LOVE BITE 《11》
HTML-код
- Опубликовано: 27 сен 2024
- SUBSCRIBE BONCENA GOT TALENT
FOLLOW US IN
+255659096471
FACEBOOK; / angess.nsyengula
INSTARGRAM;www.instagram....
TIKTOK ; / boncena_gottalent
YOUYUBE ; / @boncenagottalentfaceb...
OR BONCENA GOT TALENT
INSTAGRAM; BONCENA_TZ
IIKTOK ;BONCENA_TZ
Happy ndio staa mpya ajae chukua maua yako🎉🎉🎉
Leo nimekuwa wakwa kama unamkubal luta man goga like hpo mwanet tumupe saport
Jaman kisema ukwel me wa tan naomba like kam namba nilio shika from USA MALEKAN
Mwapenda kuangalia movie na hamjui kulike shenzi mimi
Wa kwanza toka Congo 🇨🇩 ni mimi APA
Luther man im your fans from turkey ❤mungu azidi kukuinua juu zaid 🎉kazi nzuri sana yenye mafunzo be blessed man
Wakwanza kutoka Congo 🇨🇩 nipeni like zangu
Lutha mtaalamu wa hizi kazi movie ndefu zinatoka kwa wakati
Wa pili kwa kwakumkubali kutaman sita likes ata moja ,kutokea kwao ya moïse katumbi 🇨🇩
Congo niya moise katumbu ama kisekedi
@@OBEDI860 je dis bien katumbi
Nipo live jamani nasubir LOVE BITE ❤❤❤ mh nipeni japo 5 leo maana mko fasta
wa kwanza toka congo DR nipeni like zangu
wakwanza leo❤❤❤❤❤❤❤
Tatizo umu, kuliko ku comment na like kuusu movies hii ,watu wana omba like zao kama wao njo wenye movies.
Wana washwa sijui like za nini wana nikwaza atali
Sasa kama si hawa mashabiki zake kazi yake ingepaa au ndo hvyooo unaongea....Mashabiki ndo nguvu yake Ruta Wana Man 😊😊😊 Nipeni like hata 1000000 na mm
Jaman mm naomba mlike movie ifike like m1 tuachane na mm nimekuwa wakanza
Let us do critique Kwa hii movie
😂😂😂😂
Wa kwanza mm jamn nipen like zang🎉🎉
Fukuzeni kunguru apo mkutanoni😂😂😂 🙌 # mima ati we mwnyw watafutwa 😅😅😅...team ruta mpo vizuri 🎉🎉🎉
Kwann hivi videmu vishakunkupe avibebagi mimba kirahisi muone huyu ummy na kipepeo 😂😂 afu rutaman mara ya mwisho nakumbuka alilala na boss wake imeishia wapi au ata yeye ana mimba😂
Nice job kaka luta man one love am from Saudi Arabia 🇸🇦🇸🇦
Saudia waongeya Kiswahili 🙄
Wa kwanza kutoka Congo goma nipe like zangu asheni ushoyo🇨🇩🇨🇩🇨🇩 ruta
Top 50 from Kenya. Show your love
Leo mi wa kwanza like zangu
Mnaotakataka like wote nyoko zenu, tunataka kusikia maoni, hizo like mkachukue kwa mama zenu, nyoko kweli nyie
❤
Hii movie ni tam mpka nacheka mwnyew,aky nikianglia kipepeo balaa😂😂😂😂😂😂😂😂😂 huku kun mima anamzibua mwnzke mikofi😂😂😂😂😂😂😂😂😂.luta umeweza.❤❤❤❤❤❤
Wakwanza mimi😂
Wee boncena wee yani watu watiana mimba humu kasoro kipepeo ni mjanja hajatiwa mimba😂😂😂
Miondoko ni ya mimba tu humu!😂😂
@@aishaomar2287 alafu luta man ndie mlezi wa mimba zote bado hapy na yy ajiunge kwa luta
@@coolbz133 🤣🤣🤣 umenicheza ww
@@aishaomar2287 luta amekua kiokote akionacho njia abeba😅😅
@@coolbz133 pengine ni ile pete,umesahau?😅
Duuuu Ila Latifa mtt ana bab watatu so pw
Hayo ndio mambo sasa
Jamani hii muvie inafindisha vit vingi San wazeee good sana💪💪
Mama mkwe wote wangekuwa hivi tungejidai sana.
Kipepeo my love❤
Wa kwanza sisi hapa
Vip mani ? Nipeni like hapo mani mimi natoka Burundi🇧🇮🇧🇮
Naomba like zangu jamani mimi wa kwanza kutoka congo 🇨🇩🇨🇩🇹🇿🇹🇿
Kazi safi nzuri sana next plz 🎉🎉❤
Kazi nzuri sana wapendwa..❤
Huyo mimmaha kama ni nywele zake bas NZURI mashaallah
Maisha nikama gwaride uki sema nyuma geuka basi wamwisho ata kuwa wa kwanza 🇨🇩
Yaan huyu mimah jmniiii mm ananifurahisha so kwa kumvizia hko mwenzie na kumpa mibao 😂😂😂
Wakwanza mie jamani nipeni like zangu
Mm mteso wakwanza 🥹😁😁😁😁
Ruta man is so much talented , mungu akupe maisha marefu Zaid mtaalam
luta unatuchelewesha sana mpaka tunaanza kukusaau sasa na kujikuta tuna amiya kwa chumvi nyingi sasa
Jaman na venye anawahisha!
