We mwandishi wa habari hauna Maarifa katka kazi yako huwezi kumuhoji mtu mwenye skendo mbovu kama hiyo haliakua uso mmeacha wazi sasa simmetia Aibu zaidi
Dada mi nimekuonea huruma sana ila nnavyojua ktk ujana wangu ninyi wanawake mkiwa mumeolewa mnakua wakaidi sana kwakuona kma ata pekeyenu mnayaweza sasa bora tuwe tunarumbana lakini tupo nyumbani kwetu ata kama tupo ktk nyumba yakupanga hakika ni rahisi ata kuhurumiana.
Sasa Kama kweli mnataka kuwasaidia Hawa watu mbona umemuanika kwenye midia? Naakati amesema kuwa yeye huwadanganya watoto kuwa anapenda viwandani ? Mimi nahisi kuwa mnapromoti ukahaba kwavisingizio hivyo vyakusaidia naiomba serikali ichunguze hivi vimidia uchwala
Muda mwingine munakua munadharirisha watu wazima kama hao sio vizuri huo mama anaonekana anaitaitaji Musada kwaio inabidi hata siku moja mumu pelekee pesa zakumusadia sio kumuanikani hivo kweri huo anaitaji kusaidia hio kaz haipendi
Problème tunayo katika inchi zetu za Africa ni sababu hakuna politique wala projet de industrialisation.kuhusu kazi n'a kubadirisha tunajo fait . kwetu RDC
Anapenda TU kua hivyo wadada wanauza matunda, mbogamboga na shughuli nyingine sio kweli miaka miwiwi watu elf 20 anapata mtaji wa mbogamboga. Huyu tabia chafu tu.
Kumbuka hafanyi kwa kupenda hata muonekano wake unaonesha unapoongea kitu au kuandika comment huwe unafikiria sio kuropoka ropoka tu, huo moto ww ndo Mungu muhukumu wa watu unaangalia mioyo ya watu???
ww unaesema anaenda motoni umejiangalia na wew kama hauna dhambi embu acha kuhukumu Mungu ndie mtoe hukumu wew mshukuru Mungu kama maisha yako ni mazuri usimhukumu mwenzako aiseh
Sema Watu Kama Awa Watamu Sana Na Wamejaliwa Mashine Kwenye Ukweli Usemwe Ogopa Sana Watu Wenye Kusema Ho Utaenda Motoni Hao Ndio Wanaume Wenye Kuwanunua Kuliko Maneno Yao Kikubwa Condomu We Dada Ukimwi Unauwa Maisha Yakiyumba Na Ukakosa Sapoti Ukiwa Wa Kiume Utakuwa Mwizi Na ukiwa Wa Kike Pesa Mbele Upate Mbele Ukipata Mtaji Acha Iyo Kazi Watoto Watakuja Kuona Kama Ndio Maisha Ayo Na Kwao Msada Kwa Ndugu Usiwaze Mchawi Ndugu Na Shamba La Shule Aliwangiwi Ivo Nibola Usaidie Usiowajua Unaokutana Nao Kwenye Safari Za Kusaka Maisha Nasio Ndugu Yako Ndugu Yake Salamu2
Haya zineisha kabisa wafiraj sio waarabu na wazungu hao nigeria tz wote wanafira Sasa kujitangaza hivi iweje😢uonewe huruma 😢usaidiwe unatubia au tufike sehem tuwe n
Ila mama hiy kaz unaitak mwenyew ulishindw kufany kaz za mama lish au za baa mpk ukafany hivy hiy ndiy tabia yak bwan mbon watu wana hali mbay mno ya maish ila awajawah kuwaz ujing uwo😊
Hawa ndo wanaosambazaga ukimwi Hawa wakijiona wameathirika ndo wanakimbiaga kujiuza halafu tangu alipoanza kujiuza hajapata mtaji serikali inapambana kanunua dawa mnapewa bure wengine wanausambaza bure
@@tumainijohn4721 ugonjwa wa kusema mtu ni upi mkiambiwa tulieni hamsikii mtu anajisifu hakuna kazi nyengine za kufanya paka kuuza K hata kutembeza ndizi hawazi kumsema mtu ama kumuambukiza mtu kipi kibaya
Ndugu mwandishi kwanini hujamziba Sura Huoni kama unamdhalilisha???sio Utu Bora ungemwekea kivuli usoni hapo ataanza kudhalilika mtaani pamoja na wanae so atapata changamoto ya Afya ya akili
Kwanini mnawaoji huku mnawaonyesha sura ? Haya kama huyu mama hakuna anayejua nyie mmemuanika watoto wake ndugu zake wakiona nyie mnafaidika nini ? Huu sio msaada ni uzalilishaji binti yake akiona unajua atajiskiaje?
