#EXCLUSIVE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024
  • #EXCLUSIVE: EX-WIFE wa Q CHIEF AFICHUA KUNYANG'ANYWA WATOTO 2 UINGEREZA - JINI MAHABA LILIVYOMSUMBUA...
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9z...
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Комментарии • 82

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  3 месяца назад +2

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

  • @evakessy3282
    @evakessy3282 3 месяца назад +18

    Sasa dida mpaka hapa kunavitu vingi Sanaa umevificha inaonekana hata kunyang'anywa watoto ilikua sawa kabisa hukuonewa ulikuwa na mauzauza sanaaaa nivile tu hutayaweka wazi

    • @UkhtyDidas-maarifa
      @UkhtyDidas-maarifa 3 месяца назад +4

      Muombe Allah akustiri, mitihani haimfiki mmoja. Kuna wewe na vizazi vyako, Mwenyezi Mungu akusamehe

    • @AshuuuBakari
      @AshuuuBakari 2 месяца назад

      Yah mbona aliwahi kusema lakini kwa sasa mwenyezi mungu kamuongoa kamrudia Allah

  • @halemmmbarak16
    @halemmmbarak16 3 месяца назад +11

    Akili za kishirikina tatizo kubwa kwa jamii zetu. Mungu atuongoze njia ilio nyooka.

  • @FatmaHamad-g6s
    @FatmaHamad-g6s 3 месяца назад +6

    Mashallah mashallah ndo inavyotakiwa kurejea kwa Allah kabla ya mauti

  • @zahra5267
    @zahra5267 Месяц назад

    Kwa Ambae hajawahi ishi ulaya na kujua system za kule hawezi kumuelewa kabisa ...wazungu ni washenzi mbwa kabisa !

  • @umsulaiman7468
    @umsulaiman7468 3 месяца назад +5

    Walichukuliwa watoto Kwa sababu ulikuwa hunaakili walikuona hamnazo

    • @UkhtyDidas-maarifa
      @UkhtyDidas-maarifa 3 месяца назад +1

      Wewe ulie kuwa nazo, hongera yako. Umenizidi akili, Allah akujaalie na akuongezee zaidi na ziada.

  • @deusdeditsimba4452
    @deusdeditsimba4452 3 месяца назад +3

    Mcharuko mtupu tuache Tu wewe

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 3 месяца назад +2

    Mashallah nimelud Tena kufatilia interview yangu mashaallah wallah nimependa sana ulivyolud kwa allah

  • @tamimakhalfanikhani8403
    @tamimakhalfanikhani8403 3 месяца назад +1

    Eeeh jamani msiongelee vibaya haya maswala kama hujaishi ulaya huwezi yajua mm yalinikuta kunyanganywa wtt 3 na sikufanya kitu chochote wiki nzima nikalala kituoni siku moja baada ya kujiridhisha wakanirudishia lkn nikawa na social worker miezi 3 pia hawakuona kosa lolote wakaachana na mm kisa mpk leo sikijui kiufupi aya mambo yasikieni tuu

  • @umsulaiman7468
    @umsulaiman7468 3 месяца назад +3

    Wewe dida umevaa vizuri lakin bint wako kavaa vibaya hebu jaribu kumfundisha bint wako kuvaa vizuri

    • @Tupena-ov7xq
      @Tupena-ov7xq 3 месяца назад

      Kuvaa vizuri ndio kukupeleka mbinguni, ulizaliwa na nguo?, enjoy maisha Acha kuogopa moto. Dini ni uongo hakuna pepo

  • @hanifamziray277
    @hanifamziray277 3 месяца назад +5

    Manshallah mzuri sn

  • @ivanamkapa2369
    @ivanamkapa2369 3 месяца назад +2

    Wazungu wabaya sana

  • @spreadlove5300
    @spreadlove5300 3 месяца назад +2

    Mental health hiyo ndio maana hao social services waliwachukua 😮😮 mshukuru kama umeungana na watoto wako

  • @alsam4881
    @alsam4881 3 месяца назад +3

    Mie ninavyojuwa kwa serikali ya Ulaya kama mzazi akimnyàngànywa mtoto basi ujuwe wameshafanya uchunguzi wa kutosha kuwa huyo mzazi ana matatizo na hawezi kumlea mtoto ipasavyo, na itakuwa huyo mzazi wamemchunguza na kujiridhisha aidha ana matatizo ni alcoholic au anatumia madaya ya kilevya au anamtesa mtoto au ana ugonjwa wa akili , na wakishachunguza na kujiridhisha basi na atanyàngànywa mtoto na kupelekwa kwenye familia bora ili apate malezi bora, na serikali itakuwa inamlipa ile familia gharama zote za mtoto kila mwezi,kwasababu watoto wa Ulaya wana haki yao ya kutunzwa ipasavyo.

