EXCLUSIVE NA RICH MAVOKO "KUONDOKA WCB / TULIKUWA TUNAROGA / ALIKUWA ANANICHOTA TU"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 июн 2019
  • EXCLUSIVE #RichMavoko ameweka wazi kwa mara ya kwanza sababu za kuachana na Label yake ya zamani, maisha yake binafsi, kuwahi kwenda kwa Mganga Kuroga ili akue kimuziki na mengine kibao! Karibu uitazame hapo Juu.
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 345

  • @Bensonfrank25
    @Bensonfrank25 5 лет назад +29

    RICH MAVOKO FUNDI SANA - A pure gold talent

  • @bucheetv9124
    @bucheetv9124 5 лет назад +14

    Sauti ya beat iko juu sana, then interview ndefu sana.

  • @omarykitilya3872
    @omarykitilya3872 5 лет назад +7

    Nice interview,,, b 12 ur so talented broo

  • @melau_tz
    @melau_tz 5 лет назад +72

    Dozenselection punguzen sauti ya beat

    • @joshsangapekee2022
      @joshsangapekee2022 5 лет назад

      Yerootz beat itoke kabisa

    • @melau_tz
      @melau_tz 5 лет назад

      Josh Sanga pekee Nakubali 💪

    • @marymwaluko3364
      @marymwaluko3364 5 лет назад

      Itoke kabisaa

    • @godsanga518
      @godsanga518 5 лет назад

      Yerootz nic

    • @augustuszain6378
      @augustuszain6378 3 года назад

      i realize I am kind of randomly asking but does anybody know of a good website to stream new series online?

  • @amrimalumbo1712
    @amrimalumbo1712 5 лет назад +3

    Dozen up saw brooo kipndi chako fanya kaz brooo utafik mbali Respect

  • @hkmeme5437
    @hkmeme5437 5 лет назад +10

    Silali ndio nyimbo yangu bora kabisa

  • @seifmohamedseif9467
    @seifmohamedseif9467 5 лет назад +1

    Duh nadhan tamaa zile za maisha ya wale zilipelekea uka sain mkataba pasipo kusoma vzr na kuelewa kisa una ingia leb ya fulan upate maisha mazuri

  • @gsix1280
    @gsix1280 5 лет назад +10

    Nomaaaa

  • @levisonmwangujilo1567
    @levisonmwangujilo1567 5 лет назад +2

    mavooooooooooooooooooooookooooooooo nakuelewaa mnooo Broo piga kazi

  • @goodluckaugustino5486
    @goodluckaugustino5486 5 лет назад +11

    Kipind hik kikubwa sana na kinamatazamo mkuubwa na wenye kugusa vipaji vya wasaniiii weng Zaid#KAZ KUBWA KAKA MANDI

  • @mainasam4278
    @mainasam4278 5 лет назад +11

    Work on the sound issues mzeiya

  • @mrkipinguog3134
    @mrkipinguog3134 5 лет назад +10

    Jaman mnyonge mnyongen haki mpen kk na kkbalsan lakin hebu acha uongo mbona wakin harmonz wanmafnkio kk vtu vyengine tujiongez mashabk inaman hamuon mafanikio yakina mboss palewalipo vika

    • @abdyhotty3507
      @abdyhotty3507 5 лет назад

      yoo dozen selection holaaa xxl

    • @deancleopatra3863
      @deancleopatra3863 5 лет назад +1

      Hamic Akida sasa muhusika mkuu ndio anaongea ww unabishaa nn ww unasikia kwa watu na unaangalia majina ya wasanii wengine yy muhusika ndio anaongea ukweli ww kausha tu

  • @fubanjenjele521
    @fubanjenjele521 5 лет назад

    Wenye uteam ndo wanashindwa kupongeza , presenter uko vzr, TV iko vzr na artist yuko vzr, ur the best

  • @globallighttv9302
    @globallighttv9302 5 лет назад +4

    Beat iko juu sana hatusikilzani saut

  • @abeidmayanga809
    @abeidmayanga809 5 лет назад +1

    Well done mr Mandi

  • @ndunguyealex2771
    @ndunguyealex2771 5 лет назад +8

    Semeni #wcb ndo babalaooooo 🔥🔥🔥🔥🔥

  • @pascalnjau2470
    @pascalnjau2470 5 лет назад +32

    Iyo back ground kubwa sana!

