Jinsi ya kuanzisha biashara ya duka la unga wa sembe
HTML-код
- Опубликовано: 5 окт 2024
- Jinsi ya kuanzisha biashara ya duka la unga wa sembe
Video hii inaeleza mambo 12 ambayo ni ya muhimu iwapo unataka kuanzisha biashara ya unga wa sembe.
Mambo kama upatikanaji wa mahindi, #bei za mahindi, aina bora za mahindi, upatikanaji wa mashine za kukoboa mahindi na kusaga unga, #mtaji wa kuanzisha biashara, #soko la biashara ya unga na kadhalika yafaa yapatiwe ufumbuzi kabla ya kuanza biashara.
1. Soma eBooks za Ujasiriamali za Tan Business Channel: Wasiliana nasi kupitia Whatsapp 0716 682 439
2. Tan Business Online School: ali-mwambola-s...
3. Pata ushauri kupitia WhatsApp 255 716 682439
4. Pata habari zaidi kupitia website yetu: www.tanbusiness.co.tz
5. Mitandao yetu ya kijamii:
Facebook: / tanbusiness
Instagram: / tanbusiness
RUclips: / alimwambola
#jifunzeujasiriamali #vitabuvyaujasiriamali #alimwmabola #tuongeebiashara #tujifunzeujasiriamali #mizungukoyaujasiriamali
Nashukuru sana kwa maelezo yako yamekua ya msaada kwangu.
Nakutakia mafanikio katika ujasiriamali
Natamani kufanya hii biashara.Lakini hujaelezea namna ya kutafuta leseni,namna ya kusafirisha mahindi kutoka mikoani (vibali vya mazao,ushuru n.k)
Ningependa sana kujua hayo.Asante.
Utaratibu wa kupata leseni ya biashara ni kama ifuatavyo:
1. Pata usajili wa biashara kutoka BRELA
2. Pata TIN Number na Tax Clearance certificate kutoka office ya TRA
3. Pata leseni kutoka ofisi ya halmashauri au manucipal
4. Vibali vinapatikana kwenye mamlaka zinazo husika
Kabla hujashughulika na hayo mambo 4 ni muhimu kwanza utafakari mambo ya msingi ya kuanzisha biashara ya sembe. Nakushauri usome kitabu changu cha jinsi ya kuanzisha biashara ya sembe. Wasiliana nami kupitia WhatsApp 255 716682439 kwa maelezo zaidi
Maelezo haya yamenijenga sana, Asante sana
Ahsante 🙏
Asante sana mzee kwa mafunzo yako.Unaweza kuniongoza jinsi yakuanzisha kiwanda cha kusaga ngano?
Karibu tena
Wasiliana nami kupitia WhatsApp +255 716 682439
shukrani, imenisaidia
Karibu
Safi
Karibu
Jinsi ya kufunga unga
Hujaeleza jinsi ya kufunga safret yenye unga
Naomba namba yako ya siku.
WhatsApp Number 255 716682439
Mzee nahitaji namba zako boss
Niandikie kupitia email yangu: amwambola@gmail.com
Number ya simu yangu ni 0716 682439
Uzi wa kufungia inakuwaje?
Zipo mashine za mkononi ambazo ziko kama cherehani ndizo zinazotumika kufunga mifuko ya unga. Kama ni mkazi wa Dar es Salaam zinapatikana kariakoo na mtaa mitaa ya Jamhuri na India
Nahitaji nambazako ili tuwasiliyane zaidi
Number ya simu yangu ni 0716 682439
Chapu
Nakushauri jiunge naTan Business Whats App Group +255 716682439 ubadilishane mawazo na wajasiriamali