WATOTO WANGU HAWAJUI KAMA MAMA YAO NAJIUZA ILI WALE ,NAWADANGANYA NAFANYA KAZI VIWANDANI USIKU.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 сен 2024

Комментарии • 203

  • @godfreychaba9673
    @godfreychaba9673 7 месяцев назад +7

    Pole sana dadaangu,Mungu ni mwema atakuvusha

  • @magomakabanja480
    @magomakabanja480 7 месяцев назад +1

    Pole Sanaaa Mungu Akusaidie na Utubie History yako Inahuzunisha
    Mungu Atakupa Mume Mwaka huu na Atakupa Mtaji

  • @zuwenasalim2794
    @zuwenasalim2794 7 месяцев назад +16

    Uwe unawaziba sura jmn mama anaumia nyie achen tu

    • @AvistwithNkeshi
      @AvistwithNkeshi 7 месяцев назад +1

      Yes ukizingatia ana watoto wakija kuona hii itawaumiza sana sana.

  • @AnnaDastan
    @AnnaDastan Месяц назад +1

    Mama ang pole san ni kipind tu kina mwisho na Mungu anakutengenezea ushuhuda pole san jmn

  • @Zuu673
    @Zuu673 7 месяцев назад +15

    Pole sana mama miwe munawaziba sura mama anauma jamani,lkn pia mama kazi zipo nyingi iyo sio

  • @JacquilineNoah
    @JacquilineNoah 7 месяцев назад +4

    Kwanza anajiuzaje na kamasi anafuta na mkono🙌🙌🙌🙌🙌🙌

  • @nassorowaziri3076
    @nassorowaziri3076 7 месяцев назад +5

    Pole Sana Dada Binafsi nimekuelewa na kusikitika Sana na nitakusapoti pia najua hukupenda kufika hapo ulipo fika Asante.

  • @dotnatajoseph2620
    @dotnatajoseph2620 7 месяцев назад +2

    Jamaniiiiiiii 😭😭😭 nimejikuta nataokwa na machoz sin cha kukupa my ila nachoweza kukupa ni pole sana mwenyez mungu atakusaidia inshallah 🙏

  • @mussaelias3535
    @mussaelias3535 7 месяцев назад +2

    Duuu pole sana aiseee muombe mungu sana atakuvusha

  • @subsasherkafulama722
    @subsasherkafulama722 6 месяцев назад +1

    pole sana dada lakn sio vzr kwa nyie wahandishi wa habr n vzr kuziba sura zao na sio kuwa weka ivy

  • @Zuu673
    @Zuu673 7 месяцев назад +7

    Muwe munawaziba sura jamani mama anauma sana 😢

    • @ireneshao7950
      @ireneshao7950 7 месяцев назад +2

      Kwel kabisa

    • @MuneerAbdu-v9e
      @MuneerAbdu-v9e 7 месяцев назад +1

      wazibwe uso na mwenyezi mungu je Malaya ww pia tu

  • @JoyceSanga-v7w
    @JoyceSanga-v7w 7 месяцев назад

    Mungu amesema wenye mizigo witue kwake, mwamini mungu tu ndio msaada kwako, acha kujishusha jiamini ,pambana mbona huna ulemavu wowote ,

  • @danamickle9739
    @danamickle9739 7 месяцев назад +6

    So deeply Sad... Am crying, God will answer you soon🙏😞😞

    • @raitonnkutile3085
      @raitonnkutile3085 7 месяцев назад

      Mama na utu uzima huo unajiuza kafanye kazi

  • @HamisSaidi-h3u
    @HamisSaidi-h3u 7 месяцев назад +1

    We mwandishi wa habari hauna Maarifa katka kazi yako huwezi kumuhoji mtu mwenye skendo mbovu kama hiyo haliakua uso mmeacha wazi sasa simmetia Aibu zaidi

