Kitendawili cha kifo tata cha Denzel Omondi
HTML-код
- Опубликовано: 6 окт 2024
- Mwanafunzi Wa Chuo Kikuu Aliyetoweka Siku Chache Baada Ya Kushiriki Maandamano Ya Kupinga Serikali. Ukaguzi Wa Maiti Ukibaini Kuwa Denzel Onyango Omondi Alifariki Kwa Kufa Maji. Sasa Jamaa Za Marehemu Denzel Aliyenakiliwa Kwenye Video Akiwa Ndani Ya Majengo Ya Bunge Inapinga Ripoti Kuwa Alijitoa Uhai. Franklin Walla Na Taarifa Hii Kwa Kina
Hata mimi napinga hayo matokeo, serkali iache kuuwa vijana wetu, it hurts😭
Safaricom should not give right to police to track Genz's they should protect their privacy because at this time government is oppressive to everyone God will stop the killers at a point now than ever before.
Ulikuwa uko
Ruto government is very bad ,huyu Ruto atatu maliza 😢 brothers and sisters you have to be very careful RUTO MUST GO
Woooiii! Woooiii! Hapana! This is too much. Ruto utamaliza watoto tutabaki na nani?😭😭😭kataza police kuua watoto ama tutawasha hii nchi moto😁😁😁
Safaricom should not give right to police to track Genz's they should protect their privacy because at this time government is oppressive to everyone God will stop the killers at a point now than ever before.
Kwn ni rutto ndio alimtuma aende akafanye mandamano 🤗stly-up alah! Tafadhali mkuwe na heshima kwa rais 🙏nkama ingekuwa raila na hicho kitendo ifanyike mngema tna ni raila ndio alimua tumieni akili vizuri 🧠kenye inafaa ss tufanye tukiwa wazazi tujaribu kuongelesha wtto wtu kwa njia inayo...faa tuwakaze mambo ya mandamano si mzuri wajitenge nao kbz🤗hebu ona ss hasara kubwa yenye mandamano imeleta 😢haya wako wpi hao viongozi wenye walindanganya wtto wtu hdi wakaenda kufanya mandamano wako wpi? Kila mtu akae chini nkujiuliza ni kwnn🤔suuluisho si mandamano ni kukaa kitako na kujandiliana kwakinagaumbaga 👂✍️vote no or yes period!
Kama watoto wenu wanafanya funjo zisiso na mahana yoyote
@@ندىالعمري-ط7ي venye unaongea wewe si mzazi.. unakaa muuaji or something else
Imagine, uchungu wenye mzazi anasikia,damu ya innocent souls isilale😢😢😢😢😢,may you never know peace
Serikali acha kuua watoto wetu
Kabisaaaaaaa huyu kijana awezi kua alijiua noooo
Parliament is a no go zone eleweni sheria
Kwani wanyama Dio ukaa mbunge?@@WillisAli
Mtajua hamjui
@@WillisAli stop nonsense what threat was the young boy.. those who rule by the gun will go by the same 😢
Yet someone has the audacity to call for dialogue after this? Nonsense
IMAGINE.
Raila ni mtu mjinga sana
Sai hatumtabui asubiri bahati another time not now and he should stay away from gene z@@Ikayo76
Safaricom should not give right to police to track Genz's they should protect their privacy because at this time government is oppressive to everyone God will stop the killers at a point now than ever before.
This is the dialogue Ruto wants with the genz, then he marks them one by one for elimination!
Whose killing gen z and why,so bunge is so important than lives?
Safaricom should not give right to police to track Genz's they should protect their privacy because at this time government is oppressive to everyone God will stop the killers at a point now than ever before.
And now Ruto Lies to us there will be never extra judicial killing...who is this Man😢
He said he's a Christian..
Compare him to the drunk one.. and filling the gap
Safaricom should not give right to police to track Genz's they should protect their privacy because at this time government is oppressive to everyone God will stop the killers at a point now than ever before.
We shall not FORGET!😢😢😢
If he survives till 2027, we shall vote him out.