  • @HannanSomaiyah-wp7ny
    @HannanSomaiyah-wp7ny 3 месяца назад +1

    Bismillah Masha'allah Allah ajuongoe zaid

  • @Ukhtyzuhura
    @Ukhtyzuhura 3 месяца назад

    Dear mrudie Allah
    ukweli wa kumrudia
    kuvaa hijab kufanya ibada
    halafu kufanya uganga
    ni kumshirikisha Allah
    ndio kubaya zaidi
    hakuna dawa za kiswahili
    ktk dini ya uislam
    kuna dawa za kisunna
    vipi mtume na wema walijitibu..kama kutumia
    asali,habat soda
    tangawizi,thomu n.k
    sura za quran
    kama tiba na sio mitishamba

  • @spreadlove5300
    @spreadlove5300 3 месяца назад +1

    Ulaya malezi yanapewa kipaumbele na ndio maana mama na watoto wanalipwa ukipuyanga tuu wanawachukua

  • @khalsasalim7930
    @khalsasalim7930 3 месяца назад +1

    Ukhty sio neno la kiislamu na ww ni la kiarabu

  • @tatually1366
    @tatually1366 3 месяца назад +1

    Asalam Alyekum waramahatualha wabarakatuha🎉 mama we tu mwenyezi mungu akupe Afya njemaa ❤️

  • @jeremiahcharles6027
    @jeremiahcharles6027 3 месяца назад +2

    Sasa chilah uliish nae muda gani

  • @alimohamedali9824
    @alimohamedali9824 3 месяца назад +2

    Anataka umarufu tu sifa

  • @spreadlove5300
    @spreadlove5300 3 месяца назад +4

    Yaani jamani eti "anasoma sheria anasoma finances" 😮

    • @FahadAbubakari
      @FahadAbubakari 3 месяца назад

      Inawezekana mtu anaweza soma multiple degrees so sio ajabu hata labda ka ulikua hujui

    • @aminarajabu5795
      @aminarajabu5795 3 месяца назад

      Sasa Futa mchanga machoni Kumbe hujui!!? 😂inawezekana zaidi ya hizo mbili ni wewe tu uwezo wako hata nne inategemea vipindi kuvimeneji je haviingiliani?.

    • @FahadAbubakari
      @FahadAbubakari 3 месяца назад

      @@aminarajabu5795 humu mitandaoni nmegundua watu kuuliza jambo wasilojua ni mwiko ivyo huanza na kulaumu au kukosoa hatari sana sa mtu anashangaa mtu kusoma vitu multiple yni

    • @spreadlove5300
      @spreadlove5300 3 месяца назад

      @@FahadAbubakari Sio ajabu ila jinsi anavoeleza ndio shida

  • @ishe_ngo8926
    @ishe_ngo8926 3 месяца назад +1

    Wazungu wanajua na ulikuwa haujakaa sawa, washukuru hao wazungu.

  • @GiftAbduly
    @GiftAbduly 3 месяца назад +3

    Anafanana na yule anapikaga mapish oman au ndo huyu🤔

  • @josephjohn2114
    @josephjohn2114 3 месяца назад +11

    Kwa maelezo yako ni kweli ulikua changamoto ya afya akili ila kikawaida mtu huwezi kujijua

  • @lenniefei6710
    @lenniefei6710 3 месяца назад

    Urekebishaji wa vp ilhali mwanao anavaa visivyo ?! Mbona munatupiga makopo jamani ?! Allahu yaallam !

  • @HanzFudr
    @HanzFudr 3 месяца назад +2

    Aline persson that's coming for you sameting
    😂😂😂😂😂😂

  • @missmoona4497
    @missmoona4497 3 месяца назад +3

    Wanawachukua kuwaleaaaaa au kuwafundisha ushoga mapenz ya jinsia moja?