Tatizo nyie Waandishi mnazinguwa mkihoji watu kama hawa Muwe munawauliza Ni kiasi gani cha mtaji wangehitaji ili kubadili Maisha yao ili watu tujue tuna anzia wapi mnafanya kazi nzuri ila mnajisahau kuuliza vitu vya msingi kama hivyo..
Pole sana dadaangu,Mungu ni mwema atakuvusha
Pole Sanaaa Mungu Akusaidie na Utubie History yako Inahuzunisha
Mungu Atakupa Mume Mwaka huu na Atakupa Mtaji
Uwe unawaziba sura jmn mama anaumia nyie achen tu
Yes ukizingatia ana watoto wakija kuona hii itawaumiza sana sana.
Mama ang pole san ni kipind tu kina mwisho na Mungu anakutengenezea ushuhuda pole san jmn
Pole sana mama miwe munawaziba sura mama anauma jamani,lkn pia mama kazi zipo nyingi iyo sio
Kwanza anajiuzaje na kamasi anafuta na mkono🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Pole Sana Dada Binafsi nimekuelewa na kusikitika Sana na nitakusapoti pia najua hukupenda kufika hapo ulipo fika Asante.
Jamaniiiiiiii 😭😭😭 nimejikuta nataokwa na machoz sin cha kukupa my ila nachoweza kukupa ni pole sana mwenyez mungu atakusaidia inshallah 🙏
Duuu pole sana aiseee muombe mungu sana atakuvusha
pole sana dada lakn sio vzr kwa nyie wahandishi wa habr n vzr kuziba sura zao na sio kuwa weka ivy
Muwe munawaziba sura jamani mama anauma sana 😢
Kwel kabisa
wazibwe uso na mwenyezi mungu je Malaya ww pia tu
Mungu amesema wenye mizigo witue kwake, mwamini mungu tu ndio msaada kwako, acha kujishusha jiamini ,pambana mbona huna ulemavu wowote ,
So deeply Sad... Am crying, God will answer you soon🙏😞😞
Mama na utu uzima huo unajiuza kafanye kazi
We mwandishi wa habari hauna Maarifa katka kazi yako huwezi kumuhoji mtu mwenye skendo mbovu kama hiyo haliakua uso mmeacha wazi sasa simmetia Aibu zaidi
Mungu ni mwema akuwezeshe dada
Daaa hiii imeniumiza saaaana daaaa huyu mama yangu kabisa
😢😢😢😢😢 mtihani inauzunisha sana
Pole sana
Yaani jamani mpaka nimetokwa machozi. Pole sana Mungu akusaidie
Dada mi nimekuonea huruma sana ila nnavyojua ktk ujana wangu ninyi wanawake mkiwa mumeolewa mnakua wakaidi sana kwakuona kma ata pekeyenu mnayaweza sasa bora tuwe tunarumbana lakini tupo nyumbani kwetu ata kama tupo ktk nyumba yakupanga hakika ni rahisi ata kuhurumiana.
Pole sana 😢
Pole sana sister yatapita
Sasa Kama kweli mnataka kuwasaidia Hawa watu mbona umemuanika kwenye midia? Naakati amesema kuwa yeye huwadanganya watoto kuwa anapenda viwandani ? Mimi nahisi kuwa mnapromoti ukahaba kwavisingizio hivyo vyakusaidia naiomba serikali ichunguze hivi vimidia uchwala
Hivi wanaume wa siku hizi kwanini amlei watoto wenu
c 50 /50
Sawa 50 Kwa 50....ko ndo ukimbie watoto
Muda mwingine munakua munadharirisha watu wazima kama hao sio vizuri huo mama anaonekana anaitaitaji Musada kwaio inabidi hata siku moja mumu pelekee pesa zakumusadia sio kumuanikani hivo kweri huo anaitaji kusaidia hio kaz haipendi
Jamaniiii dada unatuuziaga sambusa kwa Tairoo ww pole
Kweli kwa tairo na ebeneza...kumbe Kaz kaz
Problème tunayo katika inchi zetu za Africa ni sababu hakuna politique wala projet de industrialisation.kuhusu kazi n'a kubadirisha tunajo fait . kwetu RDC
Mungu wangu sasa leo ndo watajua wote kazi unayofanya😢😢😢
Yaani huruma eti jamani
Mungu atakuokoa
Channel hii kama mmeamua kuonyesha sura za watu muwe mnawapa mitaji pliiz
Maskin pole mung akupe njiya nyingine mana unaonesha zahir hujafanya kwa kupenda
Kwann huwafichi sura????
Privacy please mwandishi
Waandishi wa habari bana mhh Elimu
Sura yako unaonyesha Mama mwenye heshima saaaana.
