Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
Jamani wale wote mnao pendanyimbo za yohana msisahau kumuombea nawapenda sana❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Mungu akuzidixhie baraka
Cwezi nikazuia machozi kutoka kwa sasa,hii ni sauti ya mungu kupitia kwa huyu mtoto
Napenda nyimbo zako yohan mungu akubarik🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Barikiwa mtoto wa mungu😭💖
Be blessed yohana
Napenda nyimbo zako zaidi
Napenda Sana nyimbo zako yohana, mungu akuinue kabisa zaidi na zaidi, from Kenya🇰🇪
Mungu akubariki yohana
Mmm powerful msg,,haki nimepitia mengi juu ya ndoa yangu kuharibika,,nimeangaika sana hila najua ipo siku Mungu atanipa yangu mbavu,,
Hongera sana Antony mungu akuinue zaidi
Mungu akubariki na akutie nguvu man na mawazo bora.congraturations Huwa unanijenga kwa hizi nyimbo zako.
Barikiwa Sana hii wimbo iko na maan mungu akulinde Sana. Nakupenda sana kutoka Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪twapenda Sana Tanzania
Ubarikiwe mtt mzr MUNGU akupeleke kwenye viwango vingine
Congratulation kaka wapi like uku 🔥🔥
Mwanzilishi wa ndoa uko wapi, ninakuomba uje utulize ndoa🔥🔥
Mungu akubariki akutendee mema
Barikiwa mno mtoto mzuri kwa nyimbo nzuri nikweli vikwazo vingi wana ndoa asante mwanangu
Mungu akuzidishie kwa kuwakumbuka wanandoa Johanna 🙏🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Barikiwa Sana,, mungu azidi kukuinua mtoto mzuri,, niujumbe mzuri
Woooi😭😭😭😭 Mungu mwanzilishi wa ndoa jamani njoo katulize,,,,barikiwa baba na kipaji chako uinuliwe zaidi na Mungu
Hapa Kenya tunakupenda ....mungu akubariki sana
Nakupenda San mdogo wangu MUNGU azidi kukuimarisha kwenye huduma hii
Mungu aendelee kukikuza kipaji chako
Be blessed young boy,ni wimbo ambao umebeba ujumbe mzito sana.Mungu akubariki sana.
Kazi poa sana mungu akubariki
Nlikuwa wapi aki nimekuona juzi tu...aki umebarikiwa.Mungu akupe neema zaidi nimependa nyimbo zako sana...na ukiweza ukuje Kenya
Barikiwa bro work extra hard
Ubalikiwe sana
😂😂😂 mungu unapodhuru wengin usimsahau MBUNGE WETU WA BADAE YOHANA ANTONY 💝💖 tunakupenda🙏🙏🙏
❤❤❤❤ so much bby boy beg up🎉🎉🎉
We ❤❤❤❤❤❤ you So much
Ñimekubali kweli atulize ndoa by Director M.R BRAND
Uko good Sana unatubarik mung azid kukutia nguv. Amina
Very talented brother, keep up the good work of God,napenda Sana nyimbo zako
b blessed young boy,am in love with your songs
Hata daudi alikuwa mdogo lakini alitangaza ujumbe. Mungu akubariki mtoto Antony Yohana. Pongezi kutoka 🇰🇪 🇰🇪
Hongera sana.talanta hii kakupa Mungu mwenyewe.songa mbele.
Brother kwakwer Mungu akusaidie unakipaji kizuli Sana ubalikie
kweli mtumishi,,, endelea kuhudumu mdogo wangu...mungu akubariki Sana kwa hii huduma from Kenya.
Wow nice song 🎵 mungu atusaindie kwaza mwanamake I'm from Kenya mombasa
Barikiwa sana mtoto wa mungu ndio maana mungu akasema acheni watoto wadogo waje kwangu kwa kuwa ufalme wa mbinguni ni wao ,Mungu azidi kukufunulia zaidi na zaidi ili uendelee kuifanya huduma ya Mungu
Nakupenda sana yohana mungu akubarikie na akunui juu sana,,, from Kenya
Big up kijana Mungu aendelee kukufunulia Zaid na zaid.
Barikiwa sana mdogo wangu...by abigaelii
Ubarikiwe sana mtoto kwa kazi njema
God of marriage 🙏🙏 mungu akubariki sana❤
Mtumishi yohana Antony kimbilio letu ni mungu barikiwe sana mafunzo mazuri.
