MWANAFUNZI WA AJABU Full episode 2

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 12 апр 2024
  • #babajoan #lovestory #school #love
  • ПриколыПриколы

Комментарии • 215

  • @wilsonsamsonwilliams
    @wilsonsamsonwilliams 2 месяца назад +15

    Baba joan anajua kwenye suala zima la series na muvi naomba tumsapoti afike mbal
    Mwenyez mungu amsaidie katika sanaa yake 🙏🙏🙏

    • @user-hr6ds2uq3u
      @user-hr6ds2uq3u Месяц назад

      Amina mkuu jamani 🙏🏼🙏🏼🙏🏼

  • @HilaryKalunde
    @HilaryKalunde 2 месяца назад +16

    Kazi nzuri uliyoifanya baba joani maua yako please unastahili

  • @Munaaa255
    @Munaaa255 2 месяца назад +4

    Good job baba j congratulations ila kuwa makini kwa kazi zako ww unapata viewers mob likes mob comments pia hujui nani mbya wako kwa kazi zako ju movies zngne humalizii sisi tunangoja wasema kina tatizo omba Sana MUNGU watu kuna Muslims na Christians ombeni Sana jamani MUNGU atawasaidia kwa kazi zenu be careful dad j with your team more love u all

    • @user-dz5yu4wn7o
      @user-dz5yu4wn7o 2 месяца назад +2

      Amen ni changamoto tu zilitokea kazini kwake Ila from now on atamaliza tumuombee mungu ampe nguvu aweze kuyashinda majaribu yote 😍😍🎉🎉🎉

    • @Munaaa255
      @Munaaa255 2 месяца назад

      Sawa sawa MUNGU ndio kimbilio tumuombee tu

  • @user-gz9oq7ey4h
    @user-gz9oq7ey4h 2 месяца назад +6

    Love from Kenya ,kazi safi baba Joan

  • @philohmutua2968
    @philohmutua2968 2 месяца назад +5

    Unaweza baba joan ❤❤ nakupongeza sana uendeleee hivo

  • @HilaryKalunde
    @HilaryKalunde 2 месяца назад +4

    Nmekuwa wa kwanza like zangu jaman

  • @Zadig_Le_Juste
    @Zadig_Le_Juste 2 месяца назад +4

    upuzi tuuu serie huwezi kujua inatoka wapi inaenda wapi iliko ishia siko inanzia😢

    • @pr-malugu
      @pr-malugu 2 месяца назад +1

      Wewe unasema upuuzi,,, Sasa SI utoe ya kwako !!!!!

  • @ZengFeecks
    @ZengFeecks 2 месяца назад +5

    🎉 Kama kawa kazeni

  • @user-hq4dz9sn8n
    @user-hq4dz9sn8n 2 месяца назад +3

    Good movie big up baba Joan nataman support yako

  • @user-lz8kb9ds8k
    @user-lz8kb9ds8k 2 месяца назад +3

    Baba joani kazi nzuri❤❤❤❤❤❤❤from 🇰🇪

  • @gogoloveofficial5666
    @gogoloveofficial5666 2 месяца назад +4

    Love from GOGO LOVE OFFICIAL TO BURUNDI 🇧🇮

  • @jasonlinetv1
    @jasonlinetv1 2 месяца назад +1

    Babajoan unakipaji kikubwa sana NIMEKUONA muda mrefu ACHANA nawaiguzaji wasiojua hao ndio wanakuferisha sana jaribu kutafuta wasanii wazuri wenye kujua ku act kichwa chako ninakikubari naona unafika mbali sna ,babajoan the great

    • @user-rf4vz4kl2r
      @user-rf4vz4kl2r 2 месяца назад

      Njoo wewe unae kwani kuingiza kanzi laisi kama kukometi

  • @RukiaDzombo-uf7wp
    @RukiaDzombo-uf7wp 2 месяца назад +4

    Wow,! Nishaipenda,kazi nzuri sana babajoan,,,pongezi

  • @hghh6056
    @hghh6056 2 месяца назад +1

    Nakukubali baba Jon hongera saana kwa kazi nzuri inaenda vizuuri saana na zaidi wewe hucheleweshi kazi na mda nao wakuanalia tunashiba kwa kweli movie ngingu za wenzako ni mda mfupi saana lk ww ni wamauwa banaa❤❤❤❤🎉🎉

  • @user-dw7tp6uc2b
    @user-dw7tp6uc2b 2 месяца назад +1

    Jamani tunapokuwa tunassidia na ukulibisha watu hata kaa ni nfugu ,nilazima kufanya maombi katika familia, Muire Mungu hakufunike kwa damu ya Yesu

