NDUGU WA KARIBU WA ZUWENA MKASA WA BINTI ANAEYEJIUZA AFUNGUKA MAZITO HALI YA ZUWENA .

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 сен 2024
  • NDUGU WA KARIBU WA BINTI MWENYE MKASA MZITO WA KUJIUZA AKINADI WAZAZI WANAJUA AFUNGUKA MAZITO

Комментарии • 145

  • @rehemasuleimani490
    @rehemasuleimani490 7 месяцев назад +31

    Jomon huyu dada c neema huyu na anaishi tabata na anajiita neyda Hilo jina la Salma linatokeya wapi wewe mtangazaji nimuongo mnawapanga watu hiyo ctori cyo ya kweli huyo dada Mimi namjuwa

    • @lizzynkifu4179
      @lizzynkifu4179 7 месяцев назад +1

      Hapo tu kachora tatoo ya Neyda kizaz hiki Mungu atusaidie sana

    • @clarasimon7830
      @clarasimon7830 7 месяцев назад +1

      Ahaaa only legend they will get to know

    • @vailethkamuli6057
      @vailethkamuli6057 7 месяцев назад +1

      Wezi hawa kweli tatto yake inajieleza 😂

    • @souvenirweber7169
      @souvenirweber7169 7 месяцев назад +1

      Anaehoji n wanao hojiwa ni wapuzi hapa ni story za kutengeneza ili kufaidisha watu wachache

    • @Marwawilliam
      @Marwawilliam 7 месяцев назад +2

      Sasa hapo mwandishi kadanganya nini

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 7 месяцев назад +12

    Ndugu mtangazaji huyu bint ana roho mbaya hataki mwenzake asaidiwe.Binafsi.Mtafuten zuwena ili asaidiwe.

    • @angellomarcel5677
      @angellomarcel5677 7 месяцев назад

      Huyu ni Kibaka tu..umeacha kazi umeamua ukuajiize..?

  • @nurumasha
    @nurumasha 7 месяцев назад +18

    Mh! Zuwena inawezwkana kupatikana ila uyu dada anataka apewe yy huo msaada ila wanawake hatupendani

  • @MtemelusakanyaEspoire-ps6oq
    @MtemelusakanyaEspoire-ps6oq 7 месяцев назад +1

    Kwakweli ahsante Habari jamii digital kwa kazi zenu
    Nawqpata nikiwa US

  • @marryelias732
    @marryelias732 7 месяцев назад +5

    We dada unaroho mbaya. Hutaki zuwena asaidiwe

  • @SekelaJakson-ls7dd
    @SekelaJakson-ls7dd 7 месяцев назад +3

    Afu ni wazur why wasifanye tu Kaz zngine jaman ata nyanya tu wangeuza Ila sio mwili

  • @KhatibSalehKhatib
    @KhatibSalehKhatib 7 дней назад

    Huyuu dada anatamaa sana na huyu dada kupata maaendeleoo niuongo na tamaa imemjaa

  • @baseselarashidi5968
    @baseselarashidi5968 7 месяцев назад +3

    Huyu mdada sio mzuri, hapendi zuwena kufanyikiwa. Kwa nini asiseme kwenye Zuwena yuko?

  • @mariamkibindo1741
    @mariamkibindo1741 7 месяцев назад +4

    neema 😂unadanganya jina kisa nini tangu lini hiyo salma mmmh wee ajisemee tu ukweli

  • @methodiutou7278
    @methodiutou7278 7 месяцев назад +2

    Mmesema kila siku mnapata kichwa ni elfu hamsini kwa mwezi si mtaji tosha? Ni tabia tuu ya mtu atanmkipewa nn hamuwezi acha! Mnapenda maisha mazuri ya kwenye movies na ya wasanii! Ukiona mtu anaenjoy ujue ametoka mbali na amepambana sana

    • @zuenajohn8325
      @zuenajohn8325 7 месяцев назад

      Acheni ujinga wenu mnajiendekeza ukahaba. Hata kulima kibaruwa ni KAZI. Mna laana.

