LOVE BITE 《11》

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 сен 2024
  • SUBSCRIBE BONCENA GOT TALENT
    FOLLOW US IN
    +255659096471
    FACEBOOK; / angess.nsyengula
    INSTARGRAM;www.instagram....
    TIKTOK ; / boncena_gottalent
    YOUYUBE ; / @boncenagottalentfaceb...
    OR BONCENA GOT TALENT
    INSTAGRAM; BONCENA_TZ
    IIKTOK ;BONCENA_TZ

Комментарии • 392

  • @hamzaamry6251
    @hamzaamry6251 3 месяца назад +22

    Happy ndio staa mpya ajae chukua maua yako🎉🎉🎉

  • @AjuwaeTz
    @AjuwaeTz 3 месяца назад +50

    Leo nimekuwa wakwa kama unamkubal luta man goga like hpo mwanet tumupe saport

  • @JamesSimkonda-sp5bl
    @JamesSimkonda-sp5bl 3 месяца назад +30

    Jaman kisema ukwel me wa tan naomba like kam namba nilio shika from USA MALEKAN

  • @Zamzamo.
    @Zamzamo. 3 месяца назад +15

    Mwapenda kuangalia movie na hamjui kulike shenzi mimi

  • @Young_Tembo
    @Young_Tembo 3 месяца назад +19

    Wa kwanza toka Congo 🇨🇩 ni mimi APA

  • @NeyPaul-f6u
    @NeyPaul-f6u 3 месяца назад +3

    Luther man im your fans from turkey ❤mungu azidi kukuinua juu zaid 🎉kazi nzuri sana yenye mafunzo be blessed man

  • @GaliGalilee-fs4bc
    @GaliGalilee-fs4bc 3 месяца назад +26

    Wakwanza kutoka Congo 🇨🇩 nipeni like zangu

  • @GreanvilPatrick-np1gg
    @GreanvilPatrick-np1gg 3 месяца назад +5

    Lutha mtaalamu wa hizi kazi movie ndefu zinatoka kwa wakati

  • @user-zadig
    @user-zadig 3 месяца назад +23

    Wa pili kwa kwakumkubali kutaman sita likes ata moja ,kutokea kwao ya moïse katumbi 🇨🇩

    • @OBEDI860
      @OBEDI860 3 месяца назад +1

      Congo niya moise katumbu ama kisekedi

    • @user-zadig
      @user-zadig 3 месяца назад +1

      @@OBEDI860 je dis bien katumbi

  • @sadamuall8249
    @sadamuall8249 3 месяца назад +10

    Nipo live jamani nasubir LOVE BITE ❤❤❤ mh nipeni japo 5 leo maana mko fasta

  • @DieumerciMakya-sn6mf
    @DieumerciMakya-sn6mf 3 месяца назад +11

    wa kwanza toka congo DR nipeni like zangu

  • @mwanasitizuma
    @mwanasitizuma 3 месяца назад +13

    wakwanza leo❤❤❤❤❤❤❤

  • @ndalushabani2859
    @ndalushabani2859 3 месяца назад +67

    Tatizo umu, kuliko ku comment na like kuusu movies hii ,watu wana omba like zao kama wao njo wenye movies.

    • @jumahamisi4660
      @jumahamisi4660 3 месяца назад +4

      Wana washwa sijui like za nini wana nikwaza atali

    • @MaroFredson
      @MaroFredson 3 месяца назад +3

      Sasa kama si hawa mashabiki zake kazi yake ingepaa au ndo hvyooo unaongea....Mashabiki ndo nguvu yake Ruta Wana Man 😊😊😊 Nipeni like hata 1000000 na mm

    • @AncentMarcel
      @AncentMarcel 3 месяца назад +3

      Jaman mm naomba mlike movie ifike like m1 tuachane na mm nimekuwa wakanza

    • @Kaloki-hv7dx
      @Kaloki-hv7dx 3 месяца назад

      Let us do critique Kwa hii movie

    • @josephinethoya
      @josephinethoya 3 месяца назад

      😂😂😂😂

  • @WABOKIZZY256
    @WABOKIZZY256 3 месяца назад +11

    Wa kwanza mm jamn nipen like zang🎉🎉

  • @aishaomar2287
    @aishaomar2287 3 месяца назад +1

    Fukuzeni kunguru apo mkutanoni😂😂😂 🙌 # mima ati we mwnyw watafutwa 😅😅😅...team ruta mpo vizuri 🎉🎉🎉