  • @mbuyaumba6637
    @mbuyaumba6637 7 месяцев назад

    Mungu ni mwema akuwezeshe dada

  • @mussasalum6571
    @mussasalum6571 7 месяцев назад +3

    Daaa hiii imeniumiza saaaana daaaa huyu mama yangu kabisa

    • @somiasomia2306
      @somiasomia2306 7 месяцев назад

      😢😢😢😢😢 mtihani inauzunisha sana

  • @mwanamnyika4085
    @mwanamnyika4085 7 месяцев назад +2

    Pole sana

  • @tondelogungulundi1523
    @tondelogungulundi1523 7 месяцев назад

    Yaani jamani mpaka nimetokwa machozi. Pole sana Mungu akusaidie

  • @Adamumwambiji
    @Adamumwambiji 7 месяцев назад +1

    Dada mi nimekuonea huruma sana ila nnavyojua ktk ujana wangu ninyi wanawake mkiwa mumeolewa mnakua wakaidi sana kwakuona kma ata pekeyenu mnayaweza sasa bora tuwe tunarumbana lakini tupo nyumbani kwetu ata kama tupo ktk nyumba yakupanga hakika ni rahisi ata kuhurumiana.

  • @HidayaNgala-uk8tt
    @HidayaNgala-uk8tt 7 месяцев назад +1

    Pole sana 😢

  • @godfreyally-ps3fo
    @godfreyally-ps3fo 6 месяцев назад

    Pole sana sister yatapita

  • @gtgmediaproduction764
    @gtgmediaproduction764 7 месяцев назад +2

    Sasa Kama kweli mnataka kuwasaidia Hawa watu mbona umemuanika kwenye midia? Naakati amesema kuwa yeye huwadanganya watoto kuwa anapenda viwandani ? Mimi nahisi kuwa mnapromoti ukahaba kwavisingizio hivyo vyakusaidia naiomba serikali ichunguze hivi vimidia uchwala

  • @twix1404
    @twix1404 7 месяцев назад +5

    Hivi wanaume wa siku hizi kwanini amlei watoto wenu

  • @AlexEduinBitogwa
    @AlexEduinBitogwa 7 месяцев назад +1

    Muda mwingine munakua munadharirisha watu wazima kama hao sio vizuri huo mama anaonekana anaitaitaji Musada kwaio inabidi hata siku moja mumu pelekee pesa zakumusadia sio kumuanikani hivo kweri huo anaitaji kusaidia hio kaz haipendi

  • @yustina4621
    @yustina4621 7 месяцев назад +2

    Jamaniiii dada unatuuziaga sambusa kwa Tairoo ww pole

    • @brantywilson1347
      @brantywilson1347 7 месяцев назад

      Kweli kwa tairo na ebeneza...kumbe Kaz kaz

  • @alfredkasololo5242
    @alfredkasololo5242 7 месяцев назад +2

    Problème tunayo katika inchi zetu za Africa ni sababu hakuna politique wala projet de industrialisation.kuhusu kazi n'a kubadirisha tunajo fait . kwetu RDC

  • @zakiakusaja8603
    @zakiakusaja8603 7 месяцев назад +1

    Mungu wangu sasa leo ndo watajua wote kazi unayofanya😢😢😢

  • @MikeTysonslee
    @MikeTysonslee 7 месяцев назад

    Mungu atakuokoa

  • @amisamaurid1882
    @amisamaurid1882 7 месяцев назад +1

    Channel hii kama mmeamua kuonyesha sura za watu muwe mnawapa mitaji pliiz

  • @ElizabethJohn-gu6co
    @ElizabethJohn-gu6co 6 месяцев назад +1

    Maskin pole mung akupe njiya nyingine mana unaonesha zahir hujafanya kwa kupenda

  • @Zamb90
    @Zamb90 7 месяцев назад +4

    Kwann huwafichi sura????
    Privacy please mwandishi

  • @saudmohammed3390
    @saudmohammed3390 7 месяцев назад +4

    Sura yako unaonyesha Mama mwenye heshima saaaana.
    Mrudie Mola wako wache upuuzi huo wanao watajuwa na watu watawapa hii video wakusikie

  • @MarrylinellyMshana
    @MarrylinellyMshana 7 месяцев назад +1

    Jamani muwe mnaficha sura zao hii ni aibu mama ni wa thamani naomba muwe mnaziba sura hawa mnaowa hoji