Mrudie Mola wako wache upuuzi huo wanao watajuwa na watu watawapa hii video wakusikie
Jamani muwe mnaficha sura zao hii ni aibu mama ni wa thamani naomba muwe mnaziba sura hawa mnaowa hoji
Mungu atakusaidia mamaangu🙏😔😭
Ila huyu dada masikini jamani aachane na iyo kazi yakujiuza ananguvu na anaweza kupambana jamani
Shida uelewa na watu wanaomzunguka wala usimlaumu kabisa kila kitu kinaanzia kichwani
Ni changamoto Na hata usoni haonyeshi kama ni mtu anaweza kufanya hiyo kazi anaonekana mstaarabu tu
Kazi yenu ni nzuri sana, ila waficheni sura hawa mnao wahoji, mtaleta majanga mengine kwao, ikiwemo kujiua, hiyo ndio journalism
Ficheni sura zao ni aibu
Anapenda TU kua hivyo wadada wanauza matunda, mbogamboga na shughuli nyingine sio kweli miaka miwiwi watu elf 20 anapata mtaji wa mbogamboga. Huyu tabia chafu tu.
She's crying and u say she loves it stupid
Mbona mnamuadhiri huyu Mama? Hebu msitirini mtunzieni heshima yake
Mtoto mzuri na macho ya mahaba wewe mzuri ila kwa nini kutulii ukaolewa
Vijijin kuna fursa nyingi pia kuliko mjini sema mnataka kuishi town mtalima lami huko au go village areas kuna fursa
Mwizi hudada wamekubaliana nahuyu ambae anamhoji wapate viewers
Ilikuwa siri yako watu hawajui leo unazihirisha umalaya hii ni moja ya tiketi ya kwenda moton
Si kweli kwamba hii ni ticket ya kwenda jehanamu. Mungu ni mwema anasamehe Kwa yule atakaemrejea na kutubu kweli
Kumbuka hafanyi kwa kupenda hata muonekano wake unaonesha unapoongea kitu au kuandika comment huwe unafikiria sio kuropoka ropoka tu, huo moto ww ndo Mungu muhukumu wa watu unaangalia mioyo ya watu???
ww unaesema anaenda motoni umejiangalia na wew kama hauna dhambi embu acha kuhukumu Mungu ndie mtoe hukumu wew mshukuru Mungu kama maisha yako ni mazuri usimhukumu mwenzako aiseh
@@elizabethdamas-zp9xl siri yako moyoni unatakiwa utubie ukitangaza ni makosa makubwa sanaaaa
pole Sana dada
Kaka uwe unaficha sura bhas
Sema Watu Kama Awa Watamu Sana Na Wamejaliwa Mashine Kwenye Ukweli Usemwe Ogopa Sana Watu Wenye Kusema Ho Utaenda Motoni Hao Ndio Wanaume Wenye Kuwanunua Kuliko Maneno Yao Kikubwa Condomu We Dada Ukimwi Unauwa Maisha Yakiyumba Na Ukakosa Sapoti Ukiwa Wa Kiume Utakuwa Mwizi Na ukiwa Wa Kike Pesa Mbele Upate Mbele Ukipata Mtaji Acha Iyo Kazi Watoto Watakuja Kuona Kama Ndio Maisha Ayo Na Kwao Msada Kwa Ndugu Usiwaze Mchawi Ndugu Na Shamba La Shule Aliwangiwi Ivo Nibola Usaidie Usiowajua Unaokutana Nao Kwenye Safari Za Kusaka Maisha Nasio Ndugu Yako Ndugu Yake Salamu2
Kweli inauma,changamoto,wanawake wa siku hizi kwanza awaridhiki,mke ana mume pia anatafuta mchepuko,pia baadhi ya wanaume sio wema
We uza tu ukipata mtaji utastaafu. Hali ni ngumu
😅😅huendi mbinguni
Polemama
Maskini inauma sana.Ndugu mtangazaji mngemficha sura jmn.Mtu mzima uyu aisee?
Haya zineisha kabisa wafiraj sio waarabu na wazungu hao nigeria tz wote wanafira Sasa kujitangaza hivi iweje😢uonewe huruma 😢usaidiwe unatubia au tufike sehem tuwe n
Ila mama hiy kaz unaitak mwenyew ulishindw kufany kaz za mama lish au za baa mpk ukafany hivy hiy ndiy tabia yak bwan mbon watu wana hali mbay mno ya maish ila awajawah kuwaz ujing uwo😊
Mmmm mtihani
Mngemziba sura huu ni udgalilishaji
Kwanini asingeenda kanisaniii jamani
Mh kwann unamuonesha sura
I wish i was rich would help such people but am poor 😢
God will give you money!!