  • @deusdeodavid5360
    @deusdeodavid5360 5 лет назад +20

    Dozen jitahid usiweke utimu kwenye kipindi chako hio sio clouds hio ni wewe hujui uendako na ukiangali bado kijana bado unahitaji watu wengine kufanikisha mambo yako

    • @bigboyben6932
      @bigboyben6932 5 лет назад

      deusdeo david go easy on him man.u-team gani unazungumzia hapa🤔
      Umenifanya niiangalie hii interview upya ila sijaona hiko unacho kilalamikia??au unamaanisha ilibidi na Diamond awepo Hapo 😂

    • @jumakibuyu593
      @jumakibuyu593 5 лет назад +1

      Saaana

    • @ambelemgala6193
      @ambelemgala6193 5 лет назад +1

      point

  • @bigboyben6932
    @bigboyben6932 5 лет назад +44

    Ayoo dozen selection vipi hakuna namna ya kubonga bila kushika 🎤?naona kunamuda sauti zinakuwa hazisikiki vizuri sababu ya kukwepesha mic

  • @danielkembo2177
    @danielkembo2177 5 лет назад +2

    #dozen bless Sana boss big show in town

  • @kingsoboropayani5127
    @kingsoboropayani5127 5 лет назад

    Dozen anaongea like a boss nakuelewa sana mzee 🙏🏾

  • @langamsuya3791
    @langamsuya3791 5 лет назад +4

    Rich umefulia na kmzik umekufa tangu utoke wcb hitsong ip uliotoa¿ show 10 za rich mavoko ni sawa na show moja ya mboso

    • @yassinsaid1119
      @yassinsaid1119 5 лет назад

      Wew acha ubishi kma angekuwa hana hits song wasingemtaka kumuajil katka lebo yao pia rich kaanza mziki before ya wao

    • @langamsuya3791
      @langamsuya3791 5 лет назад

      @@yassinsaid1119 hiv huwa unaelewa kswahili kweli maana hapo nimeongelea after na ww unaongelea before (nyakat) rud darasan ukajfunze tena

    • @yassinsaid1119
      @yassinsaid1119 5 лет назад

      @@langamsuya3791 ndo mana mim nakufundisha wew mbumbumbu wakuja wew unamuona rich hajui na hapigi show kisa kutoka wasafi wakat rich mziki wake mkubwa na show kaanza kufanya kabla wew hujaja mjini na kabla hujaanza kutumia sim alaf ulivyokuwa punguani unamfananisha rich na mbosso wakat wakina mbosso walkuw hawana lolote kabla hawajamchukua wasafi boya wew

    • @langamsuya3791
      @langamsuya3791 5 лет назад

      @@yassinsaid1119 kweli we ni tahira salut kwako

  • @kiulatzby4578
    @kiulatzby4578 5 лет назад +1

    Huyu choko toka aondoke #WCB simpendii kishenziii

  • @roseswai5778
    @roseswai5778 5 лет назад +10

    Sijapenda hii back beat imekuaa juu sana kuliko sauti zenu. Pia why mmeshika mic mikononi maana kunamuda hamsikiki

  • @chumatyres7586
    @chumatyres7586 5 лет назад +1

    WCB for life

  • @amirmmbaga7777
    @amirmmbaga7777 5 лет назад +12

    Dozen interview nzuri sana lakin SAUTI IMEKUA CHINI BORA MVAE MIC KULIKO KUSHIKA MIC AISEE MMEBOA SANA KATIKA SAUT BINAFSI IMENIUDHI SANA PILI DOZEN MASWALI YA LEO HAYANA UANDALIZI MZURI AU NAWEZA SEMA HAUKUA KATIKA MOOD NZURI AISEE MASWALI BINAFSI SIJAYAPENDA KUMBUKA HII CHANNEL YETU NDIO INAANZA KAZA SANA KUA SERIOUS PLEASE.
    LOVE YOU N I APPRECIATE YOU MUCH

  • @noahmasasi8962
    @noahmasasi8962 5 лет назад +3

    Hiyo back sound punguzeni

  • @tentwice9291
    @tentwice9291 5 лет назад +2

    Guud intaview

  • @shickkitabunda3959
    @shickkitabunda3959 5 лет назад +2

    my great artist in TanzaniA

  • @jumannemfaume
    @jumannemfaume 5 лет назад +32

    Dozen me nakukubali sana sema huo uclouds wako unaleta kwenye biashara yako hapo unazingua sana utakuwa hausogeii sababu ya ubinafsi wa kishamba ww umeamua kufungua online tv kwa ajili ya ku push kaz za wasanii wote but still upo na segregation ona hapo mmezungumzia wcb lkn hutaki kuitaji kwa maana unaona kama utaipa airtime ya bure this does not accepted punguza chuki zako fanya kwa usawa bro.

