GB 64 SIYO MPIRA TU | TAZAMA HAPA AKIWA KAZINI KWAKE |" NIMEACHA KAZI YA UALIMU
HTML-код
- Опубликовано: 9 окт 2024
- Tafadhali Subscribe Shutikali Tv ili kuwa wa kwanza kupata taarifa mbalimbali za Michezo
#sokatanzania #simba #yanga #azam #mpira #football #tanzania #chama #feitoto# #mayele#azizki#mosesPhiri#mashabikisimbayanga#ahmedyally#allykamwe#
Masha'allah apa sawa sio kila siku mpira tuuuuuuui
Hayo ndo maisha big up GB 64
Baba mkweeee uyoooo🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Safi sana gb 64 gpiga kazi usisikilize majungu wewe nimtu safiiii
Hongera
Sahz machawa wote walio ambiwa hawana Kazi now wameamua kuonyesha Kazi zao
1: mzaramo fundi camera za majumbani
2: Kay mziwanda anakodisha bodaboda
3: GB 64 baba ntilie
We mwamba piga kazi maisha ni hayahaya.
Nzuri hii
Umeacha au umetumbuliwa.
Huyu jamaa swala la ualimu huwa aliachi kulitaja,inaonekana ualimu anaupenda sana.
Eti mwenda zake,yaani inaonekana uncle Magu unamchukia mpaka leo.
UPO VZR SANA
Huyu jamaa kumbe alishakuwa na ukaribu na mzee mhuni Amiri Ally Bamchawi basi ndio maana maneno mengi
Alikuwa kijiweni asubuhi mpaka jioni akibishana mpira, sasa watu wamempaka kazi ya kufanya.
Piga kazi kaka kikubwa huibi na elimu unayo haiwezi ondoka ni kipaji Mungu amekupa
UYU JAMAA ANAUZA MAANDAZI KWENYE KIJIWE CHA GAHAWA PALE KARUME
Mmmmmm vidole mapuani alafu kinashikwa na chakula 😁😁😁😁
Ila hongera bhana japo jitahidi usafi
Acha izo
Hapo sasa utazani tuko udosini 😂
Isichunguze mapishi huta kula hamna mtu msafi duniani wote wchafu.
@@FredMwamgogwa-td6ni semea kwenu ni wachafu,usitujumlishe watu wote
@@FredMwamgogwa-td6ni usijumlishe wote kuna baadhi ya watu wachafu duniani!
Tutakuja kukuungisha wala ucjali Gb 64
Vidole puani hiyo sijapenda
😂😂😂
Eziiiii yakikweteee arikuaaa mwarim eziiiii yaaa magufuriii chariii eziiii mamaaa muhuzaaaa chips vetiií fekiiii wapooo wengiii awaaaa shureniii kiraaa ckuuu michaangooo mashureniii amebakiii msingiiii manenooo
Mara kohoa kwenye viganja, shika uso mara vidole puani halafu anashika chaakula bla kunawa,, daah!
Acha ukuda unateseka ukiwa wapi
Nipe location mkuuu❤
Kapata ubakozi wa chipsi baada ya kuuza kahawa.
Namkubari sana gb 64
Uza na kitimoto
@@suzanasimonqwarsan we mbona unawashwa sana icho kitundu cha nyuma
@@suzanasimonqwarsan😂😂😢😢😂😂😢😢😅😅😅
Maisha popote mkali piga kazi ndugu
Ofis Iko wapi
Uza na kitimoto
Kweli kabisa
kamuuzie babako
😂😂😂😂😂
😂😂😂@@halidimgonza5945
UNAUZA CHAKULA BROTHER GB .DUMISHA USAFI VIDOLE PUANI HAPANA
Sahihi kabisa kaka.....vidole puani HAPANAAAAAA!!!!
Ameniboa hapo tuu .. Na gloves pia nilimuona anatoa samaki kwenye kabati bila gloves! Sio fresh aiseee!
Kwenye umri hapo umetupiga, kama umesoma na shafih dauda, wewe hukosi miaka 45
Eti mwenda zake,yaani inaonekana uncle Magu unamchukia mpaka leo.