Mmmmh wakati mwengine utamani kulia haki yani uongea mpaka naona nakufuru mungu,yashatokea nyumbani mambo kama hayo mpaka sai mzee wangu ambae n babangu hana chochote mpaka yuwatia huruma 😢😢😢sa zengine wanaume pia waangalie wanawake wakuowa wengine familia za niza ukorofi na kuleta umasikini nyumbani 😢😢😢.. Asante doctor kumbuka mungu akujalie umri uzidi kutupa maneno mazuri yenye kufundisha
Dr. Umenigusa sana. Hio kitu ilitaka kunitokea. Mimi ni mkenya. Bibi ni mtaliani. Nilimueleza kuhusu life ya kwetu niliopitia. Na nashkuru alinielewa maana alikuwa a naanza nisisaidie family. Alhamdulillah at the end yeye saa hii amewaweka family yangu mbele kuliko Mimi. Anawapenda sana family. True Dr.
Ndio maisha kombolele yaan hata mm nasomesha mdogo wangu kwasasa yupo chuo najua atatufaa baade yaan ataficha Abu asikwambie mtu kwenye familia msomi asikose
Kweli lakini it's soooo sad I have those examples in my family ukoo. Yaani kinachoniuzi zaidi mijanamke mingine imetokea kwenye maisha ya shida, wanakuja kwa mwanaume wanakaribishwa vizuri baada ya muda kidogo wanaaza ubaya Kuwatenganisha ndugu ili hela zisiende upande wa mume. Washenzi kweli
Unaniambia mimi ? Nisijinyee au sumbuka ? Au nani? Maana sikuelewi. Amesema mambo yaliyo nigusa saana ndio maana nimeongea na uchingu, sasa hayo yanakutokea wapi?. Kuna msemo una sema tuwe makini na mdomo wetu tunavyo mjibu mtu au kuongea tu, kwasababu midomo yetu ndio inayotupima thamani yetu binafsi kwenye jamii. Sawa hao nimewaita washenzi kwani hakuna lingine na wameikosea familia iliyo watunza. Sasa wewe nimekukosea nini? Mpaka unitukane hivyo? Tuwe makini hata kama hstujuani lakini advise ndio hiyo.
Sio munapaka uwanja kama mama mwenye nyumba kafwata kodi siku taherehe thalathini 😂😂😂😂😂😂 mambo pambe from faransa 🇨🇵 very good dr kumbuka
Kumbuka Hakika wewe Leo umeongea Vema Asante kwa kutufundisha wanawake
Mmmmh wakati mwengine utamani kulia haki yani uongea mpaka naona nakufuru mungu,yashatokea nyumbani mambo kama hayo mpaka sai mzee wangu ambae n babangu hana chochote mpaka yuwatia huruma 😢😢😢sa zengine wanaume pia waangalie wanawake wakuowa wengine familia za niza ukorofi na kuleta umasikini nyumbani 😢😢😢.. Asante doctor kumbuka mungu akujalie umri uzidi kutupa maneno mazuri yenye kufundisha
Umenigusa dk ndaniyachangoooo lakn alhamdulillah kwaupande wangu wamelijua Hilo mashallah wako vzr na kk
Doctor kumbuka umeongea point 🔥🔥🔥🔥🔥
Asante kumbuka saluti kwako.
Kweli kabisa mimi nilimuuliza mumewangu kuusu maisha yake akaniambia yeye ndio tegemeo kwenye family yao basi nilivyoingia nikayapokea ayo yote
Dr. Umenigusa sana. Hio kitu ilitaka kunitokea. Mimi ni mkenya. Bibi ni mtaliani. Nilimueleza kuhusu life ya kwetu niliopitia. Na nashkuru alinielewa maana alikuwa a naanza nisisaidie family. Alhamdulillah at the end yeye saa hii amewaweka family yangu mbele kuliko Mimi. Anawapenda sana family. True Dr.