  • @elijahnyanamba4192
    @elijahnyanamba4192 2 месяца назад +4

    Wow leo nimewai on time💪💪

  • @JacksonwaKizazikipya-wh8sr
    @JacksonwaKizazikipya-wh8sr Месяц назад

    Tunakufatilia tukiwa Congo RDC 🇨🇩🇨🇩Akika Baba joan unajuwa sana tu tukukubali Congo 🎉🎉🎉

  • @Nailah736
    @Nailah736 2 месяца назад +1

    Kazi nzuri baba joan kaza mwendo❤❤❤❤🎉🎉

  • @user-te6qu3fx9z
    @user-te6qu3fx9z 2 месяца назад +3

    Twaomba muendelezo wa mali ya matehemu mana haijaisha

  • @rithanaftal8616
    @rithanaftal8616 2 месяца назад +4

    Nimewahi leo❤❤❤

  • @user-fq6vh5ks9z
    @user-fq6vh5ks9z 2 месяца назад +1

    Kazi nzuli baba juan❤❤❤l'm from Burundi 🇧🇮

  • @esterkimalio8846
    @esterkimalio8846 2 месяца назад +3

    Aaaaah,, baba Joan hujawahi kuniangusha❤❤❤❤❤,,,,muendelezo please maana nitamu sana

  • @user-og4mq8ph4y
    @user-og4mq8ph4y Месяц назад

    Nashukuru sana baba J kwa kazi nzuri tena yenye mafunzo Mungu azidi kukusaidia kwa kazi zako ili uendelee kutuletea mambo moto moto much love from kenya riadhy ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @Wilbrondo
    @Wilbrondo 2 месяца назад +1

    Baba Joan congratulations and more blessings from. Kenya Wilbrondo

  • @RobertSunigo
    @RobertSunigo 2 месяца назад +6

    Good job❤❤

  • @user-zb2wx8ws6g
    @user-zb2wx8ws6g 2 месяца назад +1

    Asanten kwa kutuchekesha Jin kayayuka😊 😂😂😂😂😂

  • @teddyanalubowa8188
    @teddyanalubowa8188 2 месяца назад +4

    Hi guys ❤

  • @user-ki1to6tl8z
    @user-ki1to6tl8z 2 месяца назад +2

    Matembele yanauzwa mia mbili😅

  • @felicianfrancis9895
    @felicianfrancis9895 2 месяца назад +1

    Baba Joan bana !! @Juzi nilikuwa naenda kazini kukata umeme kama kawaida.....😂😂😂😂

  • @Hiari-rh8xv
    @Hiari-rh8xv Месяц назад

    Napenda sana unavyo fanya baba John hauna baya aka mwalimu mgeni Big up

  • @shakezmontash
    @shakezmontash 2 месяца назад +1

    Watching From Kenya😊😊❤Big Up baba Joan

  • @douglasobanda1954
    @douglasobanda1954 2 месяца назад +1

    Always UpTo date baba Joan. Hongera sana. Kenya twakupata loud and clear

  • @AaronKabunda-ge4oc
    @AaronKabunda-ge4oc 16 дней назад

    Tout me félicitations à vous pour une bonne production je vous aime

  • @AndolaSamson
    @AndolaSamson Месяц назад

    Hongera baba j kazi nzuri

  • @brendasande5451
    @brendasande5451 2 месяца назад +4

    Wanamkubali Baba Joan na vitu vyake vya kuelimisha mkuje hapa na likes zake😂😂😂

  • @user-rz9uf2xx1x
    @user-rz9uf2xx1x 2 месяца назад +44

    Maana ya kuagalia hizi episodes sio kulilia link😢ni uagalie ujue wapi wamekosea utoe maoni ili wajue wapi wamekosea acheni mambo n link🎉🎉🎉🎉nawapendaga uku kenya mjuee❤

