MKASA WA BINTI ANAEJIUZA ELEMENT MASAKI,AFUNGUKA ''NATAMANI KUACHA HII KAZI ILA MAISHA MAGUMU.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 сен 2024
  • FUATILIA KISA NA MKASA WA BINTI ANAEJIUZA MASAKI ATAMANI KUACHANA NA KAZI YA KUUZA MWILI LAKINI CHANGAMOTO NI UGUMU WA MAISHA.

Комментарии • 1,2 тыс.

  • @jacksonjamesndyabawe471
    @jacksonjamesndyabawe471 7 месяцев назад +85

    She's very open.. And i believe her smile will change her life

    • @1lakiisha
      @1lakiisha 7 месяцев назад +2

      Yeah she very cute ☺️…. And seem very honest and open person ❤

    • @lumulyimage4826
      @lumulyimage4826 7 месяцев назад

      ruclips.net/video/fQ4LU8JQrCQ/видео.htmlsi=gSu_fy8UdCIJnwlU

    • @MariamHassan-x8y
      @MariamHassan-x8y 27 дней назад

      Mpaka nimehic kulia😢😢

  • @nassorowaziri3076
    @nassorowaziri3076 7 месяцев назад +46

    Pole Sana Dada na kweli Binti anajielewa Ila ni Maisha Tu Mungu atanisaidia

  • @kandygraphicstanzania
    @kandygraphicstanzania 7 месяцев назад +34

    Mimi ni Wakigoma, i wish nimsaidie, she is very smart

  • @liramindisland24
    @liramindisland24 7 месяцев назад +32

    Behind that smile there is hidden bitterness…Mungu akusaidie binti

  • @heriethsixbert475
    @heriethsixbert475 7 месяцев назад +24

    Binti mzuri sana na ana akili Mungu amsaidie atoke huko

  • @benardmbithi6341
    @benardmbithi6341 7 месяцев назад +30

    She was very honest maaaan. I even cried,From Kenya🇰🇪
    May she live long

  • @rosemery3017
    @rosemery3017 7 месяцев назад +130

    Nimepata uchungu sana nakumbuka kipindi naingia dar nilikuwa mdogo kuliko huyu alafu sikuwa na kazi ila nilipelekwa nikafanye kazi bar kwel nilipata kazi bar sikuwahi kujiuza ila nilikuwa napitia changamoto sana za matusi kwa wateja sikuwahi kuipenda hiyo kazi hata siku moja na mwenyezmungu aliliona hilo kuwa ni shida ndo zilinopeleka huko ila kiukwel sasa nimekuwa na nimeolewa na kaka mmoja wa kisukuma anayempenda mungu na aliyekubaliana na mim toka tulivyokutana hadi leo hii ni baba bora kwa wangu na nimume bora sana kwenye maisha yangu tulitoka dar tupo dodoma kwa sasa tumejenga kwetu na tunaishi kwa furaha sana hakika mungu atafungua milango ya huyu mtoto pia namuombea mungu amuonekanie katika kila hitaji lake na amfungulie milango yake ya baraka🙏

  • @realmusagabriel
    @realmusagabriel 7 месяцев назад +17

    Shes so genuine, brave and naive. I hope she gets education and help

  • @piuskusenge-jf2ob
    @piuskusenge-jf2ob 7 месяцев назад +23

    Habari Jamii mko vizuri kwa kutafuta viewers mmefanya ubunifu mzuri, mmemtengeneza hadi katengenezeka😂😂😂

    • @samsonsoligi2420
      @samsonsoligi2420 4 месяца назад

      Ila nami nahisi hii content kabisa ÿa kutengeneza.