  • @rosemarymaige3722
    @rosemarymaige3722 6 месяцев назад

    Mungu atakusaidia mamaangu🙏😔😭

  • @SylviaMagoda
    @SylviaMagoda 7 месяцев назад +2

    Ila huyu dada masikini jamani aachane na iyo kazi yakujiuza ananguvu na anaweza kupambana jamani

    • @philemonmagesa5548
      @philemonmagesa5548 7 месяцев назад

      Shida uelewa na watu wanaomzunguka wala usimlaumu kabisa kila kitu kinaanzia kichwani

  • @roseurio503
    @roseurio503 7 месяцев назад +1

    Ni changamoto Na hata usoni haonyeshi kama ni mtu anaweza kufanya hiyo kazi anaonekana mstaarabu tu

  • @fredynjige5663
    @fredynjige5663 6 месяцев назад

    Kazi yenu ni nzuri sana, ila waficheni sura hawa mnao wahoji, mtaleta majanga mengine kwao, ikiwemo kujiua, hiyo ndio journalism

  • @Bobhov
    @Bobhov 7 месяцев назад +3

    Ficheni sura zao ni aibu

  • @stanslausmteme8455
    @stanslausmteme8455 7 месяцев назад +1

    Anapenda TU kua hivyo wadada wanauza matunda, mbogamboga na shughuli nyingine sio kweli miaka miwiwi watu elf 20 anapata mtaji wa mbogamboga. Huyu tabia chafu tu.

    • @shamlimah5682
      @shamlimah5682 7 месяцев назад

      She's crying and u say she loves it stupid

  • @saudmohammed3390
    @saudmohammed3390 7 месяцев назад +1

    Mbona mnamuadhiri huyu Mama? Hebu msitirini mtunzieni heshima yake

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla5772 2 месяца назад

    Mtoto mzuri na macho ya mahaba wewe mzuri ila kwa nini kutulii ukaolewa

  • @RosemaryGulenga
    @RosemaryGulenga 7 месяцев назад

    Vijijin kuna fursa nyingi pia kuliko mjini sema mnataka kuishi town mtalima lami huko au go village areas kuna fursa

  • @emmanuelmlowe-ew7gx
    @emmanuelmlowe-ew7gx 6 месяцев назад

    Mwizi hudada wamekubaliana nahuyu ambae anamhoji wapate viewers

  • @abdalahsuleiman8989
    @abdalahsuleiman8989 7 месяцев назад +3

    Ilikuwa siri yako watu hawajui leo unazihirisha umalaya hii ni moja ya tiketi ya kwenda moton

    • @jonamnyone8014
      @jonamnyone8014 7 месяцев назад +1

      Si kweli kwamba hii ni ticket ya kwenda jehanamu. Mungu ni mwema anasamehe Kwa yule atakaemrejea na kutubu kweli

    • @philemonmagesa5548
      @philemonmagesa5548 7 месяцев назад

      Kumbuka hafanyi kwa kupenda hata muonekano wake unaonesha unapoongea kitu au kuandika comment huwe unafikiria sio kuropoka ropoka tu, huo moto ww ndo Mungu muhukumu wa watu unaangalia mioyo ya watu???

    • @elizabethdamas-zp9xl
      @elizabethdamas-zp9xl 7 месяцев назад

      ww unaesema anaenda motoni umejiangalia na wew kama hauna dhambi embu acha kuhukumu Mungu ndie mtoe hukumu wew mshukuru Mungu kama maisha yako ni mazuri usimhukumu mwenzako aiseh

    • @abdalahsuleiman8989
      @abdalahsuleiman8989 7 месяцев назад

      @@elizabethdamas-zp9xl siri yako moyoni unatakiwa utubie ukitangaza ni makosa makubwa sanaaaa

