SAKATA LA CHAMA: Haendi tena Yanga SC • Mo Dewji ampa OFFA hii • MUDA WOWOTE MAMBO YANABADILIKA.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 23 июн 2024
  • Salamba Tv.
    Link ya Telegram:
    Njia rahisi zaidi ya kupata kifurushi:
    t.me/salambatv_bot
    Link ya kujiunga na Whatsapp Channel yetu,
    JAMVIKA NA SALAMBA.
    whatsapp.com/channel/0029VabT...
    Tunatoa huduma ya Ubashiri wa matokeo ya mechi,
    Tunatoa mikeka kwa njia ya sms za kawaida zinazowafikia watumiaji wa huduma zetu kila siku,
    Kuanzia:
    Saa 5:30 asubuhi : KIFURUSHI CHA PREMIUM
    Saa 7:30 mchana : KIFURUSHI CHA V.I.P
    JAMVIKA NA SALAMBA
    JAMVI LA ALHAMISI
    Atalanta vs Marseille (EUROPA LEAGUE) : 1X ✅
    Leverkusen vs Roma (EUROPA LEAGUE) : 1X ✅
    Azam vs Simba (TANZANIA) : Ov1.5 ✅
    Pyunik vs Van (ARMENIA) : Ov1.5 ✅
    Bayern W vs Wolfsburg W (GERMANY) : Ov1.5 ✅
    Umea vs IFK Stocksund (SWEDEN) : 1X ✅
    Union St. Gilloise vs Royal Antwerp (BELGIUM) : Ov0.5 ✅
    Stroemsgodset vs Lillestrom (NORWAY) : Ov1.5 ✅
    Al Sadd vs AL Markhiya (QATAR) : 1X ✅
    Al Khdoud vs Al Nassr (SAUDIA) : Ov1.5 ✅
    Friska Viljor vs Assyriska (SWEDEN) : X2 ✅
    --Total Odds: 5.01
    BONUS TIPS vs () :
    Pyunik vs Van (ARMENIA) : Ov1.5 ✅
    Azam vs Simba (TANZANIA) : Ov0.5 ✅
    Aarau vs Sion (SWITZERLAND) : X2 ✅
    Al Fayha vs Al Fateh (SAUDIA) : Ov1.5 ✅
    Hapoel Beer Sheva vs Maccabi Bney Rein (ISRAEL) : 1X ✅
    Olympiacos vs Aston Villa (EUROPA C. LEAGUE) : Ov1.5 ✅
    CfR Pforzheim vs FV Ravensburg (GERMANY) : 1X ✅
    --Total Odds: 2.12
    JAMVI SPECIAL
    2024-05-07
    Pyunik vs Van (ARMENIA) : 1X ✅
    Azam vs Simba (TANZANIA) : Ov1.5 ✅
    Atalanta vs Marseille (UEFA EUROPA LEAGUE) : 1X ✅
    Al Khdoud vs Al Nassr (SAUDIA) : Ov1.5 ✅
    Olympiacos vs Aston Villa (UEFA CONFERENCE LEAGUE) : Ov1.5 ✅
    --Total Odds: 2.05

Комментарии • 30

  • @rajabually8894
    @rajabually8894 10 дней назад +4

    Sasa hongera ipi Sasa iliokufurahisha... Ww kinabow mnaacha kujadiri njaa zenu mwajadiri kubanduliwa kwenu

  • @SaideAndurabe-kh7lu
    @SaideAndurabe-kh7lu 9 дней назад

    Wachambunzi wa Tz amna jipya from Mozambique🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @idimbezi8379
    @idimbezi8379 9 дней назад

    Nataka nikitaka sport news naingia salamaba tv nilikua sikuon azam kumbe uko huku hongera sana hawa wengine wanatupa taarifa za uongo sana

  • @josephchales6478
    @josephchales6478 9 дней назад

    Safi sana cmb nguvu1

  • @neemaraphael8732
    @neemaraphael8732 10 дней назад

    Chama abaki tu jamani mo boss wetu chama abaki

  • @user-br1mt8oo7q
    @user-br1mt8oo7q 10 дней назад +3

    Hata Yanga wakimchukua CCC hakika watapoteza mweelekeo kwani mpira wa CCC umefikia kileleni, sasa unashuka. Halafu, "ngoma ikivuma sana . . .".

