'Nipo tayari kumwambia Rais ukweli kuhusu vita ya dawa za kulevya ' -Mlinga
HTML-код
- Опубликовано: 9 фев 2017
- Moja ya Wabunge waliopata nafasi ya kuchangia katika kuhitimisha mkutano wa sita wa Bunge leo ni pamoja na Mbunge wa Ulanga Goodluck Mlinga.
Mlinga alihoji uhalali wa baadhi ya Watuhumiwa wa dawa za kulevya kutajwa majina yao kupitia vyombo vya habari.
Kumbe Tanzania tuna Waheshimiwa Wabunge wazuri tu,Mh.Mliga anakumbuka jinsiwanavyopitisha bajeti kwa ushabiki wa Kichama badala ya masilahi mapana ya Watanzania wote,nampongeza pia kwa kuwakumbusha viongozi wenzake kuwa ni vibaya sana kumharibia mtu sifa yake kuja kuirudisha tena ni kazi ngumu.Sasa Mh.Mlliga,ebu tuanze na wewe mwenyewe,mwombe radhi Mh.Msukuma na uyafute yale maneno uliyotuambia Wananchi siku ya juzi kabla hii speech yako ya leo.
Aiseee, kumbe unatoa hoja nzuri. Big up
big up Mlinga....
You are the best Ayo..big up..
katika viongozi ninaowakubali ccm ni Mlinga pekeake nimtetezi halisi wa wananchi Mungu akupe maisha marefu Mbunge Mlinga
shida ya hii vita akina makonda wamekurupuka wanatuhumu, wanaweka watu ndani ndo wanafanya preliminary investigatiin....this is stupid makonda katuelezea mbinu za kuingiza kwann wasngefnya kimyakimya kukamata kwanz ayo madawa ili watu watajwe na evidence zikiwepo
uko sawa
Who is this handsome smart guy! 😲 I love this guy!
asante
thanks Millard ayo
sph rb
OK
Naipenda Tanzania yangu......
we do have best mps eeeeee.... well said bro next time sema tu usisubiri uitwe na raisi
well done mlinga
Kweli...wachina wanauza hadi yeboyebo kariakoo smh
safi msukima
sawa sawa Mkubwa
victory
ayseeee ni kwlii.........kabisa
jamani aliye sema kama meeza ingekuwa meaza ya BATI tungefikiria kwaza Meza 😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Iv MLINGA siutaniuwa before sijatajwa na MAKONDA 😢😢😢😓😓😓😓😓😰😰😰😰😰😰 Msikilize hadi mwisho 😃😃😃😅😅😆 HEBU NIAACHE KIDOGO mie naogopa sana POLICE 😄😄😄 MAKONDA UMEFANYA KOSA usiseme kuwa watu wamelala bungeni
Good luck😁😁😁
Ahsante wanacheka ila unaongea point za maana mh
hahahahha dah huyu mlinga huyy
tomboa mlinga
............. Bora ukae chini tu,
hapo mlinga nimekuelewa
msilete mbwembwe bungeni! na ww mlinga ukitaka tuko tayar kumwambia rais cha ww kuwatetea wauza unga na wabwiaji. Tunakujua vizur hata yule dada aliekuvua barakashia bungeni c unajua tafsir yake? pole sana Makonda hakurupuki ila ww ndy unakurupuka.
Ze comedy show hahahaaaa Eti meza zingali kua za chuma
nakutabilia uje uwe raisi miaka ijao mlinga
our politicians are the biggest drug barons apa kenya tunapigana the same fight.!
Santi Mina kaa kwenu mpumbavu wewe
ni kweli kabisa
Amad Sabimbona inasikitisha sana the untouchable big fishes wako serikilani na serikali zetu zinajua lakini zinapiga siasa 2!
ndiyo sssa wanageuka wamefikiri makonda atawaonea haibu
huyu hajielewi kwa sababu yupo kisiasa
kiongozi bora
hapa ndo utajua akili mbovu nakufuata upepo kwawabunge hawa...wanatutesa pumbafu.
ss hivi nimeamini kua wabunge karibu ya wote wqpo bungeni kwa ajili ya kutunga sheria za kujiendesha wao tu kujiona ndio nchi wamewewa wao hawana huruma na wananchi wao kabisa wanongea alafu wanabadili mada kwanini km bunge lipo kwa ajili ya wabunge tu bas musiingie mitani mkatupumbaza kusema kua tunenda bungeni kukuteteeni mnajitetea wenyewe na kitabu chenu ila haya yote nikwamba hamjafikwa nyie na kero hizi ila mungu yupo pamoja na kila mwenye huruma ya mwenzake
+Salha Ak.a Mgeni wewe hujamuelewa mlinga ebu msikilize tena ,hivi wewe ukihusishwa apo mtaana kwamba nijambazi wa silaha ukatangazwa alafu hujahusikia unajisikiaje kama una mke ataweka wapi uso,mama ako ndugu alafu ukute ni mtu tu kutokana na chuki zake kakusemea ukalazwa ndani
Joel Joel kesoy ujue shida ni nini bro watu wanatake easy kwakua wanaona kwa wenzao ndomana
Joel Joel kesoy ujuekila mtu anavo chukulia jambo uzito wa kile kitu ila km mm upande wangu ndio njia ya kuweza kuwataja ninao wajua lakini sio kila siku nataja ntaja ila wapi km huhusiki katoe ushahidi km hupo kwani sheria si zinahusika heshima yakwako lakini ukisema unamuopa mtu kwa heshima bas ata baba au mama hutajemga mapenzi kwenye familia yako utakua unahofia mama kanizaa baba kanizaa siwezi kumuambia kitu ambacho anfanya nyuma ya maadili
na ww ni muuza unga huna lolote.
miliga wewe ni jembe la ukweli umenifungua macho kumbe unajua chanzo cha haya yote Mimi napenda mtu mkweli kama wewe na msukuma na Bashe msiogope kuongea ukweli ili tulinde mama yetu Tanzania plz tutobolee hiyo siri iliyojificha nyuma ya madawa ya kulevya kumbe ni vita binafasi na siyo ishu yenyewe
Huyu si aliwahi kusema kuwa watu wa madawa wapo bungeni na alikuwa tayari KUWATAJA? Sasa Makonda amewataja wengine he is now butt hurt..?? Hivi hawa wabunge wanajitambua kweli au ni usenge usenge tu wamezoea..!
shania twilka 😂😂😂😂😂
Wabunge ulionao ni dalili tosha ya wewe mpiga kura ulivyo mpumbavu. Peleka matako kwa wanaujua kuyatumia.. wewe na Mlinga wote wasenge..!
Peleka matako ..!
kweli tena huyu mbuge anajitambua au wanataka wamwogope manji ,Gwajima au Mbowe kwa lipi sasa ! kama imegundulika wanahusika haki yao gereza au Wabunge wanataka nguvu Kazi ya Taifa iyendelee kupotea kwa madawa ya kulevya?
shania twilka kwel jmaa kacomment pumba y mwaka😂😂😂