  • @nth3512
    @nth3512 7 месяцев назад +2

    Uzinifu ni maradhi ya moyo, tiba yake kubwa ni maamuzi. Lkn jambo la kukusaidia kwa wepesi ni kubadili mazingira, na mazingira si hadi uende mkoani ila kuama mtaa na kubadili marafiki na hata namba ya cm. Baada ya muda inasahaulika.

  • @KhatibSalehKhatib
    @KhatibSalehKhatib 7 дней назад

    Zuwena anaweza kubadilika na kua mkee na anaweza kutulia kabisaa maana anachoongea kibaeleweka

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian955 7 месяцев назад +3

    Huyu dada mpelekeni polici aseme zuwena yuko wapi kaigia choyo huyu hataki zuwena asaidiwe

  • @AikhaOmmy
    @AikhaOmmy 4 месяца назад +1

    No matter Ila huyo dem anaonekana anapenda sana tu Mwone sulayake ilivyo mpanda Kama vidonge vya kinga kwanza hatamaelezo yake hata sielewi Anaongea lugha ghan,,,Kichwa cha familia is typing,,,Uyo so lafiki Bali ni Adui

  • @SAIMONMEDA-c8n
    @SAIMONMEDA-c8n 6 месяцев назад +1

    Sema vivivu kujishughulisha

  • @erickmsilu6308
    @erickmsilu6308 7 месяцев назад +2

    Mnawachoresha wakati mnawahoji,alafu kwanini kama mnataka kuwasaidia msichukue namba zao za simu na mnapo wahoji kwanini msiwawekee kivuli usoni?

    • @Boaz22
      @Boaz22 7 месяцев назад

      Kivuli usoni ili iweje?? Nani atakusaidia ukificha sura?? We kenge kweli

  • @remigioushofa2817
    @remigioushofa2817 Месяц назад

    Ila Harmonize

  • @EmanuelMwambu
    @EmanuelMwambu 7 месяцев назад +1

    Huna pesa unakaanga nywele hizo,ni Bei gani ni ujinga wadada Kama Hawa iwepo Sheria,magereza ziwatunze

  • @SipeKato
    @SipeKato 7 месяцев назад

    Tatzo hawaa hawataki kukaa vijijini KAZI kujiuza ndoo wanaona ndoo maisha kumbe ndo kubaya zaidi

  • @ethanevans2971
    @ethanevans2971 7 месяцев назад +1

    Huyu dada ni koko kokoro

  • @GASPERMSOFE-k5e
    @GASPERMSOFE-k5e 6 месяцев назад

    Ukisikiliza vizuri hao wadada kweli hali ni ngumu wapeni mtaji mwone ila inasikitisha.😢

  • @iputaketon5934
    @iputaketon5934 7 месяцев назад +1

    WAPELOLE SANA

  • @kelvinlugono6513
    @kelvinlugono6513 Месяц назад

    zuwena alikuwa real sana na alikuwa anamaumivu moyoni ila anayafichwa kwa kutabasam ila huyu ni muongo na anaroho mbaya kwasababu anaonesha hataki mwenzie apate msaada ila apate yeye asee wanawake hampendani. alafu alivyomjinga anasema biashara ya mama ntilie hailipi yani mwenzie alisema inalipa na kwa mtaji wa 1m anaweza kufanya inamaana hata biashara ataifanya kwa ukubwa ila huyu akili hana mamae

  • @hassansingano1150
    @hassansingano1150 7 месяцев назад +2

    Kunguru hafugiki

  • @jonasnyanga8167
    @jonasnyanga8167 7 месяцев назад +1

    Ndugu wa karibu ana tatoooo😂😂😂

  • @mgayamgaya
    @mgayamgaya 7 месяцев назад +1

    ndugu yake mwenyewe anaonekana anafanya hio biashara sema hajaamua kuiweka wazi leseni ya biashara

  • @fatmaabeid9668
    @fatmaabeid9668 7 месяцев назад +2

    Muongo huyuu mama ntilie inalipa tena sana anataka kuuza tuu uwo uchi wake mxiwww

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 7 месяцев назад +1

    🎉

  • @SaidNjenjema
    @SaidNjenjema 3 месяца назад

    Zuena atabak zuena pekeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee,,,,, naiko siku mama samia atamuona

