Jinsi ya kuanzisha biashara ya duka la unga wa sembe

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024
  • Jinsi ya kuanzisha biashara ya duka la unga wa sembe
    Video hii inaeleza mambo 12 ambayo ni ya muhimu iwapo unataka kuanzisha biashara ya unga wa sembe.
    Mambo kama upatikanaji wa mahindi, #bei za mahindi, aina bora za mahindi, upatikanaji wa mashine za kukoboa mahindi na kusaga unga, #mtaji wa kuanzisha biashara, #soko la biashara ya unga na kadhalika yafaa yapatiwe ufumbuzi kabla ya kuanza biashara.
    1. Soma eBooks za Ujasiriamali za Tan Business Channel: Wasiliana nasi kupitia Whatsapp 0716 682 439
    2. Tan Business Online School: ali-mwambola-s...
    3. Pata ushauri kupitia WhatsApp 255 716 682439
    4. Pata habari zaidi kupitia website yetu: www.tanbusiness.co.tz
    5. Mitandao yetu ya kijamii:
    Facebook: / tanbusiness
    Instagram: / tanbusiness
    RUclips: / alimwambola
    #jifunzeujasiriamali #vitabuvyaujasiriamali #alimwmabola #tuongeebiashara #tujifunzeujasiriamali #mizungukoyaujasiriamali

Комментарии • 26

  • @josephbizzy1813
    @josephbizzy1813 4 года назад +2

    Nashukuru sana kwa maelezo yako yamekua ya msaada kwangu.

    • @AliMwambola
      @AliMwambola  4 года назад +1

      Nakutakia mafanikio katika ujasiriamali

  • @shyfettymtunda4619
    @shyfettymtunda4619 5 месяцев назад

    Natamani kufanya hii biashara.Lakini hujaelezea namna ya kutafuta leseni,namna ya kusafirisha mahindi kutoka mikoani (vibali vya mazao,ushuru n.k)
    Ningependa sana kujua hayo.Asante.

    • @AliMwambola
      @AliMwambola  5 месяцев назад +2

      Utaratibu wa kupata leseni ya biashara ni kama ifuatavyo:
      1. Pata usajili wa biashara kutoka BRELA
      2. Pata TIN Number na Tax Clearance certificate kutoka office ya TRA
      3. Pata leseni kutoka ofisi ya halmashauri au manucipal
      4. Vibali vinapatikana kwenye mamlaka zinazo husika
      Kabla hujashughulika na hayo mambo 4 ni muhimu kwanza utafakari mambo ya msingi ya kuanzisha biashara ya sembe. Nakushauri usome kitabu changu cha jinsi ya kuanzisha biashara ya sembe. Wasiliana nami kupitia WhatsApp 255 716682439 kwa maelezo zaidi

  • @francisnolasco849
    @francisnolasco849 Год назад

    Maelezo haya yamenijenga sana, Asante sana

  • @kuziririzaisabatosiitegeko7088
    @kuziririzaisabatosiitegeko7088 2 года назад +1

    Asante sana mzee kwa mafunzo yako.Unaweza kuniongoza jinsi yakuanzisha kiwanda cha kusaga ngano?

    • @AliMwambola
      @AliMwambola  2 года назад

      Karibu tena

    • @AliMwambola
      @AliMwambola  2 года назад

      Wasiliana nami kupitia WhatsApp +255 716 682439

  • @comoromwenda7774
    @comoromwenda7774 4 года назад

    shukrani, imenisaidia

  • @mbarukukilongola6734
    @mbarukukilongola6734 4 года назад

    Safi

  • @happinessmlughu2303
    @happinessmlughu2303 2 года назад +1

    Jinsi ya kufunga unga

  • @happinessmlughu2303
    @happinessmlughu2303 2 года назад

    Hujaeleza jinsi ya kufunga safret yenye unga

  • @joshuamfizi4816
    @joshuamfizi4816 6 месяцев назад

    Naomba namba yako ya siku.

    • @AliMwambola
      @AliMwambola  6 месяцев назад

      WhatsApp Number 255 716682439

  • @samlush6127
    @samlush6127 4 года назад +1

    Mzee nahitaji namba zako boss

    • @AliMwambola
      @AliMwambola  4 года назад

      Niandikie kupitia email yangu: amwambola@gmail.com

    • @AliMwambola
      @AliMwambola  4 года назад

      Number ya simu yangu ni 0716 682439

  • @happinessmlughu2303
    @happinessmlughu2303 2 года назад

    Uzi wa kufungia inakuwaje?

    • @AliMwambola
      @AliMwambola  2 года назад

      Zipo mashine za mkononi ambazo ziko kama cherehani ndizo zinazotumika kufunga mifuko ya unga. Kama ni mkazi wa Dar es Salaam zinapatikana kariakoo na mtaa mitaa ya Jamhuri na India

  • @sethnzigo7087
    @sethnzigo7087 4 года назад

    Nahitaji nambazako ili tuwasiliyane zaidi

    • @AliMwambola
      @AliMwambola  4 года назад

      Number ya simu yangu ni 0716 682439

  • @mwesigachinga1122
    @mwesigachinga1122 3 года назад

    Chapu

    • @AliMwambola
      @AliMwambola  3 года назад

      Nakushauri jiunge naTan Business Whats App Group +255 716682439 ubadilishane mawazo na wajasiriamali