DED matatani akidaiwa kuonesha dharau kwa wakimbiza Mwenge wa Uhuru
HTML-код
- Опубликовано: 28 сен 2024
- Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Rorya mkoani Mara, Abdul Mtaka ameingia matatani kwa wakimbiza Mwenge wa Uhuru kitaifa baada ya kudaiwa kuonesha dharau wakati akiulizwa maswali mbalimbali.
#AzamTVUpdated
ajui lolote lile,mkurugenzi asoneweeeee
Bc tu