    • @omarkhelaifi5888
      @omarkhelaifi5888 3 месяца назад

      Kuwaadopt maanake wawe na wazazi wakizungu

    • @FatimaAli-of4gh
      @FatimaAli-of4gh 3 месяца назад +1

      Kuadopt ni makubaliano lakini huku wanatabia watt usiwagombe wale usiwapige lakini ukizaa huku lazima upate msongo wa mawazo kwa kuwa upo peke yako sasa yy alivohojiwa alijielezea ndio maana walichukuliwa watoto

    • @FatimaAli-of4gh
      @FatimaAli-of4gh 3 месяца назад +1

      Huku kila siku watu wanachukuliwa watt wao usimuazibu mtt wala usimgombe sisi wazazi wa kiafrica hatuna malezi hayo

    • @omarkhelaifi5888
      @omarkhelaifi5888 3 месяца назад

      @@FatimaAli-of4gh safi sana umeiweka sawa nahisi watakuwa wameelewa maana kuna watu hawaelewi kile ambacho huyo mama alikua akikiadidhia wengi wao wamehisi kuwachukua ni kwasababu ya kitu kingine alicho kifanya kumbe iyo tabia wazungu wanayo san hata mimi ninapoishi kuna mdada wakiburundi alijifungua akiwa na myaka 17 alafu mwanae wakampeleka mpeleka mpaka sasa huyo mdada nikama ilapagawa ivi

  • @hanifaa1487
    @hanifaa1487 3 месяца назад +2

    Mashallah mashallah ❤❤❤❤

  • @laylatabdallah2796
    @laylatabdallah2796 3 месяца назад +1

    Sasa ww umerejea kwa allah mbn mwanao hajistiri?

    • @SabraAbdilnasir
      @SabraAbdilnasir 3 месяца назад

      Naona kama huna lakiongea bora tunyamalize mana watoto wengi siku hizi hawasii na wengine wazee hawataki bali ndio mitihani Allah awaongoe watoto wote

  • @nashnene6326
    @nashnene6326 3 месяца назад +1

    Naona kama shery makope wa US, Mashallah, mahodari sana nyie

  • @MwanaishaShattry
    @MwanaishaShattry 2 месяца назад

    Waislamu hatusemi ukti. Ukti maana yake nyengine na ni maana mbaya haisemeki. Kama ulikusudia kusema ukhti basi ukosahihi.

  • @SafiaOmar
    @SafiaOmar 2 месяца назад

    Imelda hio movie inaitwa Mrs Charterjee Vs Norway

  • @ednahumazi777
    @ednahumazi777 2 месяца назад

    Hasemi ukweli kwanini ukanyangaywa wanao

  • @acylaking7990
    @acylaking7990 3 месяца назад

    Pole sana ukhty Allah awaongoze watoto wako waelekee ktk na sisi pia wtt wetu mengine tumuachie Allah bin Adam tusimbeze wala kumhukumu huyu ni mwanamke na nusu tumewaona wengi yamewafika maskini Allah atupe subra na nguvu tuwashinde kwa ajili ya Allah.

  • @merrynancesimon1562
    @merrynancesimon1562 2 месяца назад

    Pole sana waulaya tunakuelewa pole sana

  • @salimmalaka256
    @salimmalaka256 3 месяца назад +1

    SIDE B TAFADHALI

  • @DevothaMwailenge
    @DevothaMwailenge 2 месяца назад

    Sijui Kama Kuna mbwa anaweza kunipokonya mtoto aliyekaa kwenye tumbo langu

    • @damaspmtz1018
      @damaspmtz1018 2 месяца назад

      Umbwa ulilala nayo kivip unashangaza

  • @FaridaFarida4
    @FaridaFarida4 3 месяца назад +2

    Hiyo ya kumuaidi mtu kakuvisha pete harafu kumuacha ilishanikuta na mm nikatupiwa majini mahaba ma mahangaiko

    • @FatimaAli-of4gh
      @FatimaAli-of4gh 3 месяца назад

      Pole sana mimi kuna mwanaume alinitolea mahari lakini mimi nilikuwa sijui baba angu mkubwa analazima mimi niolewe nae hawajanishauri walikaa wenyewe wakapokea pesa nilipokataa akarudishiwa pesa yake nilipigwa kitu ikifika jioni napandisha mashetani naona watu wote walioshakufa nawataja niliumwa sana

