MACHOZI YA SENGA MSIBANI KWA PEMBE, ALITUAGA KABISA, INANIUMA SANA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 20 окт 2024

Комментарии • 172

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 33 минуты назад +1

    Pole Sana mzee senga

  • @FATHIYA002
    @FATHIYA002 15 минут назад +1

    Pole sana mzee tunakuombea uwe na subra wewe kweli rafiki wa kweli umepata pigo pole

  • @Moha-l3c
    @Moha-l3c Час назад +7

    Innalillahi wa inailahi rajiun Allah ajaalie kaburi lake na letu yawe mabustani ya jannah....ameen

  • @revocatusmalimi4525
    @revocatusmalimi4525 2 часа назад +11

    Pole sana Mzee Senga kwa kuondokewa na pacha wako,ukweli tasinia ya sanaa haitaweza kupata tena msanii aina yake

  • @ezekielbkuyeko5241
    @ezekielbkuyeko5241 Час назад +4

    Poleni sana familia, industry of bongo movie, ndugu jamaa na marafiki na Tanzania kwa ujumla

  • @hajiramadhanihaji355
    @hajiramadhanihaji355 3 часа назад +23

    Pole Sana Sana mzee senga .

  • @naomibildad509
    @naomibildad509 2 часа назад +4

    Pole sana Senga, pole nyingi pia kwa familia. Mungu awafariji.

  • @MaryMgaluli
    @MaryMgaluli 30 минут назад

    Poleni sana ndugu jamaa kwa kumpoteza mpendwa wenu.

  • @FatmaSaid-j9o
    @FatmaSaid-j9o Час назад +2

    Innalilah waina ileyhi rajiun inshaAllah Allah amjaliye kauli thabit nasi tulo baki Allah atujalie mwisho mwema ameen

  • @RizikiGunda
    @RizikiGunda Час назад +2

    Duh pole kwafamilia poleni pia kwawaigozaji wetu watathnia ya filam za bongo muvi maana mzeewetu pembe alikua muigizaji mahiri naanaye jituma poleni Sana Bwana ametoa na Bwana ametwaa jinalake nalihimidiwe !!🙌🙌🙌🙏🙏🇹🇿

  • @Najima-r6r
    @Najima-r6r 3 часа назад +11

    Pole sana mzeee wetu senga umempoteza rafiki😢😢

  • @rogerslwitiko3915
    @rogerslwitiko3915 Час назад +2

    Poleni sana Tasnia ya Sanaa na Wanafamilia kumpoteza Mpendwa wetu😢😢😢😢😢

  • @mejumaabaraza3989
    @mejumaabaraza3989 Час назад +2

    Urafiki wa senga na pembe kama urafiki wa Mzee majuto na Mzee small😢

  • @siwonikewilliam9146
    @siwonikewilliam9146 4 часа назад +7

    Pole sana senga kwa kuondokewa na rafiki ndg,Apumzike kwa amani

  • @OmanOman-hj7tv
    @OmanOman-hj7tv 27 минут назад

    Pole mzee senga na familia ya marehemu

  • @ThadeiAndrea
    @ThadeiAndrea 31 минуту назад

    Mwenyezi Mungu ailaze loho ya malehemu peponi Amin

  • @gladnesswazir-zz9lk
    @gladnesswazir-zz9lk Час назад +1

    Pole sana babaang senga haki umeumia....polen familia r.i.p pembe 😭🤲🙏💔🕊️

  • @georgeomondi4567
    @georgeomondi4567 2 часа назад +3

    Pole zetu kutoka nchi ya Kenya mashabiki wa vipindi zenyu 😂🕊️🇰🇪🌹🇹🇿🕊️🇰🇪🕯️🇹🇿🕊️🕯️🇰🇪🌹🇹🇿🕯️🇹🇿🙏🇹🇿🕊️🇰🇪🌹🇰🇪🌹🇹🇿🕊️🌹🇹🇿🇰🇪🌹🕊️🇰🇪🇹🇿🌹🇰🇪

  • @teedullah5708
    @teedullah5708 3 часа назад +6

    Poleni Sana Asa mzee senga pole sana

  • @FelixEliudy-rc1nb
    @FelixEliudy-rc1nb Час назад +1

    Kwa mara ya Kwanza nasikia Mzee senga namsikia akiongea silias imemuuma sana.