    • @jaffjeff6912
      @jaffjeff6912 3 месяца назад

      Kama nakuelewa vile

  • @vincentauxerbius7554
    @vincentauxerbius7554 7 месяцев назад +66

    Dogo anaongea kwa kujiamin sana na huyu anaonekana ana akili sana mwenye ana uwezo anamjua had mungu kiasi Gani naamin IPO siku mungu atambadilisha 🙏🙏😢😢😢

  • @baimarrajahbuayan6237
    @baimarrajahbuayan6237 7 месяцев назад +8

    Mungu hakusaidie utoke huko 😢😢😢kujiuza ni kuweka rehan afya na maisha kwa ujumla😢 pole

  • @IssaMbelenje-ly1fy
    @IssaMbelenje-ly1fy 6 месяцев назад +9

    Daaah sio poa mdogo wangu pole sana M/MUNGU MKUBWA nakuombea upate kazi INSHALLAH 🙏

  • @JumaShimende
    @JumaShimende 7 месяцев назад +16

    Inauma sana huyu bint anaonyesha dhahiri hapend haya mambo kabisa.mungu atakusaidia bint

    • @gidemeritus9644
      @gidemeritus9644 7 месяцев назад +1

      mmh hapana... ni kutokuridhika na ulichonacho. Yani mtu kaishia form 4 kaenda kujiuza kweli?

    • @shukranjulius9526
      @shukranjulius9526 7 месяцев назад

      ​@gidemeritus9644 Bora hata afanye kazi za ndani😢😢

  • @JumaShimende
    @JumaShimende 7 месяцев назад +22

    Hajui kama Kuna mtandao masikin et kaka hawez kujua Yani Bado mdogo sana nawaomben Alie guswa na anao uwezo amsaidie huyu bint eee mwenyez mungu mwangalie Kwa jicho la huruma huyu bint umuokoe ktk janga hili insha Allah

  • @Keyjop
    @Keyjop 7 месяцев назад +18

    Pamoja na magumu anayo pitia lakini she still smiling ..😔 Mungu akuponye mi binafsi nakuelewa umaskini mbaya jmn 😭😭

    • @salomevenance9555
      @salomevenance9555 9 дней назад +2

      Sanaa dear😢😢😢😢😢😢😢😢😢umaskini mbaya sana😢😢😢😢😢

  • @TeflonNoriega-i1r
    @TeflonNoriega-i1r 7 месяцев назад +7

    I really like her courage...

  • @carolinetalam5832
    @carolinetalam5832 7 месяцев назад +28

    A very young girl may God see her through 🇰🇪

  • @nassysakia9511
    @nassysakia9511 7 месяцев назад +13

    Mwenyezi mungu akufanyie wepesi Zuwena

    • @lumulyimage4826
      @lumulyimage4826 7 месяцев назад

      ruclips.net/video/fQ4LU8JQrCQ/видео.htmlsi=gSu_fy8UdCIJnwlU

  • @MsNajma-e6e
    @MsNajma-e6e 7 месяцев назад +6

    Sio ya kuchekerea hi kaz jmn maradhi ni mengi uyu sawa na mtto wangu miaka yake ndio mtto wangu jmn allah awaongoze watto wetu na hatujarie mwisho mwema

  • @MzunguTz-f2j
    @MzunguTz-f2j 7 месяцев назад +21

    High Confidence nimependa one day yes mungu atomuacha bure

  • @shakilaahmed5761
    @shakilaahmed5761 7 месяцев назад +25

    Kizuri Zuwena.Allah akujaliye upate mtu akusaidie

    • @ayubzaka1598
      @ayubzaka1598 7 месяцев назад

      Very sad story gal like this government shld take her to school

    • @ayubzaka1598
      @ayubzaka1598 7 месяцев назад

      19yrs to small shld be in form 3or four

  • @RamadhanirMuyigi
    @RamadhanirMuyigi 6 месяцев назад +4

    Dah inaumiza sana ,ukweli maisha ni magum ila tunahtaji subira na juhudu,pia mungu atunusuru sote kwan hakuna aijuae kesho yake

