NTEMI EPI45 SESSION3||Swahili Movie ll Bongo Movies Latest II African Latest Movies
HTML-код
- Опубликовано: 9 фев 2025
- Huu ni mwendelezo wa filamu ya NTEMI na hii ni Season 2. Ni moto!. Endelea kuifuatilia hautajuta!
NTEMI ni moja kati ya filamu bora za Swahili Movie/Bongo Swahili Movie/Swahili Movie nchini Tanzania.
NTEMI ni kijana wa Kisukuma mwenye juhudi katika ufugaji wa Ng'ombe. Tatizo lake anathamini sana Ng'ombe kuliko hata mwanae kumsomesha.
Kupitia series hii Swahili Movie /Bongo Movies utajifunza zaidi kuhusiana na kabila la Kisukuma pamoja na makabila mengine yanayowazunguka Wasukuma.
Hakika utajifunza kitu kikubwa.
Hii ni moja kati ya Swahili Movie/Bongo Swahili Movie/Swahili Movie za Tanzania series itakayokujia kila Alhamisi saa Tisa na Nusu Alasiri.
Endelea kufuatilia hadi mwisho,usisahau kulike,share zaidi kusubscribe.
Tunaomba support yako kwa kushare kwa wengine, ila zaidi uendelee kujifunza kupitia filamu zetu za Swahili Movie/Bongo Swahili Movie/Swahili Movie za Tanzania. WE LOVE YOU ALL. ...........................................................................................................................................................................................
KAPAYA THE GREAT FILM
Contact:
0655 218 331/0753 318 331
email. kapayamic75@gmail.com
Instargram
Kapayathegreat
TANZANIA.
Woow nimefurahi sana vile mmerudi, rusheni shuujaa pia
Kama ulisubiri hii move like tushonge mbele 🎉🎉🎉🎉🎉
Chausiku vipi za siku
Nmeisubiria mpaka basi
Asante sana kwa kurudisha movie ya ntemi
Nakukubali sana uku msumbiji 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Siku nyingi 😂❤siku zimesha pita atumskie Doctor Kulia na mambo yake….❤❤❤❤❤😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤ impatient d,attendre 😅😅😅😅😅❤🎉
Mmmmm yani bado hipo tulikuwa tu meshasa hau kabsa 😢😢😢❤
itakuwa poa sana
Jamani mnachelewa sana
wewe ndiwe unachelewa kuona
Uncle ametinga tena👑
Yeee bagosha ntemi washoka hange
Hatimae wamerudi tena.nafatilia kutoka kata ya Ihanamilo Geita ahsanteh sana ntemi
Jeremia ameludi jmn na mtemi❤️❤️❤️
Kaz nzur sema mnachelewa kuitoa mwendelezo
Tunasubiri filam nzuri msikatize mko vizuri tunawakibali
Kumbe inaendelea good ❤❤❤💯💯🤝✌️
Waoooooo tumemic sana ntemi
Zena umenenepa sana mwaya ilaa umedamshiii ❤❤❤❤❤ daa pole sana jeremia😢😢
Asanten tena kwa kutuletea mwendelezo❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉 maskin Jeremia karudishwa chizi
Jaman kajere kamechizi
Kumbe bado ipo!!! Mi nshakata tamaa na nmesahau mwanzo
Hii move nilikuaga naipenda na niliifuatilia mwanzo mpaka nilipokuja kuikosa sasa leo naiona hata sielew niliishia wap na mpaka ham ilishaisha me siielewi tena
Da tuliimis sana
Kiwapenda nawapenda sana. Lakini shida yenu mojatu mnachewesha mambo sana
Eeee nyanjige kumbe unasehem.yakushikia kabisa aisee
Nimefurahi sana Kwa mwedelezo huu nawapenda sana
Mayooooooo,,,mume wetu amekuwa chizi jamani uwiiiiii❤❤❤
Sawa kabisa edeleen shukullan
Wale tunaomkubali Mr mchele wa KISS MY PAIN gonga like tuendelee namkubali sana mzee ❤❤❤ more ❤️💕💖💖💖💖 mzee
Sawa ngete bakokaya
Dah mpaka nimeisahau 😢😢
Pore sana, sasa utafurahi
hongeran wan kapaya family
Nawapenda sana niliwamiss sana natazama kutoka CANNADA 🎉
Mama nyanjige Mungu uwakuona zena maskini nakuonea huruma n kijacho chako ukijuwa jeremiah m chizi utaskiaje😢 pole jeremiah
Alhamdulillah niliisubir sanaa
Nikua nasubiri kwa hamu sana ❤❤
Asante jaman kwa kutuletea mtemi
Nyanjige umependeza na Zena kanenepa❤❤❤
Tunasubiri kwa hamu na ghamu 🇰🇪
Nilisubiri sanaa😢😢
Yaan niliimiss sana hii kitu
Good work
Aiseeee zena kanenepa jamani
Ok were waiting😊
Yooo tulipoteanaga kitambu kwelikweli jamanii😂😂
Mmerudi tena jmn asanteni 💃💃💃 ila jeremia wetu jmn😢😢😢
Kapaya utapoteza mashabiki
Yaan unasubiri mpaka unasahau kama kuna move ya ntemi khaaa
Vizuri.vipi shujaa pia muilete jamani
Jaman tumeipenda haiedelei
Duuh sema wanakaa mwaka jmn
Time will tell sana mbili kamili usiku itakuwa hewani TULIWAMIC SANA TEDY,NTEMI,LEMI, VERONICA NA WACHAMBAJI WENZAKE
Nyanjige kawa white sanaa😂🎉🎉
Jamani nilikua nmemis zena na mzee saimon😂
Tulisubili kwahamu San
Mnazingus sana nyie movie tushasahau mwaka mzm ndo mnarud😢
huyu jamaa kakaa kimya mwaka mzm ameboa
Asante ni sana rakin msicheiewe kutoa muenderezo😅
🎉🎉🎉
Jamani movie ya ntemi nizur safari ameicheza vizur imefunika hata ire aliyoicheza iliyoenda kwa jina la shujaaa hii nizuri zaid
Ila Mimi nasubilia episode ya 56 naona Kama wanachelewa au mwisho ni episode ya 55 tu
Mlikuwa na shida gani jamani
lin inatok as maan nimemiss jamaa ang wa kisukum
Wewe Iko wako
Nilikuwa nimengogeya hii mvi xna
jamani hatimaye tumekumbukwa
Hii kitu naipend achilien nyingi nyingi basii
Shujaa ilienda wapi
Yani nimeumwa mara mbili nimepona leo ndo movie imekuja
Kajere
Kajere, ujuwe mama ka nyanjige ndo amekuroga
❤❤❤❤
Kwann hamtafsiri kwa kiswahili huko mnakoongea kisukuma
Sikumbuki ata niliishia wapi
Maskini kajere😢😢😢
Mama nyanjige uchawi mbaya sasa ndo umefanya nini sasa
hii movie itaisha kwa miaka ishirini,,,😞😞
Tunasbil mda ufike tu
Ntemi ilikuwa wapi jameni
❤❤
Tulisubiri sana kabisa