LOVE BITE 《10》

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 сен 2024
  • SUBSCRIBE BONCENA GOT TALENT
    FOLLOW US IN
    +255659096471
    FACEBOOK; / angess.nsyengula
    INSTARGRAM;www.instagram....
    TIKTOK ; / boncena_gottalent
    YOUYUBE ; / @boncenagottalentfaceb...
    OR BONCENA GOT TALENT
    INSTAGRAM; BONCENA_TZ
    IIKTOK ;BONCENA_TZ

Комментарии • 514

  • @aishaomar2287
    @aishaomar2287 4 месяца назад +57

    Huyo jamaa alomshika gumbwa mkono akitaka kumpiga happy ameupigaje apo 👏 😂😂😂 maneno yake matamu sana 👍... kama unaliona hili gonga like

  • @mmanuelsimbakayeye
    @mmanuelsimbakayeye 3 месяца назад +5

    namuelewa sana happy kwasababu mutu anaeza fanya kilakitu kwa sababu ya mapenzi kwetu DRC nakupenda sana

  • @bernadethayamwaka1365
    @bernadethayamwaka1365 4 месяца назад +33

    Aya sasa tunao yaona maisha ya Baisa yakibadilika kikimlamba tujuane kwa ku like hapa ila uyu baisa anajua❤❤❤❤

  • @user-zadig
    @user-zadig 4 месяца назад +115

    Wakwanza wallahi tokea kwetu DRC 🇨🇩🇨🇩🇨🇩naomba vima likes zangu chez nous lubumbashi

    • @JacksonMutinda-jw5qw
      @JacksonMutinda-jw5qw 4 месяца назад +5

      Kuazia Leo akuna mambo ya likes,nmezima io kabsa,,

    • @Elkapmuadi
      @Elkapmuadi 4 месяца назад +3

      Safi sana mu kongomani mwenzanzu mi niko Haut uelé kwa sasa lakini nyumbani ni butembo.

    • @Chris17-chaihe_uw27
      @Chris17-chaihe_uw27 4 месяца назад +1

      Kweli akuna mambo na likes tena uko sai

    • @JacksonMutinda-jw5qw
      @JacksonMutinda-jw5qw 4 месяца назад

      @@Chris17-chaihe_uw27 sa kila mtu ni,Leo nmekua wakwaza nipeni likes,za kazi gani?

    • @JohnNzombo
      @JohnNzombo 4 месяца назад +1

      Congo mboka makasi tuko pamoja

  • @joelmhezi8039
    @joelmhezi8039 4 месяца назад +131

    Nachomkbali uyu lutaman kwanza clip zake ndefu pili hacheleweshi ambao wapo pamoja na mimi gonga like hapa

  • @Japhet_Baraka
    @Japhet_Baraka 4 месяца назад +45

    Wakawanza hapa kutoka Drc🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 nipeni likes

  • @bertha57
    @bertha57 4 месяца назад +31

    Nahomba liké jamani Niko Bujumbura mais Niko congolaise 🇧🇮🇨🇩🙏

    • @bertha57
      @bertha57 4 месяца назад +1

      Merci beaucoup 😘😘

  • @jeanclaudeakili2372
    @jeanclaudeakili2372 4 месяца назад +3

    Huyo Mtoto wa Gumbwa lazma azaliwe akuwe na ajuwe ukweli wote wa Mr Gumbwa ! Big up sana kwa team yote kwa ujumla !❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤

  • @LeopoldBigirimana-f4g
    @LeopoldBigirimana-f4g 4 месяца назад +7

    Big up Ruta,dada una roho mbaya

  • @isharaganechi6616
    @isharaganechi6616 4 месяца назад +37

    Mimi wa kwanza kutoka kongo naomba like zangu 🇨🇩🇨🇩🇹🇿🇹🇿

    • @saddamalio9354
      @saddamalio9354 3 месяца назад

      Watu wa Kong wanaongea Kiswahili

    • @isharaganechi6616
      @isharaganechi6616 3 месяца назад

      @@saddamalio9354 ndiyo watu wa congo tunaongea kiswahili na lingala pia na francis pia no na english