  • @andrewkihweloofficial6589
    @andrewkihweloofficial6589 7 месяцев назад +155

    Samahani kama itawezekana naomba number za huyu dogo anahitaji kusaidiwa sana sana bado ni mdogo bado anaweza kusaidiwa na akafanya mambo ya haki na akafanikiwa na akatunza familia yake

    • @robertmzizima9621
      @robertmzizima9621 7 месяцев назад +110

      Acha umalaya unataka kumtomba tuu huna lolote

    • @LovenessDaud
      @LovenessDaud 7 месяцев назад +4

      😂😂😂

    • @hananrichard9047
      @hananrichard9047 7 месяцев назад +1

      😂😂😂kal

    • @salhaayub1338
      @salhaayub1338 7 месяцев назад

      ​@@robertmzizima9621😂😂😂😂😂

    • @carolinetalam5832
      @carolinetalam5832 7 месяцев назад

      😂😂😂 you're so funny ​@@robertmzizima9621

  • @jamalisebarua9594
    @jamalisebarua9594 7 месяцев назад +14

    Namuonea huruma bado mdogo mwenyewe anaonesha mcheshi mpole sema tu maisha dah nimeumia 😭😭😭

  • @catherinendanu7581
    @catherinendanu7581 6 месяцев назад +3

    Waooow just a happy soul

  • @ayubzaka1598
    @ayubzaka1598 7 месяцев назад +10

    Sad story my gal I wish I cld help u

  • @jamilajamila4572
    @jamilajamila4572 7 месяцев назад +8

    Mdogo sana maskin mwili ndio umemzid tu

  • @ericklibaba1198
    @ericklibaba1198 6 месяцев назад +2

    Daaaah... It's so sensitive 😔
    Anatabasamu zuri anajiamini tumpatie mtaji atoke Huku Coz Mungu anamjua Pia...
    Ingawa wanasema 'Kunguru Hafugiki ' 😢

  • @samwanasarah9936
    @samwanasarah9936 7 месяцев назад +7

    One thing we should not forget is that prostitution is not as a result of poverty but a spirit that enters one who is insensitive to spiritual matters, she needs counseling and deliverance before being given financial support, sometimes I usually ask myself " how much is enough"

    • @ritakahurananga9866
      @ritakahurananga9866 7 месяцев назад

      Very true

    • @bawla90
      @bawla90 7 месяцев назад

      Ni kweli

    • @Eleonora-ei6yx
      @Eleonora-ei6yx 7 месяцев назад

      Very true

    • @winnieolipuu4207
      @winnieolipuu4207 7 месяцев назад

      This is very true,the devil traces your life and blocks your paths later on he intrudes spirits in you

  • @mtudidaniel9585
    @mtudidaniel9585 7 месяцев назад +12

    Nimependa confidence yake. Akisaidiwa naweza kuwa mtu mkubwa Sana.

    • @adammwakalonge3573
      @adammwakalonge3573 7 месяцев назад

      sio confidence ni ujinga alionao kichwani hajui hata anachokiongea, hiyo ni tabia tuun angekuwa wa kuacha mtaji wa mama ntilie alikuwa kashaupata kwama kwa siki elfu hamsini

    • @winifridarugayana7312
      @winifridarugayana7312 7 месяцев назад

      Yes ni ujinga angekuwa anajitambua angejifunika uso, na Kama anasema anapata sh elfu 50 kwa siku anshindwaje kupata mtaji Kama watu wanaanza na mtaji wa sh elfu 10?

