#live

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 сен 2024

Комментарии • 187

  • @ghottaman2570
    @ghottaman2570 День назад +18

    Asante Dada kwa maneno mazuri, sasa uje tuandamane wote itakua poa sana

  • @GodfreySospeter-f7r
    @GodfreySospeter-f7r День назад +9

    CCM, sio ile, hii ya sasa imetekwa na ipo mikononi mwa majambazi. Tukishindwa sisi kuitetea hii nchi, tutakua watumwa hadi wajukuu wetu.

  • @HannanSomaiyah-wp7ny
    @HannanSomaiyah-wp7ny День назад +7

    Kuna Allah mtetezi wa Wanyonge,Wauwe wafiche ,Wawateke, Iko Siku Ya Mungu, Wako wapi Wababe wa Nchi,Wacha Mungu afanye Kazi yake 🙏 Iko siku iso na jina, Allah atajinyanyua,Cheo, Mali na vyote vitatoweka,Yuko wapi alikuwa Rais wa Marais Alikuwa mtetez wa Wanyonge Nae kafa,Sembuse hao watekaji Wallah Iko Siku Tuwe na Subra Tu 🙏

  • @DavidKagulu
    @DavidKagulu День назад +4

    Kweli kabisa ,tena ndo hao hao wanamtumia viclip, Yani Raisi anaendesha nchi kwa kusikiliza viclip vya mtandaoni,badala ya kutumia katiba na sheria

  • @ShaulizSeleman
    @ShaulizSeleman День назад +7

    KWELI BN NI YEYE MWENYEW KAWATUMA HUO ND UKWEL , KWANN WATU WENGINE WAKIFANY HATA WIZI WANAPATIKANA LAKN MATUKIO MAKUBWA WANAOFANYA HAWAPATIKANI MPK LEO

  • @yonawilliam9419
    @yonawilliam9419 День назад +7

    Unajua kuna namna kila mtu apewe staiki yake. Huyu dada hana sifa nzuri kwetu, ila kuna kauli ya kiswahili inasema " baniani mbaya , kiatu chake dawa" Huyu dada pamoja na tabia mbaya aliyonayo ila anachosema kiungwe mkono na tusikipuuze. NCHI IPO PABAYA TUSIPOUKUBALI UKWELI HUU HAKUNA NAMBA TUTATOBOA.

  • @KhalidAlly-je8ky
    @KhalidAlly-je8ky День назад +6

    Exactly

  • @Eliasmarwaturuka
    @Eliasmarwaturuka День назад +15

    Umeongea ukweli mdada mungu akulide

    • @ibrahimmasanja9097
      @ibrahimmasanja9097 День назад

      Ww upon tz mwenzako anaongea yuko marekani unashadadia kaandamane upigwe risas ufe

    • @HannanSomaiyah-wp7ny
      @HannanSomaiyah-wp7ny День назад

      @@Eliasmarwaturuka Shukran 🙏 Mungu atulinde Sote,Kwa Maana hao Wauwaji navWstekaji Hawajawahi patikana,Ni Bora Kumshirikisha Mungu tu ,Tukumbuke Tanzania ni nchi ya Wababe baadhi Yao, Wewe kapuku kama Mimi ukitekewa MTU wako au kuuwawa Bora umshirikishe Mungu Tu Hakim wa watu

    • @HannanSomaiyah-wp7ny
      @HannanSomaiyah-wp7ny День назад

      @@Eliasmarwaturuka nchi isotaka vyama vying ni Nchi gani?ma Selfish mnooo

  • @UshindiNathanael
    @UshindiNathanael День назад +8

    Umeongea fact sister nimekupenda bure MUNGU akulinde na hila zote mbaya

  • @lugelosanga5798
    @lugelosanga5798 День назад +5

    Dada unao wambia watanzania hawakuelewiiii hawakuelewiiii wapooo tuuu yanii ndo ivo wapooo ili mradiii liendeeee tuuu sizani kama maandamano watahuzuria angekua mkenya labda ila mtanzania huyu haaa sizani na biti la gwaride lileee da kaziii iko

