DED matatani akidaiwa kuonesha dharau kwa wakimbiza Mwenge wa Uhuru

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 сен 2024
  • Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Rorya mkoani Mara, Abdul Mtaka ameingia matatani kwa wakimbiza Mwenge wa Uhuru kitaifa baada ya kudaiwa kuonesha dharau wakati akiulizwa maswali mbalimbali.
    #AzamTVUpdated

Комментарии • 2