LOVE BITE 《10》
HTML-код
- Опубликовано: 27 сен 2024
- SUBSCRIBE BONCENA GOT TALENT
FOLLOW US IN
+255659096471
FACEBOOK; / angess.nsyengula
INSTARGRAM;www.instagram....
TIKTOK ; / boncena_gottalent
YOUYUBE ; / @boncenagottalentfaceb...
OR BONCENA GOT TALENT
INSTAGRAM; BONCENA_TZ
IIKTOK ;BONCENA_TZ
Huyo jamaa alomshika gumbwa mkono akitaka kumpiga happy ameupigaje apo 👏 😂😂😂 maneno yake matamu sana 👍... kama unaliona hili gonga like
❤❤❤
😂😂😂😂
sema mima anaupiga mwingi pia ...❤❤
namuelewa sana happy kwasababu mutu anaeza fanya kilakitu kwa sababu ya mapenzi kwetu DRC nakupenda sana
Aya sasa tunao yaona maisha ya Baisa yakibadilika kikimlamba tujuane kwa ku like hapa ila uyu baisa anajua❤❤❤❤
Wakwanza wallahi tokea kwetu DRC 🇨🇩🇨🇩🇨🇩naomba vima likes zangu chez nous lubumbashi
Kuazia Leo akuna mambo ya likes,nmezima io kabsa,,
Safi sana mu kongomani mwenzanzu mi niko Haut uelé kwa sasa lakini nyumbani ni butembo.
Kweli akuna mambo na likes tena uko sai
@@Chris17-chaihe_uw27 sa kila mtu ni,Leo nmekua wakwaza nipeni likes,za kazi gani?
Congo mboka makasi tuko pamoja
Nachomkbali uyu lutaman kwanza clip zake ndefu pili hacheleweshi ambao wapo pamoja na mimi gonga like hapa
🙏🙏
Sahihi kabsa
Uwakikaaaaaaaa
Kweli
Ndefu lakini hazijashiba
Wakawanza hapa kutoka Drc🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 nipeni likes
Nahomba liké jamani Niko Bujumbura mais Niko congolaise 🇧🇮🇨🇩🙏
Merci beaucoup 😘😘
Huyo Mtoto wa Gumbwa lazma azaliwe akuwe na ajuwe ukweli wote wa Mr Gumbwa ! Big up sana kwa team yote kwa ujumla !❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤
Big up Ruta,dada una roho mbaya
Mimi wa kwanza kutoka kongo naomba like zangu 🇨🇩🇨🇩🇹🇿🇹🇿
Watu wa Kong wanaongea Kiswahili
@@saddamalio9354 ndiyo watu wa congo tunaongea kiswahili na lingala pia na francis pia no na english
Ruta man big up fo the good job men Yani hucheleweshi kazi zako afu ni refu tunavyo tena nzuri
ila hii tabia ya kumsaidia mwanamke alafu unataka mapenzi sio nzuri .yan mimi hapa nalala nje na chumba nimempa mdada aliyekosa pakulala ndio anaishi na pesa za matumizi kila cku nampa lakini sijawai kuwaza kama nitakuja kumwomba mapenz sasa nyie wezangu du mpka mpewe
Yani umenifanya nikuwaze uko wapi nakutaka
😂😂😂😂😂😂😂utamu
mwanangu umesh kosa point 3 ume tangaza wema bro
Namimi nisaidie sina pakulala
@@StanleyaStella nipo
Jamani nimechelewa lakini nimefica naomba like japo 10 to
Maisha nikama gwaride uki sema nyuma geuka basi wamwisho ata kuwa wa kwanza 🇨🇩🇨🇩
Unanikumbusha hilo neno kibenten final 🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Leo niko wa101 musema ukweri ni mpenzi wangu Like 👍 zimwagike kama magopo jararani😂😂😂😂tujuane
Wa kwanza leo naomben mauwa yangu
Ruta nimei penda sana hi love bite jamani Mungu awa saidiye malize haraka lakini Mimi kila mda na angaliya hi movie jamani keep going sister and brother ok
Wa kwanza from America, please naomba likes ata ngapi kwa uruma wenu
Story ilianza vizuri sana ilaa mbelee unavurugaaa sasaa aielewekii
Yani maneno mengi lakin actio ndogooooo
Leo nimekua wakwanza naomba ata likes 10 kwa ajili ya love bite😊😊
Nimekuwa wa 60 Leo
Wa Kwanzaa 60
Love bite hampoiiii 🔥🔥❤
This is a true lesson ever let us protect our lovers
Nimekuja na mm nimechelewa.sana ila sitaki chochote kikubwa move nzuri sana hongereni sana group la boccena
Napenda vile vyenye mko fast kuachia ep ingine
Mimi ndo wa kwanza mimi😊
Hilo li mima, li baunsa li gumbwa nimelichukia sana😢😢😢😢 japo ni igizo
Mima nawewe subiri yakukute kibao kitapogeuka utajuta
Naitaji jiina ya iyi nyimbo imwo ndani ya iyi cinema
Yani wewe kaka gumbo ivi umejiona ulivyo kweli kuanza kumtes happy
🤣😂🤣😂🤣😂🤣😂
Leo nmewahi nakupenda sana ruta man❤❤❤
Mima kazi nzuri kwa kumtesa latifa ajifunze maisha
Kama kuna kijana mwenyo moyo kama wa gumbwa mungu anamuona, hii ni movie lakini nimebaki nalia kwa haya manyanyaso anayopitia happy 😢😢
Leo wa kwaza am from Kenya
Jamn boy from mbeya hapa like hata 10
Ruta man mwamba twende mberee usishukee mwamba aseeh mm nipo nawewe Dua zangu kwako Hawa uliocheza naoooo mko vizuli sana ila gumbo na happy aseeh so poa gumbo apunguze useraa amuonee huruma happy bc na vipi kuhusu. Mama ake na gumbo yupo hai au ilikuwaje alipo dondokaa timu nzima ya Ruta man gang nawakubali Sana
Move kali sana ruta man ongela
Big Boss
Tumemmiss madam wa ruta na mima yaan boss afu napenda uchelew mv zako na n ndefu had raha
Jamani! episode kumi na moja na kumi na mbili Iko wapi.love bite
Chuma fantastic❤ gonga like
Gumbwa jameni, kuwa na roho ya tu basi. Dada punguza shali piya ume zinguwa na hupendwi ume juwa ?