  • @MtanganyikaTanganyika
    @MtanganyikaTanganyika День назад +8

    Mange yuko righit

  • @ShaulizSeleman
    @ShaulizSeleman День назад +9

    HUO ND UKWEL MANGE , TZ WENGI SAIV SIO WANAUME SIO WANAWAKE WENGI WAOGA ALAF KUFATA MKUMBO , HUYO RAIS ND ANAWATUMA

  • @GeofreyMwandanji-ot2lf
    @GeofreyMwandanji-ot2lf День назад +6

    Watanzania wote tuandamane jamani tuache ubwege

  • @MajaliwaMhungati
    @MajaliwaMhungati День назад +8

    Nakupa maua Yako Mange 🎉🎉🎉🎉

  • @Globalpeace123
    @Globalpeace123 День назад +8

    Samia acha utapeli
    Samia must go

  • @yusufunguruko8080
    @yusufunguruko8080 21 час назад +5

    Sasa wewe mbona huji huku tuandamane wote ?

  • @BadiFakibadi
    @BadiFakibadi День назад +6

    Safisana kimambi wewe unajua

  • @mustafarajabu4005
    @mustafarajabu4005 День назад +7

    Kweli huyu mama hatatumaliza km walivomalizwa wengine

  • @YohanaKivuyo-u3w
    @YohanaKivuyo-u3w 19 часов назад +1

    Kweli dads yetu umeongea kabisa dada yangu tupo na wewe 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭💪💪💪💪

  • @RehemaManase-t7j
    @RehemaManase-t7j День назад +7

    Nikweli kabisa mango hapo nakuelewa, hiki kimama ni laana tupu, huyo Samia nimuuaji kabisa ndie anaewatuma watu wauwe, kisa madaraka

    • @HafidhAli-b6e
      @HafidhAli-b6e 21 час назад

      @@RehemaManase-t7j unamwita raisi wa nchi Laana+ Muuwaji?hivi hii ndio democrasia?Ukiambiwa kwa ulioyasema uyatolee ushahidi jee uko tayari?

  • @JamesGiligita
    @JamesGiligita 20 часов назад +2

    Kama ameweza kuwateka na kuwaua je kama mkiandamana c nd atawamaliza mmmmmhhh mi nitabaki nyumban siwez vunjwa kiuno sn cha kujitibisha 😮

  • @ChristerKoku
    @ChristerKoku 21 час назад +1

    Mmmmmm tutafakari zaidi,mungu tuonyeshe ukweli ulipo.

  • @abdulkarimfarah2336
    @abdulkarimfarah2336 19 часов назад +1

    Wewe Malaya unagawakuma na mkundu marekani tulia Tanzania ya we wenyewe

  • @mustafarajabu4005
    @mustafarajabu4005 День назад +2

    Kwaiyo unataka watu wachukuliwe kma walichukuliwa wakaja kuokotwa wameuwawa na walichukuliwa na mapolice hivyo hivyo,ujinga wakati wakwenda sio wakuludi mama,ww mama unasema nn?.au kwakuwa familia yako hipo salama

  • @MwanakomboNassor-bw3by
    @MwanakomboNassor-bw3by День назад +10

    Mitano tenaaaaaaaaa❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @colletatesha5265
    @colletatesha5265 22 часа назад +1

    Mnamnukuu vibaya mama wa watu sidhani kma alimaanisha mnachokiona

  • @RehemaManase-t7j
    @RehemaManase-t7j День назад +2

    Wewe mama ni muuaji

  • @kamongosanga71
    @kamongosanga71 19 часов назад +1

    Kiukweli raisi atuna

  • @user-mz1xw8my8f
    @user-mz1xw8my8f 20 часов назад +1

    Samia mitano tena

  • @starlonejadamskp8224
    @starlonejadamskp8224 День назад +1

    Tz waoga sana ndo xhd

  • @frankthobias-ux7lj
    @frankthobias-ux7lj 21 час назад

    Muda wa kupambana na serikali ungeutumia kufanya mambo yako ungekuwa mbali sana. Utalaumu serikali mpaka unaingia kaburini kwa uninga wako.