    • @sabrinakamikazi2142
      @sabrinakamikazi2142 3 месяца назад

      ​@@FatimaAli-of4ghpole sanaa ALLAH akutibu na akunusuru

    • @FatimaAli-of4gh
      @FatimaAli-of4gh 3 месяца назад

      @@sabrinakamikazi2142
      Alhamdullah ndugu nilipoa nikaolewa na ninaemtaka mie nikaenda kuishi kwao zanzibar akaondoka kuenda ulaya miaka 6 akaniacha huko nikaona mkosi mwengine huo unakuja na akaowa kisha baada ya miaka 6 akanichukua nashukuru saa hii nipo nje ya nchi na nikapata watt wengine Alhamdullah maisha yanaendelea

    • @sabrinakamikazi2142
      @sabrinakamikazi2142 3 месяца назад

      @@FatimaAli-of4gh Mola hawatupi waja wake.Allah aendeleye kukulinda nawatu wako.

    • @FatimaAli-of4gh
      @FatimaAli-of4gh 3 месяца назад

      @@sabrinakamikazi2142
      Aamin kwa sote

  • @mrokay1time958
    @mrokay1time958 3 месяца назад

    Poleee saaaanaaa sisi tupo haapa karibu piaa tumeyapitiaa polee saaaanaaa

  • @DxbYae
    @DxbYae 3 месяца назад

    Pole sn dida

  • @umsulaiman7468
    @umsulaiman7468 3 месяца назад +1

    Ulikuwa kicha kweli na mpaka sasa naona bado hupo Babara yaani hata ukiongea unaonyesha bado unamatatizo ya akili

    • @UkhtyDidas-maarifa
      @UkhtyDidas-maarifa 3 месяца назад +1

      Mishipa imekusimama kweli, wewe mwenye akili. Allah akuzidishie akili, na akupe maendeleo na hizo akili zako.

    • @sharifamnavi6699
      @sharifamnavi6699 3 месяца назад +2

      Astaghfurillah. Wangekuwa wanaombeana, wewe dada ningeomba Allah akupitishe kwenye huo mtihani uone maumivu yake. Acha haya maneno hujui huyu dada anapambania wangapi!! Hivi unaijua mitihani ya Allah?!.

    • @sharifamnavi6699
      @sharifamnavi6699 3 месяца назад +1

      Astaghfurillah. Wangekuwa wanaombeana, wewe dada ningeomba Allah akupitishe kwenye huo mtihani uone maumivu yake. Acha haya maneno hujui huyu dada anapambania wangapi!! Hivi unaijua mitihani ya Allah?!.

    • @ruqaiamohammed345
      @ruqaiamohammed345 3 месяца назад +1

      Ibilisi mkubwa hasadi zimekujaa kichwan

    • @oliviaseth4652
      @oliviaseth4652 3 месяца назад +1

      Acha uongo

  • @oliviaseth4652
    @oliviaseth4652 3 месяца назад

    Mungu wangu 😢

  • @JihaadIsmail
    @JihaadIsmail 3 месяца назад

    Mungu mkubwa

  • @JihaadIsmail
    @JihaadIsmail 3 месяца назад

    Pole sana

  • @rehemakilele2751
    @rehemakilele2751 3 месяца назад

    😢😢😢

  • @Tupena-ov7xq
    @Tupena-ov7xq 3 месяца назад

    Kwa hiyo ulikua na matatizo kweli wazungu waliyaona
    Ulikwenda kuzalia Ireland ili upate makaratasi mahali ambapo hukua hata na marafiki.
    Story yako inaonyesha kweli ulikua na mental illness, umesema tokea ulipo kua mdogo ulikua unaongea na majini

  • @zuweinaalhabsya8773
    @zuweinaalhabsya8773 3 месяца назад +1

    Sasa mume wake alikuwa wapi wakati huo anapata hio Familiya mpaka wakamchukua

    • @Tupena-ov7xq
      @Tupena-ov7xq 3 месяца назад

      Wanaume huwa hawapendi kulea watoto,

    • @lenniefei6710
      @lenniefei6710 3 месяца назад +1

      swali zuri sana ila Imelda alikosa kutouliza

  • @rosehaule6765
    @rosehaule6765 3 месяца назад

    Mm nimekuelewa nimekupenda mnoo mdada anaongea vizuri anafunza nimejifunza kitu ❤pole na mingiii dear nimetamani nikuonee una kitu kizuri nimewaza hivyo

  • @AzaAzamhmod
    @AzaAzamhmod 2 месяца назад

    Mashalah