtu ameshazoea kichwa kimoja efu 50 jmn ata biashara ya kuingiza efu kumi ataiona ni ndogo hafai kbs kahaba hiliiii
Pole sana
Nimeangaliaga Mikasa mingi ila kwa huyu Binti nimeumia sana naomba Rais Samia muangalie huyu dada Kwa jicho LA tatu jaman hata Ile hela yakulipia magol mpe hata kidogo apate mtaji japo na mm maisha yangu ni magumu ila😭😭
very honest young soul
habali ivi uyu dada alisha saidiwa au bado
Tatizo mfumo wa serikar zetu za kiafrika na usimamizi mzur akuna unakuta upo kiwandan unalipwa elfu 2000 kwa siku tunabanwa sana lawama kwa wazir wa biashara na viwanda
Huyu wa hapa hapa Dar
Ata ongea yake sio kigoma uyu kadanganya
Mwanangu unajua kuumiza wazazi sana mhuuuuuu MUNGU atutetee na matumbo yetu
2004 sawa na mwanangu eeh mungu tusaidie ni mdgo sana
Mwenyezi Mungu atusaidie na vizazi vyetu maana hii inasikitisha sana kwa kweli 🥲
Daah😢
One Day Yes ,, Mungu atakusaidia tu Dada angu
Mdg wangu acha hiyo kazi mungu anakupenda jamii
mpelekee mtaji
@@leonardkomba686😂😂 hilo nalo neno
Msaidie mtaji sasa ili aachane na biashara yake
LIFE LIFE LIFE🙌🙌🙌
Hawa huwa wanahitaji maombi ....shirika letu lili jaribu na kufeli
😢😢😢😢😢😮 tafta kaz dada njee na hiyO
Nimempenda pole huy dda anasema ukwel wengi tuna maswaibu kmahaya
Number zake please 😭😭🙏
Namuombea kwa Mungu amjaalie amkwamue binti huyu. Amiin.
Huyu hajui kama kuna teknolojia
Alijua itaishia hewani
Ety atajuaje
Mambo Magum wew,Mungu atusaidie angekua na ufundi au funy angetoboa
Yuko tungi uyo
Pole sana dada
Ajasoma ana Pepo la ngono muulize jina lake