  • @frankthobias-ux7lj
    @frankthobias-ux7lj 21 час назад

    Mambe kimambi we ni pepo mchafu unatushauri upuuzi. We upo marekani unajiona unaufahamu mkubwa sana kuliko sisi. Achana na sisi

  • @jumannerajabu5288
    @jumannerajabu5288 22 часа назад +1

    acha mama angu aupige mwingi😂

  • @mussakilo4916
    @mussakilo4916 19 часов назад

    Njoo na wewe tuandamane pamoja usimdharau rais wetu kwa taarifa yako mitano tena

  • @rabsonchisumo6640
    @rabsonchisumo6640 День назад +1

    Umeongea safi

  • @user-mz1xw8my8f
    @user-mz1xw8my8f 20 часов назад

    Kama unauchungu na watanganyika njoo huku wewe uko marekani unatuchonganisha mama mitano tena

  • @KhamisMohammed-y9l
    @KhamisMohammed-y9l 2 часа назад

    Yani hua najiona kama na bahati mbaya sana kuzaliwa tanzania bora ningezaliwa hata kwa ibrahim traole pale lakini bongo ni kama nuksi tu

  • @loserian-mj1gj
    @loserian-mj1gj День назад +3

    Tanzania ikiunguwa moto mjue ni mange ndiyo kawasha moto

    • @user-hj2jf4fd9t
      @user-hj2jf4fd9t День назад +1

      Askari wanao Teka ni mange acha ubwege

    • @loserian-mj1gj
      @loserian-mj1gj День назад

      @@user-hj2jf4fd9t halafu hunijui me pia ckujui cjajua unanijibu kama nani(nakushangaa Sana ndugu) yangu unakurupuka 2 unatuc kla mtu wewe cha kufanya nenda kaandaamane maana unaweza kuwa wewe hii ndio mara yko ya kwanza kusikia maandamano

  • @WencyKatunzl
    @WencyKatunzl День назад

    Huyu mnaemwita mm yenu hana ufahamu anazinhira na kunfi la mjambazi.

  • @abdalahsalimu
    @abdalahsalimu День назад

    Kumbe unalisauti baya hivyo hapo nikama kubweka tu.

  • @johannesabrahams961
    @johannesabrahams961 18 часов назад

    Wwe kaongeze mkorogo wa uso huna mpango unafikiri kifo ni kifo unasema sana

  • @asmalord4155
    @asmalord4155 День назад

    We uko huko umetuliauwongooo musimsikilize we ukiwa kama nani tunataka amani usiwashawishi hatutaki fujo

  • @ramadhanimtetu3656
    @ramadhanimtetu3656 22 часа назад

    KILA TAIFA LINA MAADAUI
    HUYU DADA YUPO KAZINI
    KULIVULUGA TAIFA LETU
    ILA MUNGU YUPO ATATULINDA NA KILA BAYA

  • @HappyNass-mu3lu
    @HappyNass-mu3lu День назад

    Kwani ilo wingi ubadilishi maana unajuwa ubeya sana

  • @hawakazimoto2949
    @hawakazimoto2949 День назад

    Wee mnafiki hovyo sana

  • @emmanuelsitayo1977
    @emmanuelsitayo1977 2 часа назад

    Wamasai ndio kiboko chake.

  • @rukundorwiza5223
    @rukundorwiza5223 День назад

    Uyu mange kimavi mfanya kazi wa kagame na CIA kuwa ku anza vurugu Tanzania kama vile walifanya congo

  • @frankthobias-ux7lj
    @frankthobias-ux7lj 21 час назад

    Tunasimama na mama yupo sawa

  • @abdillahiabdallah438
    @abdillahiabdallah438 День назад

    UNAWATAJA MABWANA ZAKO WANAOKUTUMA , WEWE INAONEKANA UNAMLENGA BWANA HUKO CHADEMA U ARE OUT OF MARKET IN US, SO SASA HIVO UMEBAKIYA UCHAWA WA CHADEMA

  • @nurdinkassim
    @nurdinkassim День назад +2

    Kweli wewe ni mwanamke hatari usitudanganye Anza wewe kutoka barabarani

  • @user-gw4jj5nn2n
    @user-gw4jj5nn2n День назад +4

    Tamaa inakuhangaisha unataka ulipwe pesa tena

  • @justardzelphine6526
    @justardzelphine6526 20 часов назад

    Kumbe uko sawa

  • @user-gw4jj5nn2n
    @user-gw4jj5nn2n День назад +2

    Hanamoto.wowote ashapitwa na wakati ae ndelee na biashara ya ukahaba

  • @kapitours3248
    @kapitours3248 23 часа назад

    NJOO WEWE UONGOZE MAANDAMANO KAMA HUKUJA HAKUNA ATAKAENDAMANA HAKUNA MTANZANIA MJINGA WEWE UKO HUKO UNACHOCHEA WENZAKO WAKAVULUGE NCHI JINGA KABISA WEWE

