Kitendawili cha kifo tata cha Denzel Omondi

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 окт 2024
  • Mwanafunzi Wa Chuo Kikuu Aliyetoweka Siku Chache Baada Ya Kushiriki Maandamano Ya Kupinga Serikali. Ukaguzi Wa Maiti Ukibaini Kuwa Denzel Onyango Omondi Alifariki Kwa Kufa Maji. Sasa Jamaa Za Marehemu Denzel Aliyenakiliwa Kwenye Video Akiwa Ndani Ya Majengo Ya Bunge Inapinga Ripoti Kuwa Alijitoa Uhai. Franklin Walla Na Taarifa Hii Kwa Kina

Комментарии • 320

  • @ISABELAWACHIA
    @ISABELAWACHIA 2 месяца назад +110

    Hata mimi napinga hayo matokeo, serkali iache kuuwa vijana wetu, it hurts😭

    • @shalomjosh109
      @shalomjosh109 2 месяца назад

      Safaricom should not give right to police to track Genz's they should protect their privacy because at this time government is oppressive to everyone God will stop the killers at a point now than ever before.

    • @ngetigeorge9483
      @ngetigeorge9483 2 месяца назад

      Ulikuwa uko

  • @OmariMwasina
    @OmariMwasina 2 месяца назад +38

    Ruto government is very bad ,huyu Ruto atatu maliza 😢 brothers and sisters you have to be very careful RUTO MUST GO

  • @harrietkhamisi2357
    @harrietkhamisi2357 2 месяца назад +58

    Woooiii! Woooiii! Hapana! This is too much. Ruto utamaliza watoto tutabaki na nani?😭😭😭kataza police kuua watoto ama tutawasha hii nchi moto😁😁😁

    • @shalomjosh109
      @shalomjosh109 2 месяца назад

      Safaricom should not give right to police to track Genz's they should protect their privacy because at this time government is oppressive to everyone God will stop the killers at a point now than ever before.

    • @ImmaculateKutto-n2c
      @ImmaculateKutto-n2c 2 месяца назад

      Kwn ni rutto ndio alimtuma aende akafanye mandamano 🤗stly-up alah! Tafadhali mkuwe na heshima kwa rais 🙏nkama ingekuwa raila na hicho kitendo ifanyike mngema tna ni raila ndio alimua tumieni akili vizuri 🧠kenye inafaa ss tufanye tukiwa wazazi tujaribu kuongelesha wtto wtu kwa njia inayo...faa tuwakaze mambo ya mandamano si mzuri wajitenge nao kbz🤗hebu ona ss hasara kubwa yenye mandamano imeleta 😢haya wako wpi hao viongozi wenye walindanganya wtto wtu hdi wakaenda kufanya mandamano wako wpi? Kila mtu akae chini nkujiuliza ni kwnn🤔suuluisho si mandamano ni kukaa kitako na kujandiliana kwakinagaumbaga 👂✍️vote no or yes period!

    • @ندىالعمري-ط7ي
      @ندىالعمري-ط7ي 2 месяца назад

      Kama watoto wenu wanafanya funjo zisiso na mahana yoyote

    • @harrietkhamisi2357
      @harrietkhamisi2357 2 месяца назад

      @@ندىالعمري-ط7ي venye unaongea wewe si mzazi.. unakaa muuaji or something else

    • @phoebeadikinyi3441
      @phoebeadikinyi3441 2 месяца назад +1

      Imagine, uchungu wenye mzazi anasikia,damu ya innocent souls isilale😢😢😢😢😢,may you never know peace

  • @grammamresh8848
    @grammamresh8848 2 месяца назад +98

    Serikali acha kuua watoto wetu

    • @jamesnganga6387
      @jamesnganga6387 2 месяца назад +6

      Kabisaaaaaaa huyu kijana awezi kua alijiua noooo

    • @WillisAli
      @WillisAli 2 месяца назад +4

      Parliament is a no go zone eleweni sheria

    • @FrankandSly
      @FrankandSly 2 месяца назад +3

      Kwani wanyama Dio ukaa mbunge?​@@WillisAli

    • @josphatkithure3535
      @josphatkithure3535 2 месяца назад

      Mtajua hamjui

    • @edu-pw7hu
      @edu-pw7hu 2 месяца назад +1

      ​@@WillisAli stop nonsense what threat was the young boy.. those who rule by the gun will go by the same 😢

  • @derrickwanjala3710
    @derrickwanjala3710 2 месяца назад +52

    Yet someone has the audacity to call for dialogue after this? Nonsense

    • @NJERIWAITHIRA-qf7uq
      @NJERIWAITHIRA-qf7uq 2 месяца назад +4

      IMAGINE.