  • @Eliroster
    @Eliroster 4 месяца назад +5

    Ruta man big up fo the good job men Yani hucheleweshi kazi zako afu ni refu tunavyo tena nzuri

  • @romanythomass
    @romanythomass 4 месяца назад +11

    ila hii tabia ya kumsaidia mwanamke alafu unataka mapenzi sio nzuri .yan mimi hapa nalala nje na chumba nimempa mdada aliyekosa pakulala ndio anaishi na pesa za matumizi kila cku nampa lakini sijawai kuwaza kama nitakuja kumwomba mapenz sasa nyie wezangu du mpka mpewe

  • @guidion.jorgedajudith8592
    @guidion.jorgedajudith8592 4 месяца назад +5

    Jamani nimechelewa lakini nimefica naomba like japo 10 to

  • @hachslmhodari7406
    @hachslmhodari7406 4 месяца назад +14

    Maisha nikama gwaride uki sema nyuma geuka basi wamwisho ata kuwa wa kwanza 🇨🇩🇨🇩

  • @CycyConstaOg
    @CycyConstaOg 4 месяца назад +8

    Leo niko wa101 musema ukweri ni mpenzi wangu Like 👍 zimwagike kama magopo jararani😂😂😂😂tujuane

  • @MealiiMwinyi
    @MealiiMwinyi 4 месяца назад +15

    Wa kwanza leo naomben mauwa yangu

  • @Queennuriya-q1h
    @Queennuriya-q1h 4 месяца назад +2

    Ruta nimei penda sana hi love bite jamani Mungu awa saidiye malize haraka lakini Mimi kila mda na angaliya hi movie jamani keep going sister and brother ok

  • @SwediSymphorien-pm4en
    @SwediSymphorien-pm4en 4 месяца назад +6

    Wa kwanza from America, please naomba likes ata ngapi kwa uruma wenu

  • @juliodaniel1615
    @juliodaniel1615 4 месяца назад +2

    Story ilianza vizuri sana ilaa mbelee unavurugaaa sasaa aielewekii
    Yani maneno mengi lakin actio ndogooooo

  • @morenobdi9187
    @morenobdi9187 4 месяца назад +54

    Leo nimekua wakwanza naomba ata likes 10 kwa ajili ya love bite😊😊

  • @geraldlucasngoty2657
    @geraldlucasngoty2657 4 месяца назад +8

    Love bite hampoiiii 🔥🔥❤

  • @ProtusSikuku-c6s
    @ProtusSikuku-c6s 2 месяца назад +1

    This is a true lesson ever let us protect our lovers

  • @Mnyaturu980
    @Mnyaturu980 4 месяца назад +3

    Nimekuja na mm nimechelewa.sana ila sitaki chochote kikubwa move nzuri sana hongereni sana group la boccena

  • @JapharMakame-ex9lh
    @JapharMakame-ex9lh 4 месяца назад +2

    Napenda vile vyenye mko fast kuachia ep ingine

  • @annayambayamba8614
    @annayambayamba8614 4 месяца назад +10

    Mimi ndo wa kwanza mimi😊

  • @vallesndayishimiye2396
    @vallesndayishimiye2396 4 месяца назад +2

    Hilo li mima, li baunsa li gumbwa nimelichukia sana😢😢😢😢 japo ni igizo

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 4 месяца назад +3

    Mima nawewe subiri yakukute kibao kitapogeuka utajuta

  • @AbdoulNiyubahwe
    @AbdoulNiyubahwe 4 месяца назад +1

    Naitaji jiina ya iyi nyimbo imwo ndani ya iyi cinema

  • @NsobiLema-wq9vh
    @NsobiLema-wq9vh 4 месяца назад +2

    Yani wewe kaka gumbo ivi umejiona ulivyo kweli kuanza kumtes happy

  • @ladymasika
    @ladymasika 4 месяца назад +6

    Leo nmewahi nakupenda sana ruta man❤❤❤

  • @IlalaAgrovet
    @IlalaAgrovet 4 месяца назад +1

    Mima kazi nzuri kwa kumtesa latifa ajifunze maisha

  • @valentinifaustini4203
    @valentinifaustini4203 4 месяца назад +1

    Kama kuna kijana mwenyo moyo kama wa gumbwa mungu anamuona, hii ni movie lakini nimebaki nalia kwa haya manyanyaso anayopitia happy 😢😢