Huyu mbwa sijui ni gumbwa ama gumbo anaroho mbaya hata sula yake inamuonyesha kwamba ana roho ya kikatili kwanini huna huluma mbwa wewe unanikela sana pumbavu zako nitakurowa mi muha kutoka mwandiga kigoma
Khaaa😂😂😂😂
Nampenda Happy Anavoigiza❤❤
Mungu awape mawazo mazur katika mafanikio yako ruta pambana gemu gumu
Mwenu nitandi nangu kwaloka kwetu ku MOZAMBIQUE
Happy,mkubali selemara achana na huyo mgumba asiependa watoto.
We mima ukome kuwanyanyaza watu, kwani we ni mtu wa kwanza kupata mimba😢?
Ruta Man ongera kwa kazi unayo, nawaza fwata kutokea Goma Drc
Sii utoke kwanii huna kwenu unatogozwaa hutakiii pole 😭😭
Happy hongera kwa ufumilivu yote mabaya anayo kufanyia gumbwa ila hukati tamaa mimi siezi eti kitokee mwana ume anipende alafu alete tabia kama za gumbwa naeza muekelea makofo ajutie kunifahamu juu huusio mdawakulia kwenye mapenzi 😂😂
Kila siku nawambia kuna mshikaj ata pata tabu
Ata mimi namuonaaa
Pia Mimi Niko nipeni like jamani ni abuu hapa
Namukunali rutan
Love bite ni noma sana
Gumbo simuelewi kabxa kweny hii sirisi
Mimi wa kwanza tena
Rutaman umeshirikishwa au ni movie Yako yaani umeshiriki kidogo sana
Ndugu yangu kazi nzuri sana watching from Kenya 🎉🎉❤
Ruta man napenda show zako mno zinanibamba vibaya sana.
Nakubal sijachelewa sana
Jamani sinawahi sn ila naomba laki hata 20
Mima mkavu wewe ehh yani mimba yako ndio shida
Mimaa kumbkaa ulikotokaa uwe na moyo wa fadhila na huruma kwa wengine, happy yanini kuishi maisha ya huzuni na masononekoo umependa usikopendwaa fahamu kuwa kuna maisha pasipo kuishi na Gumbwa
Wakwanza mim leo naomben like za kutosha
Yaan tifa namuoona anakonda tuuu
Naomba subscribe ata 2
Mimi wa Kwanza 🙏🙏Nipe Like Zangu ❤
Good job❤
Baisa have just got, beaucoup patient bro. Enjoy your young days Bro
Wakwaza kwaruta mani kama unampenda luta gonna like
Hatar sanaa hii movie
Mm kuna kitu nakiona mbna nkama gumbo na mke wake wanafana sana kaa mtu na dadake vile,,anwei kaz safi
Ep😭😭 unanikumbusha mbalisan
Mimi leo nimekuwa wa mwisho naomba hata raiki hata 5 jaman
Mapema2
Ruta Man!!!! Huyo anayejiita mima mwambie namjuwa man. Mwambie anajuwa sana man, na mtafika mbali sana man. Msalimie Jemimah man
Nakupenda kipepeo ❤❤❤
😢😢masikini happy pole Sana mwache aende tu huyo hakipendi
❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤ nawakubali Sana
Kipepeo 😂😂😂😂😂
Wow 😂🎉sharp
Masha Allah ruta man ww vitu tamu tamu
Kwahiyo Luther anajipakuli minyama 😅😅😅
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪❤
Tuko pamoja mpaka mwisho LOVE BITE❤️❤️❤️❤️❤️
Tifa muagizaji mzuli sana ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Wakwanza mimi
ZENA NA BETINA IN ONE ROOM 😂😂
Tz jameniii...pombe mnakunywa na plastic
hili li house girl mwanzoni alikuwa mpole asahivi mpk anakera😂😂
Nmependa the way kipepeo anampambania happy😅
Tifa umeshikiswa adabu... umepeleka wapi domo..lakin kwa kweli mnaigiza poa sana nawapenda❤❤❤
Apooo Sasa kumekucha hahahaha 😂😂
Ila huyu happy anajua kupambania ugali vitani me nisingeweza jamani 🤣🤣
Happy nakupenda sana 🎉🎉🎉
Ruta, Unajua kuigiza kabisa. Sijaona mpinzani wako TZ. Nakupata kutoka Sweden.
Aki happy kubari huyo mwanaume anakupenda wachana na huyo ngwumbwa
Bingwa
Wow this film is very injoyable i❤❤❤ it
Aloo unaempenda kampenda mwingine huyo mwingine nae ana mwingine mwingine nae kampenda mwingine moyo sukuma damu sio vingine