    • @Ikayo76
      @Ikayo76 2 месяца назад +3

      Raila ni mtu mjinga sana

    • @JoyzMichelles-eh8vs
      @JoyzMichelles-eh8vs 2 месяца назад

      Sai hatumtabui asubiri bahati another time not now and he should stay away from gene z​@@Ikayo76

    • @shalomjosh109
      @shalomjosh109 2 месяца назад

      Safaricom should not give right to police to track Genz's they should protect their privacy because at this time government is oppressive to everyone God will stop the killers at a point now than ever before.

  • @alfredorek5446
    @alfredorek5446 2 месяца назад +15

    This is the dialogue Ruto wants with the genz, then he marks them one by one for elimination!

  • @tbirdbird4431
    @tbirdbird4431 2 месяца назад +49

    Whose killing gen z and why,so bunge is so important than lives?

    • @shalomjosh109
      @shalomjosh109 2 месяца назад

      Safaricom should not give right to police to track Genz's they should protect their privacy because at this time government is oppressive to everyone God will stop the killers at a point now than ever before.

  • @jamesowoko
    @jamesowoko 2 месяца назад +70

    And now Ruto Lies to us there will be never extra judicial killing...who is this Man😢

    • @edu-pw7hu
      @edu-pw7hu 2 месяца назад

      He said he's a Christian..
      Compare him to the drunk one.. and filling the gap

    • @shalomjosh109
      @shalomjosh109 2 месяца назад

      Safaricom should not give right to police to track Genz's they should protect their privacy because at this time government is oppressive to everyone God will stop the killers at a point now than ever before.

  • @malengachipukizi6770
    @malengachipukizi6770 2 месяца назад +34

    We shall not FORGET!😢😢😢

    • @mayaspanic221
      @mayaspanic221 2 месяца назад +1

      If he survives till 2027, we shall vote him out.

    • @jamesnganga6387
      @jamesnganga6387 2 месяца назад +1

      @@malengachipukizi6770 TRUE🙌

    • @jamesnganga6387
      @jamesnganga6387 2 месяца назад

      @@malengachipukizi6770 TRUE🙌

  • @dennisayoma9033
    @dennisayoma9033 2 месяца назад +85

    Safaricom gave out their details..... Safaricom shall pay too

  • @graciousmbugua9078
    @graciousmbugua9078 2 месяца назад +36

    Na wanasema we need dialogue such nonsense this politicians are murderers 😢

    • @edu-pw7hu
      @edu-pw7hu 2 месяца назад

      What nonsense at dialogue after such killing

    • @shalomjosh109
      @shalomjosh109 2 месяца назад

      Safaricom should not give right to police to track Genz's they should protect their privacy because at this time government is oppressive to everyone God will stop the killers at a point now than ever before.

  • @Silasowiti-zq8xt
    @Silasowiti-zq8xt 2 месяца назад +60

    Safaricom be ready

    • @shalomjosh109
      @shalomjosh109 2 месяца назад

      Safaricom should not give right to police to track Genz's they should protect their privacy because at this time government is oppressive to everyone God will stop the killers at a point now than ever before.

    • @ish-j.542
      @ish-j.542 2 месяца назад +3

      Tuta occupy Safaricom

  • @adhiamboviolet8077
    @adhiamboviolet8077 2 месяца назад +32

    Ruto mzee mkongwe anawaua watoto wadogo wa rika ya wajuku wake kwa sababu ya kuambiwa ukweli. ipo siku.