    • @aishaomar2287
      @aishaomar2287 7 месяцев назад

      ​@@winifridarugayana7312elfu 50 kwa siku na anasema ni hela ya kula hamna mafanikio yoyote

  • @renatharjames2186
    @renatharjames2186 7 месяцев назад +10

    😭😭😭😭 mdgo wangu Zuh nimeumia kweli natamani nikusaidie Ila Sina nakuombea mungu akupe mtu atakae kusaidia ila nakuombea ukipata ata mtu wakukupa kazi ata zandani usikatae maisha nimagum ila iyo kazi Ina changamoto sana magonjwa mengi yanayotibika nayasio tibika😭😭

  • @SteveMkango
    @SteveMkango 22 дня назад +1

    Pole sana,,cjui nikusaidie nn mimijaman,,,watanzania huyu ni mwenzetu

  • @bahatilaizer8706
    @bahatilaizer8706 7 месяцев назад +4

    Hakuna maisha magumu mbele ya Mwenyezi Mungu ☝️ "

    • @petermakubi
      @petermakubi 7 месяцев назад

      Exactly 💯 ni vile tu sisi binadamu tumekua na vichwa vingumu hatutaki kuisikia sauti yake.

  • @AnnaAmanda-v4q
    @AnnaAmanda-v4q 7 месяцев назад +18

    Daaaaaaaaah inauma sana bora mm napambana na kaz za ndani mungu tusaidie😢😢

    • @petermakubi
      @petermakubi 7 месяцев назад

      Acha uzembe Mungu hajakuumba kuwa hivo.

    • @mariamkibindo1741
      @mariamkibindo1741 7 месяцев назад

      Uzembe gani Tena si Bora hiyo Kaz za ndani mshahara mzuri Tena kama Yuko nje​@@petermakubi

    • @AnnaAmanda-v4q
      @AnnaAmanda-v4q 7 месяцев назад

      @@petermakubi sio uzembembe pia ni Kaz Kama Kaz nyingine kuliko kujiiza 😏🤣🤣

    • @petermakubi
      @petermakubi 7 месяцев назад

      @@AnnaAmanda-v4q mhhh Fanya kwa muda uachane nayo, hiyo siyo kazi unasaindia watu kuishi hapa duniani 😄😄,, kazi yoyote ya kuajiriwa ni utumwa so unakubali kuendelea kuwa mtumwa??.

    • @petermakubi
      @petermakubi 7 месяцев назад

      @@AnnaAmanda-v4q mm mwenyewe nimeajiriwa some where but nimerealize kwamba nasaindia watu kuishi,so akili kichwani ndg.

  • @jumapiliissa4835
    @jumapiliissa4835 7 месяцев назад +5

    Pole sana dada waandishi naomba kiasi alichokisema mumpe ili afanye biashara aliyosema huenda ikawa mwanzo wamaendeleo yake

    • @mariammpamka
      @mariammpamka 7 месяцев назад +2

      Na wakishindwa anitafute in box wallah nimeumia sana

    • @jumapiliissa4835
      @jumapiliissa4835 7 месяцев назад

      @@mariammpamka dunia inachangamoto nyingi muhimu kilajambo kumtanguliza M/MUNGU wapo wanaombeza nao hawajui mwisho wao au wa watoto zao

    • @jumapiliissa4835
      @jumapiliissa4835 7 месяцев назад

      @@mariammpamka kwene iyo crip kunanamba ungeichukua

  • @sistertrashid2488
    @sistertrashid2488 7 месяцев назад +2

    Masikini msichana mdogo pole sijui kimelewa chenyewe kinajiamini mungu ammpe mtu wakumsaidie aache izi kazi

  • @vom84
    @vom84 7 месяцев назад +6

    Kaz ni Kaz, Kaz njema dadangu

  • @ElizabethPoul-r5v
    @ElizabethPoul-r5v 6 месяцев назад +2

    Mnarahisisha maisha mtu una miguu. Na mikono unashindwa kutafuta kazi nyingne

  • @mathiaslyamunda2526
    @mathiaslyamunda2526 7 месяцев назад +4

    .Mungu akusaidie dada. 😢😢😢

  • @wabikeog_373
    @wabikeog_373 11 дней назад +1

    Dar es salaam ina change LYFE ya mtu kama ujitambuii😢

  • @RioIpo
    @RioIpo 7 месяцев назад +11

    Mdogo wangu pole sana Dah nguvu unazo unaweza kufanya kazi nyengine

    • @gidemeritus9644
      @gidemeritus9644 7 месяцев назад

      umeona.... angeweza kufanya kazi yeyote ile akaamua kuuza naniliu. Kujiuza ni choice aisee