  • @MigomgoMigali-ky1jl
    @MigomgoMigali-ky1jl 3 месяца назад +2

    Kwann hivi videmu vishakunkupe avibebagi mimba kirahisi muone huyu ummy na kipepeo 😂😂 afu rutaman mara ya mwisho nakumbuka alilala na boss wake imeishia wapi au ata yeye ana mimba😂

  • @MohamedDagila-uh1nd
    @MohamedDagila-uh1nd 3 месяца назад +8

    Nice job kaka luta man one love am from Saudi Arabia 🇸🇦🇸🇦

    • @irakoze3762
      @irakoze3762 3 месяца назад

      Saudia waongeya Kiswahili 🙄

  • @aganzeroger
    @aganzeroger 3 месяца назад +3

    Wa kwanza kutoka Congo goma nipe like zangu asheni ushoyo🇨🇩🇨🇩🇨🇩 ruta

  • @bonfaceandiba3788
    @bonfaceandiba3788 3 месяца назад +11

    Top 50 from Kenya. Show your love

  • @funnymemes4845
    @funnymemes4845 3 месяца назад +8

    Leo mi wa kwanza like zangu

  • @arthurmagwagu7689
    @arthurmagwagu7689 3 месяца назад +3

    Mnaotakataka like wote nyoko zenu, tunataka kusikia maoni, hizo like mkachukue kwa mama zenu, nyoko kweli nyie

  • @RehemaSalim-d3g
    @RehemaSalim-d3g 3 месяца назад +2

    Hii movie ni tam mpka nacheka mwnyew,aky nikianglia kipepeo balaa😂😂😂😂😂😂😂😂😂 huku kun mima anamzibua mwnzke mikofi😂😂😂😂😂😂😂😂😂.luta umeweza.❤❤❤❤❤❤

  • @BénjaminNDIKUMANA-g1g
    @BénjaminNDIKUMANA-g1g 3 месяца назад +7

    Wakwanza mimi😂

  • @coolbz133
    @coolbz133 3 месяца назад +5

    Wee boncena wee yani watu watiana mimba humu kasoro kipepeo ni mjanja hajatiwa mimba😂😂😂

    • @aishaomar2287
      @aishaomar2287 3 месяца назад +2

      Miondoko ni ya mimba tu humu!😂😂

    • @coolbz133
      @coolbz133 3 месяца назад +1

      @@aishaomar2287 alafu luta man ndie mlezi wa mimba zote bado hapy na yy ajiunge kwa luta

    • @aishaomar2287
      @aishaomar2287 3 месяца назад +1

      @@coolbz133 🤣🤣🤣 umenicheza ww

    • @coolbz133
      @coolbz133 3 месяца назад

      @@aishaomar2287 luta amekua kiokote akionacho njia abeba😅😅

    • @aishaomar2287
      @aishaomar2287 3 месяца назад +1

      @@coolbz133 pengine ni ile pete,umesahau?😅

  • @MadingaMadinga-ff7po
    @MadingaMadinga-ff7po 3 месяца назад +5

    Duuuu Ila Latifa mtt ana bab watatu so pw

  • @josephkamage7169
    @josephkamage7169 3 месяца назад +1

    Jamani hii muvie inafindisha vit vingi San wazeee good sana💪💪

  • @WinifridaKisinga
    @WinifridaKisinga 3 месяца назад +3

    Mama mkwe wote wangekuwa hivi tungejidai sana.