Daaah Nashindwa sema barikiwa mtoto Yohana
Mungu bariki na ulinde ndoa zetu,Thanks Antony keep up
Ndoa imekua balaa wengi wamejiua kupitia ndoa Mungu aingililie watu wake wapone
Much love from Ugandan 🇩🇪🇩🇪🇩🇪 niombe Mimi kweli
Asante sana kijana poker baraka kubwa kutoka kwa mungu am from Kenya.❤❤❤❤❤❤
Jamani ubarikiwe sana mwanangu. Mungu akulinde. Amina.
Mungu akupe afya njema mtumishi yohana kazi nzuri sana
Balikiwa zaidi mungu azidi kukutumia zaidi
Wow good. Kuna kijana angu anatamani sana kukuona
MUNGU akutangulie akubariki na akupe umri mkubwa kazi yake uifanye barikiwa sana
Napenda nyimbo zako just keep it up tunakupenda sana congrtulation boy❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
hooo noooo true nimeguzwa sana ubarikiwe sana Anto
Ubarikiwe mdogo wangu I love you
"si matajiri, si masikini, si wasomi" naomba Yesu utulize ndoa 🙏🙏. Be blessed Yohana
Bro nkupenda Sanaa nice
Be blessed
i like it, ubarikiwe sana na mungu akupe neema zaidi
Hongera yohana karbu ndoa yangu ivunjike bt Asante 4rom kenya
Kuja utilize ndoa 🎉🎉🎉🎉
Enyewe mungu ni mungu tu ii song imenikusha wakati nilikuwa mdogo lakini saa hii namshukuru mungu. Endelea kubarikiwa broh
Yohana may God bless you more we love you from Kenya by Teddy makueni County
Allahma akuangazie njia usilud nyumba❤❤
God bless you,nimebarikiwa Sana uendelee zaidi ya hayo
Much love from kenya 🇰🇪🇰🇪 naomba ufanye colabo na janzo tomas from kenya mimi nitawasimamia
Bro keep supporting our artist
Mtoto balikiwa wimbo mzuli nanabalikiwa nao sanaaa
Wow umenena kweli congrats bro
Oooh kwa kwel nafarijik saan barikiw
Mwanzilishii wa ndoaa uko wapi 😭 😭 😭 😭 😭 😭. .....so powerful song! Much love from Kenya
Mungu shuka na kwetu Utulize ndoa...Mum Mungu awe nawe kila wakati
Ubarikiwe sana. Daah! Nimebarikiwa sana na wimbo huu. Mungu akuinue sana chombo kiteule cha Yesu, Much love
Mungu akuinue kijana you are so gud♥️♥️👍
Utaenda mbali sana kakangu mdongo. Endelea vivyo hivyo.May D Lord Bless u abundantly!!!!!!!
Mungu bariki na ulinde ndoa zetu, Thanks God bless you 🙏♥️
Hongela mtt mzuli balikiwa
Mutumichi yohana ubarikiwe, kutoka Congo goma
Nikwel kabs mdogo wangu mungu akubaliki san yohana
Be blessed kakangu, Jameni "ndoa"
Akh mungu akubari ki my brother
Mungu azidi kukubariki kaka kwa nyimbo zako nzuri na zinazotoa mafunzo kwa wengi
Very talented young guy may God bless you with more song na usisahau Kuja kenya kuperform hasa kajiado loitokitok
Amen yohana nawatch from saudia wimbo tamu sana barikiwa
Napenda sana yimbo za Anthony naitaji na yaka Anthony
Yohana Antony barikiwa Sana ninapo sikia nyimbo hii napata amani ndani ya moyo wangu mungu akubariki Sana
Yohan Mungu akuinuee ufike mbaliii🇹🇿
Kazi nzur Yohana. Barikiwa
Kijana yupo vixur sana MUNGU akubariki sana
Napenda san nyimbo zako mdogo wang zimenigusa san nakuombea sana wewe na mdogo wako mung awabariki🌹🌹🌹🌹
Wimbo mzuri bro ❤❤❤
Amen Mungu mwanzilishi wa ndoa aje atulize ndoa.Ubarikiwe Yohana
Napenda nyimbo zako sana hope ukija Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 kufanya tamasha iwe Nairobi 🙏🙏
love from kenya kaka mdogo songa ... mungu akuzidie kibali
Hongera Rafiki tuko pamoja mungu akuinue
Mh Kama ulikuwepo Mungu akuinue
Much love from Kenya,ni neema kutoka Kwa mungu tuh
Nakupenda steve❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Nyimbo nzuri Sana mungu akubariki Sana
Mungu azidi kukubariki
Kipaji cha dhamani kubwa barikiwa Sana mtoto yohana
Mungu akubariki... Naipenda nyimbo zako sana @cheptab koret from kenya.
