CHABO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • Kweli wakubwa wanafaidi kwakweli, lakini hata kwa macho? Nishai afumwa live dirishani macho yamtoka kama mjusi aliebanwa na mlango.

Комментарии • 318

  • @francissilayo.3457
    @francissilayo.3457 5 лет назад +140

    Kama umevipenda viatu vya Joti gonga like twende sawa

  • @sethlilageza5968
    @sethlilageza5968 5 лет назад +216

    wanae furahi kama me, wakiwa wanacheki move za joti nimepeti support za like 50

  • @mkamaboy2016
    @mkamaboy2016 5 лет назад +39

    Mchekeshaji bora 😀😀😀😀😅😅😅
    Umemchungulia shemeji ako

  • @stanslauschatata3483
    @stanslauschatata3483 5 лет назад +10

    😁😁😁😁😁😁😁 asanteh joti kwa kunipunguzoa stress!

  • @salamamohammed5446
    @salamamohammed5446 4 года назад +2

    Da cc atusom coment bali watu wanatak like tu kwan mnazifanyiag nn izo like

  • @harunimfaume6280
    @harunimfaume6280 5 лет назад +6

    hii kweli chabo chaboni aisee noma saana anaitwa bado asikii kweli kapagawa mmasaii

  • @johaclever2263
    @johaclever2263 3 года назад +4

    Unanikumbusha me nilibambwa na sungusungu noumaaaaa hyo Nishai😂😂😂

  • @twalibally2360
    @twalibally2360 5 лет назад +34

    usilete kisura cha mapenzi nitakugeuz gari la mkaa sasa ivi kama umeisikia iyo like hapa twende sawa

  • @isackisack1256
    @isackisack1256 5 лет назад +40

    Baharia anatuaibisha na chabo haitakiwi uzubae namna hiyo 😁😁😁 hadi unafumwa

  • @msambyajohnlwango7491
    @msambyajohnlwango7491 5 лет назад +55

    Mimi wa kwanza kweli kama wewe mshabiki wa #team #FISI kama mimi weka #LIKE Yako please I’m live in USA 🇺🇸

    • @255digitaltv7
      @255digitaltv7 5 лет назад +1

      I'm live😂😂😂...kwel wewe wa USA

    • @esterpaul795
      @esterpaul795 5 лет назад +2

      Ata sisi tunaishi hukohuko

    • @budahman2908
      @budahman2908 5 лет назад +1

      Nani kakuuliza unakoishi

    • @255digitaltv7
      @255digitaltv7 5 лет назад

      @@esterpaul795 kingereza chenyew hajui I'm live badala ya I live😂

    • @suzanamjema2187
      @suzanamjema2187 5 лет назад +1

      Pa1 xana kutokea Ar.

  • @bjzee1981
    @bjzee1981 5 лет назад +14

    Shemeji mwenyewe ana makalio kama kabeba ma box ya maziwa

  • @raphaelgadau2783
    @raphaelgadau2783 5 лет назад +5

    Chabo tamu kuliko game yenyewe...

  • @jumamarwa2795
    @jumamarwa2795 2 года назад +2

    Kama umemuona joti anakitupa gonga like twende😂😂😂

  • @ernestbaraka9454
    @ernestbaraka9454 5 лет назад +13

    Boss kakunjwa 😂😂joti fara kwl

  • @mathayowilson1525
    @mathayowilson1525 3 года назад

    Mgeuze gari la mkaaa...😀😁😂🤣😃😄😅😆.. UWEKE BIMA ILI WATU WAKIVUNJA MBAVU WALIPWE FIDIA

  • @johaclever2263
    @johaclever2263 3 года назад +1

    😀😀😀😂😂😂Nishai we kweli mwanachama mwenzetu..

  • @luglusambagi2950
    @luglusambagi2950 5 лет назад +10

    Mapema sana leo! Wapi likes zangu

  • @superherotv1750
    @superherotv1750 5 лет назад +16

    Anayemkubali jot agonge like

  • @mariamiddalli7881
    @mariamiddalli7881 3 года назад

    Yani iko powa sana

  • @justinemalekela5269
    @justinemalekela5269 5 лет назад +4

    Wapi makofi ya joti👏👏

  • @deusimgaya1417
    @deusimgaya1417 4 года назад

    Aliye Gundua kua koti hua lazima achekeshe mwishon ,nip like

  • @kaya.o1673
    @kaya.o1673 3 года назад +1

    HuweZekani joti

  • @Kimtaaonline
    @Kimtaaonline 5 лет назад +32

    Leo nmewai mtu wa 35 nipeni likes....
    Sijawai jua ata top 50 wa kwanza leo nmewai hehehe nipe likes na mm ila wewe joti balaa kabsaa kazi nzuri sana penda ukiaact pembeni kukiwa na sopa zee la kucheka kw zarau....
    Kama unampenda sopa acha like yko apa

  • @jogechi2105
    @jogechi2105 5 лет назад +4

    Hawa jamaa watatu ni burudani Tosha! Peace and love from Kenya

  • @badmanno.1650
    @badmanno.1650 5 лет назад +10

    Watz mko fasta kishenz...nikadhani leo ntawahi..