    • @janekamau7169
      @janekamau7169 2 месяца назад +3

      Ipo siku very soon walai atalipia haya machungu 😢

    • @WillisAli
      @WillisAli 2 месяца назад

      ​@@janekamau7169wacha kuota kaa om ukuwe safe

  • @MambaAfrica
    @MambaAfrica 2 месяца назад +42

    Justice for Denzel.

  • @moviemax_
    @moviemax_ 2 месяца назад +47

    Ruto Must Go!!!

  • @decoloniz_afro
    @decoloniz_afro 2 месяца назад +24

    Ruto must go.. period

  • @BMboss108
    @BMboss108 2 месяца назад +14

    Watu wanauliwa sana.sahii.since protest

  • @daktari032
    @daktari032 2 месяца назад +26

    Ruto Must Go

  • @calvingracious6805
    @calvingracious6805 2 месяца назад +20

    If they picked ksl leader alone with no trace. The police know that it cant be traced

  • @millicentmilliy7553
    @millicentmilliy7553 2 месяца назад +4

    😭😭😭I support when Gen z said. Justice b4 so call dialogue. This too much

  • @Championgangproductionfilms254
    @Championgangproductionfilms254 2 месяца назад +2

    Mungu amueke pema peponi

  • @sarahanyango505
    @sarahanyango505 2 месяца назад +3

    GenZ go go go, this kind of leadership should not exist. Inquiry Inquiry and always Inquiry.

  • @jeniffermoraa1466
    @jeniffermoraa1466 2 месяца назад +8

    Mbona wanauwa watoi WA wenyewe , those doing tat u will cursed😭😭☝️

  • @Rehema-h6t
    @Rehema-h6t 2 месяца назад +1

    Mungu atawalipa mbwa nyinyi mnauwa watu wanao teteya taifa lake 😢😢

  • @Nora-v1m3p
    @Nora-v1m3p 2 месяца назад +11

    So sad uyo aliuuliwa nawaliomuua watakufa iko cku

    • @shalomjosh109
      @shalomjosh109 2 месяца назад

      Safaricom should not give right to police to track Genz's they should protect their privacy because at this time government is oppressive to everyone God will stop the killers at a point now than ever before.

  • @lucafrica123
    @lucafrica123 2 месяца назад +24

    Alafu mnasema Ogolla's death was an accident. Enzi za moi ndizo hizi

    • @jovialjuma7018
      @jovialjuma7018 2 месяца назад

      Ogola kafariki dunia baada ya mwezi mitatu baasi kaleta budget hivyo alijua ndyo maana kamuua

    • @azizayassin3623
      @azizayassin3623 2 месяца назад

      Niko pmoja na wewe😢 zakayo muuwaji tu😢😢😢

  • @boohookidscreations8003
    @boohookidscreations8003 2 месяца назад +7

    Rest in Peace Denzel. May your killers never know Peace

  • @mutharimieliud2969
    @mutharimieliud2969 2 месяца назад +11

    Kanu regime is back in dark age's may he rest in peace

    • @shalomjosh109
      @shalomjosh109 2 месяца назад

      Safaricom should not give right to police to track Genz's they should protect their privacy because at this time government is oppressive to everyone God will stop the killers at a point now than ever before.

  • @valentinanduku8718
    @valentinanduku8718 2 месяца назад +13

    ruto must go

  • @nellymueni6343
    @nellymueni6343 2 месяца назад +25

    Ruto atakufa hivi karibuni, tutapiga sherehe ata shetani atoroke

    • @BMboss108
      @BMboss108 2 месяца назад +2

      😂😂😂😂

    • @aishahamad6464
      @aishahamad6464 2 месяца назад +1

      Ama afurahi amepata mtu wake

    • @mohamedmkala
      @mohamedmkala 2 месяца назад +1

      Ameen👏

    • @sophiezakaria
      @sophiezakaria 2 месяца назад +3

      😂😂😂😂ama kucheka pia watanikujia 😂😂😂😂 early Xmas

    • @WillisAli
      @WillisAli 2 месяца назад

      Parliament is a suicide

  • @emilysang2759
    @emilysang2759 2 месяца назад +1

    This killings of innocent blood is too Much,Oooh God Alot of blood is crying for justice,Lord Have mercy on our children, comfort the parents.

