Wakaazi wa mitaa ya kifahari jijini Nairobi walalamikia ujenzi wa kiholela

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 16 сен 2024
  • Ujenzi wa kiholela katika maeneo ya Kilimani, Kileleshwa na Lavington hapa jijini Nairobi umelaumiwa pakubwa kwa kuwa chanzo cha uhaba wa maji, nguvu za umeme na hata msongamanio wa magari. Hali hii pia ikilaumiwa kwa uharibifu wa mabomba ya maji taka ambayo yameshindwa kustahimili shinikizo litokanalo na wingi wa watumizi. Wakazi hawa wakilalama kuwa majengo haya yanageuza eneo lao kuwa kama mitaa wa mabanda na tunaangazia lalama hizi na hatua ya serikali ya kaunti ya nairobi kwenye makala yetu maalum.

Комментарии • 41