  • @ramadhanimtetu3656
    @ramadhanimtetu3656 7 месяцев назад

    Ndugu Mwandishi Mtafute kile kidada kizuwena kisha uje inbox
    Nikupe Msaada wangu
    Umpelekeee
    Nitamsaidia

  • @phorahmahaza638
    @phorahmahaza638 2 месяца назад

    Neema Wa tabata Jina la Salma linatokea wapi nyie wote mazumbukuku nahuyo mtangazaji wako kafanyeni hata kazi za ndani huko 😢

  • @itanzaniaAS
    @itanzaniaAS 7 месяцев назад

    Kitendo cha zuena kukimbia msaada BASI kuna kitu. Wengine hii kazi wanaipenda. Ila wanazuga

  • @mankamalya2976
    @mankamalya2976 6 месяцев назад

    Duuu hii ni hatari kweli kweli

  • @SipeKato
    @SipeKato 7 месяцев назад +2

    Mbona mnapendaa kusingizia baba amekufaa kweli hiyo n tabia

  • @MageJordan
    @MageJordan 7 месяцев назад +1

    Liongo hililimarayatu

  • @DamianKisweswe
    @DamianKisweswe 7 месяцев назад +4

    Huyu anatembelea upepo wa zuwena,, anataka na yeye atafutwe afu anajifanya Eti zuwena asiongelewe

  • @remigioushofa2817
    @remigioushofa2817 Месяц назад

    Shenzi rudini kijijini mkalime alaaa

  • @jadhirybenneth3138
    @jadhirybenneth3138 7 месяцев назад +2

    Zuwena yuko wapi akupe namba yake zuwena

  • @AnethMasawe-sc2fy
    @AnethMasawe-sc2fy 7 месяцев назад

    Biashara ya online haihitaji mtaji wowote jinga ww
    Post vtu ukipata mteja mpe lipa namba kanunue oda mpelekee
    Nyoko ety ukanunue mzgo na huna ofisi😮
    Achen uvivu

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel5677 7 месяцев назад

    Sasa we Dsa unataka kuficha ili iweje..? Si alisema anataka Msaada na watu wanataka kumsaidia we unaficha ficha unaonekana we ni Mpuuzi Tokaa

  • @AbuuAyubu-q3l
    @AbuuAyubu-q3l 6 месяцев назад

    Simba mambo ya ubingwa basi tena mshakosa mwaka wa 3 mfululizo hadi miaka 6 ntawapa mara moja kisha nachukua had namaliza mda wangu wa madaraka nataka mchukue mara moja tu

  • @mariamkibindo1741
    @mariamkibindo1741 7 месяцев назад

    Kusema ukweli maelezo yake huko mwisho hajadanganya ni kweli baba yao alikufa na ako na mdogo wake wanajitegemea kuishi maana walipe kodi na vyakula so hata yeye anahitaji msaada kama ataacha hiyo kaz yake😢pia kuna kaka anahitaji namba zake ameguswa na hii habari ilipokuwa Instagram

  • @DGMTyson
    @DGMTyson 7 месяцев назад

    Manti wazuri sikuizi wamekuwa malaya mpaka unashangaa

  • @asalitv8810
    @asalitv8810 7 месяцев назад

    TUNA MTAKA ZUWENA HAPA

  • @ankoanko-zz7it
    @ankoanko-zz7it 7 месяцев назад

    Suwena nishujaa hakutaka kufucha ukweli.

  • @MsodokiSokoine-k2x
    @MsodokiSokoine-k2x 7 месяцев назад

    Naitwa msodoki nimependa dada poa sijajua pepo gani limekura

  • @BiubwaBeauty-henna
    @BiubwaBeauty-henna 7 месяцев назад

    Nyie mnaona aibu kufanya hiashara ndogo

  • @aishatest4451
    @aishatest4451 7 месяцев назад

    sinyo kweli 😢😢

  • @pedropedroagira3980
    @pedropedroagira3980 7 месяцев назад

    Uyu dada aliwai kuiguiza kwa madebe

  • @GerturudaEdward
    @GerturudaEdward 7 месяцев назад

    Ndugu mwandishi mtafute zuwena uyu atumtaki tuna waashim sana ndo maana tuna wafatilia please mtafute zuwena.