  • @mosesmwema7829
    @mosesmwema7829 2 месяца назад +4

    Wooi so painful to loose a young energetic soul in unclear circumstances.

  • @daisyakhini9331
    @daisyakhini9331 2 месяца назад +4

    Alikufa maji juu walimtupa ndani akufe huko, mtu ka mimi sijui kuogelea wakinirusha huko c n kifo tu, mkono wa serikali kumaliza watoto ya watu, 😢

  • @JuliusOkoyo-s5u
    @JuliusOkoyo-s5u 2 месяца назад +2

    The man who cries for uhuru Kenyatta akimwambia achane na watoto wake amekuwa gaidi ama hawa wetu ni wanyama fanya kila kitu but have this in mind we pia siku moja utakufa

  • @MohammedRuto
    @MohammedRuto 2 месяца назад +9

    Ruto anataka kinuke na kutanuka

  • @kiserosao8955
    @kiserosao8955 2 месяца назад +21

    RIP bro imetuumiza kama familia

    • @theozansfamily1029
      @theozansfamily1029 2 месяца назад +1

      Poleni please tafuteni internationals to investigate. Heri Genz tuchange coz Kenya no justice

  • @kaibungarose
    @kaibungarose 2 месяца назад

    Franklin Wala and David Muthoka sauti zenu ni nzuri muno muno.

  • @MambaAfrica
    @MambaAfrica 2 месяца назад +13

    Baba don't sanitais this Killings by working with Ruto.

  • @NJERIWAITHIRA-qf7uq
    @NJERIWAITHIRA-qf7uq 2 месяца назад +2

    Do we need a dialogue to stop extra judicial killing??? what's the meaning of this dialogue .......to get more lies and abnormal promises that we have heard over decades?. Why should we waste time on listening to their lies. our promise basket is already full and cant take more. We simply need action and accountability.

  • @aishasaidi1784
    @aishasaidi1784 2 месяца назад +5

    Polisi waliuwa ama hawa wenye walitolewa uganda na ruto ndo waliua wanaua waandamanaji wote vijana wasichana saa hii hatuwaoni wote waliofika bungeni yaani serikali imeamua kutunyonga kutunyonga haiwezekani mtu ajirushe kwa maji kwa sababu gani😢

  • @SimonMwai-qn6nj
    @SimonMwai-qn6nj 2 месяца назад +1

    May the spirit.....find justice..never rest in peace

  • @Josephinelatin
    @Josephinelatin 2 месяца назад

    Serikali dio walimhua lakini mungu anaona pia wacha Ruto hajue kuwa nimungu anampunish kwa hile bibilia aliyebeba kwa kuwapa kuwa hatawafanyia wa Kenya wezake kazi

  • @uri2243
    @uri2243 2 месяца назад +3

    Aarrghh thts not acceptable....The Extra judicial killings are now seen

  • @victorcephas3618
    @victorcephas3618 2 месяца назад

    Zakayo shuka Wacha Kenyans enjoying their country

  • @dianakiki533
    @dianakiki533 2 месяца назад +5

    Why is raila with ruto now?

  • @pinchesmbuche4354
    @pinchesmbuche4354 2 месяца назад +3

    I was a little bit hesitant supporting Gen z but from today news that Governor of kiambu Wamatangi has been frustrating lnvestors to a tune of 33 million dollars for kickback for approvals of plans projects in Tatu City this people were to employ thousands of youth lncluding the call centre that Ruto keep on saying.
    It's time for change for Kenya l fully support Genz movement.

    • @eliudkim1713
      @eliudkim1713 2 месяца назад

      That is a lie. I am from Kiambu and too. Wamatangi is being fought for refusing to allow Politicians from being allocated the Delmonte Farm.

    • @pinchesmbuche4354
      @pinchesmbuche4354 2 месяца назад

      @@eliudkim1713 not dilomomte the approvals every country coun ty is supposed to be lnvestors friendly why should there take months not one lnvestors 18 months.

    • @shiqowb5450
      @shiqowb5450 2 месяца назад

      He is demanding a land worth billions of money at Tatu city... Ati to build the governors residence...wamatangi ni jambazi Sana...