  • @AdventinaBilia
    @AdventinaBilia 6 месяцев назад

    pole Sana dada

  • @saadboss5783
    @saadboss5783 7 месяцев назад +1

    Kaka uwe unaficha sura bhas

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 7 месяцев назад +2

    Sema Watu Kama Awa Watamu Sana Na Wamejaliwa Mashine Kwenye Ukweli Usemwe Ogopa Sana Watu Wenye Kusema Ho Utaenda Motoni Hao Ndio Wanaume Wenye Kuwanunua Kuliko Maneno Yao Kikubwa Condomu We Dada Ukimwi Unauwa Maisha Yakiyumba Na Ukakosa Sapoti Ukiwa Wa Kiume Utakuwa Mwizi Na ukiwa Wa Kike Pesa Mbele Upate Mbele Ukipata Mtaji Acha Iyo Kazi Watoto Watakuja Kuona Kama Ndio Maisha Ayo Na Kwao Msada Kwa Ndugu Usiwaze Mchawi Ndugu Na Shamba La Shule Aliwangiwi Ivo Nibola Usaidie Usiowajua Unaokutana Nao Kwenye Safari Za Kusaka Maisha Nasio Ndugu Yako Ndugu Yake Salamu2

  • @thomasndabulike4735
    @thomasndabulike4735 7 месяцев назад

    Kweli inauma,changamoto,wanawake wa siku hizi kwanza awaridhiki,mke ana mume pia anatafuta mchepuko,pia baadhi ya wanaume sio wema

  • @Aziz-p6s
    @Aziz-p6s 7 месяцев назад +2

    We uza tu ukipata mtaji utastaafu. Hali ni ngumu

  • @ChaiRama-m9c
    @ChaiRama-m9c 3 месяца назад

    Polemama

  • @fatumahapesamohamedfatumah4633
    @fatumahapesamohamedfatumah4633 7 месяцев назад

    Maskini inauma sana.Ndugu mtangazaji mngemficha sura jmn.Mtu mzima uyu aisee?

  • @nusaebahkeis6774
    @nusaebahkeis6774 7 месяцев назад

    Haya zineisha kabisa wafiraj sio waarabu na wazungu hao nigeria tz wote wanafira Sasa kujitangaza hivi iweje😢uonewe huruma 😢usaidiwe unatubia au tufike sehem tuwe n

  • @NoelaJohn-p5d
    @NoelaJohn-p5d 7 месяцев назад

    Ila mama hiy kaz unaitak mwenyew ulishindw kufany kaz za mama lish au za baa mpk ukafany hivy hiy ndiy tabia yak bwan mbon watu wana hali mbay mno ya maish ila awajawah kuwaz ujing uwo😊

  • @skjjsj1889
    @skjjsj1889 7 месяцев назад

    Mmmm mtihani

  • @ernestsinje-ng8hm
    @ernestsinje-ng8hm 7 месяцев назад

    Mngemziba sura huu ni udgalilishaji

  • @victormisana5533
    @victormisana5533 6 месяцев назад

    Kwanini asingeenda kanisaniii jamani

  • @shakilaburhan9552
    @shakilaburhan9552 7 месяцев назад +1

    Mh kwann unamuonesha sura

  • @shamlimah5682
    @shamlimah5682 7 месяцев назад

    I wish i was rich would help such people but am poor 😢

  • @mussakinkon5252
    @mussakinkon5252 7 месяцев назад

    Sasa Dada yangu umeona njia sahihi ya kutafuta ni kujiuza mbona ulisema ulianxa na sambusa kwann usilud tena kwenye sambusa

  • @shekhanahdy3241
    @shekhanahdy3241 7 месяцев назад +2

    Tafadhali waficheni sura na badilisha sauti mnavo fanya haramu

    • @Zuu673
      @Zuu673 7 месяцев назад

      Kweli kabisa

  • @HamidaKondo-z1s
    @HamidaKondo-z1s 7 месяцев назад +1

    Mtumxima haya huna uso mbaya km topaxi ya kunyolea ndevu

  • @ramadhanishabani8503
    @ramadhanishabani8503 2 месяца назад

    Huyo dada aweke namba yake ya sm ili Kama Kuna mtu anataka kumsaidia ampate kirahisi