  • @deborahrehema4066
    @deborahrehema4066 3 часа назад +3

    Yoh 😢😢😢😢😢pole sana mzee Senga ni painful 😢 💔 😢

  • @JescaMwakaponda
    @JescaMwakaponda 3 часа назад +3

    Pole sana senga /Mungu akutie nguvu katoka hiki kipindi kigumu

  • @ellyjacob9897
    @ellyjacob9897 3 часа назад +4

    Dah Mzee wangu senga pole sana

  • @josephinejoseph3919
    @josephinejoseph3919 3 часа назад +6

    😢😢Pole Sana senga yani una maumivu ya Hali ya juu

  • @AzizSalumu
    @AzizSalumu 2 часа назад +1

    Pole Sana mzee wangu tumuombee Ina Lilah waina ilahi rajiuun

  • @ZahorSalum-h9q
    @ZahorSalum-h9q 3 часа назад +1

    Pole sn .Mzee .wetu hkika imekuuma .sn..Allah amsamehe makosayake

  • @paulabelleghe451
    @paulabelleghe451 50 минут назад

    jamani nampenda Senga yani kweli nishazeeka kama hawa wachekeshaji wamekua baba zangu hata mimi nshakua kikongwe,RIP baba yangu kipenzi Pembe

  • @Al-farsy-l6p
    @Al-farsy-l6p Час назад +1

    Allah akutie nguvu babaetu

  • @annamwakibinga527
    @annamwakibinga527 23 минуты назад

    Pole sana Senga

  • @TonnyJimmy-z5c
    @TonnyJimmy-z5c 4 часа назад +10

    Bora we umempa shikamoo kuna mitangazaji inasemaga Heshima yako

    • @halimamasai2234
      @halimamasai2234 4 часа назад +3

      Kweli mi inanikera eti mtu mzima unamwabia heshima yako sijui ndo nini maana yake watanzania tuna salam zetu shikamo ndo hesima kwa wa kubwa

    • @dicksonulotu7427
      @dicksonulotu7427 4 часа назад +1

      Haaaahaaaa unakuta tayari alikuwa amemsalimie😂

    • @twiseghekisilu8845
      @twiseghekisilu8845 3 часа назад +2

      Safi kabisa,wafundishe na wenzio

    • @bongatv25
      @bongatv25 3 часа назад

      ​@@halimamasai2234 shikamo siyo dili wewe salam ya kitumwa

  • @AyubuChacha-u6u
    @AyubuChacha-u6u 3 часа назад +7

    Polen sana senga na familia ya pembe

  • @sakinahyela545
    @sakinahyela545 Час назад

    Poleni sana

  • @jasirimjasirimedia7940
    @jasirimjasirimedia7940 45 минут назад

    Poleni sana jamani Mungu awafariji wafiwa wote

  • @IsayaKavina
    @IsayaKavina 3 часа назад +2

    poleni saana wandugu ukweli huo msiba umetugusa wengi poleni familia pole sana ndugu yangu senga

  • @esthermichael4653
    @esthermichael4653 2 часа назад +1

    Pole sana mzee Senga na mwandishi maswali yako yaweke vizur usirudie rudie

  • @KawserA-hw1j
    @KawserA-hw1j 46 минут назад

    Pole sana

  • @Fatmashilinde-nu4fj
    @Fatmashilinde-nu4fj 31 минуту назад

    Pole sana mzee senga 😢😢😢😢😢

  • @Daniella249
    @Daniella249 3 часа назад +4

    Poleni sana familia

  • @AminaJuma-sp4ii
    @AminaJuma-sp4ii Час назад

    Pole sana baba yetu senga inauma sanaa tume mpenda mungu kampenda zaidi😢😢

  • @dicksonulotu7427
    @dicksonulotu7427 4 часа назад +4

    Pole sana Mzee Senga

  • @VisentSoko
    @VisentSoko Час назад

    Pole Sana senga

  • @VeronicaCrement
    @VeronicaCrement Час назад

    Pole sana mwenyezi mungu apumzishe kwa amani

  • @hodamzungu4107
    @hodamzungu4107 Час назад +1

    maneno mazima sana

  • @tumainieliud8702
    @tumainieliud8702 24 минуты назад

    Senga bana Pole sana 😢 eti kichwa kimeingia vairasi

  • @AshoreAa
    @AshoreAa 3 часа назад +5

    Pole sana senga ngoni mwenzNgu imetuumizz hata sie mzee wetu akituchekesha sana mungu ampe kauli thabit awe na makazi mema mungu Amsamee pale anapo kosea

