SAKATA LA CHAMA: Haendi tena Yanga SC • Mo Dewji ampa OFFA hii • MUDA WOWOTE MAMBO YANABADILIKA.
HTML-код
- Опубликовано: 23 июн 2024
- Salamba Tv.
Link ya Telegram:
Njia rahisi zaidi ya kupata kifurushi:
t.me/salambatv_bot
Link ya kujiunga na Whatsapp Channel yetu,
JAMVIKA NA SALAMBA.
whatsapp.com/channel/0029VabT...
Tunatoa huduma ya Ubashiri wa matokeo ya mechi,
Tunatoa mikeka kwa njia ya sms za kawaida zinazowafikia watumiaji wa huduma zetu kila siku,
Kuanzia:
Saa 5:30 asubuhi : KIFURUSHI CHA PREMIUM
Saa 7:30 mchana : KIFURUSHI CHA V.I.P
JAMVIKA NA SALAMBA
JAMVI LA ALHAMISI
Atalanta vs Marseille (EUROPA LEAGUE) : 1X ✅
Leverkusen vs Roma (EUROPA LEAGUE) : 1X ✅
Azam vs Simba (TANZANIA) : Ov1.5 ✅
Pyunik vs Van (ARMENIA) : Ov1.5 ✅
Bayern W vs Wolfsburg W (GERMANY) : Ov1.5 ✅
Umea vs IFK Stocksund (SWEDEN) : 1X ✅
Union St. Gilloise vs Royal Antwerp (BELGIUM) : Ov0.5 ✅
Stroemsgodset vs Lillestrom (NORWAY) : Ov1.5 ✅
Al Sadd vs AL Markhiya (QATAR) : 1X ✅
Al Khdoud vs Al Nassr (SAUDIA) : Ov1.5 ✅
Friska Viljor vs Assyriska (SWEDEN) : X2 ✅
--Total Odds: 5.01
BONUS TIPS vs () :
Pyunik vs Van (ARMENIA) : Ov1.5 ✅
Azam vs Simba (TANZANIA) : Ov0.5 ✅
Aarau vs Sion (SWITZERLAND) : X2 ✅
Al Fayha vs Al Fateh (SAUDIA) : Ov1.5 ✅
Hapoel Beer Sheva vs Maccabi Bney Rein (ISRAEL) : 1X ✅
Olympiacos vs Aston Villa (EUROPA C. LEAGUE) : Ov1.5 ✅
CfR Pforzheim vs FV Ravensburg (GERMANY) : 1X ✅
--Total Odds: 2.12
JAMVI SPECIAL
2024-05-07
Pyunik vs Van (ARMENIA) : 1X ✅
Azam vs Simba (TANZANIA) : Ov1.5 ✅
Atalanta vs Marseille (UEFA EUROPA LEAGUE) : 1X ✅
Al Khdoud vs Al Nassr (SAUDIA) : Ov1.5 ✅
Olympiacos vs Aston Villa (UEFA CONFERENCE LEAGUE) : Ov1.5 ✅
--Total Odds: 2.05
Sasa hongera ipi Sasa iliokufurahisha... Ww kinabow mnaacha kujadiri njaa zenu mwajadiri kubanduliwa kwenu
Wachambunzi wa Tz amna jipya from Mozambique🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Nataka nikitaka sport news naingia salamaba tv nilikua sikuon azam kumbe uko huku hongera sana hawa wengine wanatupa taarifa za uongo sana
Safi sana cmb nguvu1
Chama abaki tu jamani mo boss wetu chama abaki
Hata Yanga wakimchukua CCC hakika watapoteza mweelekeo kwani mpira wa CCC umefikia kileleni, sasa unashuka. Halafu, "ngoma ikivuma sana . . .".
Sana tena sipendi na Hana mpira tena wa kucheza yanga wache wajitekenye wenyewe tena watajiona wamefanya usajili mkubwa waridhike na chama wao yajao yanafurahisha
Mlikuwa mnapiga makelele ya nini?
@@emanuelkilinga9196 tunawatia presha vile hamna Raha tunapenda mnavyonyogea kazi mnayo mnajaa vizur
Nyie mnaolalamika mmetoa kiasi gani kumbakisha chama watoa mapovu tu
😢Tulichozoea kila msimu
CCC husajiriwa kila mwaka huko anacheza huku ila wa hata mshahara hawlipi
Kwani uchambuz wako ni wa uhakika sio hawa wengine vilaza pls salamba
Mbona sasa ivi code zinachelewa kuja had saa sita na nusu
Hongera watu wa mpira yanga mnawaingiza sana mkenge watu wa mihemko kolo wanapigika kwelikweli ccc anawapiga na wanapigika,,!
Wanaangaika na mmoja wakijashituka mda umeenda CCC atakuja kuwavimbia tumewafunga CCC wao akiwemo na wapo no 3 bado wanangangania
Chama anatafuta hela tu kupitia yanga
Tumesikia amemalizana na yanga
ACHA uwongoooo chama anajua akiendaa yangaa hawezi kuaminiwa, itaonekana ni mamlukiii,Simba anaipendaa
iv kwann chama anapandishwa yanga na viongozi wa simba mnakubali kwamba bado hawajagundua
Njinyi waandishi mnajitekenya wenyewe nakucheka wenyewe
Kw hiyo UZEE SASA UMEISHA?? maana wana MIKIA FC walishaanza kusema kwamba Chama ameshazeeka??
JAMANI CHAMA NI KIPENZI CHA MASHABIKI WA SIMBA. MI NASHUKURUK CHAMA NABAKI SIMBA
Hata Mimi nafurahi
achana nae aende tumemchoka na vitimbwi vyake
Chama akamalizie mpira wake yanga kama mkude na okra yanga wanasajili Kwa mihemko TU wanaona wanaikomoa Simba kumbe wapi waliotoka wote Simba hawajafanya chochote yanga wachezea Simba wew
Na Hawa vyombo ya habari wanatumika sana kuiujumu sana Simba , wanasimba tuamke chama anatugarimu sana
Yani Simba tunapigwa sana na chama lakini atukomi, wamwache tu aende maana ni msumbufu sana chama
Ahsante Mo Kwa kumbakisha Chama Uishi maisha marefu
@@LetasKomba-br1xh kabisa
Unasema uhakika kwan wamefika makubaliano