  • @AllyMwinyi-rx8gr
    @AllyMwinyi-rx8gr 3 месяца назад

    sasa mimi nanacho shangaa ww kama umeshapata laki mbili genge mbona unapata

  • @noorrajpar3928
    @noorrajpar3928 7 месяцев назад +1

    Hawa ndo wanaosambazaga ukimwi Hawa wakijiona wameathirika ndo wanakimbiaga kujiuza halafu tangu alipoanza kujiuza hajapata mtaji serikali inapambana kanunua dawa mnapewa bure wengine wanausambaza bure

    • @tumainijohn4721
      @tumainijohn4721 7 месяцев назад

      Kuwa makini na maneno yako uko mbion kupata naww huo sio ugonjwa wakusema mt

    • @noorrajpar3928
      @noorrajpar3928 7 месяцев назад

      ​@@tumainijohn4721 ugonjwa wa kusema mtu ni upi mkiambiwa tulieni hamsikii mtu anajisifu hakuna kazi nyengine za kufanya paka kuuza K hata kutembeza ndizi hawazi kumsema mtu ama kumuambukiza mtu kipi kibaya

    • @Zuu673
      @Zuu673 7 месяцев назад

      Mpuuzi wewe

  • @loner_wolf
    @loner_wolf 4 месяца назад

    Sorry madamme

  • @emmanuelmlowe-ew7gx
    @emmanuelmlowe-ew7gx 6 месяцев назад

    Ili ujue niwongo anajitangaza ili nn?

  • @SylviaMagoda
    @SylviaMagoda 7 месяцев назад +1

    Ila kwanini mwandishi uwafichi sula jamani dah

  • @WinnieBenard-x5c
    @WinnieBenard-x5c 7 месяцев назад

    Nitumie namba yake tumchangie hata chochote aachane na hizo kazi😢😢😢

  • @skjjsj1889
    @skjjsj1889 7 месяцев назад

    Jamani mpeni mtaki afanye biashara

  • @kenedymdemu6943
    @kenedymdemu6943 7 месяцев назад

    Dada kwani hakuna kazi nyingine hata kuuza maandazi au chapati isipo kuwa kujiuza?

  • @robbyissack8575
    @robbyissack8575 7 месяцев назад +4

    Muwe mnaziba sura jamani

  • @OmaryLupange-yd3cw
    @OmaryLupange-yd3cw 7 месяцев назад

    Jamn Sasa Kwa video Ii mtoto atakuja kuona, wataumiaa jaman😭😭

  • @dikakimishawasumbwahalisit7596
    @dikakimishawasumbwahalisit7596 6 месяцев назад

    Bila sura nani ataonesha. Huruma kwa kisogo afu wewe ndo unajua kuliko wanaofanya
    Wamejitoa sadaka na kuna kajala gigmoney wanajirecod wao uch

  • @suzanmhagama9233
    @suzanmhagama9233 7 месяцев назад

    Uwe unaziba apo usoni director,camereaman. Na ww mtangazajiindyy mmdhauriane mnafundisha but mzbe sura kwa stars zaid jmn

  • @emmanuelmlowe-ew7gx
    @emmanuelmlowe-ew7gx 6 месяцев назад

    Hacha wizi usingaliweza kujitangaza mtandaon nawatotowako wakusikie

  • @MamodelPark
    @MamodelPark 7 месяцев назад

    Wenzenu mataifa mengine wanaziba uso hii mnayofanya ni kuaibishana

  • @emmanuelmlowe-ew7gx
    @emmanuelmlowe-ew7gx 6 месяцев назад

    Wongo mtu nikula MB tu kwakutunga story

  • @danieljoseph1610
    @danieljoseph1610 7 месяцев назад

    Umalaya tu unakusumbua, siungetulia uolewe kwanza upate wako wa maisha?

  • @DoA-q1b
    @DoA-q1b 7 месяцев назад

    Duu hajipendei kufanya hivo jamani

  • @malikalmammry6890
    @malikalmammry6890 7 месяцев назад

    Jamani waficheni sura zao wasitarini

  • @VelonikaMakota
    @VelonikaMakota 7 месяцев назад

    Jamani pole wanaume mbwa

    • @MrutuAbdala
      @MrutuAbdala 7 месяцев назад

      Kusema wanaume mbwa Baba ako umemuweka fungu lipi?