  • @jonasmongi7811
    @jonasmongi7811 5 лет назад +9

    Joti ww noma sana sijawai angalia video yako nisicheke

  • @ninjaboy8059
    @ninjaboy8059 4 года назад

    Wow nice 👍 videos

  • @margysamara9485
    @margysamara9485 5 лет назад +1

    Na huyu boss ni handsome 😉😉😉😉

  • @buluush9741
    @buluush9741 4 года назад

    Au mara mbili au matatatu bac maranne
    😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣😋😋

  • @fidomkavenga3860
    @fidomkavenga3860 5 лет назад +6

    Baharia yuko na zana kazi tandabui

  • @sixbertkigomakwetu7742
    @sixbertkigomakwetu7742 5 лет назад +6

    Mama,,, e leo nimewah 😂 af boss kakunjwa

  • @yusraibrahim8218
    @yusraibrahim8218 5 лет назад +1

    Ha ha ha uwiiii😀😀

  • @TeamKRX
    @TeamKRX 5 лет назад +13

    Uyu joti kaa huna pesa huzun utacheka tu

  • @wolfgangkichai8577
    @wolfgangkichai8577 5 лет назад +10

    😳khaaa!! bosi kakunjwa 😂😂😂😂

  • @mwanambokavipack3580
    @mwanambokavipack3580 3 года назад

    2021 weka like

  • @omreuzex7109
    @omreuzex7109 5 лет назад +3

    Leo nimejitahidi kuwahi 😀😀

  • @kambaragegodfrey4278
    @kambaragegodfrey4278 5 лет назад +1

    Boss karud kua mpole

  • @eliasgembe934
    @eliasgembe934 4 года назад

    Sawa bhnaa nafany usafi 🤣😄😄

  • @tinatina3440
    @tinatina3440 5 лет назад +6

    Hawa jamaa wakupiga chabo dawa Yao pilipili za macho tu.. 💯

  • @dingoomagawa6950
    @dingoomagawa6950 5 лет назад

    Nomaaa sanaaa

  • @peterherman5420
    @peterherman5420 2 года назад

    Jamaaa anajuaaa

  • @agneskanga3273
    @agneskanga3273 5 лет назад +1

    Joti love from kenya

  • @innosentgeorge8738
    @innosentgeorge8738 3 года назад

    Good xana jot

  • @user-hs3ln8ni1v
    @user-hs3ln8ni1v 5 лет назад +3

    Hmna kama majuto kwa kupiga chobo

  • @dashuusaalim1943
    @dashuusaalim1943 5 лет назад

    ijumaa kareeem.. na chabo

  • @muniramussa1530
    @muniramussa1530 5 лет назад +2

    hahahaha team fis mko WAP. bos kakunjwa huku. like zenu place

  • @bablojakitalambo504
    @bablojakitalambo504 3 года назад

    Uyu jamaa ananifulaishaga sana

  • @ommygzanzibar4711
    @ommygzanzibar4711 5 лет назад +1

    Joti unatisha sana unatembea na zana zote za chabo

  • @jacksonrambiro559
    @jacksonrambiro559 3 года назад +1

    Hahahahahah! Basi mara tatu

  • @juliethashley2481
    @juliethashley2481 5 лет назад +1

    namkubali sana hyu jamaa

  • @faustapaul9356
    @faustapaul9356 5 лет назад

    hahahha labda alikua anatoa buibui jamaniii

  • @josephchuwa1206
    @josephchuwa1206 5 лет назад +1

    Ahahahaaaaaa, #Jotiiiiii umenishinda tabia.

  • @godwinambrosi5522
    @godwinambrosi5522 5 лет назад +6

    ayo mavazi

  • @dottohamisi9844
    @dottohamisi9844 3 года назад +1

    🤣🤣🤣Nishai kakutwa kachungulia Mala moja tu

  • @annastaziabega4474
    @annastaziabega4474 2 года назад

    Nimeipenda hiyo boss kakunjwaa 😘😂

  • @jazamushaibumpota1533
    @jazamushaibumpota1533 3 года назад

    Hii kali

  • @francisprod1721
    @francisprod1721 5 лет назад +3

    Favorite comedian 🥰🇺🇸🇨🇩

  • @danielimeshack3712
    @danielimeshack3712 5 лет назад +11

    hahaha anavyong'ang'nia hilo dirisha kama analibaka vile

  • @imbatokamoyoni2209
    @imbatokamoyoni2209 5 лет назад

    Kama na wewe Umechabo,basi chabo na kwangu #imbatokamoyoni
    Utajifunza ujanja mwingi sana wa kuimba kwa kujiamini..!!karibuni sana

  • @witineskikiwa1906
    @witineskikiwa1906 5 лет назад +1

    😁😁😁🤣🤣😜😜😜 boss kakunjwa

  • @babrapaul4624
    @babrapaul4624 5 лет назад

    Dah Joti nakukubali mnoo I wish nifanye kazi na ww

  • @re_up_gang
    @re_up_gang 5 лет назад +1

    Always Joti ni chizi wa Mwendokasi

  • @ungaroboungarobo5531
    @ungaroboungarobo5531 5 лет назад +7

    Team fisi mpo🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @thetrends0128
    @thetrends0128 5 лет назад +1