    • @RioIpo
      @RioIpo 7 месяцев назад

      @@gidemeritus9644 Wanadhani ndio sehemu pekee ya kupata hela haraka haraka

    • @zainabwage4658
      @zainabwage4658 7 месяцев назад

      Tamaa awatak kufanya kaz za halali

    • @mrlukundo_og
      @mrlukundo_og Месяц назад

      😢

  • @Jemamusa
    @Jemamusa 3 месяца назад +2

    😭😭😭😭😭😭😭shida ni mbaya sana ananikumbusha mbali sana mungu akusimamie zuena

  • @hansmsangi9828
    @hansmsangi9828 7 месяцев назад +6

    Pole sana mdg wangu ila bado upo na upendo wetu sana tunakupenda usilie ipo siku utapata mabadiliko ❤❤❤

  • @ItsNattybee
    @ItsNattybee 7 месяцев назад +4

    Ety mume wake atajuaje??amesahau once on internet lives for eternity😌

  • @sammycosta-j6d
    @sammycosta-j6d 7 месяцев назад +2

    Na vile mm natafta mwanamke bibi anayeweza kanizalishia watoto ata kama mmoja hv.jamni mola si unibarki na huyu dogo.Yuko smart Kimwili na kiakili.shida nazo ndiyo changamoto hapa dah kapotea huyu mpenzi.christian Bella kaimba kufanya kosa sio kosa Bali kukirudia ndiyo kosa.😍😍😍❤️❤️

  • @teedullah5708
    @teedullah5708 7 месяцев назад +14

    Pole Sana MUNGU akukinge na maradhi

  • @aishakahamba
    @aishakahamba Месяц назад

    Dah!!? Pole sana unanikumbusha machungu, mungu akusridie Sanaa

  • @rafiaahmad168
    @rafiaahmad168 7 месяцев назад +12

    Huyu kalewa😂😂

    • @annastaziambogo1387
      @annastaziambogo1387 6 месяцев назад

      😂😂😂😂kumbe tumeona wote,kalewa huyu mwanangu, MUNGU amuokoe

  • @kikandoladu2779
    @kikandoladu2779 7 месяцев назад +2

    Aseeee pole sana bidada.....binti mdogo sana miaka 19!!!!!!

  • @jacksonjamesndyabawe471
    @jacksonjamesndyabawe471 7 месяцев назад +6

    Mungu Amsahidihe.. Sana.. Msahidien kwa wale ambao wako karibu

  • @isaackemanuel3712
    @isaackemanuel3712 Месяц назад +1

    Huyo babake kumbafu sana,Mimi binti yangu kama ana uwezo wa kuwaza kama huyu yaani nitahakikisha anaenda kwenye malengo yake.

  • @yasinramadhan7315
    @yasinramadhan7315 7 месяцев назад +7

    Tunaelekea kubaya sana😭😭😭

    • @KassimAlly-xp4dz
      @KassimAlly-xp4dz 7 месяцев назад

      Amesema hakupenda na hapendi 2muombe tu yy na wengine

  • @khamoshmikidadi618
    @khamoshmikidadi618 7 месяцев назад +3

    Aaaaaa nina miaka 19 aaaaaa natokea kigoma aaaaa maisha magumu😂😂😂😂😂 Tanzania nchi yng ya uhuru na amani🙌

    • @joycekalago532
      @joycekalago532 7 месяцев назад

      Aaaaah kwa sababu ya life maisha kigoma jwmqn khaaaaa😂😂😂😂

  • @wamburamatutu7302
    @wamburamatutu7302 7 месяцев назад +3

    They need am Oscar award lol 😂😂😂

    • @ashrafkashaija2496
      @ashrafkashaija2496 Месяц назад

      It’s kinda content creating in profitably just an Oscar award deserves that.