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian955 7 месяцев назад

    Hee hataki zuwena asaidiwe huyu

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 7 месяцев назад +1

    PC kali zinatisha... wanatumia uzuri na viungo vyao kujipatia kipato.. itungwe sheria, ihalalishwe,afya zao zichunguzwe mara kwa mara, tupate kodi.. kwani wateja wao ni nani...

    • @Allymzaki
      @Allymzaki 7 месяцев назад

      Inafaa upimwe Akili.

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 7 месяцев назад

      @@Allymzaki ukahaba ndo biashara ya kale zaidi tangu uwepo wa binadamu, ni hitaji la mwili kwa kiumbe chochote hai timilifu.. ulaya, marekani na baadhi ya nchi za Africa zimehalalishwa kwa sheria.. ila kwetu tunaishi kinafiki..hakuna uhalisia wa maisha..wakati wa vikao vya bunge kinachoendelea dodoma ni balaa

    • @nth3512
      @nth3512 7 месяцев назад

      Mwendawazimu kaongea, hahahaa, inabidi youtube wasiruhusu kilamtu akomenti

    • @Mary-l5v9d
      @Mary-l5v9d 7 месяцев назад

      😂😂😂

  • @tracyyusuph5466
    @tracyyusuph5466 7 месяцев назад

    Hili lidada lina roho mbaya mfyuuuuu

  • @NajmaRamadhan-ig2cw
    @NajmaRamadhan-ig2cw 7 месяцев назад

    roho
    mbyaaa kama sura yako

  • @SophiaMfilinge-v4c
    @SophiaMfilinge-v4c 7 месяцев назад

    Uyo ana loho mbaya hataki zuwena asaidiwe

  • @nimahnoizy8068
    @nimahnoizy8068 7 месяцев назад +9

    Yaan Mimi mwanamke nikimuona amechora totoo najua tu nimalaya

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme 7 месяцев назад

      Ni ujana tu huo, nasi kila mwanamke aliyechora tatoo malaya si kweli

  • @MonicaMhina-sf4pz
    @MonicaMhina-sf4pz 7 месяцев назад +9

    Zuena ananyota ya kipekee sana msimzibie ridhiki jamani mtafuteni alipo🙏

  • @ThauratSule
    @ThauratSule 7 месяцев назад +6

    Dada WA ovyoo uyo hafai Ayo mengine hayamusu yy akupelekeni Kwa zuwena Tu uyo anataka bahat ya mwezake aipate yy

  • @Njeriii536
    @Njeriii536 7 месяцев назад +5

    Adui wa mwanamke ni mwanamke mwenzie duu alafu anamtoto ila anakataa bayaaa naroho lake

  • @brendazayumba235
    @brendazayumba235 7 месяцев назад +6

    Wanatuchezea shoow tuangalie kipindi chao...zuwena mwenyw alesema ndugu zake wanajua kasoro mdogo wake wa kiume iwaje leo mseme ndugu wamejua kafungiwa kuojiwa

    • @SuleimanKhdija
      @SuleimanKhdija 7 месяцев назад +1

      Hawa hua wanatunga story

    • @raissakwizera9049
      @raissakwizera9049 7 месяцев назад

      Huyu dada sunaskiya anajipigiya promo pekeyake!!!!

    • @ashuakshara2251
      @ashuakshara2251 7 месяцев назад

      Unamficha zuwena ili nafasi yake usaidiwe wewe

  • @claudiajames2003
    @claudiajames2003 7 месяцев назад +4

    Kwahiyo nyie waandishi hapo mnawafanyia promo ya biashara zao au sio? Wapuuzi kabisa

  • @cristaezekiel1036
    @cristaezekiel1036 7 месяцев назад +2

    Duuuuh kweli usililie bahati ya mwenzio,bidada mbona kama hataki mwenzake apewe msaada 😂😂😂😂anataka yeye huo msaada khaaaaaaaa 😁😁😁😁😁mana km amefatilia tukio zima na anajua sahz wanamtafuta zuwena manake anajua kabisa kua saiz anatafutwa apewe msaada 😁sasa kwann yeye anakua kizuizi khaaaaaa

  • @iamsteven1578
    @iamsteven1578 7 месяцев назад +4

    Mtangazaji pls mtafuteni Zuwena mtampata tu, Na amini kama kuna Watu wanataka kumsaidia Wazazi wake hawatakataa msaada, lla Ukweli kama Wazazi wake walikuwa hawajui kazi ya mtoto wao lazima wajisikie Vibaya.