    • @shaabanramadhan6770
      @shaabanramadhan6770 5 лет назад

      Yes true ameonesha chuki za wazi wazi

    • @fortyyellu9971
      @fortyyellu9971 5 лет назад

      JUMANNE MFAUME fact baba...washayumba hawa .. hahahaa...clous yenyewe ishakufa tayar babeki... moto ni WCB..tu

    • @Chief_godlove
      @Chief_godlove 5 лет назад

      JUMANNE MFAUME ume mueleza kweri mwamba hata mavoko kazingua sana

    • @nasrimohamed7556
      @nasrimohamed7556 4 года назад

      Wamekutana mapunga wawili wanahojiana

  • @wizdallas6282
    @wizdallas6282 5 лет назад +1

    Nakubali brother DOZEN mdogomdogo tutafik wanakotaka

  • @chicharitoronaldo5950
    @chicharitoronaldo5950 5 лет назад +2

    WCB NI CHAMA LA WANA🔥🔥🔥HAMUWAWEZI WALE VIJANA MAMAEZENU...Mulidhani mukimbania SIMBA na Wasanii Wake Watapotea?Hahahaa Ndio Kwanza Wanazidi kutusuaa🔥🔥🔥#NUMBER 1 LABEL IN AFRICA!!!!NA kwa Sasa WASAFI FM NDIO HABARI YA MJINI🔥🔥🔥

  • @smartmussadozen3535
    @smartmussadozen3535 5 лет назад

    Nice interview

  • @daudmilan1479
    @daudmilan1479 5 лет назад +11

    ambao wameunsubribe kwassbb ya unafik nan

  • @zahararamsey3324
    @zahararamsey3324 5 лет назад

    Kuna unyama sana humu ndani bro dozen...fanyia kazi vitu vichache kama kushika mic n.k

  • @erickmwananjela
    @erickmwananjela 5 лет назад +1

    Semelea good

  • @britonngale6644
    @britonngale6644 5 лет назад +20

    umafki jamani mbona toka utoke wcb hujatoa chochote nyau wewe

  • @samsonkadinda8676
    @samsonkadinda8676 5 лет назад +1

    TATIZO MNAJISTUKIA APOO SIO CROUDS FANYA MAAMBO YAKO UKIWA HURU IYOO RADIO SIO BABAKO UTEAM UNAFANYA SHOW INAKUWA YA KICHOKO

  • @lucasshayo9705
    @lucasshayo9705 5 лет назад +13

    Background music is louder than yor sh*t you guys talking about.....work out on that

  • @supervan3717
    @supervan3717 5 лет назад

    B twelv mtu imara keep moving bro

  • @deogratiusgibson853
    @deogratiusgibson853 5 лет назад +6

    Haha 😂 ngoma ngapi umetoa mpaka leo toka umejitoa 😃😄🤣🤣

  • @badboy2577
    @badboy2577 5 лет назад +5

    Salimia Sana Tiny Home Boy

  • @leonardmavele183
    @leonardmavele183 5 лет назад +23

    Nimekuja Apa baada yakuona Wcb tu.

    • @kendrickemmanuel1535
      @kendrickemmanuel1535 5 лет назад

      Leonard Mavele We kama inzi ukiona Mavi lazima uende

    • @leonardmavele183
      @leonardmavele183 5 лет назад +2

      @@kendrickemmanuel1535 wew km dem wang ukiona bwana wako kadindisha wew unajichomeka mboo kwenye mkundu, Unaona ulikonifata Uku!

    • @mwanahabari1435
      @mwanahabari1435 5 лет назад

      Hata Mimi wala bila hiyo hata asingenipata

    • @Mohamed-wt8tw
      @Mohamed-wt8tw 5 лет назад

      Tupo wengi

  • @tonyspencer1928
    @tonyspencer1928 5 лет назад +14

    Kwahiyo sasa hv unatoa nyimbo back to back au vp rich!!?😅😅😅 Mbona hatuoni hzo back to back!!?

  • @karimchota6310
    @karimchota6310 5 лет назад +2

    Msikitaka kufaa nje msiwazungumzie wcb,pumbavu zenu

  • @sponsor7882
    @sponsor7882 5 лет назад +1

    THIS GUY IS GUD,TATIZO HIS X GAL

  • @msasaniboyrais598
    @msasaniboyrais598 5 лет назад +4

    Mnakumbuka alivyo toa kokoro na Diambond aliojiwa unakumbuka aliongea nini kuusu kutoa ngoma uyo jamaa kigeugeu.