  • @lunangabenjamin3121
    @lunangabenjamin3121 7 месяцев назад +6

    Mnabowa sana watangazaji kinachoniumiza nyinyi ndio mliokutana na uso kwa uso kwanini msitowe michango ya rambi rambi.na kuchukuwa number zake ili azidi kusaidiwa.bado mdogo huyo ila njo maisha isha mfunguwa akili.akisaidiwa kidogo bila shaka atatobowa juu kimaneno tu. kanaeleweka hakana uoga hapendi kufeli maishani.pole sana dada ipo,utafanikiwa.

  • @luciajohn7985
    @luciajohn7985 3 месяца назад +7

    Aseee kwa kiasi furani nimesoma hisia zake, hilo tabasamu limeficha vitu vingi sana

  • @RazakiMmalinda-rl3ej
    @RazakiMmalinda-rl3ej 7 месяцев назад +1

    Duh pole xn mungu akujalie huondokane na magumu😮😮

  • @SalmanMughal-lq5lt
    @SalmanMughal-lq5lt 4 дня назад

    Astghafirullah Allah Atunusuru mie maisha magumu nilikujaOman nahadi leo nipo oman mwakaWa10nimerekebisha maishaYangu namshukuru mungu nimejenga nakusomesha mpkavyuo wanangu sithubutu hiikaz namuogopa Allah baAdhabu Zake

  • @OmanOman-dd5qk
    @OmanOman-dd5qk 7 месяцев назад +4

    Ukaona uchumi unao ngoja niendeviwanja acha hiyo sio kazi bola ubebe mboga uzee

  • @abdoulzainoubongoth2556
    @abdoulzainoubongoth2556 7 месяцев назад +1

    Allah amjalie kheri

  • @zainiamohd6234
    @zainiamohd6234 21 день назад

    Duuu inauma sana ila maisha hay basi

  • @emmanuelmayunga1518
    @emmanuelmayunga1518 7 месяцев назад +8

    Shetani yupo kazini

  • @AllejayOmarysereman
    @AllejayOmarysereman 4 дня назад +1

    Alle jay

  • @adamumshely
    @adamumshely 11 дней назад

    Naomba namba za zuwena tafadhali nina jambo nae nimemsikiliza nimemuelewa sana mpaka machozi yananitoka😢

  • @abdulshakurothman5719
    @abdulshakurothman5719 6 месяцев назад

    nimempenda sana. Mungu ampe nguvu kilichojificha nyuma ya furaha yake.

  • @PeaceGao
    @PeaceGao Месяц назад

    Dah so sad💔 mungu tusaidie mabintii
    Tangu aanze jmn had leo hajafanikiwa anyway mungu tupe mwisho mwema wadada 🙏

  • @GdFf-ik2eo
    @GdFf-ik2eo 2 месяца назад

    Mtihani kweli yaani maisha magumu ndiyo ujiuze mwili
    Acha hiyo biashara
    Kwanza ikifa Bola ya kutibiwa ndiyo utaenda kucheka vzr hicho utakacholipwa
    Mungu akuongoze ktk haqqi

  • @elieneapalangyo6938
    @elieneapalangyo6938 7 месяцев назад +14

    Maisha magumu wapi uliona kule kigoma Mtoto anauza ndizi na maisha yalisonga na analea familia