  • @REHEMAOSCAR
    @REHEMAOSCAR 2 месяца назад +1

    Ba joan naomba nijiunge na wasaniii wako

  • @MakoriHazael
    @MakoriHazael 2 месяца назад +2

    Cjai comment bt hii n moto keep it up

  • @RoseMoraa-fj3xd
    @RoseMoraa-fj3xd 2 месяца назад +1

    Good job bab joan endelea mbele

  • @user-gx9gd9zc3o
    @user-gx9gd9zc3o 2 месяца назад +1

    🤣🤣🤣🤣🤣waaah nae anauzoefu.kweli😁kayeyushwa yeyu🤣🤣🤣🤣🤣🤣❤🎉🎉🎉

  • @user-ne2yc6xr8q
    @user-ne2yc6xr8q Месяц назад

    Kazi nzuri San 🎉🎉🎉

  • @user-pe6hd1fj5g
    @user-pe6hd1fj5g 2 месяца назад +1

    Kazini kama kawaida kukata umeme😂😂😂😂😂😂

  • @boazwabwile7457
    @boazwabwile7457 2 месяца назад +1

    Congratulations baba joan good job❤🎉

  • @dianaqueen7967
    @dianaqueen7967 2 месяца назад +2

    Nko ndani❤❤❤❤

  • @user-ws6fj3ll4c
    @user-ws6fj3ll4c 2 месяца назад

    Keep it up baba joan.umenielimisha zaidi.ubarikiwe sana

  • @user-rn2ru7bf8m
    @user-rn2ru7bf8m 2 месяца назад

    Babe Joan kazi nzuri

  • @AmisRamazani
    @AmisRamazani Месяц назад

    Waw nizuri kabisa muedeleye ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @user-em5yb5us7w
    @user-em5yb5us7w 2 месяца назад +1

    Mauwa Yako baba na team yako

  • @AliciaLevis
    @AliciaLevis 2 месяца назад

    Uko vizuri baba joan

  • @CarolineSikuku-gg9jv
    @CarolineSikuku-gg9jv 2 месяца назад +1

    Natamani pia mm kuingiza na nyinyi🎉

  • @ashamwanganzi6400
    @ashamwanganzi6400 2 месяца назад +1

    Good job baba Joan ❤❤❤

  • @everyne.illankunda8292
    @everyne.illankunda8292 2 месяца назад +1

    Nawapenda ❤❤movie ❤

  • @user-dw7tp6uc2b
    @user-dw7tp6uc2b 2 месяца назад +1

    Jamani maombiiiii niyamuimu

    • @abduljoaomajirajoaomajira6777
      @abduljoaomajirajoaomajira6777 2 месяца назад

      👨‍👩‍👦‍👦👨‍❤️‍👨▶🤒😭😎🐅🐂🐀🍑🍒🍉🏡🏈🎶🎵🎙📷📹

  • @fatumaandrea247
    @fatumaandrea247 2 месяца назад +1

    Dah hatari sana kumbe huyu baba Joni baba yake ni Jini duh

  • @AliyibrahimKhamis
    @AliyibrahimKhamis 2 месяца назад +1

    😂😂😂😂Ameibaaaa 200

  • @rasoal1471
    @rasoal1471 2 месяца назад +1

    Good job baba Joan

  • @GaudiozaOscar
    @GaudiozaOscar 2 месяца назад

    bonus oscar from Karagwe good job baba joan

  • @Pascal-mu5hf
    @Pascal-mu5hf 2 месяца назад +1

    Good Job baba Joan❤❤

  • @jasonlinetv1
    @jasonlinetv1 2 месяца назад

    Daaahh KAZI nzuri mnooo kaka uko fit sana babajoan

  • @user-hi9hy7mw7c
    @user-hi9hy7mw7c Месяц назад +1

    Keep it up

  • @felistercharles
    @felistercharles 2 месяца назад

    Kazi mzuri baba Joan upewe maua yako🎉

  • @daina8464
    @daina8464 2 месяца назад

    Bba joan pokea maua yako kutok 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 aky unfny kazi nzri sana mungu Akuzidishie

