NINI MAANA YA UCHAWI na JINNI, Vipi JINNI anaweza kumuingia Mtu na DAWA GANI TUTUMIE, AYA GANI katika QURAN ZINAMCHOMA JINNI au shetani By SHEIKH ISMAIL wa Mombasa By Ahmed Ahlusuna TV Mwanza Tanzania
As Salaam aleykum waRahmatullahi waBarakaatuh , mashaAllah, Ya Allah, Ya Rahmaan, Ya Rahiim, tulinde na mashetani na majini wabaya. Du'aa useme unapo ingia Choni/ BaarakAllahu feek for sharing, ... Wa Salaam aleykum waRahmatullahi waBarakaatuh
......Du'aa kabla ya kuingia choni usome hivi: ALLAHUMMA - INNII -A - UUDUBIKA - MINAL - KHUBTHI - WAL - KHBAAITH. (Una weza kupata Supplication katika book la "HISNU - AL - MUSLIM" ama unaweza kusoma katika website ya ALHIDAAYA (dot) com. JazaakaAllahu kheiran Sheikh Ismail na BaarakAllahu feek, for sharing. Wa Salaam aleykum waRahmatullahi waBarakaatuh .
Mimi siamini kabisa kitu kinachoitwa uchawi, majini, mashetani namuamini mwenyezi mungu subhanahu wataala na aniepushe na maasi yote na tufuate mambo yote ya kheri bismilah na tufuate masharti yote ya uislamu ewe mungu nilinde na mambo haya yote amin.
Mohamed Omar kwa kauli yako hiyo .. yaonyesha wazi pia waipinga Qur an.. kwa sababu zipo aya nyingi za kuthibitisha Uchawi upo.. sasa unavyosema haupo hilo ni tatizo kwako.
huyu ndugu Muhammad Umar Allah Amfahamishe,atakaa vipi majambo ambayo Allah تعلى na Mtume Wake صلى الله عليه وسلم Wameshatufahmisha katika Kitabu na Sunnah
as.alaykum. wapendwa naweza pata mawasiliano ya huyu ostadh nahitaji msaada wake.kama mtu ana mawasiliano naye naomba anitumie namba yake au email yake kupitia..... kenobin@yahoo.com
Ndugu mohd omar, vipi huamini wachawi,mashetani na majini na hali ya kua mwenyezi mungu kataja katika qur'an.
Masha Allah sheikh ismail,May Allah increase your iman
As Salaam aleykum waRahmatullahi waBarakaatuh , mashaAllah, Ya Allah, Ya Rahmaan, Ya Rahiim, tulinde na mashetani na majini wabaya. Du'aa useme unapo ingia Choni/ BaarakAllahu feek for sharing, ... Wa Salaam aleykum waRahmatullahi waBarakaatuh
Masha allah sheikh wetu
يا شيخ احبك في الله, ادعوا الله أن يعطيك الجنة, ويعطيك رزق. علمتني الحديث, زادك الله علما
Ifrah AbduLlahi
Jazakallahu khayr ya Ustaadhuna
Allah barik ya sheikh
jazaka allahu khair
......Du'aa kabla ya kuingia choni usome hivi: ALLAHUMMA - INNII -A - UUDUBIKA - MINAL - KHUBTHI - WAL - KHBAAITH. (Una weza kupata Supplication katika book la "HISNU - AL - MUSLIM" ama unaweza kusoma katika website ya ALHIDAAYA (dot) com. JazaakaAllahu kheiran Sheikh Ismail na BaarakAllahu feek, for sharing. Wa Salaam aleykum waRahmatullahi waBarakaatuh .
Mashaanllah
Mimi siamini kabisa kitu kinachoitwa uchawi, majini, mashetani namuamini mwenyezi mungu subhanahu wataala na aniepushe na maasi yote na tufuate mambo yote ya kheri bismilah na tufuate masharti yote ya uislamu ewe mungu nilinde na mambo haya yote amin.
Mohamed Omar kwa kauli yako hiyo ..
yaonyesha wazi pia waipinga Qur an..
kwa sababu zipo aya nyingi za kuthibitisha Uchawi upo..
sasa unavyosema haupo hilo ni tatizo kwako.
Ww jahil tatizo
kama huamini subiri ipo siku utaujua upo au haupo na utaelewa mungu kasema kweli kaongopa
Uchawi ni magics
Muislamu jina, Huna unalojua katika dini.
huyu ndugu Muhammad Umar Allah Amfahamishe,atakaa vipi majambo ambayo Allah تعلى na Mtume Wake صلى الله عليه وسلم Wameshatufahmisha katika Kitabu na Sunnah
.....Na unapo toka Choni, sema KHUFRAANAKA ( I ask (Allaah) for forgiveness.
MNAJISHUGHULISHA SANA NA MAMBO YASIYO NA TIJA KABISA. ! EBU MBADILIKE NYIEE !
Wewe unaona hayana tija waache watu na imani yao.nafikili wewe ndio unajishulisha na yasio kuhusu
Jini na.binaafamu haeawezi kuonsn
as.alaykum. wapendwa naweza pata mawasiliano ya huyu ostadh nahitaji msaada wake.kama mtu ana mawasiliano naye naomba anitumie namba yake au email yake kupitia..... kenobin@yahoo.com
Assalaamu alaykum warahmatu llahi wabarakaatuhu ahlu sunna nipatieni na za huyu mwalim namba zangu 0652286323 JAZAAKUMU LLAHU KHAYRA