    • @Pascaltz
      @Pascaltz 7 месяцев назад +1

      Sasa Kwan mtoto anae uza ndizi Tanzania ni mmoja

    • @SalimhchialaAtilio-qj5cs
      @SalimhchialaAtilio-qj5cs 6 месяцев назад

      Kuna watu wa kigoma wanaishi marekani wamusaidie huyu Binti 🤕

  • @HappyCalicoCat-zq8mo
    @HappyCalicoCat-zq8mo 7 месяцев назад +1

    Mungu akutangulie

  • @khamoshmikidadi618
    @khamoshmikidadi618 7 месяцев назад +4

    Sasa kama kiasi cha chini ni elfu50 na anasema ashaipata zaid y iyo kwnn asiichange iyo 50 mara kadhaa ili afanye iyo biashara 😢me nahis wanapend tu kujidhalilisha

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme 7 месяцев назад

      keshazoea

    • @zawadiwambura9188
      @zawadiwambura9188 7 месяцев назад

      😊

    • @andrewkihweloofficial6589
      @andrewkihweloofficial6589 7 месяцев назад

      Shetani ni mjinga sana akisha kuvuta kwake huwa anakuonyesha kwamba kiasi ulicho nacho bado ni kidogo kwa hiyo anaenelea kukushauri kwamba endelea kidogo ili upate hata milioni moja hivi .alafu ukipata hiyo milioni anakwambia hebu subiri upate angalau tatu hivi

  • @glorylyimo5271
    @glorylyimo5271 Месяц назад

    Yaan na yupo comfortable kujieleza dah mungu akubadilishe

  • @JoseLuisJorge-u4k
    @JoseLuisJorge-u4k 7 месяцев назад +4

    Naomba nambayake🇲🇿🇲🇿🇲🇿

    • @nannakhamis5350
      @nannakhamis5350 7 месяцев назад

      Chukuwa yangu jmn nisaidie milioni 3 tu nimalizie kibanda changu mmbande nitulie dah maisha magumu haswa mpk unatamani upige makelele😢

    • @casmiraugust6853
      @casmiraugust6853 7 месяцев назад

      ​@@nannakhamis5350weka namba

  • @khadijasalum2302
    @khadijasalum2302 7 месяцев назад +4

    Astaghfirullah huna hata kimeme mtoto wakike roho ikichukuliwa uko ktk zinaa

    • @carenmihayo7991
      @carenmihayo7991 7 месяцев назад +3

      Kwenda kule unahukumu mtu we umekuwa nani nyie waislam wachafu kila kona kazi kuhukumu wenzenu kila mala

    • @Sheba4651
      @Sheba4651 7 месяцев назад

      ​@@carenmihayo7991 Kwa hivyo unafurahia kuuza samaki wake?

  • @khalidmdotta3843
    @khalidmdotta3843 7 месяцев назад +3

    Da inasikitisha sana

  • @NgaboProsper-c8t
    @NgaboProsper-c8t 25 дней назад

    Sisi kwetu mabiti ndo kazi. Nipo Kigali Rwanda nawapenda

  • @abdulraufmohammedsalum6806
    @abdulraufmohammedsalum6806 7 месяцев назад +3

    Wanang wa Zanzibar kwa uchi , OGOPA

  • @Tynamnyilis9824
    @Tynamnyilis9824 Месяц назад

    Mwenye tabia yake hawez kuacha.....we mtu ameshazoea kichwa kimoja efu 50 jmn ata biashara ya kuingiza efu kumi ataiona ni ndogo hafai kbs kahaba hiliiii

  • @ladsonmshana9920
    @ladsonmshana9920 7 месяцев назад +1

    Pole sana

  • @MagrethJoseph-u8k
    @MagrethJoseph-u8k 13 дней назад

    Nimeangaliaga Mikasa mingi ila kwa huyu Binti nimeumia sana naomba Rais Samia muangalie huyu dada Kwa jicho LA tatu jaman hata Ile hela yakulipia magol mpe hata kidogo apate mtaji japo na mm maisha yangu ni magumu ila😭😭