  • @datikazumari515
    @datikazumari515 5 лет назад +1

    show kali sana

  • @maxwellshana
    @maxwellshana 5 лет назад +9

    Nashangaa umeandika WCB lakini kwenye mazungumzo ya interview mnashindwa kuwataja as if unaweka chuki flani hivi.

    • @jumakibuyu593
      @jumakibuyu593 5 лет назад

      Wcb kma maji usipokunywa utaoga. Kwaiyo mi naona kma ni wivuu tuu wakijinga.

  • @robertsemfuko1798
    @robertsemfuko1798 5 лет назад +1

    Interview zako zinakuwaga nzuri sana ila nadhani unahitaji sound balance ya background music na microphone volume ile kupata usikivu bora wa Maswali na Majibu.

  • @jamilajamila9682
    @jamilajamila9682 5 лет назад

    Wouuu rich makovu🌹👍

  • @anjelinakasembe845
    @anjelinakasembe845 2 года назад

    Mama Ana msaport sana

  • @youngvicent1047
    @youngvicent1047 5 лет назад +1

    Mmetishaaa sana mafundi nyie

  • @ambelemgala6193
    @ambelemgala6193 5 лет назад +1

    mavoko nimuongo ...ww si ndo ulikuwa unasema mond alikuwa anakwabia ..utoe ngoma back to back...leo unasema walikuwa wanakubania .muogope mungu ww ..ndo maana...unafel ngoma zko....

  • @silabiboytz9569
    @silabiboytz9569 5 лет назад +21

    Hilo biti Lina zingua had huskii vzr kinachoongelewa

  • @vamo2082
    @vamo2082 5 лет назад +8

    Mbona mnaongea kwa uoga jaman smtaje najina

  • @dogoshazzy7032
    @dogoshazzy7032 5 лет назад +6

    nakukubali kaka sana

  • @hajimakarabai4700
    @hajimakarabai4700 5 лет назад +1

    Umepoteza mtu mzee baba wcb lebo kubwa duniani

  • @noelmarapachi1808
    @noelmarapachi1808 5 лет назад

    Background Music iko juu Sana muipunguze.
    Pia tumieni Lapel Mics, hizo mnazotumia ni ngumu kum control mtumiaji kuna wakati ana weka mic karibu wakati mwingine anaweka mbali na hata akiweka karibu kuna wakati inakuwa karibu kiasi sauti ina distort

  • @josephjackob6477
    @josephjackob6477 5 лет назад

    Nice work dozen but back ground music iko high sana

  • @ezradaniel4613
    @ezradaniel4613 5 лет назад +4

    Kwahyo hyo mikataba miwil uliyosain ikakuathir ulikuwa hauna akil??🙄

  • @beryljulie7801
    @beryljulie7801 5 лет назад +1

    What’s the point of interviewing someone with loud background music???

  • @jumannenasoro9630
    @jumannenasoro9630 5 лет назад +10

    Yaan sikupendi wee dozen .Umewazingua sana wasanii unataka kunyenyekew sana pumbavu unakuja kumsema msani kama Rama d .tena redioni .

    • @athamannassoro6751
      @athamannassoro6751 4 года назад

      Halaf Ana tabia msanii akishaomba msamaha wanataka aongee redion ili adhalilike

  • @jessymalembeka6181
    @jessymalembeka6181 5 лет назад

    beat kubwa ,hutusikii vizuriiiiiiii

  • @chybuwagwantaz8054
    @chybuwagwantaz8054 5 лет назад +4

    Nice interview ila hapo kwenye WCB ungeandika pia lebo aliyotoka km mnavyozunguka zunguka kwny interview

  • @abdulrahmanmohd4064
    @abdulrahmanmohd4064 5 лет назад

    Ifikie kipindi watanzania tumu elewe rich mavoko maana kuongea kweli Hata nyinyi hamuoni acha unafiki Richard kaongeya kweli

  • @jahaziletu1186
    @jahaziletu1186 5 лет назад +2

    Ku hit tz huwez kupata hela kuna mtu alifanya show za fiest mikoa mitano jumla yake ni show ya mtu mmoja Mara moja Jarb Ku fight nje ya nje

  • @godfreyeliabu2582
    @godfreyeliabu2582 5 лет назад +1

    Broo dozen unge luhusu ku download interviews ili kama mtu yupo offline azicheki siunajua network some time

