Jomon huyu dada c neema huyu na anaishi tabata na anajiita neyda Hilo jina la Salma linatokeya wapi wewe mtangazaji nimuongo mnawapanga watu hiyo ctori cyo ya kweli huyo dada Mimi namjuwa
Mmesema kila siku mnapata kichwa ni elfu hamsini kwa mwezi si mtaji tosha? Ni tabia tuu ya mtu atanmkipewa nn hamuwezi acha! Mnapenda maisha mazuri ya kwenye movies na ya wasanii! Ukiona mtu anaenjoy ujue ametoka mbali na amepambana sana
Uzinifu ni maradhi ya moyo, tiba yake kubwa ni maamuzi. Lkn jambo la kukusaidia kwa wepesi ni kubadili mazingira, na mazingira si hadi uende mkoani ila kuama mtaa na kubadili marafiki na hata namba ya cm. Baada ya muda inasahaulika.
No matter Ila huyo dem anaonekana anapenda sana tu Mwone sulayake ilivyo mpanda Kama vidonge vya kinga kwanza hatamaelezo yake hata sielewi Anaongea lugha ghan,,,Kichwa cha familia is typing,,,Uyo so lafiki Bali ni Adui
zuwena alikuwa real sana na alikuwa anamaumivu moyoni ila anayafichwa kwa kutabasam ila huyu ni muongo na anaroho mbaya kwasababu anaonesha hataki mwenzie apate msaada ila apate yeye asee wanawake hampendani. alafu alivyomjinga anasema biashara ya mama ntilie hailipi yani mwenzie alisema inalipa na kwa mtaji wa 1m anaweza kufanya inamaana hata biashara ataifanya kwa ukubwa ila huyu akili hana mamae
Simba mambo ya ubingwa basi tena mshakosa mwaka wa 3 mfululizo hadi miaka 6 ntawapa mara moja kisha nachukua had namaliza mda wangu wa madaraka nataka mchukue mara moja tu
Kusema ukweli maelezo yake huko mwisho hajadanganya ni kweli baba yao alikufa na ako na mdogo wake wanajitegemea kuishi maana walipe kodi na vyakula so hata yeye anahitaji msaada kama ataacha hiyo kaz yake😢pia kuna kaka anahitaji namba zake ameguswa na hii habari ilipokuwa Instagram
PC kali zinatisha... wanatumia uzuri na viungo vyao kujipatia kipato.. itungwe sheria, ihalalishwe,afya zao zichunguzwe mara kwa mara, tupate kodi.. kwani wateja wao ni nani...
@@Allymzaki ukahaba ndo biashara ya kale zaidi tangu uwepo wa binadamu, ni hitaji la mwili kwa kiumbe chochote hai timilifu.. ulaya, marekani na baadhi ya nchi za Africa zimehalalishwa kwa sheria.. ila kwetu tunaishi kinafiki..hakuna uhalisia wa maisha..wakati wa vikao vya bunge kinachoendelea dodoma ni balaa
Wanatuchezea shoow tuangalie kipindi chao...zuwena mwenyw alesema ndugu zake wanajua kasoro mdogo wake wa kiume iwaje leo mseme ndugu wamejua kafungiwa kuojiwa
Mtangazaji pls mtafuteni Zuwena mtampata tu, Na amini kama kuna Watu wanataka kumsaidia Wazazi wake hawatakataa msaada, lla Ukweli kama Wazazi wake walikuwa hawajui kazi ya mtoto wao lazima wajisikie Vibaya.
Mi sisapoti jamani watu tumezaliwa yatima tumejiongoza wenyewe MPaka sasa tunaweza kujinunulia nguo ata pakukaa tunapo ao awana akili tu watu tumeuza adi ufuta wa mimia mia yaani kunawatu ukienda pale mbezi stendi utawakuta wanauza karanga na watot wachanga acha wafirwe awana akili
Malaya bhana kwa kubaniana hapo tayar wameshamloga tena wanalogana hao huyo salma anayejiita Neema ni mchawi tu Zuwena ndye bidada anayejitambua sisi tumemuelewa mumtafute
Mtu ambaye anaye jiuza awez kuwa na confidence kama hivi..kwa mimi mwana philosophy naelwa hii ni mipangilio tu acheni kualibu wa dada wa watu kwa kuwapa sifa mbaya ili mpate content
Jomon huyu dada c neema huyu na anaishi tabata na anajiita neyda Hilo jina la Salma linatokeya wapi wewe mtangazaji nimuongo mnawapanga watu hiyo ctori cyo ya kweli huyo dada Mimi namjuwa
Hapo tu kachora tatoo ya Neyda kizaz hiki Mungu atusaidie sana
Ahaaa only legend they will get to know
Wezi hawa kweli tatto yake inajieleza 😂
Anaehoji n wanao hojiwa ni wapuzi hapa ni story za kutengeneza ili kufaidisha watu wachache
Sasa hapo mwandishi kadanganya nini
Ndugu mtangazaji huyu bint ana roho mbaya hataki mwenzake asaidiwe.Binafsi.Mtafuten zuwena ili asaidiwe.