  • @jillonoor9970
    @jillonoor9970 2 месяца назад +1

    Uko sawa baba joan❤

  • @user-dm1hs5vz2c
    @user-dm1hs5vz2c 2 месяца назад +1

    Nzuri hiyo ❤❤❤❤❤❤

  • @thamratysuleiman3053
    @thamratysuleiman3053 2 месяца назад +1

    Jamani kwa nini munaweka music kwenye hizi movie.munakera

  • @user-sp7cv2cf4g
    @user-sp7cv2cf4g 2 месяца назад +1

    Msichelewe kutuletea episode 3

  • @user-yi6ub2uq2i
    @user-yi6ub2uq2i 2 месяца назад

    Wow Nishaipenda kazi nzuri xna guys 🎉🎉

  • @SharonChebet-ln3df
    @SharonChebet-ln3df 2 месяца назад

    Kazi nzuri....ila twaitaji episode 3

  • @rithanaftal8616
    @rithanaftal8616 2 месяца назад

    Baba Joan uyo dada unayeigiza nae ndo mama Joan mkeo au? Mzurii❤

  • @AgabaJulius-rc5hx
    @AgabaJulius-rc5hx 2 месяца назад

    Am glad to pray in your amidst. I feel blessed. Joining from Toronto

  • @mrmajengotz.
    @mrmajengotz. 2 месяца назад

    Mamaeee bonge ya move

  • @user-yu9os6ld3f
    @user-yu9os6ld3f 2 месяца назад +1

    Nice work

  • @user-hr6ds2uq3u
    @user-hr6ds2uq3u Месяц назад

    Poleni sana wakuu 😮😮😮❤❤❤❤❤❤

  • @jonasamos555
    @jonasamos555 2 месяца назад +2

    Mi wa 129 leo

  • @user-hr6ds2uq3u
    @user-hr6ds2uq3u Месяц назад

    Nimekumic sana mkuu 😅😅😅😅❤❤❤❤❤❤😊

  • @nsengiyumvawhite6480
    @nsengiyumvawhite6480 2 месяца назад

    Tatizo la baba jeo movie zake hazifike mwisho

  • @Doreen-254
    @Doreen-254 2 месяца назад +4

    🔥🔥❤ episode 3

  • @IRENECHRISS-ft8cc
    @IRENECHRISS-ft8cc 2 месяца назад

    Kaz nzur❤❤❤

  • @RukiaShaban-mb5ld
    @RukiaShaban-mb5ld 2 месяца назад

    Good job baba joan

  • @jacklineteresia2629
    @jacklineteresia2629 2 месяца назад

    Good job Baba joan🎉🎉🎉🎉

  • @agreywamalwamurunga757
    @agreywamalwamurunga757 2 месяца назад

    Napenda sana uku kenya

  • @user-hr6ds2uq3u
    @user-hr6ds2uq3u Месяц назад

    Asee mkuu 😅😅😅😅😅😅😅❤❤❤❤❤❤

  • @slemanHassan-lt9nq
    @slemanHassan-lt9nq 2 месяца назад

    Nyamazautulieq😅

  • @kallandoking6561
    @kallandoking6561 2 месяца назад +1

    Eti "mama juzi nilikuwa naenda kazini kukata umeme" yaani unafanya kazi ya kukata umeme????😂😂😂😂😂

  • @SamuelAloo-qv3kg
    @SamuelAloo-qv3kg 2 месяца назад

    Baba Joan anaelimisha kwa sanaa yake

  • @WinnifridaGwau
    @WinnifridaGwau Месяц назад

    Kaz nzur

  • @MarcyMuthama-eh9yo
    @MarcyMuthama-eh9yo 2 месяца назад

    Wow nazipenda kazi zako baba joani🎉

  • @DicksonSarakikya-jr5pf
    @DicksonSarakikya-jr5pf 27 дней назад

    Moo vzur kwenye uigizaj

  • @user-pp3vo8rw5j
    @user-pp3vo8rw5j 2 месяца назад +2

    ❤❤❤❤❤

  • @mcmangethia5360
    @mcmangethia5360 2 месяца назад +5

    Wakwanza kutoka ujeremani nipe like

  • @user-fn6tb3si7m
    @user-fn6tb3si7m 2 месяца назад +2

    ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉

  • @user-sp2dt6mh1x
    @user-sp2dt6mh1x 2 месяца назад

    Kazi Zuri

  • @florencekanze
    @florencekanze 2 месяца назад

    Baba Joan nakukubali hiokazi ninzuri

  • @CarolineSikuku-gg9jv
    @CarolineSikuku-gg9jv 2 месяца назад +1

    ❤❤❤❤❤poa😊

  • @Julieth-xv3xi
    @Julieth-xv3xi 2 месяца назад

    Kazi nzur baba joan

  • @CarrenWanyonyi
    @CarrenWanyonyi 2 месяца назад

    Kazi nzur

  • @ViceShop
    @ViceShop Месяц назад

    Love from kongo ongera

  • @kingsalim3958
    @kingsalim3958 2 месяца назад

    Mbona movie za majini una act vizuri sana,, ama uliingia kwa ile chama 😂😂😂

  • @valinemkanamkuverammbone-ci9ou
    @valinemkanamkuverammbone-ci9ou 2 месяца назад

    Great job watching from Kenya 👏 🎉🎉

  • @Mr.kapuyenge
    @Mr.kapuyenge 2 месяца назад +1

    Kama umeikubali hii kazi basi Tupia like hata moja hapa
    Twende sawa