  • @princetinho6765
    @princetinho6765 5 лет назад +2

    Wcb kama maji ucpo kunywa utanawa bro kwan clouds mnateseka na wcb

  • @cbhofficial3432
    @cbhofficial3432 5 лет назад +4

    Mimi fast ku check hi video

  • @pascalprince4408
    @pascalprince4408 5 лет назад

    The king

  • @godrichmwatindila5690
    @godrichmwatindila5690 5 лет назад +6

    Tanzania ndo mtu anaacha kaz kabla ya kupata kaz

    • @maubarak9831
      @maubarak9831 5 лет назад

      ndio vizuri ili ukikaa bilakazi utaenda kasi sana kutafuta kazi

  • @gaurekhalifa5256
    @gaurekhalifa5256 5 лет назад +12

    Eti kuna label nyingi zimemfuata teh teh teh Tanzania kuna Label ngapi za mziki kubwa..?tuanzie hapo kwanza ?

    • @dorischilla1627
      @dorischilla1627 5 лет назад +1

      gaore khalifa hahaaaaaa itafahamika tu huu mchezo hauhitaji hasira

    • @bboyem4645
      @bboyem4645 5 лет назад +2

      Zipo Wanene the industry zipo kibao kama ujui mziki uwez elewa

    • @gaurekhalifa5256
      @gaurekhalifa5256 5 лет назад +4

      Nitajie msanii mkubwa chini ya lebo ya wanene kama sio Cheen Beezy 😂😂😂

    • @dorischilla1627
      @dorischilla1627 5 лет назад +1

      gaore khalifa duh

    • @Chief_godlove
      @Chief_godlove 5 лет назад +1

      label kubwa bongo ni wcb tu kakuna nyingine sasa uta zunguka mwisho wa siku utaishia kuuza mandazi muulize q chief kilicho mkuta hadi kawa omba omba siku izi

  • @emmanuelmasito
    @emmanuelmasito 5 лет назад

    Naomba next time wekeni sawa upande wa Sound kuanzia mic zinafoka sana hazijakaa kwenye range moja sauti zinarise na kufall sana.. na hio back play beat inammeza ndugu mtangazaji na ndugu msemaji😂

  • @barich5293
    @barich5293 5 лет назад

    for me naona kabisa Rich mavoko kuanzia aende wcb hakuna mafanikio yoyote aloyapata ya kutisha alaf wcb ni leble kubwa ukizingatia pia unasimamiwa unaweza amua hv alaf mtu akasema vyake yani ni km sasahv mm nrudi shule alaf pesa wakipata myb za show hazipitii kwake zinapitia kwa management watu sasahv wanatafta pesa na thamani rich kukndoka wcb ameona haimfaidish kitu chochote congratulation rich kwa kuliona hilo mkali alaf ww ni messi wa bongo fleva pale wcb hakuna anaekuweza

  • @sampatrick9519
    @sampatrick9519 5 лет назад

    Ongea Taratibu mavoko

  • @boscopimper1199
    @boscopimper1199 5 лет назад +3

    Tufanye namna tuachane na hizo mic.

  • @omarymbalala6224
    @omarymbalala6224 5 лет назад

    Nakubari

  • @makangeomary8052
    @makangeomary8052 5 лет назад

    Hiyo beat ni ya nyimbo gani,nimeipenda

  • @moonpatienceongara5607
    @moonpatienceongara5607 5 лет назад

    Dozen selection mziki una sauti kubwa mpaka interview haisikiki vizuri na mike hamuweki vizuri. All in all good interview

  • @arnoldishengoma8458
    @arnoldishengoma8458 5 лет назад +9

    Hi platform imeharibu kabisa kipindi Cha XXL , before tulikua tupata content yote kuhusu msanii husika, siku hzi mnabania maswali kwenye XXL I'll muje kuyacover kwenye dozenselection. Inafikia muda msanii anaulizwa swali anajibu "sinilishaongelea kwenye dozenselection!" Work on this, sku hzi interview za XXL haziwekwi RUclips ya clouds media Wala kuruka live sometimes! Mpaka unakuwa disappointed kutafuta. Sio kila mtu ana RUclips akasubscribe dozenselection ndo apate content anayoitaka, rudisheni majeshi XXL ukiachana na playlist ya dj Kuna Mambo mengi yamepungua, and it's bcoz Mambo yanafanyika kikawaida saana. This is my opinion