  • @HussenRamadhani-g9w
    @HussenRamadhani-g9w 4 месяца назад +4

    Leo wa kwaza am from Kenya

  • @YusuphKitaja-pm9cs
    @YusuphKitaja-pm9cs 4 месяца назад +6

    Jamn boy from mbeya hapa like hata 10

  • @ISSAHJONASSI
    @ISSAHJONASSI 4 месяца назад +1

    Ruta man mwamba twende mberee usishukee mwamba aseeh mm nipo nawewe Dua zangu kwako Hawa uliocheza naoooo mko vizuli sana ila gumbo na happy aseeh so poa gumbo apunguze useraa amuonee huruma happy bc na vipi kuhusu. Mama ake na gumbo yupo hai au ilikuwaje alipo dondokaa timu nzima ya Ruta man gang nawakubali Sana

  • @MichaelJohn-ep2dw
    @MichaelJohn-ep2dw 4 месяца назад +1

    Move kali sana ruta man ongela

  • @Young_Tembo
    @Young_Tembo 4 месяца назад +4

    Big Boss

  • @gracekayumba-z9l
    @gracekayumba-z9l 4 месяца назад

    Tumemmiss madam wa ruta na mima yaan boss afu napenda uchelew mv zako na n ndefu had raha

  • @AbdiTuse
    @AbdiTuse 3 месяца назад +1

    Jamani! episode kumi na moja na kumi na mbili Iko wapi.love bite

  • @CalivinNjau
    @CalivinNjau 4 месяца назад +7

    Chuma fantastic❤ gonga like

  • @BayubasireBertin
    @BayubasireBertin 4 месяца назад +2

    Gumbwa jameni, kuwa na roho ya tu basi. Dada punguza shali piya ume zinguwa na hupendwi ume juwa ?

  • @irakozeegide5544
    @irakozeegide5544 4 месяца назад +3

    Huyu mbwa sijui ni gumbwa ama gumbo anaroho mbaya hata sula yake inamuonyesha kwamba ana roho ya kikatili kwanini huna huluma mbwa wewe unanikela sana pumbavu zako nitakurowa mi muha kutoka mwandiga kigoma

    • @atotark3889
      @atotark3889 3 месяца назад

      Khaaa😂😂😂😂

  • @AmaniComedian
    @AmaniComedian 4 месяца назад +1

    Nampenda Happy Anavoigiza❤❤

  • @HansUkulwa
    @HansUkulwa 4 месяца назад +1

    Mungu awape mawazo mazur katika mafanikio yako ruta pambana gemu gumu

  • @AntônioTomás-x4x
    @AntônioTomás-x4x 2 месяца назад +1

    Mwenu nitandi nangu kwaloka kwetu ku MOZAMBIQUE

  • @nkurikiyearodiedavid6255
    @nkurikiyearodiedavid6255 4 месяца назад

    Happy,mkubali selemara achana na huyo mgumba asiependa watoto.

  • @Cleo25491
    @Cleo25491 4 месяца назад +2

    We mima ukome kuwanyanyaza watu, kwani we ni mtu wa kwanza kupata mimba😢?

