Ngelela Ng'wana Samo_Inaga Official Audio

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 19 сен 2024

Комментарии • 44

  • @HamisJonas-hs6di
    @HamisJonas-hs6di Месяц назад +2

    Hongera kaka

  • @mabinamsoja4849
    @mabinamsoja4849 9 дней назад

    wimbo safi kabisa ngelela samo

  • @abelmedsen
    @abelmedsen 4 месяца назад +4

    Wimbo safi kabisaa

  • @AmosiMasungu
    @AmosiMasungu Месяц назад

    Upo vizuri kaka insha anawivu sana

  • @najishija
    @najishija 2 месяца назад

    Uko vizuri sana

  • @MwananshomaZenzeione
    @MwananshomaZenzeione 4 месяца назад +3

    Hongera sana ngalu ,ilakini huyó mzee anapenda akunyanyase ye anajiweka kama mungu mtu

  • @ihanomadili
    @ihanomadili Месяц назад

    Somo yangu nakukubali sana.

  • @KatemiBenjamin
    @KatemiBenjamin 3 месяца назад

    Yani kaka chapa kaZi hata huku sisi wanamajimoto tonakuombea kwa mungu

  • @ReonadShilundila
    @ReonadShilundila 3 месяца назад

    Pamoja na kipaji ila umekulia kwenye mji wenye maadili sana wangekuwa wasanii ninao wajua lazima hapo tungekutana na matusi bila kujali umli

  • @peteremmanuelymatwimatwiem3258
    @peteremmanuelymatwimatwiem3258 4 месяца назад +3

    Uko vzr malale mtoto napenda utamaduni wetu kutoka dar salam tz

  • @IsayaLukanya
    @IsayaLukanya 3 месяца назад +1

    Acha kuteteleka huyo uzee unamsumbua,,,, karibu sana SHISHIYU tunakupenda sana manju wetu,,, by ISAYA ISANZULE

  • @MACHEMBENDAKINDAKI-cs7sz
    @MACHEMBENDAKINDAKI-cs7sz 4 месяца назад +3

    Ahsante sana NGELELA SAMOJA Umemjibu vizuri sana inaga anawivu sana haliziki tu tangu aliko anza kuimba Jadi NGELELA SAMOJA Chapa kazi Mungu atakulinda na WANGANGA wako wapi mahili Karibu sana LINDI WILAYA YA KILWA

  • @SalumLimbu
    @SalumLimbu 4 месяца назад +1

    Kwani ngelela ukiusikiliza huo wimbo wake mlyambelele usitishike ameimba kama mtu kapandwa na mashetan. wew chapa kazi tu kaka mungu yupo pamoja nawe kaz njema kaka.

  • @SalumLimbu
    @SalumLimbu 4 месяца назад +1

    Sidhan kama atarudia tena inaga kukutusi hongera sana kaka karibu sana bulige

  • @SospeterGeorge
    @SospeterGeorge 4 месяца назад +2

    Saana jidaguuuu hata mkubwa akikosea huwa anaonywa muonyee kabisa inaga

  • @kadegeasilitv-zt9bv
    @kadegeasilitv-zt9bv 3 месяца назад

    🎉🎉🎉🎉

  • @lubigsaboy
    @lubigsaboy 4 месяца назад +1

    Njoo upige show ushirombo king tunakusubili mnoo

  • @maxmiliankadawiibalaja2198
    @maxmiliankadawiibalaja2198 4 месяца назад

    Mungu yupo nawe muda wote Ngw'ana Samo Wewe Ni Mwalimu Kwenye Jamii yetu

  • @massanja221
    @massanja221 4 месяца назад +3

    Endeleen kuimbana tu angalau asili inachangamka mana mkiwa hamuimbani mnashinda kwenye maharusi tu tunakuwa tunakosa radha ya asili

    • @MasanjaSamweli-b3r
      @MasanjaSamweli-b3r 4 месяца назад +1

      Kweli 😂😂😂😂

    • @ngelelasbupina
      @ngelelasbupina  4 месяца назад +1

      Naaaaam

    • @MasanjaSamweli-b3r
      @MasanjaSamweli-b3r 4 месяца назад

      @@ngelelasbupina umeimba kwa uchungu sana hata Ivo inaonekana Kuna mengine huwez yasema hadharani ila pole sana mtoto wa samoja

    • @massanja221
      @massanja221 4 месяца назад +1

      Unafikil we huon kisima na gude walipoanza kuimbana yani hata mziki unachangamka ko nawao wapambane tu wakiacha wanaishiwa maneno zinaanza nyimbo za harusi

    • @massanja221
      @massanja221 4 месяца назад +1

      @@MasanjaSamweli-b3r wimbo ni mzuri beat limetulia sasa imagine kama asingekuwa innaga kumuimba leo ungesikia wimbo wa nani nani

  • @ernestlameck5523
    @ernestlameck5523 4 месяца назад

    Mashenene anakuwezea kwenye mabiti ninoma 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @elizabethseni6110
    @elizabethseni6110 4 месяца назад +1

    Piga kazi Kaka yagu kalibu mpanda kata ya itenka

  • @MweliMazozo-nf5mu
    @MweliMazozo-nf5mu 4 месяца назад +1

    Upo vizur sana

  • @jingomathias-qn3bx
    @jingomathias-qn3bx 4 месяца назад +1

    dj jingo sounds

  • @ReonardShilundila
    @ReonardShilundila 4 месяца назад

    Hayo ndo majibu ambayo tuliyasubili kutoka kwako hakika wewe mwinikili magulya wewe ni mwamba

  • @MasanjaSamweli-b3r
    @MasanjaSamweli-b3r 4 месяца назад +1

    Karb mwakitoryo

  • @laurentbuhoy1832
    @laurentbuhoy1832 4 месяца назад +1

    Híyó imeenda

  • @SamuelLusana-md6eo
    @SamuelLusana-md6eo 4 месяца назад

    Kaka ngelela pambana naumia sana ckiona mtu anataka umuabudu yeye nmeflahi hayo majibu

  • @SamuelSamwel-cx1nk
    @SamuelSamwel-cx1nk 4 месяца назад

    Uko vzuri maana halisi ya jadi lisogasana mwenekele magulyaa

  • @mabinabahebe2428
    @mabinabahebe2428 4 месяца назад +1

    Safi sana

  • @IkambulaMtunga4670
    @IkambulaMtunga4670 4 месяца назад

    Hakika wewe ni Mwamba wa Tanzania chapa kazi ngalu

  • @MasanjaSamweli-b3r
    @MasanjaSamweli-b3r 4 месяца назад +1

    🤣🤣🤣🤣 daaaaaah

  • @SulwaSulwa
    @SulwaSulwa 4 месяца назад

    Ngelela nakukubali sana ujuw😅

  • @PeterJames-ro8fq
    @PeterJames-ro8fq 4 месяца назад

    Natogwa ng'wana ong'wasamike

  • @Director_Kitindi_Complete
    @Director_Kitindi_Complete 4 месяца назад

    Nice

  • @ManjiNzobheNzobhe
    @ManjiNzobheNzobhe 4 месяца назад

    😅😅😅😅

  • @KashinjemahonaKashinjema-cr3re
    @KashinjemahonaKashinjema-cr3re 3 месяца назад

    No beautiful