@@malengachipukizi6770 TRUE🙌
@@malengachipukizi6770 TRUE🙌
Safaricom gave out their details..... Safaricom shall pay too
😭😭😭😭😭😭
😢😢so sad
Na wanasema we need dialogue such nonsense this politicians are murderers 😢
What nonsense at dialogue after such killing
Safaricom should not give right to police to track Genz's they should protect their privacy because at this time government is oppressive to everyone God will stop the killers at a point now than ever before.
Safaricom be ready
Safaricom should not give right to police to track Genz's they should protect their privacy because at this time government is oppressive to everyone God will stop the killers at a point now than ever before.
Tuta occupy Safaricom
Ruto mzee mkongwe anawaua watoto wadogo wa rika ya wajuku wake kwa sababu ya kuambiwa ukweli. ipo siku.
Ipo siku very soon walai atalipia haya machungu 😢
@@janekamau7169wacha kuota kaa om ukuwe safe
Justice for Denzel.
Ruto Must Go!!!
Ruto must go.. period
You want to before him I see
Watu wanauliwa sana.sahii.since protest
@@BMboss108 sanaaa bro🤔
Ruto Must Go
If they picked ksl leader alone with no trace. The police know that it cant be traced
😭😭😭I support when Gen z said. Justice b4 so call dialogue. This too much
Mungu amueke pema peponi
GenZ go go go, this kind of leadership should not exist. Inquiry Inquiry and always Inquiry.
Mbona wanauwa watoi WA wenyewe , those doing tat u will cursed😭😭☝️
Mungu atawalipa mbwa nyinyi mnauwa watu wanao teteya taifa lake 😢😢
So sad uyo aliuuliwa nawaliomuua watakufa iko cku
Safaricom should not give right to police to track Genz's they should protect their privacy because at this time government is oppressive to everyone God will stop the killers at a point now than ever before.
Alafu mnasema Ogolla's death was an accident. Enzi za moi ndizo hizi
Ogola kafariki dunia baada ya mwezi mitatu baasi kaleta budget hivyo alijua ndyo maana kamuua
Niko pmoja na wewe😢 zakayo muuwaji tu😢😢😢
Rest in Peace Denzel. May your killers never know Peace
Kanu regime is back in dark age's may he rest in peace
Safaricom should not give right to police to track Genz's they should protect their privacy because at this time government is oppressive to everyone God will stop the killers at a point now than ever before.
ruto must go
Ruto atakufa hivi karibuni, tutapiga sherehe ata shetani atoroke
😂😂😂😂
Ama afurahi amepata mtu wake
Ameen👏
😂😂😂😂ama kucheka pia watanikujia 😂😂😂😂 early Xmas
Parliament is a suicide
This killings of innocent blood is too Much,Oooh God Alot of blood is crying for justice,Lord Have mercy on our children, comfort the parents.
Wooi so painful to loose a young energetic soul in unclear circumstances.
Alikufa maji juu walimtupa ndani akufe huko, mtu ka mimi sijui kuogelea wakinirusha huko c n kifo tu, mkono wa serikali kumaliza watoto ya watu, 😢
The man who cries for uhuru Kenyatta akimwambia achane na watoto wake amekuwa gaidi ama hawa wetu ni wanyama fanya kila kitu but have this in mind we pia siku moja utakufa
Ruto anataka kinuke na kutanuka
RIP bro imetuumiza kama familia
Poleni please tafuteni internationals to investigate. Heri Genz tuchange coz Kenya no justice
Franklin Wala and David Muthoka sauti zenu ni nzuri muno muno.
Baba don't sanitais this Killings by working with Ruto.
Do we need a dialogue to stop extra judicial killing??? what's the meaning of this dialogue .......to get more lies and abnormal promises that we have heard over decades?. Why should we waste time on listening to their lies. our promise basket is already full and cant take more. We simply need action and accountability.