sema Alhamdulillah 🙏🏾🙏🏾
Pigaa keleeeeee kwa dr kumbuka nakupenda
Nakupeeeeeeeeeeenda dr kumbuka unasema ya kweli na yaliyomo Siku zote
Dr kumbuka
Tunaku support from Houston Texas marekani blessed 🙌🏿blessed
Message sent kaka uko vizuri wanawake wabaya kweli kweli
Kweliiiii broooooo nakuamini saaaaaana u unavio semaaa ni kweliiiii kabisa
Dr kumbuka nakupenda bure kiukweli unaongea point sana
Doctor kumbuka na kukubali sana kweli ww frigid aligandishi
Kweli aiseee unaoge kweli kaka barikiwa sana
Hahahaaaa shat kubwa kama mwenyekit wa kitongoji
Hahahaha doctor bn siooo senti mirror ......inaitwaa sight mirror 😂 ahsanteee kwa elim dr
Inaitwa SIDE MIRROR hata ww umekosea
Heeee jmn
😁😁
Ndio maisha kombolele yaan hata mm nasomesha mdogo wangu kwasasa yupo chuo najua atatufaa baade yaan ataficha Abu asikwambie mtu kwenye familia msomi asikose
Upo vizuri kumbuka unanikosha sana
Naomba mnisameh kwa nitakachokiandika dada SOPHIA punguza mapambo mpenzi we ni mrembo bila make up ♥️
Nakupenda kumbuka 💕💕
Hata wanaume wapo wasiouliza kaka Kumbuka
Dot.kumbuk masha Allah umeongea kweli
Kaka leo umeongea 😍😍😍
Asante ujumbe umefika maana kunawatu apana
Ukweli mtupu yani sisi wanawake niwabaya sana
Hapo sasa swadakta maneno yako Dr 🇰🇪🇰🇪
Asantee kwa somo
Hatariiii fire
Kumbuka haswaaaaa wakomeshe
Nlikumic kwa siku mojaa🙌🙌
Piga keleleee kwa dokt kumbuka wKeeee
Asante kwa somo!!!
uwiiii jaman kumbuk mbon wanichekesha sn 😁😁
Unamafunzo mazuri sana hongera sana
Doctor, I wish u were a Ugandan............
Kweli kabisa
Kumbuka wake mie💕👌😘 4Life💕👌
eti pua kamaaa...??😂😂😂aah i can't have enough of Uhondo....kifurutobe uso wa kobe😂😂😂tenda ya kupiga makonzi watoto😂😂😂😂😂😂😂😂
Dr ni nomaa unapga ikulu kakaa
Kweli sana dahh ww kumbuka noma
Nakukubali kakayangu
Yani ukiongea naskia raha😀😀😀
Mhm simtaki mume kama kumbuka.hamezi mate🤣🙌ila da sophy unajipenda mashalaah.napenda unavojisitiri.hata dina nampenda sana🥰
Jogoo wikaaaa
Pole Dr
Kweli kabisaaaa upo sahihi
Kweli lakini it's soooo sad
I have those examples in my family ukoo. Yaani kinachoniuzi zaidi mijanamke mingine imetokea kwenye maisha ya shida, wanakuja kwa mwanaume wanakaribishwa vizuri baada ya muda kidogo wanaaza ubaya
Kuwatenganisha ndugu ili hela zisiende upande wa mume. Washenzi kweli
Angesikia ii mtu mmoja angejifunza!!
Saaanaa
Wanaume pia wanahiyo tabia but yes wanawake zaidi.
Kumbuka zungumuza polepole usije ukajinyeya kwakujikamuwa
Unaniambia mimi ? Nisijinyee au sumbuka ? Au nani? Maana sikuelewi.
Amesema mambo yaliyo nigusa saana ndio maana nimeongea na uchingu, sasa hayo yanakutokea wapi?. Kuna msemo una sema tuwe makini na mdomo wetu tunavyo mjibu mtu au kuongea tu, kwasababu midomo yetu ndio inayotupima thamani yetu binafsi kwenye jamii.