  • @JoyceMoses-lk1hs
    @JoyceMoses-lk1hs 6 месяцев назад

    very honest young soul

  • @BillKarim
    @BillKarim 5 дней назад

    habali ivi uyu dada alisha saidiwa au bado

  • @DavidSoka-b7h
    @DavidSoka-b7h 6 дней назад

    Tatizo mfumo wa serikar zetu za kiafrika na usimamizi mzur akuna unakuta upo kiwandan unalipwa elfu 2000 kwa siku tunabanwa sana lawama kwa wazir wa biashara na viwanda

  • @rahjah5882
    @rahjah5882 7 месяцев назад +4

    Huyu wa hapa hapa Dar

    • @zainabwage4658
      @zainabwage4658 7 месяцев назад

      Ata ongea yake sio kigoma uyu kadanganya

  • @OnesmoEmmanuel-xr2rf
    @OnesmoEmmanuel-xr2rf 6 месяцев назад

    Mwanangu unajua kuumiza wazazi sana mhuuuuuu MUNGU atutetee na matumbo yetu

  • @shamilapengoo3067
    @shamilapengoo3067 7 месяцев назад +1

    2004 sawa na mwanangu eeh mungu tusaidie ni mdgo sana

  • @officialkamdudu
    @officialkamdudu 7 месяцев назад +6

    Mwenyezi Mungu atusaidie na vizazi vyetu maana hii inasikitisha sana kwa kweli 🥲

  • @rozzymossesshayo6844
    @rozzymossesshayo6844 14 дней назад

    Daah😢

  • @emanuelleopod3949
    @emanuelleopod3949 6 месяцев назад

    One Day Yes ,, Mungu atakusaidia tu Dada angu

  • @TheresaDawas
    @TheresaDawas 7 месяцев назад +2

    Mdg wangu acha hiyo kazi mungu anakupenda jamii

    • @leonardkomba686
      @leonardkomba686 7 месяцев назад +1

      mpelekee mtaji

    • @agnesjohn9382
      @agnesjohn9382 7 месяцев назад +1

      ​@@leonardkomba686😂😂 hilo nalo neno

    • @husseinkihemo5093
      @husseinkihemo5093 7 месяцев назад

      Msaidie mtaji sasa ili aachane na biashara yake

  • @RaymondMsuya-x3w
    @RaymondMsuya-x3w 7 месяцев назад +1

    LIFE LIFE LIFE🙌🙌🙌

  • @teachingtruthmission2140
    @teachingtruthmission2140 7 месяцев назад +2

    Hawa huwa wanahitaji maombi ....shirika letu lili jaribu na kufeli

  • @VeronicaMethod
    @VeronicaMethod Месяц назад

    😢😢😢😢😢😮 tafta kaz dada njee na hiyO

  • @SarahHamis
    @SarahHamis 7 месяцев назад

    Nimempenda pole huy dda anasema ukwel wengi tuna maswaibu kmahaya

  • @ZakariaAlmas-mk1oz
    @ZakariaAlmas-mk1oz 7 месяцев назад +3

    Number zake please 😭😭🙏

  • @salimharrasy7047
    @salimharrasy7047 5 месяцев назад

    Namuombea kwa Mungu amjaalie amkwamue binti huyu. Amiin.

  • @Miminamwanangu
    @Miminamwanangu 7 месяцев назад +5

    Huyu hajui kama kuna teknolojia

  • @malakisilas6523
    @malakisilas6523 7 месяцев назад

    Mambo Magum wew,Mungu atusaidie angekua na ufundi au funy angetoboa

  • @agumaxdelephina6634
    @agumaxdelephina6634 7 месяцев назад +3

    Yuko tungi uyo

  • @FTS-k5z
    @FTS-k5z 7 месяцев назад +1

    Pole sana dada

  • @InnocentLeopard-vz4cf
    @InnocentLeopard-vz4cf 7 месяцев назад +2

    Ajasoma ana Pepo la ngono muulize jina lake