    • @abdulkarimfarah2336
      @abdulkarimfarah2336 19 часов назад

      Kimambi matako tuu njoo andamana kama kweli wewe mzalendo mbona unaongea ukiwa marekani eti vunjeni amani kuma wewe huna akili

  • @maseleblog586
    @maseleblog586 День назад +1

    Acha upuuzi kuwa na ada u kwa kiongozi wa nchi, hata kama ni kukosoa kuwe na kuheshimiana.

  • @ZulfaOmary-i4d
    @ZulfaOmary-i4d День назад +1

    Safi kabisa njoo tuandamane wote

  • @kostajoseph5811
    @kostajoseph5811 23 часа назад +3

    MANGE NI MCHOCHEZI
    MANGE SIO MZALENDO
    MANGE HUNA HURUMA
    MANGE HULIPENDI TAIFA LAKO
    MANGE WEWE NI MTU MBAYA SANA
    SAMIA SULUHU HASSAN MITANO TEEEEEEENA
    TUNAMPENDA RAISI WETU KIPENZI CHA WENGI SSH

  • @AwaziRajab
    @AwaziRajab День назад

    Kama Wewe Unaipenda Tanzania Kuisemea Basi Ludi Kwenda Kuandamana Wote Kwa Pamoja Huo Ndo Upendo Nasio Kuwambia Watu Ujinga Uku Wewe Ubaki Kuangalia Kwenye TV Kuangalia Maiti Atakua Na Mpango Wa Kuachia Madaraka Wakati Taifa Letu Liko Na Shelia Zake

  • @user-pw4bc7sr5y
    @user-pw4bc7sr5y День назад +3

    Mangi..usituchonganishe kaa..huko..huko..mfuate..aliyekutuma

  • @HafidhAli-b6e
    @HafidhAli-b6e День назад +2

    Nenda wewe ukaandamane ,mimi nipo London lakini siitakii nchi yangu majanga, Malaya wahed

    • @EliyaPaulo-uf6hh
      @EliyaPaulo-uf6hh День назад

      Wewe utakuwa shoga coz hujitambui na ujaambiwa uandamane kaa huko endelea na biashara yako

    • @HafidhAli-b6e
      @HafidhAli-b6e 21 час назад

      @@EliyaPaulo-uf6hh sasa wewe kama ni hodari nenda kaandamAane hiyo tarehe 23,

  • @jumamwanga4522
    @jumamwanga4522 День назад

    Kwenda kule wewe paka unaishi. Marekani njoo Tanzania uongelee huo utumbo wako huku kwanza uwe na adabu uwezi kumuita mkuu wa nchi hichi njoo tz basi utete watanzania ukiwa tz huko marekani siyo mahali sahihi mshenzi wewe

  • @piusjaphet2760
    @piusjaphet2760 День назад

    Maandama njoo na wewe tuwe pamoja

  • @titoeliatv684
    @titoeliatv684 День назад

    Acha wivu mama tunamuongezea miaka mingine 10.mwenye wivu akajinyongee huko marekani kama shetani mange.NB;katika nchi hii hatutaandamana kwasababu ya maslai ya watu binafi.

    • @Globalpeace123
      @Globalpeace123 День назад

      Muongezee aje akukae nyumbani kwako lakini sio Tanganyika
      Majizi makubwa yeye nyie

  • @Sakinaamani-o1t
    @Sakinaamani-o1t День назад +2

    Leo ndo nimeamini mange hana akili ssa nni kamrudisha tundu lissu acheni kuchochewa msiwe wapumbavu

    • @MtanganyikaTanganyika
      @MtanganyikaTanganyika День назад

      Huna akili boya

    • @Sakinaamani-o1t
      @Sakinaamani-o1t День назад +1

      @@MtanganyikaTanganyika we ndo hauna hata yakuzaliwa nayo unafikiri utaishi miaka mingapi ujunu tu badala ufikirie maisha yako duni thamani unajiwazia ujinga