  • @bongatv25
    @bongatv25 3 часа назад +5

    Ila mbengo upo vizuri

  • @isaiahmakenzi9243
    @isaiahmakenzi9243 2 часа назад

    Pole sana Mzee Senga na familia yote kwa ujumla RIP pembe🕯️

  • @Fatima-v9k6f
    @Fatima-v9k6f 4 часа назад +4

    From 🇧🇮 inalillah wa inalillah rajiun

  • @fidelismwakanyamale6787
    @fidelismwakanyamale6787 3 часа назад +3

    Pole sana umepoteza mtu na watu kuwapata ni shida

  • @FatimaMuhammed-n8y
    @FatimaMuhammed-n8y Час назад

    Poleni Sanaa wana family

  • @AgnessDaud-jk7ro
    @AgnessDaud-jk7ro 3 часа назад

    Pole san Senga,Mungu akupatie faraja

  • @georgeomondi4567
    @georgeomondi4567 2 часа назад

    Pole poleni Sana ndugu jama na marafiki atuna lakusema yote Niya mwenyezi MUNGU 🕯️🕊️🌹🇰🇪🌹🇹🇿🕯️🕊️🇹🇿🕊️🕯️🇹🇿🌹🇰🇪🙏🌹🕊️🇰🇪🕊️🇹🇿🕊️🌹🇰🇪🕊️🇹🇿

  • @mejumaabaraza3989
    @mejumaabaraza3989 Час назад

    Pole Mzee sengs kifo chetu sote

  • @latifasalum7611
    @latifasalum7611 Час назад

    Pole sana senga ulimpenda sana pembe lkn allah kampenda zaid

  • @mrambadiana9678
    @mrambadiana9678 Час назад

    Maskin kaumia sana Mungu awape faraja Anajikaza tu baba wa watu😢😢😢

  • @Aminmwansile-we8vn
    @Aminmwansile-we8vn Час назад

    Pole sana Mzee senga rafiki yako pembe kakuacha

  • @deadcrush
    @deadcrush Час назад

    Tayari kichwa kimeingia virus.😂😂

  • @pena_tz
    @pena_tz 3 часа назад +3

    pole senga

  • @KhalifaIjabariro
    @KhalifaIjabariro 3 часа назад +3

    Polee mzeee sengaa

  • @hawababy120
    @hawababy120 Час назад +3

    Pole san mze senga😢😢Allah Amrehemu zaidi😢🇧🇮

  • @wachimbavisima
    @wachimbavisima 2 часа назад

    sisi ni waja wake na sote tutatejea pumzika ndugu yetu mungu akupe pumziko lenye amani

  • @rayahamisi118
    @rayahamisi118 17 минут назад

    Kwani mwandi amujui kuuliza😢😢

  • @batwelimahenge7850
    @batwelimahenge7850 Час назад

    Daaaaa mzee pembe🙏🙏🙏😭😭

  • @andrewsharuwa
    @andrewsharuwa 2 часа назад

    Pole sana mzee wetu napo umejikaza kuongea 😭😭😭😭 rest easy pembe wetu jaman

  • @HaniphaAbdallah-c6e
    @HaniphaAbdallah-c6e 3 часа назад +4

    Pole sana senga Dah😭😭😭😭

  • @MagrethKyando-l4g
    @MagrethKyando-l4g Час назад

    Pole sana mzee Senga

  • @FatmaJuma-h3i
    @FatmaJuma-h3i Час назад

    Allah amsameh nampe malazi mema huko akhera aendako

  • @BravoEliashibu
    @BravoEliashibu 3 часа назад +1

    Polen sana mzee senga pole sana

  • @seifseif5549
    @seifseif5549 Час назад

    M mungu amsamehe makosa yake ammin

  • @hawaa341
    @hawaa341 Час назад

    Pole senga kuondokewa na pacha wako pia wote wanafamilia nawapa pole

  • @ishaniramadhani8710
    @ishaniramadhani8710 2 часа назад

    Navaa viatu vya senga jinsi alivyo pokea huo msiba nimejikuta napokea maumivu makali sana pole sana senga pole tanzania tumepoteza mtu mtu aliye tufariji sana kipindi tukiwa na msongo wa mawazo