Sasa Dada yangu umeona njia sahihi ya kutafuta ni kujiuza mbona ulisema ulianxa na sambusa kwann usilud tena kwenye sambusa
Tafadhali waficheni sura na badilisha sauti mnavo fanya haramu
Kweli kabisa
Mtumxima haya huna uso mbaya km topaxi ya kunyolea ndevu
Huyo dada aweke namba yake ya sm ili Kama Kuna mtu anataka kumsaidia ampate kirahisi
sasa mimi nanacho shangaa ww kama umeshapata laki mbili genge mbona unapata
Hawa ndo wanaosambazaga ukimwi Hawa wakijiona wameathirika ndo wanakimbiaga kujiuza halafu tangu alipoanza kujiuza hajapata mtaji serikali inapambana kanunua dawa mnapewa bure wengine wanausambaza bure
Kuwa makini na maneno yako uko mbion kupata naww huo sio ugonjwa wakusema mt
@@tumainijohn4721 ugonjwa wa kusema mtu ni upi mkiambiwa tulieni hamsikii mtu anajisifu hakuna kazi nyengine za kufanya paka kuuza K hata kutembeza ndizi hawazi kumsema mtu ama kumuambukiza mtu kipi kibaya
Mpuuzi wewe
Sorry madamme
Ili ujue niwongo anajitangaza ili nn?
Ila kwanini mwandishi uwafichi sula jamani dah
Nitumie namba yake tumchangie hata chochote aachane na hizo kazi😢😢😢
Jamani mpeni mtaki afanye biashara
Dada kwani hakuna kazi nyingine hata kuuza maandazi au chapati isipo kuwa kujiuza?
Muwe mnaziba sura jamani
Jamn Sasa Kwa video Ii mtoto atakuja kuona, wataumiaa jaman😭😭
Bila sura nani ataonesha. Huruma kwa kisogo afu wewe ndo unajua kuliko wanaofanya
Wamejitoa sadaka na kuna kajala gigmoney wanajirecod wao uch
Uwe unaziba apo usoni director,camereaman. Na ww mtangazajiindyy mmdhauriane mnafundisha but mzbe sura kwa stars zaid jmn
Hacha wizi usingaliweza kujitangaza mtandaon nawatotowako wakusikie
Wenzenu mataifa mengine wanaziba uso hii mnayofanya ni kuaibishana
Wongo mtu nikula MB tu kwakutunga story
Umalaya tu unakusumbua, siungetulia uolewe kwanza upate wako wa maisha?
Duu hajipendei kufanya hivo jamani
Jamani waficheni sura zao wasitarini
Jamani pole wanaume mbwa
Kusema wanaume mbwa Baba ako umemuweka fungu lipi?
Sasa kuhojiwa hivi si wamejua
Sasa mama ukipata hiyo 80 haitoshi biashara ya genge mama? Ungama ubadilishe maisha maisha magumu sio kigezo cha kujiuza unamkosea Mungu
Fikiria haiwezi kutosha yuko na watt kodi kwa iyo atafanya kipi na kuacha kipi?
Muwe magazine sura mtangazaji wa ovyo kabisa
Hiii😢
Hana lolote huyo
Huyu mama ukweli anapata taabu aisee nyie watu wa bara muwe munawasaidia dada zenu wakishazaa mnawaacha dada zenu wanateeswa
Hujioni mtu mzima unawafundisha nini wanao
😮😮😮Pole sana
Ndugu mwandishi kwanini hujamziba Sura Huoni kama unamdhalilisha???sio Utu Bora ungemwekea kivuli usoni hapo ataanza kudhalilika mtaani pamoja na wanae so atapata changamoto ya Afya ya akili
😢😢😢😢😢
wal wasizibw uxo umalay ty
Du masikin huyu mama
Nyoo malaya mchafu weee mtu na nguvu zako unashidani beba besi ya mboga au samaki ukauze ww ni malaya tu kuma lako
Muwe munaficha xura
Kwanini mnawaoji huku mnawaonyesha sura ? Haya kama huyu mama hakuna anayejua nyie mmemuanika watoto wake ndugu zake wakiona nyie mnafaidika nini ? Huu sio msaada ni uzalilishaji binti yake akiona unajua atajiskiaje?
Mungu nisamehe ninapokufuru............😭😭😭😭😭
Kuna watu wana mapito magumu mnoooooo
Ingependeza wafiche sura kulinda heshima yake kwa jamii
Tatizo nyie Waandishi mnazinguwa mkihoji watu kama hawa Muwe munawauliza Ni kiasi gani cha mtaji wangehitaji ili kubadili Maisha yao ili watu tujue tuna anzia wapi mnafanya kazi nzuri ila mnajisahau kuuliza vitu vya msingi kama hivyo..
Uongo anapenda mfano genge maji hauzidi laki tatu
Amesema kwa siku anapata ata f20
Asaa angekuw hapendi iyo kaz angeshaenda kwenye kaz yak nyingne