  • @justinbahati6789
    @justinbahati6789 4 месяца назад +1

    Ruta Man ongera kwa kazi unayo, nawaza fwata kutokea Goma Drc

  • @UpendoRaphael-j9w
    @UpendoRaphael-j9w 3 месяца назад +1

    Sii utoke kwanii huna kwenu unatogozwaa hutakiii pole 😭😭

  • @محمدالقحطاني-ظ3ط1ص
    @محمدالقحطاني-ظ3ط1ص 4 месяца назад +1

    Happy hongera kwa ufumilivu yote mabaya anayo kufanyia gumbwa ila hukati tamaa mimi siezi eti kitokee mwana ume anipende alafu alete tabia kama za gumbwa naeza muekelea makofo ajutie kunifahamu juu huusio mdawakulia kwenye mapenzi 😂😂

  • @MadingaMadinga-ff7po
    @MadingaMadinga-ff7po 4 месяца назад +3

    Kila siku nawambia kuna mshikaj ata pata tabu

  • @nixonmumba9534
    @nixonmumba9534 4 месяца назад +13

    Pia Mimi Niko nipeni like jamani ni abuu hapa

  • @JovailIbrahimsurtan
    @JovailIbrahimsurtan 4 месяца назад +4

    Namukunali rutan

  • @SalimnganaMwamvula
    @SalimnganaMwamvula 4 месяца назад +5

    Love bite ni noma sana

  • @ZaburiYohana
    @ZaburiYohana 4 месяца назад +2

    Gumbo simuelewi kabxa kweny hii sirisi

  • @Young_Tembo
    @Young_Tembo 4 месяца назад +6

    Mimi wa kwanza tena

  • @AgartonMheza-ul3ww
    @AgartonMheza-ul3ww 4 месяца назад

    Rutaman umeshirikishwa au ni movie Yako yaani umeshiriki kidogo sana

  • @BothainaBothaina-k6c
    @BothainaBothaina-k6c 4 месяца назад

    Ndugu yangu kazi nzuri sana watching from Kenya 🎉🎉❤

  • @JamesMutegi-hz6df
    @JamesMutegi-hz6df 4 месяца назад

    Ruta man napenda show zako mno zinanibamba vibaya sana.

  • @onlinecomedy8420
    @onlinecomedy8420 4 месяца назад +5

    Nakubal sijachelewa sana

  • @NdongaBoy-hy2qg
    @NdongaBoy-hy2qg 4 месяца назад +3

    Jamani sinawahi sn ila naomba laki hata 20

  • @coolbz133
    @coolbz133 4 месяца назад +2

    Mima mkavu wewe ehh yani mimba yako ndio shida

  • @SalumonEustace-cl4mk
    @SalumonEustace-cl4mk 4 месяца назад

    Mimaa kumbkaa ulikotokaa uwe na moyo wa fadhila na huruma kwa wengine, happy yanini kuishi maisha ya huzuni na masononekoo umependa usikopendwaa fahamu kuwa kuna maisha pasipo kuishi na Gumbwa

  • @EmanuelyMathias-bt6uo
    @EmanuelyMathias-bt6uo 4 месяца назад +2

    Wakwanza mim leo naomben like za kutosha

  • @MlingwaMasasila-ox4jv
    @MlingwaMasasila-ox4jv 4 месяца назад +1

    Yaan tifa namuoona anakonda tuuu

  • @OfficialAdaOnce
    @OfficialAdaOnce 4 месяца назад +2

    Naomba subscribe ata 2

  • @zackbeliever2149
    @zackbeliever2149 4 месяца назад +9

    Mimi wa Kwanza 🙏🙏Nipe Like Zangu ❤

  • @amohmark97
    @amohmark97 4 месяца назад +2

    Good job❤

  • @BayubasireBertin
    @BayubasireBertin 4 месяца назад +1

    Baisa have just got, beaucoup patient bro. Enjoy your young days Bro

  • @RajabuJuma-cp8sk
    @RajabuJuma-cp8sk 4 месяца назад +9

    Wakwaza kwaruta mani kama unampenda luta gonna like

  • @4revertv523
    @4revertv523 4 месяца назад +6

    Hatar sanaa hii movie

  • @rajabkiti896
    @rajabkiti896 3 месяца назад

    Mm kuna kitu nakiona mbna nkama gumbo na mke wake wanafana sana kaa mtu na dadake vile,,anwei kaz safi