  • @AodaxMpogole
    @AodaxMpogole 3 месяца назад +2

    Kipepeo my love❤

  • @abuu_yasir8052
    @abuu_yasir8052 3 месяца назад +5

    Wa kwanza sisi hapa

  • @ButoyiThierryve
    @ButoyiThierryve 3 месяца назад +4

    Vip mani ? Nipeni like hapo mani mimi natoka Burundi🇧🇮🇧🇮

  • @isharaganechi6616
    @isharaganechi6616 3 месяца назад +13

    Naomba like zangu jamani mimi wa kwanza kutoka congo 🇨🇩🇨🇩🇹🇿🇹🇿

  • @BothainaBothaina-k6c
    @BothainaBothaina-k6c 3 месяца назад +2

    Kazi safi nzuri sana next plz 🎉🎉❤

  • @florahsalustian1323
    @florahsalustian1323 3 месяца назад +4

    Kazi nzuri sana wapendwa..❤

  • @AbdulKassim-xc4ob
    @AbdulKassim-xc4ob 3 месяца назад +1

    Huyo mimmaha kama ni nywele zake bas NZURI mashaallah

  • @hachslmhodari7406
    @hachslmhodari7406 3 месяца назад +2

    Maisha nikama gwaride uki sema nyuma geuka basi wamwisho ata kuwa wa kwanza 🇨🇩

  • @MASUNGOFUTTO
    @MASUNGOFUTTO 3 месяца назад +1

    Yaan huyu mimah jmniiii mm ananifurahisha so kwa kumvizia hko mwenzie na kumpa mibao 😂😂😂

  • @I.mkomatz
    @I.mkomatz 3 месяца назад +11

    Wakwanza mie jamani nipeni like zangu

  • @HezzyMaina-sp3yq
    @HezzyMaina-sp3yq 3 месяца назад +5

    Mm mteso wakwanza 🥹😁😁😁😁

  • @allymwashambwa5920
    @allymwashambwa5920 3 месяца назад +14

    Ruta man is so much talented , mungu akupe maisha marefu Zaid mtaalam

  • @mtoto.walufiji
    @mtoto.walufiji 3 месяца назад +3

    luta unatuchelewesha sana mpaka tunaanza kukusaau sasa na kujikuta tuna amiya kwa chumvi nyingi sasa

  • @deeonetheginger7011
    @deeonetheginger7011 3 месяца назад +1

    Huyu sijui ndio mima dah nmempenda buree kanifanya nirudie kipande chake mara4 maana sio kwa kuporomosha maneno hvyo😅😅😅😅😅😅

  • @RashidKidume-w8e
    @RashidKidume-w8e 3 месяца назад +4

    Baissa nenda kamsaidie gumbwa kutafuta mwanamke mwenye mimba yako

    • @RubenZephania
      @RubenZephania 3 месяца назад

      Baissa mwenyewe ndio huyosasa

  • @YoungsHilary-xd2ml
    @YoungsHilary-xd2ml 3 месяца назад +1

    Kazi inazidi kuwa nzuri sana ,kaka

  • @RashidKidume-w8e
    @RashidKidume-w8e 3 месяца назад +4

    Luta man unauziwa kesi ambayo sio yako huyo mima kama sio hawara yako humo ndani anakaa kufanya nini mima atamuzuru huyo tifa