  • @thomaskitemi3283
    @thomaskitemi3283 7 месяцев назад

    Sasa kuhojiwa hivi si wamejua

  • @heriethsixbert475
    @heriethsixbert475 7 месяцев назад

    Sasa mama ukipata hiyo 80 haitoshi biashara ya genge mama? Ungama ubadilishe maisha maisha magumu sio kigezo cha kujiuza unamkosea Mungu

    • @Zuu673
      @Zuu673 7 месяцев назад

      Fikiria haiwezi kutosha yuko na watt kodi kwa iyo atafanya kipi na kuacha kipi?

  • @JoyceNgonyani-d3s
    @JoyceNgonyani-d3s 7 месяцев назад

    Muwe magazine sura mtangazaji wa ovyo kabisa

  • @kadijahajali3918
    @kadijahajali3918 7 месяцев назад

    Hiii😢

  • @ShabaniNsase-v1h
    @ShabaniNsase-v1h 6 месяцев назад

    Hana lolote huyo

  • @khatibabass3106
    @khatibabass3106 7 месяцев назад

    Huyu mama ukweli anapata taabu aisee nyie watu wa bara muwe munawasaidia dada zenu wakishazaa mnawaacha dada zenu wanateeswa

  • @shekhanahdy3241
    @shekhanahdy3241 7 месяцев назад

    Hujioni mtu mzima unawafundisha nini wanao

  • @fashionhack6577
    @fashionhack6577 7 месяцев назад

    😮😮😮Pole sana

  • @paulabelleghe451
    @paulabelleghe451 7 месяцев назад

    Ndugu mwandishi kwanini hujamziba Sura Huoni kama unamdhalilisha???sio Utu Bora ungemwekea kivuli usoni hapo ataanza kudhalilika mtaani pamoja na wanae so atapata changamoto ya Afya ya akili

  • @aishatest4451
    @aishatest4451 7 месяцев назад

    😢😢😢😢😢

  • @RehamAlmamari
    @RehamAlmamari 5 месяцев назад

    wal wasizibw uxo umalay ty

  • @deonatusyokta3579
    @deonatusyokta3579 7 месяцев назад

    Du masikin huyu mama

  • @HamidaKondo-z1s
    @HamidaKondo-z1s 7 месяцев назад

    Nyoo malaya mchafu weee mtu na nguvu zako unashidani beba besi ya mboga au samaki ukauze ww ni malaya tu kuma lako

  • @JamalDihon255
    @JamalDihon255 7 месяцев назад

    Muwe munaficha xura

  • @JacklinDavid
    @JacklinDavid 7 месяцев назад

    Kwanini mnawaoji huku mnawaonyesha sura ? Haya kama huyu mama hakuna anayejua nyie mmemuanika watoto wake ndugu zake wakiona nyie mnafaidika nini ? Huu sio msaada ni uzalilishaji binti yake akiona unajua atajiskiaje?

  • @pendomkumbo8262
    @pendomkumbo8262 7 месяцев назад

    Mungu nisamehe ninapokufuru............😭😭😭😭😭
    Kuna watu wana mapito magumu mnoooooo

  • @josephernest155
    @josephernest155 6 месяцев назад

    Ingependeza wafiche sura kulinda heshima yake kwa jamii

  • @stevenlugojeremia2323
    @stevenlugojeremia2323 7 месяцев назад

    Tatizo nyie Waandishi mnazinguwa mkihoji watu kama hawa Muwe munawauliza Ni kiasi gani cha mtaji wangehitaji ili kubadili Maisha yao ili watu tujue tuna anzia wapi mnafanya kazi nzuri ila mnajisahau kuuliza vitu vya msingi kama hivyo..

  • @ipyanatabibu4544
    @ipyanatabibu4544 7 месяцев назад

    Uongo anapenda mfano genge maji hauzidi laki tatu
    Amesema kwa siku anapata ata f20
    Asaa angekuw hapendi iyo kaz angeshaenda kwenye kaz yak nyingne