Wenye huwa wanasema sijui ogopa kikuyu women, sijui nini, ni venye loyalty tests hasijafika kwenu... cheating is a person's character, not subjected to a certain tribe
Wacha boychild waokolewe, hii lazima mungu aanike wachawi wote na washerati🙌wamejificha sana in the altar of God🙌🙏 kube wenye ndoa ndio washerati wakubwa
Mungu ameamua hii mwaka ni kuanika wachawi na washerati, kube wanakuanga kwa ndoa😢huku single mom hawapumui juu yao wanachukuliwa Bwana 🙄wachawi na washerati mmejificha kanisani na kwa ndoa, Mungu atawaanika 1 by1🙌
Dave we2 back in action more love our dear .. Mungu awe nanyi kwa kazi njema mnayo fanya .... Kwanza kuokoa mama ya Officer fred salute all the way from 001
Wanawake wanatubebaga wana, xaxa mlikuw university nyinyi wawili mwanaume ako job dem kazi yake ni umalaya na out of that ananyamazia mtu ju y pesa, kasia kau
Mungu tusamehe yani mtu hanatoa wapi nguvu za kulala na baba mkwe😢😢😢
Wenye huwa wanasema sijui ogopa kikuyu women, sijui nini, ni venye loyalty tests hasijafika kwenu... cheating is a person's character, not subjected to a certain tribe
Very true 🤜
Thank you for the comment
Truee
Exactly 100 percent true
Exactly 👏👏👏👏
Weuh . This man. What a humble guy surely. Young Man . May God give you strength ya kuvumilia hii takataka ya mwanamuke. Jesus Christ 🙆🙆🙆
Ningechapa yeye na mzee pamoja😂😂
@pharoah-ahmose6075 father in-law hadi mtu Azar na yeye. Sharing one rose coco na your own dad. 🤔🤔
@MeryNdegwa I'll ask for my share of land, sell it and the so called dad will NEVER see me again. This is the worst case of betrayal
Waah 😮mmeingia shimo moja na baba yako?😢dunia kwisha ata amezaa na mzazi wako?😳
David seniour, God has chosen you to deal with mambo ya usherati na wachawi,
Period.
But be extrra careful...
Dio maana alicheat 😂😂😂
Huyu msichana hapendi huyu boychild,the body language from the beginning speaks volume,anapendwa lakini hapendani😂
Umeonae,,, nilitaka mwingine aseme kabla yangu, Asanteni,,,,,,walioleka wanavaa hivi, na wale Bado wavaa aje Sasa
Kijana mpole .God bless you.
Kwani mamake kijana AKo wapi
Dave please wasana na mambo mini huko this is the time you have to leave and go back to Nairobi with Fred
Dave ako on the way to Nairobi,hii n kitu ilifanyika maybe 2 days ago or even 3
shida yako ni nini wew kwan
Wacha boychild waokolewe, hii lazima mungu aanike wachawi wote na washerati🙌wamejificha sana in the altar of God🙌🙏 kube wenye ndoa ndio washerati wakubwa
Kama hii ndio akili ulivuka.mwaka nayo uko na shida sana😂
😂😂😂😂@@carolinemwenze8831
Dunia imeisha unalala aje na baba wa mzee wako😢😢😢😢😢😢😢
Weeuhhh baba mzazi kakurana na mtoto wake 😢😢😢😢😢😢😢 my God dunia imefika mwisho kbsaaaa
Watu wa migori mko wapi,kujeni muone vituko za father in law 😢😢😢😢
Yaani mtu anakulwa na baba ya bwana yake???its end time manze
mpee hung acha mchezo🤣🤣🤣🤣piga iyo pichaa piga iyo pichaaa then mwisho ni kulia🤣🤣🤣kuoa sio lazima
Kiburi mingi mingi na this guy is already heartbroken 😢💔
mbwa afadali shukuru mungu bro mshoye wange kuua
Niko sure hako kadress ni mzaee ndio alinunua🤔
Betrayal is real, na hiko everywhere. Si relatives si friends.