  • @JemaDo-q3r
    @JemaDo-q3r 6 минут назад

    Pole seng

  • @AdelaMgaya-st1vb
    @AdelaMgaya-st1vb 3 часа назад +1

    pole sana mzee senga

  • @JosephJoseph-s7k
    @JosephJoseph-s7k Час назад

    Poleni 😢😢😢😂

  • @MwanahamisiSaidRamadhani
    @MwanahamisiSaidRamadhani 50 минут назад

    Huyu mzee minikimtazama tu najiwa na kicheko ataka yupo sirias

  • @RamadhaniOmary-e3d
    @RamadhaniOmary-e3d 3 часа назад +1

    Mzee senga pole sana

  • @floridamwalongo5172
    @floridamwalongo5172 2 часа назад

    😢😢😢 Pumzika kwa amani na pole saaana mzee

  • @AdolphinaLupogo-l2n
    @AdolphinaLupogo-l2n 3 часа назад

    Mungu ailaze roho yake mahar pema

  • @Sengakarera
    @Sengakarera Час назад

    Pole sana senga na tanzania kwa ujumla,

  • @TausiMokiwa
    @TausiMokiwa 2 часа назад

    Poleni sana ndugu jamaa na malafiki wote

  • @ZenahZenah-w3u
    @ZenahZenah-w3u Час назад

    Inalilay waina hilay rajiun pole sn mzee senga kwa kipindi iki kigumu.

  • @GhanimaHamadi
    @GhanimaHamadi 2 часа назад

    Innalilah ndio mwisho wetu sote tuta 10:57 kumis sana pembe na tungu yako na maneno yko ya kufurahisha

  • @AminaMkumba-u3z
    @AminaMkumba-u3z 2 часа назад

    Pole sana Mzee senga

  • @YekoniaBilama
    @YekoniaBilama 30 минут назад

    Polen ndugu jamaa mlio guswa na msiba huo

  • @MmMm-tt1wi
    @MmMm-tt1wi 2 часа назад +1

    Polen sana wanafamilia😢

  • @Kidotii
    @Kidotii 3 часа назад

    Lala salama Pembe! Ahsante kwa kutupa Tabasamu!

  • @ZachariaMwita-bu7rw
    @ZachariaMwita-bu7rw 3 часа назад

    Dah pole sana mzee wetu MUNGU atukie nguvu😢

  • @chrissTitus-li1vp
    @chrissTitus-li1vp Час назад

    Binafsi sijapenda mwandishi kwa jinsi ulivyo Fanya mahusiano interview mbovuu

  • @DaudiMazengoMasterDTEM
    @DaudiMazengoMasterDTEM 2 часа назад

    R.I.P my best commedian

  • @alexanderibrahim3481
    @alexanderibrahim3481 2 часа назад

    Mungu akutie nguvu

  • @chidmp
    @chidmp 3 часа назад

    Innalillah llah wainnal llah rajuh pumzika kwa amani mzee pembe

  • @safarimallya4536
    @safarimallya4536 3 часа назад

    Dah pumzika kwa amani mzee wangu ...

  • @AshuraIbrahim-r3l
    @AshuraIbrahim-r3l 40 минут назад

    Innalillah wainna illah rajiun 😢

  • @FatumaJuma-b2g
    @FatumaJuma-b2g Час назад

    Innalillah wainnalillah raajuun pole senga

  • @EstherJohn-tz9ov
    @EstherJohn-tz9ov Час назад

    Duh poleni sana

  • @Aminmwansile-we8vn
    @Aminmwansile-we8vn Час назад

    Senga bhana eti ni sawa na boda boda na mataili yake moja limenyofuka. Pole sana mzee senga

  • @AyubuChacha-u6u
    @AyubuChacha-u6u 2 часа назад

    Ndugu za pembe na rafiki yake pembe tunawaba polen sana ndugu zangu.

  • @AbusheheKhalifa
    @AbusheheKhalifa Час назад

    Poleni wanafamilia ya uchekeshaji

  • @MomadeMudimoz70-cs2ud
    @MomadeMudimoz70-cs2ud 14 минут назад

    🙏🙏🙏🙏🙏🙏❤❤❤❤

  • @FatumaAbdalah-sj3dz
    @FatumaAbdalah-sj3dz 52 минуты назад

    Innalila wa innalila rajiun😢😢