Huyu sijui ndio mima dah nmempenda buree kanifanya nirudie kipande chake mara4 maana sio kwa kuporomosha maneno hvyo😅😅😅😅😅😅
Baissa nenda kamsaidie gumbwa kutafuta mwanamke mwenye mimba yako
Baissa mwenyewe ndio huyosasa
Kazi inazidi kuwa nzuri sana ,kaka
Luta man unauziwa kesi ambayo sio yako huyo mima kama sio hawara yako humo ndani anakaa kufanya nini mima atamuzuru huyo tifa
Nimeilewa iyo
Movie nzuri sana 🎉😢😮😅😊
Nakubali sana man kiukweli mmetisha
Ivi nyie hizo like huwa mnazifanyia nn mnatuchosha sana
Léo nipeni ata tano from Moçambique
Toutes mes félicitations à vous Les grandes familles wede leye na kazi djema
Wow ya leo kal wallah 😂😂😂ila mima ww aki noma san aisei
Ongera Luta man kwa kaz nzur
Miye wa Congo DRC🇨🇩🇨🇩 ata kumi tu
Luta man nifundi Sana mungu amjalie ampeakili yakutunga movie
😂😂😂😂mtoto unajoto man
Ruta nae kaingia mkenge mimba ya wanaume watatu😀😀😀😀😀😀 nawakubali sana tm boncena
Ila luta man😂😂😂😂😂joto khaaa 😂😂😂😂
😂😂😂mima jamani hatakama niwivu basi hiyo yako zaidi na nusu dada ❤❤
Wa mwisho leo
❤❤❤❤❤ congratulations 👏👏👏👏🎉🎉
Jaman like zenu leo nimekuwa the first
Daa kipepeo ni moto daa ananichekesha hhhhhhhh
Luta man nakukubali sana man
Gonga like man kama unamkubali luta man
Mama g, uko vzur.
Mm ni wa mwisho lkn staki like zenu,nawapenda nyote ruta man na wenzako
Wakwanza ku like Nipeni like zangu
Hongereni 🎉ila wanaomtafuta ratifa pole Yao utafutaji gani huo bila hata picha🤣🤣🤣
Wakwanza leo nipeni like
Una pepo Yako peponi
❤mima mani
Jamani mima 33:37 lakini ruta hata😂 lativah anakudanganya 😢😢😢😢😢 mima mima
Ruta man ❤❤❤❤😂😂😂😂
Kaz Kaz . Sema mnachelewesha mambo
Like za luta man kutokea 🇷🇺 Russia
Wewe kipepeo angekuwa mdogowako happy halafu kumtowa kwa mwanaume ambaye amechaguwa mwenyewe leo umpeleke kwa mtu asiyekuwa chaguo lake wewe kuweza
Big up Ruta man🎉🎉🎉
Mimi nauliza tu pete iko wapi mbona sioni upande wa Pete ukitumika tena
Movie nzuri sanaa Luta unaweza...lkn gumbwa ki ukwel kwa kuigiza bado aongeze bidii
Nice
Boncena asante kwa kuarakisha
Wenzako walalama eti anachelewesha😮
Kaka apo kwenye kulala na dada yako kitanda kimoja ume boronga kabisaa unawezaje kulala na mkewako na dada yako kitanda kimoja 😅😅😅😅😅
Hiyo ipo,inatokeaga man life likigoma
Nakukubali ruta man
Ummy kwaumbea nakukubali 😂😂😂😂😂
Huyu Mima ananipamba sana unaweza sema ni mtu mpole mchokozi mno hi 5🤜 kutoka India.🇮🇳 ❤❤❤❤
Love from DRC 🇨🇩🇨🇩🇿🇦
Apo sasa mama kwanini asiseme happy ahamie kwake
Jamaa katuxha xana,tuwe pamoja mwanzo mwixho😅
😂😂😂😂😂😂😂 mimaa kavurugwa kweli kweli
Sasa nyote mnasema wakwana sasa wakwanza Nani maana sierewi aya nammi wakwanza napeni ata Tano tu
Nashangaa sana😮
Nipeni like zangu wakwanza
Hiz like mnafanyia nn kwa kweli
Mmmhhh ama kwakweli mimba itazaliwa kisha kukutana na wa baba wa sita ila ukweli wote aujuwae ni mwenye nayo 🤣
Mama anamtafuta mtoto wake na rafiki yake mtoto wake,inamaana mama hana picha ya mtoto wake 😂😂
Pongezi kubwa Kwa kipepeo chukua maua yako🎉
Ruta man kazi yako iko another level,Embu county, Kenya
Kuna muda mtu mbeya anakua na faida sana nimekupenda kipepeo umetisha sana❤❤❤❤❤❤❤❤❤kipepeo nipe namba nikutumie bando
😂🤣🤣
Mimi WA 73 Leo sjachelewa sana manake watu awalali kusubiri hii kitu ,Ili mtu awe wakwanza labda awe na ishi kwenye channel hii alafu wakipost u comment herufi Moja tu😂❤🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Move Tamu sana haiishi utamu
Mima nakuchukia sana
Jamn hiyo mimba ya Ratifa haikuwi kwani had Ruta awe baba tena aaah,hatari,sas si atajifungua mapema kuliko walivyokutana??? Ila iko pow ❤
Am trying to think about happy but hive outside there's someone going true this God changes the situation one day you'll be happy.....
Movie nzur sana good idea but nipende kushauri kweny sauti kidogo inapendez kama ingechujwa vizur ingefaa
Mambo safi lakini msiwe mnachelewa kutuletea episode zinazofuata jamani.