Huyu ni Kibaka tu..umeacha kazi umeamua ukuajiize..?
Mh! Zuwena inawezwkana kupatikana ila uyu dada anataka apewe yy huo msaada ila wanawake hatupendani
Huyu ana wivu Mpumbavu sana
Kwakweli ahsante Habari jamii digital kwa kazi zenu
Nawqpata nikiwa US
We dada unaroho mbaya. Hutaki zuwena asaidiwe
Kwel upo sahihi maneno yako
Afu ni wazur why wasifanye tu Kaz zngine jaman ata nyanya tu wangeuza Ila sio mwili
Huyuu dada anatamaa sana na huyu dada kupata maaendeleoo niuongo na tamaa imemjaa
Huyu mdada sio mzuri, hapendi zuwena kufanyikiwa. Kwa nini asiseme kwenye Zuwena yuko?
neema 😂unadanganya jina kisa nini tangu lini hiyo salma mmmh wee ajisemee tu ukweli
Mmesema kila siku mnapata kichwa ni elfu hamsini kwa mwezi si mtaji tosha? Ni tabia tuu ya mtu atanmkipewa nn hamuwezi acha! Mnapenda maisha mazuri ya kwenye movies na ya wasanii! Ukiona mtu anaenjoy ujue ametoka mbali na amepambana sana
Acheni ujinga wenu mnajiendekeza ukahaba. Hata kulima kibaruwa ni KAZI. Mna laana.
Uzinifu ni maradhi ya moyo, tiba yake kubwa ni maamuzi. Lkn jambo la kukusaidia kwa wepesi ni kubadili mazingira, na mazingira si hadi uende mkoani ila kuama mtaa na kubadili marafiki na hata namba ya cm. Baada ya muda inasahaulika.
Zuwena anaweza kubadilika na kua mkee na anaweza kutulia kabisaa maana anachoongea kibaeleweka
Huyu dada mpelekeni polici aseme zuwena yuko wapi kaigia choyo huyu hataki zuwena asaidiwe
No matter Ila huyo dem anaonekana anapenda sana tu Mwone sulayake ilivyo mpanda Kama vidonge vya kinga kwanza hatamaelezo yake hata sielewi Anaongea lugha ghan,,,Kichwa cha familia is typing,,,Uyo so lafiki Bali ni Adui
Sema vivivu kujishughulisha
Mnawachoresha wakati mnawahoji,alafu kwanini kama mnataka kuwasaidia msichukue namba zao za simu na mnapo wahoji kwanini msiwawekee kivuli usoni?
Kivuli usoni ili iweje?? Nani atakusaidia ukificha sura?? We kenge kweli
Ila Harmonize
Huna pesa unakaanga nywele hizo,ni Bei gani ni ujinga wadada Kama Hawa iwepo Sheria,magereza ziwatunze
Tatzo hawaa hawataki kukaa vijijini KAZI kujiuza ndoo wanaona ndoo maisha kumbe ndo kubaya zaidi
Huyu dada ni koko kokoro
Ukisikiliza vizuri hao wadada kweli hali ni ngumu wapeni mtaji mwone ila inasikitisha.😢
WAPELOLE SANA
zuwena alikuwa real sana na alikuwa anamaumivu moyoni ila anayafichwa kwa kutabasam ila huyu ni muongo na anaroho mbaya kwasababu anaonesha hataki mwenzie apate msaada ila apate yeye asee wanawake hampendani. alafu alivyomjinga anasema biashara ya mama ntilie hailipi yani mwenzie alisema inalipa na kwa mtaji wa 1m anaweza kufanya inamaana hata biashara ataifanya kwa ukubwa ila huyu akili hana mamae
Kunguru hafugiki
Ndugu wa karibu ana tatoooo😂😂😂
ndugu yake mwenyewe anaonekana anafanya hio biashara sema hajaamua kuiweka wazi leseni ya biashara
Muongo huyuu mama ntilie inalipa tena sana anataka kuuza tuu uwo uchi wake mxiwww
Ameigiza na madebe huyu
🎉
Zuena atabak zuena pekeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee,,,,, naiko siku mama samia atamuona
Ndugu Mwandishi Mtafute kile kidada kizuwena kisha uje inbox
Nikupe Msaada wangu
Umpelekeee
Nitamsaidia
Neema Wa tabata Jina la Salma linatokea wapi nyie wote mazumbukuku nahuyo mtangazaji wako kafanyeni hata kazi za ndani huko 😢
Kitendo cha zuena kukimbia msaada BASI kuna kitu. Wengine hii kazi wanaipenda. Ila wanazuga
Duuu hii ni hatari kweli kweli
Mbona mnapendaa kusingizia baba amekufaa kweli hiyo n tabia
