Duh pole kwafamilia poleni pia kwawaigozaji wetu watathnia ya filam za bongo muvi maana mzeewetu pembe alikua muigizaji mahiri naanaye jituma poleni Sana Bwana ametoa na Bwana ametwaa jinalake nalihimidiwe !!🙌🙌🙌🙏🙏🇹🇿
Pole sana senga ngoni mwenzNgu imetuumizz hata sie mzee wetu akituchekesha sana mungu ampe kauli thabit awe na makazi mema mungu Amsamee pale anapo kosea
Navaa viatu vya senga jinsi alivyo pokea huo msiba nimejikuta napokea maumivu makali sana pole sana senga pole tanzania tumepoteza mtu mtu aliye tufariji sana kipindi tukiwa na msongo wa mawazo
Pole Sana mzee senga
Pole sana mzee tunakuombea uwe na subra wewe kweli rafiki wa kweli umepata pigo pole
Innalillahi wa inailahi rajiun Allah ajaalie kaburi lake na letu yawe mabustani ya jannah....ameen
Pole sana Mzee Senga kwa kuondokewa na pacha wako,ukweli tasinia ya sanaa haitaweza kupata tena msanii aina yake
Sana walikuwa wote sana
Poleni sana familia, industry of bongo movie, ndugu jamaa na marafiki na Tanzania kwa ujumla
Pole Sana Sana mzee senga .
Pole sana Senga, pole nyingi pia kwa familia. Mungu awafariji.
Poleni sana ndugu jamaa kwa kumpoteza mpendwa wenu.
Innalilah waina ileyhi rajiun inshaAllah Allah amjaliye kauli thabit nasi tulo baki Allah atujalie mwisho mwema ameen
Duh pole kwafamilia poleni pia kwawaigozaji wetu watathnia ya filam za bongo muvi maana mzeewetu pembe alikua muigizaji mahiri naanaye jituma poleni Sana Bwana ametoa na Bwana ametwaa jinalake nalihimidiwe !!🙌🙌🙌🙏🙏🇹🇿
Pole sana mzeee wetu senga umempoteza rafiki😢😢
Poleni sana Tasnia ya Sanaa na Wanafamilia kumpoteza Mpendwa wetu😢😢😢😢😢
Urafiki wa senga na pembe kama urafiki wa Mzee majuto na Mzee small😢
Pole sana senga kwa kuondokewa na rafiki ndg,Apumzike kwa amani
Pole mzee senga na familia ya marehemu
Mwenyezi Mungu ailaze loho ya malehemu peponi Amin
Pole sana babaang senga haki umeumia....polen familia r.i.p pembe 😭🤲🙏💔🕊️
Pole zetu kutoka nchi ya Kenya mashabiki wa vipindi zenyu 😂🕊️🇰🇪🌹🇹🇿🕊️🇰🇪🕯️🇹🇿🕊️🕯️🇰🇪🌹🇹🇿🕯️🇹🇿🙏🇹🇿🕊️🇰🇪🌹🇰🇪🌹🇹🇿🕊️🌹🇹🇿🇰🇪🌹🕊️🇰🇪🇹🇿🌹🇰🇪
Poleni Sana Asa mzee senga pole sana
Kwa mara ya Kwanza nasikia Mzee senga namsikia akiongea silias imemuuma sana.
