NINI MAANA YA UCHAWI na JINNI, Vipi JINNI anaweza kumuingia Mtu na DAWA GANI TUTUMIE, AYA GANI katika QURAN ZINAMCHOMA JINNI au shetani By SHEIKH ISMAIL wa Mombasa By Ahmed Ahlusuna TV Mwanza Tanzania

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024

Комментарии • 24

  • @mohammedalnamani3375
    @mohammedalnamani3375 11 лет назад +5

    Ndugu mohd omar, vipi huamini wachawi,mashetani na majini na hali ya kua mwenyezi mungu kataja katika qur'an.

  • @ifrahabdullahi3570
    @ifrahabdullahi3570 8 лет назад

    Masha Allah sheikh ismail,May Allah increase your iman

  • @WeBorn2DieAnyTime
    @WeBorn2DieAnyTime 11 лет назад +2

    As Salaam aleykum waRahmatullahi waBarakaatuh , mashaAllah, Ya Allah, Ya Rahmaan, Ya Rahiim, tulinde na mashetani na majini wabaya. Du'aa useme unapo ingia Choni/ BaarakAllahu feek for sharing, ... Wa Salaam aleykum waRahmatullahi waBarakaatuh

  • @ifrahabdullahi3570
    @ifrahabdullahi3570 8 лет назад +1

    يا شيخ احبك في الله, ادعوا الله أن يعطيك الجنة, ويعطيك رزق. علمتني الحديث, زادك الله علما

    • @fddj5615
      @fddj5615 7 лет назад

      Ifrah AbduLlahi

  • @mansurahmed5069
    @mansurahmed5069 8 лет назад

    Jazakallahu khayr ya Ustaadhuna

  • @rukybaribari6883
    @rukybaribari6883 8 лет назад

    Allah barik ya sheikh

  • @dalila9793
    @dalila9793 12 лет назад

    jazaka allahu khair

  • @WeBorn2DieAnyTime
    @WeBorn2DieAnyTime 11 лет назад +1

    ......Du'aa kabla ya kuingia choni usome hivi: ALLAHUMMA - INNII -A - UUDUBIKA - MINAL - KHUBTHI - WAL - KHBAAITH. (Una weza kupata Supplication katika book la "HISNU - AL - MUSLIM" ama unaweza kusoma katika website ya ALHIDAAYA (dot) com. JazaakaAllahu kheiran Sheikh Ismail na BaarakAllahu feek, for sharing. Wa Salaam aleykum waRahmatullahi waBarakaatuh .

  • @yasminabdi8585
    @yasminabdi8585 11 лет назад +1

    Mashaanllah

  • @mohamedomar4037
    @mohamedomar4037 11 лет назад

    Mimi siamini kabisa kitu kinachoitwa uchawi, majini, mashetani namuamini mwenyezi mungu subhanahu wataala na aniepushe na maasi yote na tufuate mambo yote ya kheri bismilah na tufuate masharti yote ya uislamu ewe mungu nilinde na mambo haya yote amin.

    • @IBRAHIMABDUonlineTV
      @IBRAHIMABDUonlineTV 7 лет назад +3

      Mohamed Omar kwa kauli yako hiyo ..
      yaonyesha wazi pia waipinga Qur an..
      kwa sababu zipo aya nyingi za kuthibitisha Uchawi upo..
      sasa unavyosema haupo hilo ni tatizo kwako.

    • @idaroussaleh4757
      @idaroussaleh4757 5 лет назад

      Ww jahil tatizo

    • @ivaniavianarodrigo7201
      @ivaniavianarodrigo7201 4 года назад

      kama huamini subiri ipo siku utaujua upo au haupo na utaelewa mungu kasema kweli kaongopa

    • @abdulrazakhassanor498
      @abdulrazakhassanor498 4 года назад

      Uchawi ni magics

    • @FaaidaTVtz
      @FaaidaTVtz 3 года назад

      Muislamu jina, Huna unalojua katika dini.

  • @mansurahmed5069
    @mansurahmed5069 8 лет назад

    huyu ndugu Muhammad Umar Allah Amfahamishe,atakaa vipi majambo ambayo Allah تعلى na Mtume Wake صلى الله عليه وسلم Wameshatufahmisha katika Kitabu na Sunnah

  • @WeBorn2DieAnyTime
    @WeBorn2DieAnyTime 11 лет назад

    .....Na unapo toka Choni, sema KHUFRAANAKA ( I ask (Allaah) for forgiveness.

  • @josephluhusa4823
    @josephluhusa4823 9 лет назад

    MNAJISHUGHULISHA SANA NA MAMBO YASIYO NA TIJA KABISA. ! EBU MBADILIKE NYIEE !

    • @saidynassor9417
      @saidynassor9417 5 лет назад +2

      Wewe unaona hayana tija waache watu na imani yao.nafikili wewe ndio unajishulisha na yasio kuhusu

  • @shekhekassim6402
    @shekhekassim6402 5 лет назад

    Jini na.binaafamu haeawezi kuonsn

  • @kwanzamwisho5320
    @kwanzamwisho5320 11 лет назад +1

    as.alaykum. wapendwa naweza pata mawasiliano ya huyu ostadh nahitaji msaada wake.kama mtu ana mawasiliano naye naomba anitumie namba yake au email yake kupitia..... kenobin@yahoo.com

  • @imamumponda276
    @imamumponda276 6 лет назад

    Assalaamu alaykum warahmatu llahi wabarakaatuhu ahlu sunna nipatieni na za huyu mwalim namba zangu 0652286323 JAZAAKUMU LLAHU KHAYRA