  • @helenamwanansoga1800
    @helenamwanansoga1800 2 месяца назад +1

    Huyo dada hataki mwenzie apate anasema zuwena haiwezi kumpata muongo roho mbaya tu mpeni zuwena chake kama hayupo basi rudisheni kwenu huyo sio mtu mzuri Kwa mwenzie huyo sio rafiki mwema

  • @OmanOman-dd5qk
    @OmanOman-dd5qk 7 месяцев назад +5

    Kweli kizuli chajiuza nimeamini

  • @AbuuMukhtar
    @AbuuMukhtar 2 дня назад

    Huyu Muongo sana

  • @HhRt-m5z
    @HhRt-m5z 7 месяцев назад +2

    Nyie kinadada mnapenda mserereko wapo wenzenu hata machupa jalalani wanaokota maisha yanaenda kazi zamajumbani waschana wanafanya nyie waouuzi mukishakatwa vicmi mutatulia

  • @seifkulwa3346
    @seifkulwa3346 7 месяцев назад

    Muongo huyu, interview za kutafta viewers!

  • @coolruler6820
    @coolruler6820 7 месяцев назад +1

    😂😂😂😂😂 mkuu achana na hao watu,,,,hata vitabu vya dini vimeoataa huo uchafu,,,hao wanapenda wenyewe, hawataki kufanya kazi, kwani kujiuza ni kazi?

  • @YakkubKhamis
    @YakkubKhamis 18 дней назад

    Nitumie no zako ww mdada mrembo sn

  • @SabrinaSabby-y5h
    @SabrinaSabby-y5h 9 дней назад

    Unamkana mtoto jamani

  • @WardamssamiMssami
    @WardamssamiMssami 2 месяца назад

    Zuwena atakuwa dodoma

  • @bennamush4616
    @bennamush4616 7 месяцев назад +4

    Anajishughulisha na yeye kwa kuliwa 😂😂

  • @pillyseleman8090
    @pillyseleman8090 7 месяцев назад +2

    Mwahabar kaka tafadhal mtafute zuwena kivyoyvyote asikose bahat yake hata kama familia imejua labda haitamkaza kupokea msaada

  • @RoseLipalapi
    @RoseLipalapi 5 месяцев назад +1

    Mi sisapoti jamani watu tumezaliwa yatima tumejiongoza wenyewe MPaka sasa tunaweza kujinunulia nguo ata pakukaa tunapo ao awana akili tu watu tumeuza adi ufuta wa mimia mia yaani kunawatu ukienda pale mbezi stendi utawakuta wanauza karanga na watot wachanga acha wafirwe awana akili

  • @fintanifelix1680
    @fintanifelix1680 7 месяцев назад +4

    Wapenda Bia

  • @SamilyLove-bt6qr
    @SamilyLove-bt6qr 3 месяца назад +1

    Akuna cha maisha magumu wara nn mm nafny kz kwa muhnd nina mtt moja anasoma pia nimepangaa naripwa laki na 20

  • @iam_brenda3924
    @iam_brenda3924 7 месяцев назад +2

    Zuwenaaa atafutwee popote alipoo jmnnn😩😩🙌🏾 Yule bintii tayar mlikuwaa mshamfungulia duniaa jmnn, na watu walikuwa washaitikaaa🥹 hiii inaumizaa kwa namna ambavyoo zuwena tayar alikuwaa ameshaonyeshaa kuhitaji kusaidiwa alaf ndo ivooo tenaa mnasemaa hapatikaniii sio poa jmnnn😢