Napenda sana Mambo wako Johanna mungu akubaliki
Huu wimbo umenikumbusha mbali barikiwa sana much love from Kenya
Jamani wale wote mnao pendanyimbo za yohana msisahau kumuombea nawapenda sana❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Mungu akuzidixhie baraka
Cwezi nikazuia machozi kutoka kwa sasa,hii ni sauti ya mungu kupitia kwa huyu mtoto
Napenda nyimbo zako yohan mungu akubarik🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Barikiwa mtoto wa mungu😭💖
Be blessed yohana
Napenda nyimbo zako zaidi
Napenda Sana nyimbo zako yohana, mungu akuinue kabisa zaidi na zaidi, from Kenya🇰🇪
Mungu akubariki yohana
Mmm powerful msg,,haki nimepitia mengi juu ya ndoa yangu kuharibika,,nimeangaika sana hila najua ipo siku Mungu atanipa yangu mbavu,,
Hongera sana Antony mungu akuinue zaidi
Mungu akubariki na akutie nguvu man na mawazo bora.congraturations Huwa unanijenga kwa hizi nyimbo zako.
Barikiwa Sana hii wimbo iko na maan mungu akulinde Sana. Nakupenda sana kutoka Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪twapenda Sana Tanzania
Ubarikiwe mtt mzr MUNGU akupeleke kwenye viwango vingine
Congratulation kaka wapi like uku 🔥🔥
Mwanzilishi wa ndoa uko wapi, ninakuomba uje utulize ndoa🔥🔥
Mungu akubariki akutendee mema
Barikiwa mno mtoto mzuri kwa nyimbo nzuri nikweli vikwazo vingi wana ndoa asante mwanangu
Mungu akuzidishie kwa kuwakumbuka wanandoa Johanna 🙏🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Barikiwa Sana,, mungu azidi kukuinua mtoto mzuri,, niujumbe mzuri
Woooi😭😭😭😭 Mungu mwanzilishi wa ndoa jamani njoo katulize,,,,barikiwa baba na kipaji chako uinuliwe zaidi na Mungu
Hapa Kenya tunakupenda ....mungu akubariki sana
Nakupenda San mdogo wangu MUNGU azidi kukuimarisha kwenye huduma hii
Mungu aendelee kukikuza kipaji chako
Be blessed young boy,ni wimbo ambao umebeba ujumbe mzito sana.
Mungu akubariki sana.
Kazi poa sana mungu akubariki
Nlikuwa wapi aki nimekuona juzi tu...aki umebarikiwa.Mungu akupe neema zaidi nimependa nyimbo zako sana...na ukiweza ukuje Kenya
Barikiwa bro work extra hard
Ubalikiwe sana
😂😂😂 mungu unapodhuru wengin usimsahau MBUNGE WETU WA BADAE YOHANA ANTONY 💝💖 tunakupenda🙏🙏🙏
❤❤❤❤ so much bby boy beg up🎉🎉🎉
We ❤❤❤❤❤❤ you
So much
Ñimekubali kweli atulize ndoa by Director M.R BRAND
Uko good Sana unatubarik mung azid kukutia nguv. Amina
Very talented brother, keep up the good work of God,napenda Sana nyimbo zako
b blessed young boy,am in love with your songs
Hata daudi alikuwa mdogo lakini alitangaza ujumbe. Mungu akubariki mtoto Antony Yohana. Pongezi kutoka 🇰🇪 🇰🇪
Hongera sana.talanta hii kakupa Mungu mwenyewe.songa mbele.
Brother kwakwer Mungu akusaidie unakipaji kizuli Sana ubalikie
kweli mtumishi,,, endelea kuhudumu mdogo wangu...mungu akubariki Sana kwa hii huduma from Kenya.
Wow nice song 🎵 mungu atusaindie kwaza mwanamake I'm from Kenya mombasa
Barikiwa sana mtoto wa mungu ndio maana mungu akasema acheni watoto wadogo waje kwangu kwa kuwa ufalme wa mbinguni ni wao ,Mungu azidi kukufunulia zaidi na zaidi ili uendelee kuifanya huduma ya Mungu
Nakupenda sana yohana mungu akubarikie na akunui juu sana,,, from Kenya
Big up kijana Mungu aendelee kukufunulia Zaid na zaid.
Barikiwa sana mdogo wangu...by abigaelii
Ubarikiwe sana mtoto kwa kazi njema
God of marriage 🙏🙏 mungu akubariki sana❤
Mtumishi yohana Antony kimbilio letu ni mungu barikiwe sana mafunzo mazuri.
