GB 64 SIYO MPIRA TU | TAZAMA HAPA AKIWA KAZINI KWAKE |" NIMEACHA KAZI YA UALIMU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 окт 2024
  • Tafadhali Subscribe Shutikali Tv ili kuwa wa kwanza kupata taarifa mbalimbali za Michezo
    #sokatanzania #simba #yanga #azam #mpira #football #tanzania #chama #feitoto# #mayele#azizki#mosesPhiri#mashabikisimbayanga#ahmedyally#allykamwe#

Комментарии • 46

  • @Kuminamoja1995
    @Kuminamoja1995 8 дней назад +5

    Masha'allah apa sawa sio kila siku mpira tuuuuuuui

  • @HawaMkomwele
    @HawaMkomwele 7 дней назад +2

    Hayo ndo maisha big up GB 64

  • @RabsonSalmon-ys7bf
    @RabsonSalmon-ys7bf 3 дня назад +1

    Baba mkweeee uyoooo🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @deogratiusdonald5123
    @deogratiusdonald5123 7 дней назад +2

    Safi sana gb 64 gpiga kazi usisikilize majungu wewe nimtu safiiii

  • @elizabethizack5297
    @elizabethizack5297 8 дней назад +3

    Hongera

  • @AlexAmbrose-y8l
    @AlexAmbrose-y8l 8 дней назад +7

    Sahz machawa wote walio ambiwa hawana Kazi now wameamua kuonyesha Kazi zao
    1: mzaramo fundi camera za majumbani
    2: Kay mziwanda anakodisha bodaboda
    3: GB 64 baba ntilie

  • @joachimgolola62
    @joachimgolola62 4 дня назад +1

    We mwamba piga kazi maisha ni hayahaya.

  • @JumaKitutu-t4s
    @JumaKitutu-t4s 8 дней назад +3

    Nzuri hii

  • @ramajr3762
    @ramajr3762 3 дня назад +1

    Umeacha au umetumbuliwa.

  • @sosomacharles9920
    @sosomacharles9920 7 дней назад +2

    Huyu jamaa swala la ualimu huwa aliachi kulitaja,inaonekana ualimu anaupenda sana.

  • @sosomacharles9920
    @sosomacharles9920 7 дней назад +2

    Eti mwenda zake,yaani inaonekana uncle Magu unamchukia mpaka leo.

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 8 дней назад +2

    UPO VZR SANA

  • @hamishmooreesc2151
    @hamishmooreesc2151 6 дней назад +1

    Huyu jamaa kumbe alishakuwa na ukaribu na mzee mhuni Amiri Ally Bamchawi basi ndio maana maneno mengi

  • @CalistusTitus-s5o
    @CalistusTitus-s5o 4 дня назад +1

    Alikuwa kijiweni asubuhi mpaka jioni akibishana mpira, sasa watu wamempaka kazi ya kufanya.

  • @FatmaHamad-g6s
    @FatmaHamad-g6s 8 дней назад +1

    Piga kazi kaka kikubwa huibi na elimu unayo haiwezi ondoka ni kipaji Mungu amekupa

  • @EdwinGaudence
    @EdwinGaudence 5 дней назад +1

    UYU JAMAA ANAUZA MAANDAZI KWENYE KIJIWE CHA GAHAWA PALE KARUME

  • @abdulnaseermrisho4342
    @abdulnaseermrisho4342 7 дней назад +3

    Mmmmmm vidole mapuani alafu kinashikwa na chakula 😁😁😁😁
    Ila hongera bhana japo jitahidi usafi

  • @shabanmwaisame8510
    @shabanmwaisame8510 7 дней назад +1

    Tutakuja kukuungisha wala ucjali Gb 64

  • @gabrielsigala1078
    @gabrielsigala1078 8 дней назад +4

    Vidole puani hiyo sijapenda

  • @AllySalum-j9y
    @AllySalum-j9y 7 дней назад +1

    Eziiiii yakikweteee arikuaaa mwarim eziiiii yaaa magufuriii chariii eziiii mamaaa muhuzaaaa chips vetiií fekiiii wapooo wengiii awaaaa shureniii kiraaa ckuuu michaangooo mashureniii amebakiii msingiiii manenooo

  • @marcobulili4341
    @marcobulili4341 5 дней назад +1

    Mara kohoa kwenye viganja, shika uso mara vidole puani halafu anashika chaakula bla kunawa,, daah!

  • @kajalamaganga1913
    @kajalamaganga1913 8 дней назад +2

    Nipe location mkuuu❤

  • @MauBonde
    @MauBonde 7 дней назад +1

    Kapata ubakozi wa chipsi baada ya kuuza kahawa.

  • @KulwaMartine
    @KulwaMartine 8 дней назад +5

    Namkubari sana gb 64

    • @suzanasimonqwarsan
      @suzanasimonqwarsan 8 дней назад +1

      Uza na kitimoto

    • @FahadAbubakari
      @FahadAbubakari 8 дней назад

      ​@@suzanasimonqwarsan we mbona unawashwa sana icho kitundu cha nyuma

    • @noorbazaar9063
      @noorbazaar9063 8 дней назад

      ​@@suzanasimonqwarsan😂😂😢😢😂😂😢😢😅😅😅

  • @godifreychalesi5394
    @godifreychalesi5394 8 дней назад +1

    Maisha popote mkali piga kazi ndugu

  • @saidimohamed2646
    @saidimohamed2646 8 дней назад +1

    Ofis Iko wapi

  • @suzanasimonqwarsan
    @suzanasimonqwarsan 8 дней назад +2

    Uza na kitimoto

  • @DormanDorman-jm3dz
    @DormanDorman-jm3dz 8 дней назад +1

    UNAUZA CHAKULA BROTHER GB .DUMISHA USAFI VIDOLE PUANI HAPANA

    • @johnmwanja4476
      @johnmwanja4476 7 дней назад

      Sahihi kabisa kaka.....vidole puani HAPANAAAAAA!!!!

    • @josephgomalo41
      @josephgomalo41 7 дней назад

      Ameniboa hapo tuu .. Na gloves pia nilimuona anatoa samaki kwenye kabati bila gloves! Sio fresh aiseee!

  • @LUCASSANGARUFU
    @LUCASSANGARUFU 7 дней назад +1

    Kwenye umri hapo umetupiga, kama umesoma na shafih dauda, wewe hukosi miaka 45

  • @sosomacharles9920
    @sosomacharles9920 7 дней назад +1

    Eti mwenda zake,yaani inaonekana uncle Magu unamchukia mpaka leo.