    • @clarasimon7830
      @clarasimon7830 7 месяцев назад

      Ni content tu akuna lolote kile

  • @AlfajaHussein
    @AlfajaHussein 7 месяцев назад +1

    Ana makubwa hataki msaada na matatuu yake, mtafute zuwena acha nauyo mwenye makuu

  • @JumaKaduma-o7p
    @JumaKaduma-o7p Месяц назад

    😮

  • @bonifacepontian4813
    @bonifacepontian4813 6 месяцев назад +1

    Weken namba zao bc tuwasapoti😅

  • @veronicaagonga7415
    @veronicaagonga7415 7 месяцев назад +1

    Ingia ndani ya bar kama mhudumu wacha ujinga

  • @mussakiligaliga4348
    @mussakiligaliga4348 7 месяцев назад +1

    Hiyò wenzako ni kaz km kz zingine ndg mtangazaj wasikudanganye

  • @SaidNjenjema
    @SaidNjenjema 3 месяца назад

    Wanasema liziki yamtu haikaliw,,,,uyo asisaidiwe asaidiwe nawazaz wake,,,,anachoshindwa toa namba yazuena nikipi?

  • @tausiselfself6461
    @tausiselfself6461 7 месяцев назад +1

    Mtangazaji tafuta vya maana achana na malaya

  • @BrianMbuvi-q4k
    @BrianMbuvi-q4k 7 месяцев назад +1

    nkodubai nataka kumuoa ..though me mkenya naishi dubai

    • @liramindisland24
      @liramindisland24 7 месяцев назад

      Huyu Bedspace haiwezi 😅😅kaa kwa kutulia

  • @MadiniMadinariBorntofight
    @MadiniMadinariBorntofight 7 месяцев назад

    Malaya bhana kwa kubaniana hapo tayar wameshamloga tena wanalogana hao huyo salma anayejiita Neema ni mchawi tu
    Zuwena ndye bidada anayejitambua sisi tumemuelewa mumtafute

  • @clarasimon7830
    @clarasimon7830 7 месяцев назад

    Mtu ambaye anaye jiuza awez kuwa na confidence kama hivi..kwa mimi mwana philosophy naelwa hii ni mipangilio tu acheni kualibu wa dada wa watu kwa kuwapa sifa mbaya ili mpate content

  • @AbinerySabukuru
    @AbinerySabukuru 6 месяцев назад

    Inatakiwa mumuulize mwenyewe huyo dada zuwena yuko wap apate bahat yake 2

  • @sophiahasani8915
    @sophiahasani8915 7 месяцев назад

    Huyu anabania zuwena asisaidiwe kaona mwezake anapat msaada ajifanya awezi kusema zuwena alipo aende zake

  • @FrankNgajilo-ip3zq
    @FrankNgajilo-ip3zq 7 месяцев назад

    Wenye chanel ndo mnawivu kwani kutoa namba ya zuwena wazi shida nini .msitume hela kwa huyunwanagawana na wenye akaunti

  • @SaidNjenjema
    @SaidNjenjema 3 месяца назад

    Anaroho mbaya na na asipewe msaaada

  • @JaneAssey-x2f
    @JaneAssey-x2f 3 месяца назад

    Jamani dada anzia chini jamani

  • @nestorycosmas5717
    @nestorycosmas5717 27 дней назад

    Zuwena ana free soul

  • @itanzaniaAS
    @itanzaniaAS 7 месяцев назад

    Ndugu, wengi masnitch ukiwa na shida hawakusaidii

  • @rukiamziwanda7458
    @rukiamziwanda7458 7 месяцев назад

    Anamzibia zuwena zuwena atafutwe

  • @FatmaMohammed-ry8yo
    @FatmaMohammed-ry8yo 7 месяцев назад

    Mnatafuta tu umaarufu wa media yenu ovyooo

  • @MassoudkhamisAli
    @MassoudkhamisAli 7 месяцев назад

    naomba namba zake

  • @saynabmohammed6263
    @saynabmohammed6263 7 месяцев назад

    Mwana habar mbona hukutoa sim ya huyu salma

  • @BoniphaceCosta-kd2yw
    @BoniphaceCosta-kd2yw 7 месяцев назад

    Wanao fanya kazi za ndani sio wanawake achini umaku