  • @SibijaliLim
    @SibijaliLim 4 месяца назад +1

    Ep😭😭 unanikumbusha mbalisan

  • @SadickYahya
    @SadickYahya Месяц назад +1

    Mimi leo nimekuwa wa mwisho naomba hata raiki hata 5 jaman

  • @BarkaBarka-fe6yj
    @BarkaBarka-fe6yj 4 месяца назад +8

    Mapema2

  • @yassinchuwa8824
    @yassinchuwa8824 4 месяца назад

    Ruta Man!!!! Huyo anayejiita mima mwambie namjuwa man. Mwambie anajuwa sana man, na mtafika mbali sana man. Msalimie Jemimah man

  • @LizenMaker
    @LizenMaker 4 месяца назад +1

    Nakupenda kipepeo ❤❤❤

  • @reginaIssa-m2j
    @reginaIssa-m2j 4 месяца назад

    😢😢masikini happy pole Sana mwache aende tu huyo hakipendi

  • @Mussadax
    @Mussadax 3 месяца назад +1

    ❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤ nawakubali Sana

  • @dianaqueen7967
    @dianaqueen7967 4 месяца назад +1

    Kipepeo 😂😂😂😂😂

  • @Justin_Nano
    @Justin_Nano 4 месяца назад +2

    Wow 😂🎉sharp

  • @mwanaishahamadi-lb1oy
    @mwanaishahamadi-lb1oy 4 месяца назад +1

    Masha Allah ruta man ww vitu tamu tamu

  • @shidashida6060
    @shidashida6060 4 месяца назад +1

    Kwahiyo Luther anajipakuli minyama 😅😅😅

  • @MealiiMwinyi
    @MealiiMwinyi 4 месяца назад +3

    🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪❤

  • @yusuphmkomwa3427
    @yusuphmkomwa3427 4 месяца назад

    Tuko pamoja mpaka mwisho LOVE BITE❤️❤️❤️❤️❤️

  • @MouridiNizigiyimana
    @MouridiNizigiyimana 6 дней назад

    Tifa muagizaji mzuli sana ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @KasriStefanoyahay-qt9ri
    @KasriStefanoyahay-qt9ri 4 месяца назад +5

    Wakwanza mimi

  • @JAYLABELS
    @JAYLABELS 4 месяца назад

    ZENA NA BETINA IN ONE ROOM 😂😂

  • @daudimtafa3804
    @daudimtafa3804 4 месяца назад

    Tz jameniii...pombe mnakunywa na plastic

  • @mikefanuely6836
    @mikefanuely6836 4 месяца назад

    hili li house girl mwanzoni alikuwa mpole asahivi mpk anakera😂😂

  • @HajraOmar-g1c
    @HajraOmar-g1c 4 месяца назад

    Nmependa the way kipepeo anampambania happy😅

  • @Princescynth
    @Princescynth 4 месяца назад

    Tifa umeshikiswa adabu... umepeleka wapi domo..lakin kwa kweli mnaigiza poa sana nawapenda❤❤❤

  • @reylahCastory
    @reylahCastory 4 месяца назад

    Apooo Sasa kumekucha hahahaha 😂😂

  • @MarthaMkasi
    @MarthaMkasi 4 месяца назад

    Ila huyu happy anajua kupambania ugali vitani me nisingeweza jamani 🤣🤣

  • @MaryamSafi-vm6or
    @MaryamSafi-vm6or 4 месяца назад

    Happy nakupenda sana 🎉🎉🎉

  • @machindafadhili3186
    @machindafadhili3186 4 месяца назад

    Ruta, Unajua kuigiza kabisa. Sijaona mpinzani wako TZ. Nakupata kutoka Sweden.

  • @RoseOwiti-t3t
    @RoseOwiti-t3t 4 месяца назад

    Aki happy kubari huyo mwanaume anakupenda wachana na huyo ngwumbwa

  • @youthmediatv1
    @youthmediatv1 4 месяца назад +6

    Bingwa

  • @mbirigosLepadra
    @mbirigosLepadra 4 месяца назад

    Wow this film is very injoyable i❤❤❤ it

  • @JoviniNyamsak
    @JoviniNyamsak 16 дней назад

    Aloo unaempenda kampenda mwingine huyo mwingine nae ana mwingine mwingine nae kampenda mwingine moyo sukuma damu sio vingine