    The best 💥💥💥💥💥💥💥💥

  • @sellah4603
    @sellah4603 5 лет назад +3

    Walio chek km Mimi gonga like hap chin 😂😂😂😂😂😂

  • @kaimuulongo868
    @kaimuulongo868 3 года назад

    Daaar uyu joti majanga

  • @mariasteven3713
    @mariasteven3713 5 лет назад +4

    Ooooooyooooo wa kwanza leo

  • @mohamedizabura3321
    @mohamedizabura3321 5 лет назад

    😂blaza hamna kitu nimechungulia lakini hamna kitu😂😂😂

  • @leunammeleunamme6019
    @leunammeleunamme6019 5 лет назад

    Niliviona zana za chabo tu nikaanza kucheka

  • @khadijambuya794
    @khadijambuya794 5 лет назад

    Joti me ilo shati lak Napendaga sna 😘😂😂

  • @khadijambuya794
    @khadijambuya794 5 лет назад

    Joti bhaana heti boss kakunjwa 😂😂😂

  • @shiahkarbalah1990
    @shiahkarbalah1990 3 года назад

    Nice

  • @aishaelias3867
    @aishaelias3867 5 лет назад

    Eti,, “ yaani mimi sijaona chamaana 😂😂😂😂😂

  • @jumaayubu4521
    @jumaayubu4521 4 года назад

    Nakubali sana jot

  • @violin5445
    @violin5445 5 лет назад +7

    nishai vifaa vyko vya operation navipataje mzee

  • @user-xi1pi4zr3b
    @user-xi1pi4zr3b 5 лет назад +7

    Amount of people who love Joti comedy

  • @twahaanyoni9368
    @twahaanyoni9368 5 лет назад +1

    Kama unastress ukikutan na joti mpang
    😂😂😂😂😂😂

  • @mugozibabel4343
    @mugozibabel4343 2 года назад

    Ongera Sana kwa kundi lote. Muna weza.😂😂😂😂😂😂

  • @kelvinmarvellous8575
    @kelvinmarvellous8575 5 лет назад

    Joti chizi sana eti boss kakunjwa

  • @yoaniloola2837
    @yoaniloola2837 4 года назад +1

    Aki sopa si tujuane tu ❤️from kenya

  • @sir_ENOCKMACHA
    @sir_ENOCKMACHA 5 лет назад

    Boss kakunjwa

  • @morama7jr559
    @morama7jr559 5 лет назад +30

    Likes 100 zinatosha kwa leo. Weka likes hapa twende sawa

  • @janetsaidi8272
    @janetsaidi8272 5 лет назад

    joti Eto boss kakujwa

  • @jullygodwiny4058
    @jullygodwiny4058 5 лет назад +1

    Nimeona kakunjwaaaa!!

  • @hadijaabdallah5477
    @hadijaabdallah5477 5 лет назад +1

    😂😂😂😂😂😂😂Show show hip hop ilee😂😂😂Leo boss kakunjwa😂😂😂😂

  • @princespider5854
    @princespider5854 5 лет назад

    Nani kanaona boss kakunjwaa 😂 😂 😂

  • @chrismnicko9430
    @chrismnicko9430 5 лет назад +2

    😂😂😂hilo jino ndo huwa linanvunja mbav

  • @samchima8855
    @samchima8855 3 года назад

    chabo mpaka anazimia dilishani

  • @thukha5033
    @thukha5033 3 года назад

    nimefurahi kumuona kipande leo

  • @rahimumohammed9391
    @rahimumohammed9391 3 года назад

    Mwisho Puchu

  • @omariamiri5556
    @omariamiri5556 5 лет назад +2

    Yaan mm huwa nacheka tu nikmuona joti yaan hayo mavaz joti haujanijib nan ni designor wako plz

  • @jensennashon6147
    @jensennashon6147 5 лет назад +1

    bhoss kakunjwa huh

  • @rubenruben9433
    @rubenruben9433 3 года назад

    King of comedy

  • @mgstv3125
    @mgstv3125 4 года назад

    Good

  • @subiramomburi9148
    @subiramomburi9148 4 года назад

    Joti kinyongeee.. Leo kafumwaa

  • @salifsmiles9348
    @salifsmiles9348 4 года назад

    Nitakugeuza gari la mkaa sasa hivi

  • @ahmedsule1520
    @ahmedsule1520 5 лет назад

    Daaah ww joti nowmaa kweli wakuwacheee2 hahhahhah😅😅

  • @jimmystevens6068
    @jimmystevens6068 5 лет назад

    Eti boss kakunjwa😀😀😀

  • @josephthadeo9989
    @josephthadeo9989 5 лет назад

    Iyo ya king majuto mzazi

  • @jeremiamachinda7473
    @jeremiamachinda7473 5 лет назад +1

    Hahaha ni shidaaaa