Liongo hililimarayatu
Huyu anatembelea upepo wa zuwena,, anataka na yeye atafutwe afu anajifanya Eti zuwena asiongelewe
Shenzi rudini kijijini mkalime alaaa
Zuwena yuko wapi akupe namba yake zuwena
Biashara ya online haihitaji mtaji wowote jinga ww
Post vtu ukipata mteja mpe lipa namba kanunue oda mpelekee
Nyoko ety ukanunue mzgo na huna ofisi😮
Achen uvivu
Sasa we Dsa unataka kuficha ili iweje..? Si alisema anataka Msaada na watu wanataka kumsaidia we unaficha ficha unaonekana we ni Mpuuzi Tokaa
Simba mambo ya ubingwa basi tena mshakosa mwaka wa 3 mfululizo hadi miaka 6 ntawapa mara moja kisha nachukua had namaliza mda wangu wa madaraka nataka mchukue mara moja tu
Kusema ukweli maelezo yake huko mwisho hajadanganya ni kweli baba yao alikufa na ako na mdogo wake wanajitegemea kuishi maana walipe kodi na vyakula so hata yeye anahitaji msaada kama ataacha hiyo kaz yake😢pia kuna kaka anahitaji namba zake ameguswa na hii habari ilipokuwa Instagram
Manti wazuri sikuizi wamekuwa malaya mpaka unashangaa
TUNA MTAKA ZUWENA HAPA
Suwena nishujaa hakutaka kufucha ukweli.
Naitwa msodoki nimependa dada poa sijajua pepo gani limekura
Nyie mnaona aibu kufanya hiashara ndogo
sinyo kweli 😢😢
Aishatest
Uyu dada aliwai kuiguiza kwa madebe
Ndugu mwandishi mtafute zuwena uyu atumtaki tuna waashim sana ndo maana tuna wafatilia please mtafute zuwena.
Tunamtaka zuwena huyu aendelee
Hee hataki zuwena asaidiwe huyu
PC kali zinatisha... wanatumia uzuri na viungo vyao kujipatia kipato.. itungwe sheria, ihalalishwe,afya zao zichunguzwe mara kwa mara, tupate kodi.. kwani wateja wao ni nani...
Inafaa upimwe Akili.
@@Allymzaki ukahaba ndo biashara ya kale zaidi tangu uwepo wa binadamu, ni hitaji la mwili kwa kiumbe chochote hai timilifu.. ulaya, marekani na baadhi ya nchi za Africa zimehalalishwa kwa sheria.. ila kwetu tunaishi kinafiki..hakuna uhalisia wa maisha..wakati wa vikao vya bunge kinachoendelea dodoma ni balaa
Mwendawazimu kaongea, hahahaa, inabidi youtube wasiruhusu kilamtu akomenti
😂😂😂
Hili lidada lina roho mbaya mfyuuuuu
roho
mbyaaa kama sura yako
Uyo ana loho mbaya hataki zuwena asaidiwe
Yaan Mimi mwanamke nikimuona amechora totoo najua tu nimalaya
Ni ujana tu huo, nasi kila mwanamke aliyechora tatoo malaya si kweli
Zuena ananyota ya kipekee sana msimzibie ridhiki jamani mtafuteni alipo🙏
Dada WA ovyoo uyo hafai Ayo mengine hayamusu yy akupelekeni Kwa zuwena Tu uyo anataka bahat ya mwezake aipate yy
Adui wa mwanamke ni mwanamke mwenzie duu alafu anamtoto ila anakataa bayaaa naroho lake
Wanatuchezea shoow tuangalie kipindi chao...zuwena mwenyw alesema ndugu zake wanajua kasoro mdogo wake wa kiume iwaje leo mseme ndugu wamejua kafungiwa kuojiwa
Hawa hua wanatunga story
Huyu dada sunaskiya anajipigiya promo pekeyake!!!!
Unamficha zuwena ili nafasi yake usaidiwe wewe
Kwahiyo nyie waandishi hapo mnawafanyia promo ya biashara zao au sio? Wapuuzi kabisa
Duuuuh kweli usililie bahati ya mwenzio,bidada mbona kama hataki mwenzake apewe msaada 😂😂😂😂anataka yeye huo msaada khaaaaaaaa 😁😁😁😁😁mana km amefatilia tukio zima na anajua sahz wanamtafuta zuwena manake anajua kabisa kua saiz anatafutwa apewe msaada 😁sasa kwann yeye anakua kizuizi khaaaaaa
Mtangazaji pls mtafuteni Zuwena mtampata tu, Na amini kama kuna Watu wanataka kumsaidia Wazazi wake hawatakataa msaada, lla Ukweli kama Wazazi wake walikuwa hawajui kazi ya mtoto wao lazima wajisikie Vibaya.