    • @wizdallas6282
      @wizdallas6282 5 лет назад

      Amin man saiv xxl imekuw km jahaz yan yakawaid tyu wananiuz Sana tunateseka sis tm xxl

    • @hajiissa8900
      @hajiissa8900 5 лет назад +1

      Clouds yote na kipindi cha xxl vimepoteza mvuto baada ka kugombana na wasanii tofaut tofaut pamoja na kufa kwa Ruge pamekosa msimamizi mzuri wa vipind na kula mtangazaji nae anakuwa na onlineTv

    • @arnoldishengoma8458
      @arnoldishengoma8458 5 лет назад

      @@hajiissa8900 🤣🤣🤣🤣🤣 yaan angalau LEO TENA inasikilizika , kuhusu online TV sio Jambo baya ni njia ya kujiongeza. Tatizo masponsor wamezidi kuwa nyomi! #moneyfirst #mantainancebaadae

  • @juliusemmanuel6954
    @juliusemmanuel6954 5 лет назад

    nakukubali saba rich mavoko

  • @nkujah_9577
    @nkujah_9577 5 лет назад +6

    Show tulivu na poa kabisa HONGERA

  • @jacobiejonnied_13
    @jacobiejonnied_13 5 лет назад +9

    Ugomvi hauna maana yoyote

  • @billioneakid185
    @billioneakid185 5 лет назад +12

    Saut ipo chini konoma bro

  • @justinekomo328
    @justinekomo328 5 лет назад +3

    hiyo d selection ya kiwaki

  • @ninaclaudia1990
    @ninaclaudia1990 5 лет назад +2

    Mnatafta Kiki kupitia WCB 😂😂😂

  • @samtelah7578
    @samtelah7578 5 лет назад +6

    Unatafuta viewers kwa nguvu kuma ww, unaandika WCB kwa heruf kubwa kwenye heading kisha kwenye maelezo unataja ile lebo kuma ww jonijoo ameshakukalisha chini huna jipya tena

    • @alhabibnachoaly3018
      @alhabibnachoaly3018 5 лет назад +1

      salute jembe yni umeongea point yni wcb au simba n kama maji usipooga utayanywa tu k hawa

  • @chicharitoronaldo5950
    @chicharitoronaldo5950 5 лет назад +3

    WCB NDIO HABARI YA MJINI🔥🔥🔥SIMBA HAMUMUWEZI MASHOGA NYIE!!!!

  • @wantedcarter1003
    @wantedcarter1003 5 лет назад +4

    💥💥💥💥

  • @martinmendrad3531
    @martinmendrad3531 5 лет назад +1

    Sawa ngoja sasa ujione, Tatizo unavimba sana ulikuwa unazinguana na madogo mara kwa mara eti kisa unapenda kujiita mkubwa

  • @goldclassic8899
    @goldclassic8899 5 лет назад +1

    Kaka hiyo beat inazingua broo

  • @kagoggoalfred2730
    @kagoggoalfred2730 5 лет назад +2

    kinyonge sana mbona show imepoa

  • @ray_mackertz4839
    @ray_mackertz4839 5 лет назад +2

    Rich unazingua wewe sindo ulisemaga kwamba diamond alikua anakufosi ufanye ngoma back to back...wewe ukawa upendi kutoa back to back

  • @hamadgwebe2100
    @hamadgwebe2100 5 лет назад

    saf nice interviw bro

  • @esterpaul795
    @esterpaul795 5 лет назад

    Beat ipo juu zaidi ya maongezi yenu

  • @princetinho6765
    @princetinho6765 5 лет назад +1

    Wcb ndio havar ya mjini ucpo wazungumzia au trending kama unabisha wauliza clouds wanavyopata tabu

  • @NasirAli-ic1io
    @NasirAli-ic1io 5 лет назад +5

    fake joy fake lough...

    • @timmztimam3990
      @timmztimam3990 5 лет назад

      But Somewhere in between!
      -lil-Fake-lil-Real- both of em..

  • @rkplatnumzrkplatnumz9691
    @rkplatnumzrkplatnumz9691 5 лет назад +2

    Wcb nikiboko ya watoto Nazi Nazi ndo maana. hamuwezi kuitaja Wcb 7bu. Nyi nyi ni Nazi Nazi chuk za kike izoo

  • @samsonmwankosole375
    @samsonmwankosole375 5 лет назад +1

    Kutokuelewana sio sawa ila mavoko ulikuwa umeshikwa bhana uckatae na ulipotoka tu muda c mrefu tukaona clouds sanaaaaaaaaa