Mungu ameamua hii mwaka ni kuanika wachawi na washerati, kube wanakuanga kwa ndoa😢huku single mom hawapumui juu yao wanachukuliwa Bwana 🙄wachawi na washerati mmejificha kanisani na kwa ndoa, Mungu atawaanika 1 by1🙌
😮😮😅
😂😂😂 devi wanaume tutafute pesa mapenzi baadae.huyo madam jeuri halafu malaya
Ghai, mara kaka analala na dada, mara baba analala namtoto wake, mara baba analala na bibi wa mtoto wake,.. Dunia imeisha
UYu SASA apa tane na Mama mkwee on set
Dave saa ingine kuanga serous unajua huko ni wapi na wewe unasema umetoka muranga😢
Mungu tetea vijana wetu
Huyu ni malaya kabisa hata ungemchoma tu mara moja na watu😅😅
Yani dem hua..mnaingizwa box aje na baba mkwe...na uko bdo na kijana wake ama ni dooh...ju na jaribu ku imagine 😮
Taamaaaaa hiyo waaaaa baba naye hana akili 😂😂😂
Kama mko na, Fred hapo mm sina wasi 🙏💪💪💪 Clean the streeth , Mr, S, Dave , The God's sender🔥🔥🔥
Hili Jina Jayde,,,,,,, linatamba but those kids are blessing ❤❤❤❤❤❤🙏🙏🙏🙏🙏😇😇😇😇😇😇
Bro ulisema ati babako alikwambia usiache huyo at the first sight
Ujafanya vizuri Dave. Unafaa uvae viatu vya huyo jamaa jamaa na umutie nguvu
Huyu dame ako na madharau Sana lkn mungu yuko
😂😂😂😂haki wewe dave..hati anaweza toa Mia tano nisi expose
Wamesikia 10k wakakubali, wakatulia😅😅 more is 🔥
Dave aki ulienda kusanitize migori
😂😂😂😂😂huyu haoni kitu kubwa
Ngai mwathani .. Jesus is lord
Sasa wa kikuyu wame fanya nini? Ume saidiwa unaleteya mdomo dave kuenda
The guilty are always afraid
Weuh 🙆🥺 yaani is it end of time ama😢 how can you smash with father in law 😢😢 surely this is too much bana
Huyu jamaaa ni straight forward man ungu akubariki uzidi kuwa mwaminifu kwa ndoa
Dave umeamua ,aki inauma lakin ati baba😢😢
Tuko mwishoni Eeeeh mungu baba tunakuitaji zaidi.
Mara ya kwanza jamaa haki na hasira anafikiria unataka bibi yake😂😂😂
Hadi kusema baba yao hakupewa kura😂
When you here a hippo saying that the crocodile 🐊 is sick and he's drowning you must believe since they both live under the water....😅😅😅
Senior your Godsend to save people lives ❤
Ako na kiburi bring that dad on set, aone moto
Dave joob good endelea kuwafumbua watu
Soma haraka na wewe 😂😂😂mtu anaeza kunyanganya simu b4 usome
😂,iti kupiga kula,nomaaa,safisha hao
Dave we2 back in action more love our dear .. Mungu awe nanyi kwa kazi njema mnayo fanya .... Kwanza kuokoa mama ya Officer fred salute all the way from 001
Citizen tv,Senior Dave tv😂😂😂ile uongo ikona Dave achatu.
Dave wacha kuniahekesha ati ungekuwa umemrusha kwa maji😅😂😅😂😂😂
Si bure ata nguo inasema
Kafubii anafanya Mambo migori...😂😂😂😂😂
Kugongewa round hii ni right, left, back, front and center woiii dunia simama Mimi nishuke please naskia kususu
Wewe mama umelaniwa..kuona uchi ya baba mkwe??muone
mwanaume amekonda analeya kimbe wanakula na babake were na myoto sliowa na Baba akamzalisha weee
Anakudharau juu backup ni strong😂Sorry bro.
