Mzungu alivyopiga mahesabu yake kua gari itaenda 1liter kwa 10km alishajumlisha yote hayo ni kuhangaika tu ,,hata kama itakula mafuta mfano co kama vile watu wanavyochukulia
Fundi unapungua sana ktk ufaham juu ya AC ya gari; gari halitumii tu umeme, kumbuka compressor ina magnetor ambayo husabanisha uzito wa mzunguko wa engine (inabeba), ndiyo maana kuna magari mengine yana engine ya pembeni kwaajiri ya matumizi ya AC 😜
Hata nimi nimemshangaa Sana huyu fundi anasahau kwamba magnetor ambayo huongeza uzito kwenye mzunguko wa engine, sijui umeme upi unazungusha compressor?
Huyu jamaa ni fundi wa A/C wa mwembeni, na si mtaalamu wa A/C. Kwanza A/C compressor ya gari inaendeshwa na engine ya gari na si umeme. Engine na compressor vinaunganishwa na belt japo compressor na belt vinakuwa vimetenganishwa na clutch ya umeme iliyo ndani, na unapowasha A/C ndio unakuwa umeunganisha clutch na ndio ac inafanya kazi. Kuhusu ulaji wa mafuta ni kweli ukiwasha ac ulaji wa mafuta unaongezeka coz ukiwasha ac unakuwa umeiongezea mzigo engine na hivyo ulaji wa mafuta unaongezeka. Mambo mengi kapuyanga.
Kuna uhusiano fundi, kumbuka ukiwasha ac na compressor iki-engage utasikia mlio wa engine unabadilika, why? Kwasababu you have just loaded that engine.....watu wanachokosea ni kwamba kabla hujaanza kutumia ac, kwanza kabisa engine yako inatakiwa iwe kwenye condition nzuri I mean healthy engine. Engine inatakiwa iwe na afya nzuri, vitu kama oil change, tune-up, air cleaner you don't consider....hilo gari litakula mafuta kama mlevi...hivyo kuna uhusiano kati ya ac na engine kula mafuta
Sio kweri kuna tofauti kati ya consumption ukiwasha ac na ikiwa ac ipo off lakini tofauti iko ukiwasha ac km gari iko parking haitembei coz ukiwasha ac gari inajipandisha silencer ikipanda silencer maana yake mafuta yanaenda zaidi kuliko ikiwa normal so kiufupi consumption inatofauti ila ni mdogo sn huyo fundi sijui wamemtoa wapi hawezi hata kujielezea
@@duplex4367hakuna lolote kaka ni mahangaiko tu,,,,mahesabu yashapigwa mfano gari itaenda 1liter kwa 11km hayo yote yashajimuishwa acheni kuhangaika wabongo😂😂😂😂😂
Huyu fundi si mwelewi.Unapongeza mzigo kwenye injini consumption ya mafuta inakuwaje ni ile ile?ITV hamjaleta mekaniks wa kweli.
Mzungu alivyopiga mahesabu yake kua gari itaenda 1liter kwa 10km alishajumlisha yote hayo ni kuhangaika tu ,,hata kama itakula mafuta mfano co kama vile watu wanavyochukulia
Fundi unapungua sana ktk ufaham juu ya AC ya gari; gari halitumii tu umeme, kumbuka compressor ina magnetor ambayo husabanisha uzito wa mzunguko wa engine (inabeba), ndiyo maana kuna magari mengine yana engine ya pembeni kwaajiri ya matumizi ya AC 😜
Hata nimi nimemshangaa Sana huyu fundi anasahau kwamba magnetor ambayo huongeza uzito kwenye mzunguko wa engine, sijui umeme upi unazungusha compressor?
Huyu jamaa ni fundi wa A/C wa mwembeni, na si mtaalamu wa A/C. Kwanza A/C compressor ya gari inaendeshwa na engine ya gari na si umeme. Engine na compressor vinaunganishwa na belt japo compressor na belt vinakuwa vimetenganishwa na clutch ya umeme iliyo ndani, na unapowasha A/C ndio unakuwa umeunganisha clutch na ndio ac inafanya kazi. Kuhusu ulaji wa mafuta ni kweli ukiwasha ac ulaji wa mafuta unaongezeka coz ukiwasha ac unakuwa umeiongezea mzigo engine na hivyo ulaji wa mafuta unaongezeka. Mambo mengi kapuyanga.
Kama haiongezi matumizi ya mafuta, mbona ukiwasha AC mlio wa ingini unabadilika kama vile umeongeza mzigo?
Hapa kwa fundi hapajakaa sawa kidogo 🚶🚶🚶
Continuu..that was educative even though your swahili is atimes diffucult to comprehend
Kuna uhusiano fundi, kumbuka ukiwasha ac na compressor iki-engage utasikia mlio wa engine unabadilika, why? Kwasababu you have just loaded that engine.....watu wanachokosea ni kwamba kabla hujaanza kutumia ac, kwanza kabisa engine yako inatakiwa iwe kwenye condition nzuri I mean healthy engine. Engine inatakiwa iwe na afya nzuri, vitu kama oil change, tune-up, air cleaner you don't consider....hilo gari litakula mafuta kama mlevi...hivyo kuna uhusiano kati ya ac na engine kula mafuta
Huyu fundi sijamuelewa kabisa
Huyo mama yuko sawa kabisa! aircondition haisababishi consumption kupanda!
Sio kweri kuna tofauti kati ya consumption ukiwasha ac na ikiwa ac ipo off lakini tofauti iko ukiwasha ac km gari iko parking haitembei coz ukiwasha ac gari inajipandisha silencer ikipanda silencer maana yake mafuta yanaenda zaidi kuliko ikiwa normal so kiufupi consumption inatofauti ila ni mdogo sn huyo fundi sijui wamemtoa wapi hawezi hata kujielezea
Ni kuhangaika tu ,,hakuna lolote watu wanalishana mentality za kipumbavu,,,ulaji mm naona ni ule ule tu
@@duplex4367hakuna lolote kaka ni mahangaiko tu,,,,mahesabu yashapigwa mfano gari itaenda 1liter kwa 11km hayo yote yashajimuishwa acheni kuhangaika wabongo😂😂😂😂😂
Jaribu kumpa nafasi fundi zaid kuelezea coz tunaitaj ufafanunuz wakitaalam zaid....
Madam anaelezea km sis tunavyojua mtaan....
Huyo madam anaelezea kiusahihi kuliko fundi hamna sehemu wameandika ukiwasha gari isubili dakika 5
Hii noma