    • @pinchesmbuche4354
      @pinchesmbuche4354 2 месяца назад

      @@shiqowb5450 he want kick backs 4 billion and thousands of jobs lost one company call centre was to employ 5000 Kenyans.

  • @BEST_LYRIC
    @BEST_LYRIC 2 месяца назад

    Another fallen hero 😭😭 Pole sana Denzel's family. Those murdering these harmless children repent, to save your generation..RIP Denzel

    • @tysmbugua3656
      @tysmbugua3656 Месяц назад

      I revisit this comment 2 months later, and i tell you, he was not a hero, he died for a futile course. As he is 6 feet under, people need to understand there is no place for heroes.

  • @muzafarsharif9465
    @muzafarsharif9465 2 месяца назад +8

    walienda kumnyonga kwa maji 😢

  • @achie2756
    @achie2756 2 месяца назад +1

    Dear Kenyan police, please respect life.Its very painful to bring up a child to that level and then someone takes it simply because they have authority in the name of a gun in the force. Karma is a bitch n you have kids too. You are not above the law; you will pay through your generations n I hope the pain is x100.
    RIP Denzel🙏🏽

  • @shalomjosh109
    @shalomjosh109 2 месяца назад

    My heart felt condolences to everyone family members and friends may God give the family strength we don't this government atall

  • @antho-e4h
    @antho-e4h 2 месяца назад +1

    ruto was taught by moi how to deal with dissent. only that we are in a different moment in history.

  • @SilibwaHaggai
    @SilibwaHaggai 2 месяца назад

    God is fighting for his people na ukweli utajulikana very soon

  • @MishaOkondo
    @MishaOkondo 2 месяца назад

    Hi serikali hatuiellewi jamani wanaua watoto nani atakonboa Kenya Genzs wakiwawa please stop killing them🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🙏🙏🙏

  • @kevinwendo1718
    @kevinwendo1718 2 месяца назад +6

    System ya majambasi

  • @Lucie-o7y
    @Lucie-o7y 2 месяца назад +1

    Its so heartbreaking

  • @jamesnganga6387
    @jamesnganga6387 2 месяца назад +2

    hakuna kujitoa uhai sisi si wajinga dunia ina mambo nawenye kuumua wanaona news but hii dunia ni mzunguko ipo siku na malipo ni hapa hapa duniani🙏

  • @Hellisreall-g8o
    @Hellisreall-g8o 2 месяца назад +1

    Halafu Ruto anataka vijana dialogue.
    Dialogue for killing or dialogue for what?
    Nkt.
    Ruto must go

  • @PamelaMungala
    @PamelaMungala 2 месяца назад +6

    Baba unasikia haya???
    Let the

  • @anointedhandmaiden5261
    @anointedhandmaiden5261 2 месяца назад +3

    This is really sad. I said these little ones not to engage in this maandamano.They called me coward.This will always result to death of our finest .condolences to the family 😢😢

  • @LevinaMiteo
    @LevinaMiteo 2 месяца назад

    Kenya inatisha sasa mmmh poleni majilan huyu ruto ni jinamizi😢😢

  • @upendoeliya9329
    @upendoeliya9329 2 месяца назад

    Haya ndiyo matokeo ya kushindana na Serikali😮. Na bado 😮

  • @kimanzipeter6119
    @kimanzipeter6119 2 месяца назад

    Mtajuwa Kenya ikona wenyewe,, then wale mlinia x space,, mkafanya meeting huko,, ukamtusi raisi,,, na mlisema majina yenyu na mahali mnatoka,,, mnakujiwa tu,,, hii Kenya ni ya mwenye nguvu mpishe, mnyonge Hana haki

  • @DaisyChitayi
    @DaisyChitayi 2 месяца назад +4

    Ruto ni mnyama kabisa

  • @godwincollins8900
    @godwincollins8900 2 месяца назад +5

    How does ruto sleep at night?

    • @mayaspanic221
      @mayaspanic221 2 месяца назад +1

      I've been asking myself that question too. I hear this people buy majinis from arab countries za kuwa protect. But God is alpha and omega.

