Leo nmewai mtu wa 35 nipeni likes.... Sijawai jua ata top 50 wa kwanza leo nmewai hehehe nipe likes na mm ila wewe joti balaa kabsaa kazi nzuri sana penda ukiaact pembeni kukiwa na sopa zee la kucheka kw zarau.... Kama unampenda sopa acha like yko apa
Kama umevipenda viatu vya Joti gonga like twende sawa
wanae furahi kama me, wakiwa wanacheki move za joti nimepeti support za like 50
😆😆😆😆
Mchekeshaji bora 😀😀😀😀😅😅😅
Umemchungulia shemeji ako
😁😁😁😁😁😁😁 asanteh joti kwa kunipunguzoa stress!
Da cc atusom coment bali watu wanatak like tu kwan mnazifanyiag nn izo like
hii kweli chabo chaboni aisee noma saana anaitwa bado asikii kweli kapagawa mmasaii
Unanikumbusha me nilibambwa na sungusungu noumaaaaa hyo Nishai😂😂😂
usilete kisura cha mapenzi nitakugeuz gari la mkaa sasa ivi kama umeisikia iyo like hapa twende sawa
Baharia anatuaibisha na chabo haitakiwi uzubae namna hiyo 😁😁😁 hadi unafumwa
Mimi wa kwanza kweli kama wewe mshabiki wa #team #FISI kama mimi weka #LIKE Yako please I’m live in USA 🇺🇸
I'm live😂😂😂...kwel wewe wa USA
Ata sisi tunaishi hukohuko
Nani kakuuliza unakoishi
@@esterpaul795 kingereza chenyew hajui I'm live badala ya I live😂
Pa1 xana kutokea Ar.
Shemeji mwenyewe ana makalio kama kabeba ma box ya maziwa
Chabo tamu kuliko game yenyewe...
Kama umemuona joti anakitupa gonga like twende😂😂😂
Boss kakunjwa 😂😂joti fara kwl
😂😂😂😂
Mgeuze gari la mkaaa...😀😁😂🤣😃😄😅😆.. UWEKE BIMA ILI WATU WAKIVUNJA MBAVU WALIPWE FIDIA
😀😀😀😂😂😂Nishai we kweli mwanachama mwenzetu..
Mapema sana leo! Wapi likes zangu
Anayemkubali jot agonge like
Yani iko powa sana
Wapi makofi ya joti👏👏
Aliye Gundua kua koti hua lazima achekeshe mwishon ,nip like
HuweZekani joti
Leo nmewai mtu wa 35 nipeni likes....
Sijawai jua ata top 50 wa kwanza leo nmewai hehehe nipe likes na mm ila wewe joti balaa kabsaa kazi nzuri sana penda ukiaact pembeni kukiwa na sopa zee la kucheka kw zarau....
Kama unampenda sopa acha like yko apa
Hawa jamaa watatu ni burudani Tosha! Peace and love from Kenya
Watz mko fasta kishenz...nikadhani leo ntawahi..
Joti ww noma sana sijawai angalia video yako nisicheke
Wow nice 👍 videos
Na huyu boss ni handsome 😉😉😉😉
Au mara mbili au matatatu bac maranne
😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣😋😋
Baharia yuko na zana kazi tandabui
Mama,,, e leo nimewah 😂 af boss kakunjwa
Ha ha ha uwiiii😀😀
Uyu joti kaa huna pesa huzun utacheka tu
😳khaaa!! bosi kakunjwa 😂😂😂😂
2021 weka like
Leo nimejitahidi kuwahi 😀😀
Boss karud kua mpole
Sawa bhnaa nafany usafi 🤣😄😄
Hawa jamaa wakupiga chabo dawa Yao pilipili za macho tu.. 💯
tina tina kabisaa,wamenichokesha
@@evalunajohannes469 nyako
Kwa kweli 😃😃😃😃ila jot kiboko kweli 😆😆😆
Nomaaa sanaaa
Jamaaa anajuaaa
Joti love from kenya
Good xana jot
Hmna kama majuto kwa kupiga chobo
ijumaa kareeem.. na chabo
hahahaha team fis mko WAP. bos kakunjwa huku. like zenu place
Uyu jamaa ananifulaishaga sana
Joti unatisha sana unatembea na zana zote za chabo
Hahahahahah! Basi mara tatu
namkubali sana hyu jamaa
hahahha labda alikua anatoa buibui jamaniii
Ahahahaaaaaa, #Jotiiiiii umenishinda tabia.
ayo mavazi
🤣🤣🤣Nishai kakutwa kachungulia Mala moja tu
Nimeipenda hiyo boss kakunjwaa 😘😂
Hii kali
Favorite comedian 🥰🇺🇸🇨🇩
hahaha anavyong'ang'nia hilo dirisha kama analibaka vile
@Danieli Meshack 😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣
Kama na wewe Umechabo,basi chabo na kwangu #imbatokamoyoni
Utajifunza ujanja mwingi sana wa kuimba kwa kujiamini..!!karibuni sana
😁😁😁🤣🤣😜😜😜 boss kakunjwa
Dah Joti nakukubali mnoo I wish nifanye kazi na ww
Always Joti ni chizi wa Mwendokasi
Team fisi mpo🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
The best 💥💥💥💥💥💥💥💥
Walio chek km Mimi gonga like hap chin 😂😂😂😂😂😂
Daaar uyu joti majanga
Ooooooyooooo wa kwanza leo
😂blaza hamna kitu nimechungulia lakini hamna kitu😂😂😂
Niliviona zana za chabo tu nikaanza kucheka
Joti me ilo shati lak Napendaga sna 😘😂😂
Joti bhaana heti boss kakunjwa 😂😂😂
Nice
Eti,, “ yaani mimi sijaona chamaana 😂😂😂😂😂
Bosi kakunjwa hatari sana joti
Nakubali sana jot
nishai vifaa vyko vya operation navipataje mzee
Madvibe Chanel😁😁😁😁
Amount of people who love Joti comedy
Kama unastress ukikutan na joti mpang
😂😂😂😂😂😂
Ongera Sana kwa kundi lote. Muna weza.😂😂😂😂😂😂
Joti chizi sana eti boss kakunjwa
Aki sopa si tujuane tu ❤️from kenya
Boss kakunjwa
Likes 100 zinatosha kwa leo. Weka likes hapa twende sawa
joti Eto boss kakujwa
Nimeona kakunjwaaaa!!
😂😂😂😂😂😂😂Show show hip hop ilee😂😂😂Leo boss kakunjwa😂😂😂😂
Nani kanaona boss kakunjwaa 😂 😂 😂
😂😂😂hilo jino ndo huwa linanvunja mbav
chabo mpaka anazimia dilishani
nimefurahi kumuona kipande leo
Mwisho Puchu
Yaan mm huwa nacheka tu nikmuona joti yaan hayo mavaz joti haujanijib nan ni designor wako plz
bhoss kakunjwa huh
King of comedy
Good
Joti kinyongeee.. Leo kafumwaa
Nitakugeuza gari la mkaa sasa hivi
Daaah ww joti nowmaa kweli wakuwacheee2 hahhahhah😅😅
Eti boss kakunjwa😀😀😀
Iyo ya king majuto mzazi
Hahaha ni shidaaaa