Kabisa mtafuteni zuweina
Huyo dada hataki mwenzie apate anasema zuwena haiwezi kumpata muongo roho mbaya tu mpeni zuwena chake kama hayupo basi rudisheni kwenu huyo sio mtu mzuri Kwa mwenzie huyo sio rafiki mwema
Kweli kizuli chajiuza nimeamini
Huyu Muongo sana
Nyie kinadada mnapenda mserereko wapo wenzenu hata machupa jalalani wanaokota maisha yanaenda kazi zamajumbani waschana wanafanya nyie waouuzi mukishakatwa vicmi mutatulia
Muongo huyu, interview za kutafta viewers!
😂😂😂😂😂 mkuu achana na hao watu,,,,hata vitabu vya dini vimeoataa huo uchafu,,,hao wanapenda wenyewe, hawataki kufanya kazi, kwani kujiuza ni kazi?
Nitumie no zako ww mdada mrembo sn
Unamkana mtoto jamani
Zuwena atakuwa dodoma
Anajishughulisha na yeye kwa kuliwa 😂😂
Duuuuh😂😂
Mwahabar kaka tafadhal mtafute zuwena kivyoyvyote asikose bahat yake hata kama familia imejua labda haitamkaza kupokea msaada
Mi sisapoti jamani watu tumezaliwa yatima tumejiongoza wenyewe MPaka sasa tunaweza kujinunulia nguo ata pakukaa tunapo ao awana akili tu watu tumeuza adi ufuta wa mimia mia yaani kunawatu ukienda pale mbezi stendi utawakuta wanauza karanga na watot wachanga acha wafirwe awana akili
Wapenda Bia
Akuna cha maisha magumu wara nn mm nafny kz kwa muhnd nina mtt moja anasoma pia nimepangaa naripwa laki na 20
Zuwenaaa atafutwee popote alipoo jmnnn😩😩🙌🏾 Yule bintii tayar mlikuwaa mshamfungulia duniaa jmnn, na watu walikuwa washaitikaaa🥹 hiii inaumizaa kwa namna ambavyoo zuwena tayar alikuwaa ameshaonyeshaa kuhitaji kusaidiwa alaf ndo ivooo tenaa mnasemaa hapatikaniii sio poa jmnnn😢
Ni content tu akuna lolote kile
Ana makubwa hataki msaada na matatuu yake, mtafute zuwena acha nauyo mwenye makuu
😮
Weken namba zao bc tuwasapoti😅
😅we mteja sio msapotiji 😅
Ingia ndani ya bar kama mhudumu wacha ujinga
Hiyò wenzako ni kaz km kz zingine ndg mtangazaj wasikudanganye
Wanasema liziki yamtu haikaliw,,,,uyo asisaidiwe asaidiwe nawazaz wake,,,,anachoshindwa toa namba yazuena nikipi?
Mtangazaji tafuta vya maana achana na malaya
😅😅😅😅
nkodubai nataka kumuoa ..though me mkenya naishi dubai
Huyu Bedspace haiwezi 😅😅kaa kwa kutulia
Malaya bhana kwa kubaniana hapo tayar wameshamloga tena wanalogana hao huyo salma anayejiita Neema ni mchawi tu
Zuwena ndye bidada anayejitambua sisi tumemuelewa mumtafute
Mtu ambaye anaye jiuza awez kuwa na confidence kama hivi..kwa mimi mwana philosophy naelwa hii ni mipangilio tu acheni kualibu wa dada wa watu kwa kuwapa sifa mbaya ili mpate content
Inatakiwa mumuulize mwenyewe huyo dada zuwena yuko wap apate bahat yake 2
Huyu anabania zuwena asisaidiwe kaona mwezake anapat msaada ajifanya awezi kusema zuwena alipo aende zake
Wenye chanel ndo mnawivu kwani kutoa namba ya zuwena wazi shida nini .msitume hela kwa huyunwanagawana na wenye akaunti
Anaroho mbaya na na asipewe msaaada
Jamani dada anzia chini jamani
Zuwena ana free soul
Ndugu, wengi masnitch ukiwa na shida hawakusaidii
Anamzibia zuwena zuwena atafutwe
Mnatafuta tu umaarufu wa media yenu ovyooo
naomba namba zake
Mwana habar mbona hukutoa sim ya huyu salma
Wanao fanya kazi za ndani sio wanawake achini umaku