    • @lucafrica123
      @lucafrica123 2 месяца назад +2

      By how he addressed the nation after the youths entered parliament do you think he is remorseful? Hana utu. I compare him to Netanyahu

  • @estakapufi7582
    @estakapufi7582 2 месяца назад

    Sio kweli bwana yani ajiuwe mwenyewe hakunaga mauwaji yanayofanyika na polisi eti wakakubali wao wameuwa.

  • @jackieshamim3162
    @jackieshamim3162 2 месяца назад

    Haki ruto.hi damu itakufuta na kizazi chako chote.alafu mnakuja kwa media kudanganya watu.ruto must go.mungu awageuze mkuwe jiwe

  • @ImmaculateKutto-n2c
    @ImmaculateKutto-n2c 2 месяца назад

    Msharaha wa Dhambi ni mauti😢Asiyesikia la mkuu vujika..nguu,Mwenda tesi na Omo Marejeo ni ghamani😢poleni snaa....tafadhali msirudie tna kufanyia rais Demonstration hdi saa hii imewarudia kuwa kilio 😢nheri usikie kitu na ukae nkama haujasikia kuliko kuwenda mandamano,

  • @stellakissinga3857
    @stellakissinga3857 2 месяца назад

    Ruto ni muuwaji..
    He must go

  • @JoramXbbg
    @JoramXbbg 2 месяца назад

    All ways justice wapi utaona justice hii kenya

  • @margaretwanjiku5973
    @margaretwanjiku5973 2 месяца назад

    Serekali bona munaua watoto wetu simtuue sisi,ata kuna mwingine alitupwa kwa mto na DCI akiwa kwa gunia mguu pekee diyo ilikuwa kwa maji huko Murang'a mwanafunzi wa university surely

  • @EdwardOkemba
    @EdwardOkemba 2 месяца назад

    Denzel acheni ukorofi acheni kushindana na serikali sasa umevuna ulichokipanda na elimu imeenda bure joluo nogo ngero niya jowi mager emichuogo piene.

  • @JoshuaShole-wl2zm
    @JoshuaShole-wl2zm 2 месяца назад

    Yuko Mungu binguni aki ipo siku waovu wote watalipia

  • @AgnethaKapinga
    @AgnethaKapinga 2 месяца назад

    Jamani dunian wawili wawili amefanana na magufuli

  • @MeshackManut
    @MeshackManut 2 месяца назад

    Endeleeni kuwa maana mikono yenu imejaa DAMU ZA WATU

  • @mkutanocarolyne
    @mkutanocarolyne 2 месяца назад +1

    Mikundu yao asikari wote wanao subiri mtu asena kua huyo kijana alitekwa.

  • @ashameyomfatma347
    @ashameyomfatma347 2 месяца назад

    Na tena bado ndio wanafanya handshake na breakfast za gharama and then " we'll have a dialogue with gens z " pumbavu

  • @suzy1926
    @suzy1926 2 месяца назад +2

    U bring in police from uganda....utaenda huko ukaishi na mseveni....n ur asking 4 dialogue the irony!!!!bring back the blood of the young pple we lost then we can dialogue

  • @Dama-sm5mc
    @Dama-sm5mc 2 месяца назад

    Rafiki ya ruto mlmkubea akiwa kijana alikuwa sunkuli,na je mnamtambua sunkuli ni nani,jitongo alifungua roho akawaambia na hamkusikia.

  • @FelixOchieng-ue6cn
    @FelixOchieng-ue6cn 2 месяца назад +2

    Hyo ni uongo, mbona inaitwa sirikali,,.....

  • @trusilangolo9032
    @trusilangolo9032 2 месяца назад +10

    How come mostly ni wajaluo wanauwawa

    • @alextercisio
      @alextercisio 2 месяца назад +1

      Bcoz they are the one mostly in protest

    • @kkmz11
      @kkmz11 2 месяца назад +1

      Don't do that bro. Usisahau Githurai vile waliua watu na mpaka sahii mwili wameficha.

    • @gulftranspoters1762
      @gulftranspoters1762 2 месяца назад

      ​@@alextercisiowewe ni mbwa sana usherehekea ama wewe ndie unawauwa?