    • @NeemaSamueli
      @NeemaSamueli День назад

      Ww ndo huna akili

  • @DailamuyukivogaSaid
    @DailamuyukivogaSaid 55 минут назад

    Wewe mjinga Sana huwezi kutuletea fujo kwenye nchi yetu ya Amani na furaha na watanzania tunajitambua hatuwezi kuharibu Amani yetu kwa sababu ya wajinga wachache kama wewe katafute wajinga wa kuwadanganya na sio sisi watanzania tunaipenda Tanzania 🇹🇿 yetu na uwongozi wetu mungu tusaidie

  • @NickolathaRwelamila
    @NickolathaRwelamila День назад

    Wewe uko uko uraya maandano yakiuwa watoto wawatu ,utafaidika Nini jamani Mimi siwezi kuingia barsbarani hata robo

    • @DavidKagulu
      @DavidKagulu День назад

      Kwa nini watu wafe,wauliwe na Nani Broo,? maandamano ni haki ya kikatiba polisi wanapaswa kulinda hayo maandamano

  • @ezekielaloyce5917
    @ezekielaloyce5917 День назад +3

    Mbona unaongea kuandamana alafi wewe haupo Tanzania?
    Kaa kimya

  • @drsaid8962
    @drsaid8962 22 часа назад

    acha kupotosha umma wewe hii amani tulionayo chini kwetu tunajivunia sana

  • @hanifamziray277
    @hanifamziray277 День назад

    Waliokutuma waambie wamefeli acha uongo fuata yk mitano lzm

  • @ZainabuBakari-yb4vj
    @ZainabuBakari-yb4vj День назад

    Tena koma mbwa wewe, makonda ni kiongozi,rais yupo sawa

  • @joakimualfonce3849
    @joakimualfonce3849 Час назад

    Acha uongo njoo tuungane tuandamanee wote

  • @piusjaphet2760
    @piusjaphet2760 День назад

    Malaya unatuambia nini wewe fanya kazi yako ili uuishe

  • @tanzanite9944
    @tanzanite9944 22 часа назад

    Huyu Malaya bado mnampa Miles tuu. Achanani na huyu malaya wa California wa kujilipua.. Nawaliomchonga Pua walikosea kwami pua 1 imepinda na haioni lakini anaongea Upuuzi. Anajiita "DAda"! Dadake nani atakayekubali kuwa na Dada wa namna hii? Labda Dada wa Wapare. Kitu ambacho hajajua mpaka sasa ni kwamba Samia ni Rais mpaka 2030 na huu ni wakati wa Wanawake kuongoza Nchi.

    • @saltechnologiesco.ltd.2377
      @saltechnologiesco.ltd.2377 21 час назад

      Hakuna anayekataa mama Samia kuongoza nchi hadi 2030 cha msingi wauaji na watekaji wapatikane hata kama wamo ndani ya mhimili wa dola kwani haki isipotendeka damu zinazomwaga pasipo haki zitatutesa wote kwa maana ya wauaji, washabiki wao na ambao hawakukemea.

  • @colletatesha5265
    @colletatesha5265 22 часа назад

    We kila siku kuongea tu bana eee kalale

  • @mussakilo4916
    @mussakilo4916 19 часов назад

    Una maneno machaf kama sura yako uko kama kitoto cha nyani

  • @AbrahmanAli-q4v
    @AbrahmanAli-q4v День назад

    wee Mbwa Mange uwe na Adabu huyo sio Magu Hadi uchunge Heshima zako Mbwa mkubwa umelawitiwa na Baba yako mzazi Afu akakuandikia nyumba na Mali kisha akanywa sum pumbavu zako,Sasa watanzania jichanganyeni muandamane njoo naww pund milia mwusi ww

  • @julieernest2786
    @julieernest2786 10 часов назад

    Acha ujinga wako. Njoo na wewe uandamane kama mwanamke kweli mpumbavu mkubwa wewe. Shenzi

  • @johnalex9542
    @johnalex9542 День назад

    watu tuna akili zetu fumba domo lako eww mifupa

  • @TatuRashid-d6t
    @TatuRashid-d6t День назад

    Wee ni nani lkn,unakua na maneno hayo!!!!!

  • @jolitabukabengwe3070
    @jolitabukabengwe3070 День назад +2

    Nani akaamdamane????Njoo uandamane ww..
    Mchukuwe na mama Yako yupo pale Afrikana mkaandamane....