Sawa hao nimewaita washenzi kwani hakuna lingine na wameikosea familia iliyo watunza. Sasa wewe nimekukosea nini? Mpaka unitukane hivyo?
Tuwe makini hata kama hstujuani lakini advise ndio hiyo.
Awike sanaa Doha Qatar hoeee Dr kumbuka wape vidonge vyaoo wenye kuja na meno ya juu km sijui nn...
Umenena kweli kumbuka
Kweli very transparent
Kumbuka huwa najiuliza ungekuwa shemeji yangu ningeweza kustahmili kweli🤔🤔, baba umejaaliwa sio kwa kichambo hichoo😂😂😂😂
Piga makofi kwakumbukaakeeeeeeeeee unawafikisha kabisa.
Woyo Woyo Woyo
Woyoooooooooo
Kumbuka akeee oyoooooo!!
Kumbuka ndio maana magari yanayobeba maharusi yanapiga honi kuashiria hatari imeingia. Ila tisiwe viviruge
Dr kumbuka yapo hayo ukweli kabxa hata ujakosea tunaishi nao kwenye jmn
🤣🤣🤣🤣🤣 umepaka wanja km mwenye nyumba kaja kudai pesa ya kodi 🤣🤣🤣🤣🙌
Santeeeeeeeeeeeee big up
Ahaaaaa ahaaa uso kma jukwaa la kampeni.
Kumbuka unaongea point xna ndomana sijawah kuacha kukupenda
Wa kwanza😊😊😊
KIDUNYU hahaaa
Swadakta Kumbuka umeongea au mwanao anaoa anatekwa ukweni . Wanamfanya mwanao chuma ulete
Hahaha dr kumbuka nimependa sana iyo
Mnamsema mwenzenuuuuuu😂😂😂😂
Niliku miss ww Dr kumbuka, nilikuwa napekuwa iyi channel kilasiku nakutana na mapishitu.afazali nakupata unanifikisha wewe kumbuka 😁😁😁😁😁
Kama Mimi 😆😆😆
Kweli kabisa mwambie aooooooo mama hana mfanoweeeeee
Kumbukas.....
Motooo pambee
Mbavuzangu
Haya ni kweli kabisa
😂😂😂😂Asante Dr kumbuka
Kuku kishingo😄pole kwa mwanao
Uso kama nn jukwaa la kampeni😂😂😂😂lakini dr kumbuka unamadongo
Hahahaha jaman kumbuka huyu 😂😂😂
Iyo ni kweli kabisa
Asante baba
Loo kweli kabisa umesema kweli wako wengi Sana tumejionea
Kweli kabisaaa
Haswaaa hujakosea wallah tuambie mana hatari
Atali sanaa 😂😂😂🤣🤣🤣🔥🔥
Ata wanaume wapo wenye choyo
Kweli kaka
umenishekesha wambie lakini yapo sawa sikatai ila kuna wengine wanakera
Kwa kweli jogoo linanikosha
Asante mjumbe
Mbona hamkuskika juzi na jana jaman ..tulimic jogoo
yamenikuta kaka
Hivi Bongo kuna mwenye anashamba kama kumbuka😂😂😂
Swadakta dokta
Kaka kumbuka una maneno😄
Yaani sauti kama haitoshi vileeeee!!jamani umesema kweli mpk raha
Point
Saaaaaaafiiii
kweli nimejifunza kitu
Yan apa navoongea nipo njiani kutafuta roshen ya kutoa sugu za vidole 😂 😂 😂 😂
Makubwa
Message sent 😂😂..
🤣🤣🤣🤣
Mdomo wa chini unacheza kama kuku wa unguja🤣🤣🤣
Hahahahha jaman et pepepep ka kungulu wa unguja
🤣🤣🤣🤣🤣kidunyuuuu... Mungu akulinde wewe mkaka wangu daah
Maneno kuntuu doctor kumbuka
kimbuka kumbuka umu umu dadek yaan unanikusha atari
We mwenye ujumbe wako hebu njoo huku usikie
Ya kweli yapo hayo