    • @alextercisio
      @alextercisio 2 месяца назад

      @@gulftranspoters1762 maskini hanaga lolote kwa mdomo ila matusi to relief his anger and life bitterness

  • @roselynekwamboka6869
    @roselynekwamboka6869 2 месяца назад

    Na alifikaje huko mbali serikali iache huo mchezo coz everyone seen there saa hizi hayuko ,hawa ni wauaji wa serikali

  • @babapeshy9016
    @babapeshy9016 2 месяца назад +2

    This is very sad😢

  • @pamelampeyi3004
    @pamelampeyi3004 2 месяца назад

    No no serikali inauwa watu sio maji lala Kenya mnamalisa watoto watoto mbona munauwa watu kama kuku na umli hizo nyama

  • @hannahndungu211
    @hannahndungu211 2 месяца назад +4

    Woooi God is watching all this he was killed ama alijiua

  • @GusiiActionFilmsPlus
    @GusiiActionFilmsPlus 2 месяца назад +1

    Daaaaaaaah

  • @williamomondi5800
    @williamomondi5800 2 месяца назад

    Polisi na wao walaaniwe... uchunguzi hautakuwa na matokeo tarajiwa. Haswa kiini cha kufa kwake

  • @marthaochieng1340
    @marthaochieng1340 2 месяца назад +1

    Nani kuchunguza simu yake?

  • @MariamNancha
    @MariamNancha 2 месяца назад

    Hakuenda huko mwenyewe. Serikali iwajibike ni mtoto wa mtu huyo

  • @anitamusyoka
    @anitamusyoka 2 месяца назад

    Worry not tuko karibu kupandisha bendera ya taifa nusu

  • @samuelbekko7644
    @samuelbekko7644 2 месяца назад +2

    So Sad !

  • @nanyonyancha8535
    @nanyonyancha8535 2 месяца назад

    Safricom knows everything

  • @nalyas.wasike586
    @nalyas.wasike586 2 месяца назад

    God protect our children

  • @irinemugambi2048
    @irinemugambi2048 2 месяца назад

    Sasa mnataka kusema juu alienda mbunge ndio maana amekufa,tungojeeni matekeo Kwanza,we should not jump into concrution

  • @carendeborah5687
    @carendeborah5687 2 месяца назад

    Askari wanaua na kutupa watu kwa maji,,hii ni uongo...the government is evil

  • @stellamarburger5239
    @stellamarburger5239 2 месяца назад +1

    😭😭😭😭Why! why killing young souls ,Ruto Government is just rubbish

  • @Director-r9h
    @Director-r9h 2 месяца назад

    Rutto said it clearly that whoever was there will not make it

  • @fredkimani7069
    @fredkimani7069 2 месяца назад +3

    Akuna dialogue

  • @kimanzipeter6119
    @kimanzipeter6119 2 месяца назад

    Na baado,, wale walingia Kwa bunge watamalizwa wote

  • @nasinyamaatassi9540
    @nasinyamaatassi9540 2 месяца назад

    Police are the killers and then how do we expect them to investigate themselves? Hi Kenya ni Mungu tuntunaachia raia. May Denzels soul rest in eternal peace. Condolences to his family and friends 🙏🏾🥲

  • @starlife3550
    @starlife3550 2 месяца назад +6

    Wanaua tuu watu wa Baba

    • @releiabby6201
      @releiabby6201 2 месяца назад

      Yaa... kwanza wanakaa wanatafuta tu wale wanakaa sharp. Sooo so painful aki. Just wondering what they've gained now. Hii dunia iishe tu

    • @Patoh254Somie
      @Patoh254Somie 2 месяца назад +2

      So majina ya Os ndizo za baba amh? Stop being tribal we also voted for raila

    • @erickanyugo3253
      @erickanyugo3253 2 месяца назад +1

      Acha umalaya mbwa hii. Saa hii we are united as all Kenyans against a common enemy.

    • @releiabby6201
      @releiabby6201 2 месяца назад

      @@erickanyugo3253 sasa matusi ni ya nini. Is your head Ok?