Wuee after God fear women,,ata mm najiogopa
Walai😂
😂😂😂😂
Ngai 🤔 inaonekana tuko mwisho wa dunia
Yeah it's endtime 😢😢
Huyo kijana hana maisha bake atamuuwa ju hio inaendelea n uchawi
Akikaa kwenu ataaribia mamako boma huyo ni sheteni
Wui boy child still calling her Babie after kujua hiyo yote
I pity this young man. So sad
😮😮😮😮😮 Dunia simama nishuke Mimi
Wanawake wanatubebaga wana, xaxa mlikuw university nyinyi wawili mwanaume ako job dem kazi yake ni umalaya na out of that ananyamazia mtu ju y pesa, kasia kau
Akienda piano kwao atafanya hivyo
God bless you bro ku shaidia wanaume
May God forgive my eye juu what's i see njamaaa 😮 😅😅😅😅😅
😂😂Dave sanitisation na crocks😂😂
Wanaume pia ninyi mfundishe wanawake zenu kuvaa mavazi ya heshima, mavazi kama haya ni ya kumkaribisha shetani wa ngono kwa mkeo.
Kijana Baba yako ndiyo mwenye makosa. Lakini pole😢
It's necessary raila kuweli owada😂😂😂😂😂😂😂
Yaani mtoto wako ni brother yako?
Siku hizi wasichana wamekuwa kama ubwa, mwanamke analalanga na father in law, hata huyo baba yako hana Adabu
Mungu tusaidie sisi wanaume.... dad in laws pia wa style up
Mimi wazazi wanashida gani seriously! Hizi ni gani father in-law anafanya
Wanaume hawapitwi Na skirt,ukicheza wanapita naww wanawake ndio wanafaa kujitetea
God have mercy on us 🙏🏼
Mrembo uko na kaburii😂😂
Madem wajaluo ukua hivyo
Jamani huko wanaume n waminifu lkn Wana wake n wasaliti.Mungu rehemu wa mama n viumbe thaifu
Mungu bariki huyu kijana mpole jamani baba mkwe wooii
Huyo ni mungu wa muranga amekuja kukusaidia na unataka kupiga mungu..haki ujinga ya migori.
Ati mungu wa muranga'
Huyo msichana si angepatana na hasira ya mkisii wajipishane na hio rudeness ataregret
Dave utaundwa
Hii story afikishiwe bibi ya mzaee haka kamalaya kafukuzwe kimrambe
Ubaya devi hafuatangi saana, hii kitu inapaswa kufikishiwa relatives
@christine4072 kesi ikiwa kubwa ndio anaifuatilia
Kijana amesema mathake alifarikingi
@@ElkanahMogaka 😩may she rest in peace
Upcoming RUclipsrs let's gather here nipitieni guy's tugrow pamoja zote haki
Kwawewe Dave huu wimbo tangu ukiwa na ñduthi huwezi acha
Kwanini wewe senior umepeana simu😮🤷
Dave kweli ulisema unatoka mapema best eeee Bado? Akina akoth na atieno watakutero
Hata akienda kwa waarabu na ndio hujifanya holy mtashangaa sana wakisanitaiziwa
Hyu dave ako na wanaa sana
Lkn watu baba mkwe au mama mkwe unamtokea suruali aje surely hii ni pepo kubwa
Tuletee dad in law😂😂😂😂😂
This girl ata hana heshima hata kidogo. These Short girls........,,
Okokeni deeply Ile hadi unaskia sauti ya MUNGU
Waaaah
❤😂
Na hiii generation
Dave naye sometimes anapendanga tuu vita kila kona
Aki Dave huogopi?
Dave , hata dem atatoka akiwa handsome kweli???
Kumekucha kwli, mambo nimengi na muda ni mchache😮😮😮😮
iyo Kenya mungu tu
Sasa imekuwa under citizen TV 😂😂😂😂wanimaliza hata kama jacom ni mkali,endelea kusafisha ndoa
Father in-law 😢 walai dunia yaisha....