  • @HamisiRashid-m6x
    @HamisiRashid-m6x День назад

    Unawatumawandamane njo na mmewakouandamane hunakili wewe mage

  • @AminaMkumba-u3z
    @AminaMkumba-u3z День назад +2

    Njoo wewe ukae babarani,sisi tunaipenda nchi yetu. Samia tupo pamoja 2025 tunakwenda kukuchagua❤❤

    • @MariaLenny-fg6nv
      @MariaLenny-fg6nv День назад

      Eeeh samia apit ten aah mwachen apumzike mama yet kashasemwa san inatosh

  • @justardzelphine6526
    @justardzelphine6526 20 часов назад

    Damu damu damu

  • @aishajuma468
    @aishajuma468 23 часа назад

    😂😂😂😂jamani mimi napita

  • @AswilaSeif
    @AswilaSeif День назад

    Wewe nimalaya Sana muongo peleka Hilo wingi la chooni wewe mnaviki hakuna anaekusikiliza umalaya weko😂

    • @glorymiko6830
      @glorymiko6830 День назад

      Malaya ni wewe tembeza kwa free.

    • @ShekhIddi
      @ShekhIddi 17 часов назад

      Asaivi mnamuita malaya mtakujayakumbuka maneno yke ipo cku mpaka yawakute

  • @mwinyimwakahatibu1755
    @mwinyimwakahatibu1755 23 часа назад

    Malaya huna mpango

  • @salmaghalib5474
    @salmaghalib5474 2 часа назад

    Wewe mpumbavu kweli maneno yako yote ni uwongo

  • @SalimMohd-g6x
    @SalimMohd-g6x День назад +3

    SS tunasema ww mange kahaba nawenzako hatutokusikiliza nawala hautatushawishi SS raisi tunampenda nchi tunaipenda amani tunaijali ww ukonje usitushauri ujinga

  • @amanbeyanga8055
    @amanbeyanga8055 День назад +3

    Kafanye ushoga wako huko kwa wapumbavu wenzio tuachie nchi yetu

  • @benjaminmartin4548
    @benjaminmartin4548 День назад

    Mbona wewe u naogopa kwenda Tanzanian? Kaandamane na wewe wakuchinje.

  • @MwanakomboNassor-bw3by
    @MwanakomboNassor-bw3by День назад +2

    Kelele wewe kijini mahaba umelipwa visenti utuvuge watanzania huwezi pumbavu wewe mwenyewe mkimbizi umekimbia nchi isiyo na vita

  • @georgemboma3701
    @georgemboma3701 День назад +3

    Pumbavu kahaba wew

    • @Globalpeace123
      @Globalpeace123 День назад

      Wewe ndiyo kahaba wa kiume katafute mwanaume akushughulikie 😂

    • @MariaLenny-fg6nv
      @MariaLenny-fg6nv День назад

      ​@@Globalpeace123wapinzan awakosi ukute team samia

  • @AswilaSeif
    @AswilaSeif День назад

    Mbwa wewe😊

  • @omarhababuu3159
    @omarhababuu3159 День назад +1

    Mama samia 5 tena mpaka 2030 ubadilishe. Katiba ugombee tena. Mpaka 2040 vibaraka wote itakuwa weshakaa sawa

  • @user-hp2ix5wp6i
    @user-hp2ix5wp6i 23 часа назад

    Mange muogope Abdul atakuteka na wewe

  • @KHamisiJuma-wy6ky
    @KHamisiJuma-wy6ky День назад

    Ayo ni mawazo yako

  • @Nem12n
    @Nem12n День назад

    AACHIE MADARAKA AMUACHIE NANI??HUYU BADO TUNAE SANAAA❤❤❤ NA WAPO WENGI TUNAOMPENDA.

  • @hashimkassim7043
    @hashimkassim7043 День назад +2

    Hiki kidemu kifala kweli

  • @meislive5234
    @meislive5234 День назад

    Wewe Mangi baki huko kujificha marekani tutadili nawewe siku zinakuja ! 🇬🇧🇬🇧🇬🇧🇬🇧💥💥💥

  • @OmariBilali-j7z
    @OmariBilali-j7z День назад

    Usitume watu ujinga