  • @PrinceAmos-y8t
    @PrinceAmos-y8t 3 месяца назад +1

    Movie nzuri sana 🎉😢😮😅😊

  • @KarimRamadhan-x1k
    @KarimRamadhan-x1k 2 месяца назад +1

    Nakubali sana man kiukweli mmetisha

  • @Masanjamasangu-r6v
    @Masanjamasangu-r6v 3 месяца назад +6

    Ivi nyie hizo like huwa mnazifanyia nn mnatuchosha sana

  • @Stogwa
    @Stogwa 3 месяца назад +7

    Léo nipeni ata tano from Moçambique

  • @AaronKabunda-ge4oc
    @AaronKabunda-ge4oc 3 месяца назад

    Toutes mes félicitations à vous Les grandes familles wede leye na kazi djema

  • @ashamwanganzi6400
    @ashamwanganzi6400 3 месяца назад

    Wow ya leo kal wallah 😂😂😂ila mima ww aki noma san aisei

  • @ZuhuraNgubule
    @ZuhuraNgubule 3 месяца назад +1

    Ongera Luta man kwa kaz nzur

  • @PatrickCubakamasirika
    @PatrickCubakamasirika 3 месяца назад +2

    Miye wa Congo DRC🇨🇩🇨🇩 ata kumi tu

  • @FrankHakizimana-rb3zs
    @FrankHakizimana-rb3zs 3 месяца назад

    Luta man nifundi Sana mungu amjalie ampeakili yakutunga movie

  • @rajabkiti896
    @rajabkiti896 3 месяца назад +2

    😂😂😂😂mtoto unajoto man

  • @richardelieza1001
    @richardelieza1001 3 месяца назад

    Ruta nae kaingia mkenge mimba ya wanaume watatu😀😀😀😀😀😀 nawakubali sana tm boncena

  • @Jacklinejohn7
    @Jacklinejohn7 3 месяца назад

    Ila luta man😂😂😂😂😂joto khaaa 😂😂😂😂

  • @AshaMbeyu
    @AshaMbeyu 3 месяца назад

    😂😂😂mima jamani hatakama niwivu basi hiyo yako zaidi na nusu dada ❤❤

  • @AzizaShaban-hf1lu
    @AzizaShaban-hf1lu 3 месяца назад +2

    Wa mwisho leo

  • @ABCD-xu7dx
    @ABCD-xu7dx 3 месяца назад +1

    ❤❤❤❤❤ congratulations 👏👏👏👏🎉🎉

  • @WilliamChisongela
    @WilliamChisongela 3 месяца назад +12

    Jaman like zenu leo nimekuwa the first

  • @MrsMariam-x2s
    @MrsMariam-x2s 3 месяца назад +1

    Daa kipepeo ni moto daa ananichekesha hhhhhhhh

  • @stevenmazinde3497
    @stevenmazinde3497 3 месяца назад +1

    Luta man nakukubali sana man
    Gonga like man kama unamkubali luta man

  • @Kavulajuma5
    @Kavulajuma5 3 месяца назад +1

    Mama g, uko vzur.

  • @clariszawadi2010
    @clariszawadi2010 3 месяца назад +1

    Mm ni wa mwisho lkn staki like zenu,nawapenda nyote ruta man na wenzako

  • @ShabaniNdume-hx1lm
    @ShabaniNdume-hx1lm 3 месяца назад +7

    Wakwanza ku like Nipeni like zangu

  • @Khavanny
    @Khavanny 3 месяца назад

    Hongereni 🎉ila wanaomtafuta ratifa pole Yao utafutaji gani huo bila hata picha🤣🤣🤣

  • @Amani-p5m
    @Amani-p5m 3 месяца назад +11

    Wakwanza leo nipeni like

  • @reginaIssa-m2j
    @reginaIssa-m2j 3 месяца назад

    ❤mima mani

  • @philohmutua2968
    @philohmutua2968 3 месяца назад

    Jamani mima 33:37 lakini ruta hata😂 lativah anakudanganya 😢😢😢😢😢 mima mima

  • @HassandabasoGuyo
    @HassandabasoGuyo 3 месяца назад +1

    Ruta man ❤❤❤❤😂😂😂😂

  • @francisgwido
    @francisgwido 3 месяца назад

    Kaz Kaz . Sema mnachelewesha mambo

  • @gwhitetz
    @gwhitetz 3 месяца назад +2

    Like za luta man kutokea 🇷🇺 Russia

  • @RashidKidume-w8e
    @RashidKidume-w8e 3 месяца назад +1

    Wewe kipepeo angekuwa mdogowako happy halafu kumtowa kwa mwanaume ambaye amechaguwa mwenyewe leo umpeleke kwa mtu asiyekuwa chaguo lake wewe kuweza

  • @abdallaomar9510
    @abdallaomar9510 3 месяца назад

    Big up Ruta man🎉🎉🎉

  • @nyawamwanyingo887
    @nyawamwanyingo887 3 месяца назад

    Mimi nauliza tu pete iko wapi mbona sioni upande wa Pete ukitumika tena

  • @lazarojackson5989
    @lazarojackson5989 3 месяца назад

    Movie nzuri sanaa Luta unaweza...lkn gumbwa ki ukwel kwa kuigiza bado aongeze bidii

  • @AhmedChitema
    @AhmedChitema 3 месяца назад +1

    Nice

  • @Damara-f1s
    @Damara-f1s 3 месяца назад +1

    Boncena asante kwa kuarakisha

    • @aishaomar2287
      @aishaomar2287 3 месяца назад

      Wenzako walalama eti anachelewesha😮

  • @businessaccount1904
    @businessaccount1904 3 месяца назад +1

    Kaka apo kwenye kulala na dada yako kitanda kimoja ume boronga kabisaa unawezaje kulala na mkewako na dada yako kitanda kimoja 😅😅😅😅😅