Polisi waliuwa ama hawa wenye walitolewa uganda na ruto ndo waliua wanaua waandamanaji wote vijana wasichana saa hii hatuwaoni wote waliofika bungeni yaani serikali imeamua kutunyonga kutunyonga haiwezekani mtu ajirushe kwa maji kwa sababu gani😢
May the spirit.....find justice..never rest in peace
Serikali dio walimhua lakini mungu anaona pia wacha Ruto hajue kuwa nimungu anampunish kwa hile bibilia aliyebeba kwa kuwapa kuwa hatawafanyia wa Kenya wezake kazi
Aarrghh thts not acceptable....The Extra judicial killings are now seen
Zakayo shuka Wacha Kenyans enjoying their country
Why is raila with ruto now?
I was a little bit hesitant supporting Gen z but from today news that Governor of kiambu Wamatangi has been frustrating lnvestors to a tune of 33 million dollars for kickback for approvals of plans projects in Tatu City this people were to employ thousands of youth lncluding the call centre that Ruto keep on saying.
It's time for change for Kenya l fully support Genz movement.
That is a lie. I am from Kiambu and too. Wamatangi is being fought for refusing to allow Politicians from being allocated the Delmonte Farm.
@@eliudkim1713 not dilomomte the approvals every country coun ty is supposed to be lnvestors friendly why should there take months not one lnvestors 18 months.
He is demanding a land worth billions of money at Tatu city... Ati to build the governors residence...wamatangi ni jambazi Sana...
@@shiqowb5450 he want kick backs 4 billion and thousands of jobs lost one company call centre was to employ 5000 Kenyans.
Another fallen hero 😭😭 Pole sana Denzel's family. Those murdering these harmless children repent, to save your generation..RIP Denzel
I revisit this comment 2 months later, and i tell you, he was not a hero, he died for a futile course. As he is 6 feet under, people need to understand there is no place for heroes.
walienda kumnyonga kwa maji 😢
Yup, they drowned him
Dear Kenyan police, please respect life.Its very painful to bring up a child to that level and then someone takes it simply because they have authority in the name of a gun in the force. Karma is a bitch n you have kids too. You are not above the law; you will pay through your generations n I hope the pain is x100.
RIP Denzel🙏🏽
My heart felt condolences to everyone family members and friends may God give the family strength we don't this government atall
ruto was taught by moi how to deal with dissent. only that we are in a different moment in history.
God is fighting for his people na ukweli utajulikana very soon
Hi serikali hatuiellewi jamani wanaua watoto nani atakonboa Kenya Genzs wakiwawa please stop killing them🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🙏🙏🙏
System ya majambasi
Its so heartbreaking
hakuna kujitoa uhai sisi si wajinga dunia ina mambo nawenye kuumua wanaona news but hii dunia ni mzunguko ipo siku na malipo ni hapa hapa duniani🙏
Halafu Ruto anataka vijana dialogue.
Dialogue for killing or dialogue for what?
Nkt.
Ruto must go
Baba unasikia haya???
Let the
This is really sad. I said these little ones not to engage in this maandamano.They called me coward.This will always result to death of our finest .condolences to the family 😢😢
Kenya inatisha sasa mmmh poleni majilan huyu ruto ni jinamizi😢😢
Haya ndiyo matokeo ya kushindana na Serikali😮. Na bado 😮
Mtajuwa Kenya ikona wenyewe,, then wale mlinia x space,, mkafanya meeting huko,, ukamtusi raisi,,, na mlisema majina yenyu na mahali mnatoka,,, mnakujiwa tu,,, hii Kenya ni ya mwenye nguvu mpishe, mnyonge Hana haki
Ruto ni mnyama kabisa
How does ruto sleep at night?
I've been asking myself that question too. I hear this people buy majinis from arab countries za kuwa protect. But God is alpha and omega.
By how he addressed the nation after the youths entered parliament do you think he is remorseful? Hana utu. I compare him to Netanyahu
Sio kweli bwana yani ajiuwe mwenyewe hakunaga mauwaji yanayofanyika na polisi eti wakakubali wao wameuwa.