Daaah Nashindwa sema barikiwa mtoto Yohana
Mungu bariki na ulinde ndoa zetu,Thanks Antony keep up
Ndoa imekua balaa wengi wamejiua kupitia ndoa Mungu aingililie watu wake wapone
Much love from Ugandan 🇩🇪🇩🇪🇩🇪 niombe Mimi kweli
Asante sana kijana poker baraka kubwa kutoka kwa mungu am from Kenya.❤❤❤❤❤❤
Jamani ubarikiwe sana mwanangu. Mungu akulinde. Amina.
Mungu akupe afya njema mtumishi yohana kazi nzuri sana
Balikiwa zaidi mungu azidi kukutumia zaidi
Wow good. Kuna kijana angu anatamani sana kukuona
MUNGU akutangulie akubariki na akupe umri mkubwa kazi yake uifanye barikiwa sana
Napenda nyimbo zako just keep it up tunakupenda sana congrtulation boy❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
hooo noooo true nimeguzwa sana ubarikiwe sana Anto
Ubarikiwe mdogo wangu I love you
"si matajiri, si masikini, si wasomi" naomba Yesu utulize ndoa 🙏🙏. Be blessed Yohana
Bro nkupenda Sanaa nice
Be blessed
i like it, ubarikiwe sana na mungu akupe neema zaidi
Hongera yohana karbu ndoa yangu ivunjike bt Asante 4rom kenya
Kuja utilize ndoa 🎉🎉🎉🎉
Enyewe mungu ni mungu tu ii song imenikusha wakati nilikuwa mdogo lakini saa hii namshukuru mungu. Endelea kubarikiwa broh
Yohana may God bless you more we love you from Kenya by Teddy makueni County
Allahma akuangazie njia usilud nyumba❤❤
God bless you,nimebarikiwa Sana uendelee zaidi ya hayo
Much love from kenya 🇰🇪🇰🇪 naomba ufanye colabo na janzo tomas from kenya mimi nitawasimamia
Bro keep supporting our artist
Mtoto balikiwa wimbo mzuli nanabalikiwa nao sanaaa
Wow umenena kweli congrats bro
Oooh kwa kwel nafarijik saan barikiw
Mwanzilishii wa ndoaa uko wapi 😭 😭 😭 😭 😭 😭. .....so powerful song! Much love from Kenya
Mungu shuka na kwetu Utulize ndoa...Mum Mungu awe nawe kila wakati
Ubarikiwe sana. Daah! Nimebarikiwa sana na wimbo huu. Mungu akuinue sana chombo kiteule cha Yesu, Much love
Mungu akuinue kijana you are so gud♥️♥️👍
Utaenda mbali sana kakangu mdongo. Endelea vivyo hivyo.May D Lord Bless u abundantly!!!!!!!
Mungu bariki na ulinde ndoa zetu, Thanks God bless you 🙏♥️
Hongela mtt mzuli balikiwa
Mutumichi yohana ubarikiwe, kutoka Congo goma
Nikwel kabs mdogo wangu mungu akubaliki san yohana
Be blessed kakangu, Jameni "ndoa"
Akh mungu akubari ki my brother
Mungu azidi kukubariki kaka kwa nyimbo zako nzuri na zinazotoa mafunzo kwa wengi
Very talented young guy may God bless you with more song na usisahau Kuja kenya kuperform hasa kajiado loitokitok
Amen yohana nawatch from saudia wimbo tamu sana barikiwa
Napenda sana yimbo za Anthony naitaji na yaka Anthony
Yohana Antony barikiwa Sana ninapo sikia nyimbo hii napata amani ndani ya moyo wangu mungu akubariki Sana
Yohan Mungu akuinuee ufike mbaliii🇹🇿
Kazi nzur Yohana. Barikiwa
Kijana yupo vixur sana MUNGU akubariki sana
Napenda san nyimbo zako mdogo wang zimenigusa san nakuombea sana wewe na mdogo wako mung awabariki🌹🌹🌹🌹
Wimbo mzuri bro ❤❤❤
Amen Mungu mwanzilishi wa ndoa aje atulize ndoa.Ubarikiwe Yohana
Napenda nyimbo zako sana hope ukija Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 kufanya tamasha iwe Nairobi 🙏🙏
love from kenya kaka mdogo songa ... mungu akuzidie kibali
Hongera Rafiki tuko pamoja mungu akuinue
Mh Kama ulikuwepo Mungu akuinue
Much love from Kenya,ni neema kutoka Kwa mungu tuh
Nakupenda steve❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Nyimbo nzuri Sana mungu akubariki Sana
Mungu azidi kukubariki
Kipaji cha dhamani kubwa barikiwa Sana mtoto yohana
Mungu akubariki... Naipenda nyimbo zako sana @cheptab koret from kenya.
Napenda sana Mambo wako Johanna mungu akubaliki
Huu wimbo umenikumbusha mbali barikiwa sana much love from Kenya