    • @RubenZephania
      @RubenZephania 3 месяца назад

      Hiyo ipo,inatokeaga man life likigoma

  • @luckylucky7153
    @luckylucky7153 3 месяца назад

    Nakukubali ruta man

  • @AnithaStiven
    @AnithaStiven 3 месяца назад

    Ummy kwaumbea nakukubali 😂😂😂😂😂

  • @Cleo25491
    @Cleo25491 3 месяца назад

    Huyu Mima ananipamba sana unaweza sema ni mtu mpole mchokozi mno hi 5🤜 kutoka India.🇮🇳 ❤❤❤❤

  • @ChristopherLucky-m5h
    @ChristopherLucky-m5h 3 месяца назад

    Love from DRC 🇨🇩🇨🇩🇿🇦

  • @kinjekitilew
    @kinjekitilew 3 месяца назад +1

    Apo sasa mama kwanini asiseme happy ahamie kwake

  • @Omerygunay-yf8sn
    @Omerygunay-yf8sn 3 месяца назад

    Jamaa katuxha xana,tuwe pamoja mwanzo mwixho😅

  • @MiltonBalingum
    @MiltonBalingum 3 месяца назад

    😂😂😂😂😂😂😂 mimaa kavurugwa kweli kweli

  • @ZawadiAmon-ev9uw
    @ZawadiAmon-ev9uw 3 месяца назад +1

    Sasa nyote mnasema wakwana sasa wakwanza Nani maana sierewi aya nammi wakwanza napeni ata Tano tu

  • @jacquesabalaka10
    @jacquesabalaka10 3 месяца назад +4

    Nipeni like zangu wakwanza

  • @jeannettekeza6434
    @jeannettekeza6434 3 месяца назад

    Mmmhhh ama kwakweli mimba itazaliwa kisha kukutana na wa baba wa sita ila ukweli wote aujuwae ni mwenye nayo 🤣

  • @ShafiHamisi-tv3gn
    @ShafiHamisi-tv3gn 3 месяца назад

    Mama anamtafuta mtoto wake na rafiki yake mtoto wake,inamaana mama hana picha ya mtoto wake 😂😂

  • @KingEdward-dn2in
    @KingEdward-dn2in 3 месяца назад

    Pongezi kubwa Kwa kipepeo chukua maua yako🎉

  • @JehruleJaymes
    @JehruleJaymes 3 месяца назад

    Ruta man kazi yako iko another level,Embu county, Kenya

  • @HoseaChanga
    @HoseaChanga 3 месяца назад

    Kuna muda mtu mbeya anakua na faida sana nimekupenda kipepeo umetisha sana❤❤❤❤❤❤❤❤❤kipepeo nipe namba nikutumie bando

  • @Lastbornecadet
    @Lastbornecadet 3 месяца назад +2

    Mimi WA 73 Leo sjachelewa sana manake watu awalali kusubiri hii kitu ,Ili mtu awe wakwanza labda awe na ishi kwenye channel hii alafu wakipost u comment herufi Moja tu😂❤🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @StevenMakanja
    @StevenMakanja Месяц назад +1

    Move Tamu sana haiishi utamu

  • @abuuqamar58
    @abuuqamar58 3 месяца назад +1

    Mima nakuchukia sana

  • @nancygilliad2883
    @nancygilliad2883 3 месяца назад

    Jamn hiyo mimba ya Ratifa haikuwi kwani had Ruta awe baba tena aaah,hatari,sas si atajifungua mapema kuliko walivyokutana??? Ila iko pow ❤

  • @ProtusSikuku-c6s
    @ProtusSikuku-c6s 2 месяца назад

    Am trying to think about happy but hive outside there's someone going true this God changes the situation one day you'll be happy.....

  • @leonardSamora-ud6hy
    @leonardSamora-ud6hy 3 месяца назад

    Movie nzur sana good idea but nipende kushauri kweny sauti kidogo inapendez kama ingechujwa vizur ingefaa

  • @AbdiTuse
    @AbdiTuse 3 месяца назад

    Mambo safi lakini msiwe mnachelewa kutuletea episode zinazofuata jamani.