Haki ruto.hi damu itakufuta na kizazi chako chote.alafu mnakuja kwa media kudanganya watu.ruto must go.mungu awageuze mkuwe jiwe
Msharaha wa Dhambi ni mauti😢Asiyesikia la mkuu vujika..nguu,Mwenda tesi na Omo Marejeo ni ghamani😢poleni snaa....tafadhali msirudie tna kufanyia rais Demonstration hdi saa hii imewarudia kuwa kilio 😢nheri usikie kitu na ukae nkama haujasikia kuliko kuwenda mandamano,
Ruto ni muuwaji..
He must go
All ways justice wapi utaona justice hii kenya
Serekali bona munaua watoto wetu simtuue sisi,ata kuna mwingine alitupwa kwa mto na DCI akiwa kwa gunia mguu pekee diyo ilikuwa kwa maji huko Murang'a mwanafunzi wa university surely
Denzel acheni ukorofi acheni kushindana na serikali sasa umevuna ulichokipanda na elimu imeenda bure joluo nogo ngero niya jowi mager emichuogo piene.
Yuko Mungu binguni aki ipo siku waovu wote watalipia
Jamani dunian wawili wawili amefanana na magufuli
Endeleeni kuwa maana mikono yenu imejaa DAMU ZA WATU
Mikundu yao asikari wote wanao subiri mtu asena kua huyo kijana alitekwa.
Na tena bado ndio wanafanya handshake na breakfast za gharama and then " we'll have a dialogue with gens z " pumbavu
U bring in police from uganda....utaenda huko ukaishi na mseveni....n ur asking 4 dialogue the irony!!!!bring back the blood of the young pple we lost then we can dialogue
Rafiki ya ruto mlmkubea akiwa kijana alikuwa sunkuli,na je mnamtambua sunkuli ni nani,jitongo alifungua roho akawaambia na hamkusikia.
Hyo ni uongo, mbona inaitwa sirikali,,.....
How come mostly ni wajaluo wanauwawa
Bcoz they are the one mostly in protest
Don't do that bro. Usisahau Githurai vile waliua watu na mpaka sahii mwili wameficha.
@@alextercisiowewe ni mbwa sana usherehekea ama wewe ndie unawauwa?
@@gulftranspoters1762 maskini hanaga lolote kwa mdomo ila matusi to relief his anger and life bitterness
Na alifikaje huko mbali serikali iache huo mchezo coz everyone seen there saa hizi hayuko ,hawa ni wauaji wa serikali
This is very sad😢
No no serikali inauwa watu sio maji lala Kenya mnamalisa watoto watoto mbona munauwa watu kama kuku na umli hizo nyama
Woooi God is watching all this he was killed ama alijiua
Daaaaaaaah
Polisi na wao walaaniwe... uchunguzi hautakuwa na matokeo tarajiwa. Haswa kiini cha kufa kwake
Nani kuchunguza simu yake?
Hakuenda huko mwenyewe. Serikali iwajibike ni mtoto wa mtu huyo
Worry not tuko karibu kupandisha bendera ya taifa nusu
So Sad !
Safricom knows everything
God protect our children
Sasa mnataka kusema juu alienda mbunge ndio maana amekufa,tungojeeni matekeo Kwanza,we should not jump into concrution
Askari wanaua na kutupa watu kwa maji,,hii ni uongo...the government is evil
😭😭😭😭Why! why killing young souls ,Ruto Government is just rubbish
Rutto said it clearly that whoever was there will not make it
Akuna dialogue
Na baado,, wale walingia Kwa bunge watamalizwa wote
Police are the killers and then how do we expect them to investigate themselves? Hi Kenya ni Mungu tuntunaachia raia. May Denzels soul rest in eternal peace. Condolences to his family and friends 🙏🏾🥲
Wanaua tuu watu wa Baba
Yaa... kwanza wanakaa wanatafuta tu wale wanakaa sharp. Sooo so painful aki. Just wondering what they've gained now. Hii dunia iishe tu
So majina ya Os ndizo za baba amh? Stop being tribal we also voted for raila
Acha umalaya mbwa hii. Saa hii we are united as all Kenyans against a common enemy.
@@erickanyugo3253 sasa matusi ni ya nini. Is your head Ok?