Yoh 😢😢😢😢😢pole sana mzee Senga ni painful 😢 💔 😢
Pole sana senga /Mungu akutie nguvu katoka hiki kipindi kigumu
Dah Mzee wangu senga pole sana
😢😢Pole Sana senga yani una maumivu ya Hali ya juu
Pole Sana mzee wangu tumuombee Ina Lilah waina ilahi rajiuun
Pole sn .Mzee .wetu hkika imekuuma .sn..Allah amsamehe makosayake
jamani nampenda Senga yani kweli nishazeeka kama hawa wachekeshaji wamekua baba zangu hata mimi nshakua kikongwe,RIP baba yangu kipenzi Pembe
Allah akutie nguvu babaetu
Pole sana Senga
Bora we umempa shikamoo kuna mitangazaji inasemaga Heshima yako
Kweli mi inanikera eti mtu mzima unamwabia heshima yako sijui ndo nini maana yake watanzania tuna salam zetu shikamo ndo hesima kwa wa kubwa
Haaaahaaaa unakuta tayari alikuwa amemsalimie😂
Safi kabisa,wafundishe na wenzio
@@halimamasai2234 shikamo siyo dili wewe salam ya kitumwa
Polen sana senga na familia ya pembe
Poleni sana
Poleni sana jamani Mungu awafariji wafiwa wote
poleni saana wandugu ukweli huo msiba umetugusa wengi poleni familia pole sana ndugu yangu senga
Pole sana mzee Senga na mwandishi maswali yako yaweke vizur usirudie rudie
Pole sana
Pole sana mzee senga 😢😢😢😢😢
Poleni sana familia
Pole sana baba yetu senga inauma sanaa tume mpenda mungu kampenda zaidi😢😢
Pole sana Mzee Senga
Pole Sana senga
Pole sana mwenyezi mungu apumzishe kwa amani
maneno mazima sana
Senga bana Pole sana 😢 eti kichwa kimeingia vairasi
Pole sana senga ngoni mwenzNgu imetuumizz hata sie mzee wetu akituchekesha sana mungu ampe kauli thabit awe na makazi mema mungu Amsamee pale anapo kosea
Senga ni Mngoni
Ila mbengo upo vizuri
Pole sana Mzee Senga na familia yote kwa ujumla RIP pembe🕯️
From 🇧🇮 inalillah wa inalillah rajiun
Pole sana umepoteza mtu na watu kuwapata ni shida
Poleni Sanaa wana family
Pole san Senga,Mungu akupatie faraja
Pole poleni Sana ndugu jama na marafiki atuna lakusema yote Niya mwenyezi MUNGU 🕯️🕊️🌹🇰🇪🌹🇹🇿🕯️🕊️🇹🇿🕊️🕯️🇹🇿🌹🇰🇪🙏🌹🕊️🇰🇪🕊️🇹🇿🕊️🌹🇰🇪🕊️🇹🇿
Pole Mzee sengs kifo chetu sote
Pole sana senga ulimpenda sana pembe lkn allah kampenda zaid
Maskin kaumia sana Mungu awape faraja Anajikaza tu baba wa watu😢😢😢
Pole sana Mzee senga rafiki yako pembe kakuacha
Tayari kichwa kimeingia virus.😂😂
pole senga
Polee mzeee sengaa
Pole san mze senga😢😢Allah Amrehemu zaidi😢🇧🇮
sisi ni waja wake na sote tutatejea pumzika ndugu yetu mungu akupe pumziko lenye amani
Kwani mwandi amujui kuuliza😢😢
Daaaaa mzee pembe🙏🙏🙏😭😭
Pole sana mzee wetu napo umejikaza kuongea 😭😭😭😭 rest easy pembe wetu jaman
Pole sana senga Dah😭😭😭😭
Pole sana mzee Senga
Allah amsameh nampe malazi mema huko akhera aendako
Polen sana mzee senga pole sana
M mungu amsamehe makosa yake ammin
Pole senga kuondokewa na pacha wako pia wote wanafamilia nawapa pole
Navaa viatu vya senga jinsi alivyo pokea huo msiba nimejikuta napokea maumivu makali sana pole sana senga pole tanzania tumepoteza mtu mtu aliye tufariji sana kipindi tukiwa na msongo wa mawazo
Pole seng
pole sana mzee senga
Poleni 😢😢😢😂
Huyu mzee minikimtazama tu najiwa na kicheko ataka yupo sirias
Mzee senga pole sana
😢😢😢 Pumzika kwa amani na pole saaana mzee
Mungu ailaze roho yake mahar pema
Pole sana senga na tanzania kwa ujumla,
Poleni sana ndugu jamaa na malafiki wote
Inalilay waina hilay rajiun pole sn mzee senga kwa kipindi iki kigumu.
Innalilah ndio mwisho wetu sote tuta 10:57 kumis sana pembe na tungu yako na maneno yko ya kufurahisha
Pole sana Mzee senga
Polen ndugu jamaa mlio guswa na msiba huo
Polen sana wanafamilia😢
Lala salama Pembe! Ahsante kwa kutupa Tabasamu!
Dah pole sana mzee wetu MUNGU atukie nguvu😢
Binafsi sijapenda mwandishi kwa jinsi ulivyo Fanya mahusiano interview mbovuu
R.I.P my best commedian
Mungu akutie nguvu
Innalillah llah wainnal llah rajuh pumzika kwa amani mzee pembe
Dah pumzika kwa amani mzee wangu ...
Innalillah wainna illah rajiun 😢
Innalillah wainnalillah raajuun pole senga
Duh poleni sana
Senga bhana eti ni sawa na boda boda na mataili yake moja limenyofuka. Pole sana mzee senga
Ndugu za pembe na rafiki yake pembe tunawaba polen sana ndugu zangu.
Poleni wanafamilia ya uchekeshaji
🙏🙏🙏🙏🙏🙏❤❤❤❤
Innalila wa innalila rajiun😢😢