    • @NunuKupela
      @NunuKupela 10 дней назад

      Sana tena sipendi na Hana mpira tena wa kucheza yanga wache wajitekenye wenyewe tena watajiona wamefanya usajili mkubwa waridhike na chama wao yajao yanafurahisha

    • @emanuelkilinga9196
      @emanuelkilinga9196 8 дней назад

      Mlikuwa mnapiga makelele ya nini?

    • @NunuKupela
      @NunuKupela 8 дней назад

      @@emanuelkilinga9196 tunawatia presha vile hamna Raha tunapenda mnavyonyogea kazi mnayo mnajaa vizur

  • @HalimaMaulidi-sv7le
    @HalimaMaulidi-sv7le 10 дней назад +1

    Nyie mnaolalamika mmetoa kiasi gani kumbakisha chama watoa mapovu tu

  • @johnkamuhabwa5142
    @johnkamuhabwa5142 9 дней назад

    😢Tulichozoea kila msimu
    CCC husajiriwa kila mwaka huko anacheza huku ila wa hata mshahara hawlipi

  • @idimbezi8379
    @idimbezi8379 9 дней назад

    Kwani uchambuz wako ni wa uhakika sio hawa wengine vilaza pls salamba

  • @JoshuaLaurent-wv3tz
    @JoshuaLaurent-wv3tz 10 дней назад

    Mbona sasa ivi code zinachelewa kuja had saa sita na nusu

  • @khalifasaidi7001
    @khalifasaidi7001 10 дней назад

    Hongera watu wa mpira yanga mnawaingiza sana mkenge watu wa mihemko kolo wanapigika kwelikweli ccc anawapiga na wanapigika,,!

    • @NunuKupela
      @NunuKupela 10 дней назад

      Wanaangaika na mmoja wakijashituka mda umeenda CCC atakuja kuwavimbia tumewafunga CCC wao akiwemo na wapo no 3 bado wanangangania

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 10 дней назад +1

    Chama anatafuta hela tu kupitia yanga

  • @mariamabdallah9847
    @mariamabdallah9847 9 дней назад

    Tumesikia amemalizana na yanga

  • @RaymondCharlesSaliboko-to6vx
    @RaymondCharlesSaliboko-to6vx 4 дня назад

    ACHA uwongoooo chama anajua akiendaa yangaa hawezi kuaminiwa, itaonekana ni mamlukiii,Simba anaipendaa

  • @stephanobhoke5268
    @stephanobhoke5268 9 дней назад

    iv kwann chama anapandishwa yanga na viongozi wa simba mnakubali kwamba bado hawajagundua

  • @rajabually8894
    @rajabually8894 10 дней назад

    Njinyi waandishi mnajitekenya wenyewe nakucheka wenyewe

  • @user-ox4fv4cf5l
    @user-ox4fv4cf5l 9 дней назад

    Kw hiyo UZEE SASA UMEISHA?? maana wana MIKIA FC walishaanza kusema kwamba Chama ameshazeeka??

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 10 дней назад +1

    JAMANI CHAMA NI KIPENZI CHA MASHABIKI WA SIMBA. MI NASHUKURUK CHAMA NABAKI SIMBA

    • @Mumewangu
      @Mumewangu 9 дней назад

      Hata Mimi nafurahi

  • @stephanobhoke5268
    @stephanobhoke5268 9 дней назад

    achana nae aende tumemchoka na vitimbwi vyake

  • @AbisinaRashidi-wg5jt
    @AbisinaRashidi-wg5jt 10 дней назад

    Chama akamalizie mpira wake yanga kama mkude na okra yanga wanasajili Kwa mihemko TU wanaona wanaikomoa Simba kumbe wapi waliotoka wote Simba hawajafanya chochote yanga wachezea Simba wew

  • @geofreykasinda1895
    @geofreykasinda1895 10 дней назад +1

    Na Hawa vyombo ya habari wanatumika sana kuiujumu sana Simba , wanasimba tuamke chama anatugarimu sana

  • @geofreykasinda1895
    @geofreykasinda1895 10 дней назад +1

    Yani Simba tunapigwa sana na chama lakini atukomi, wamwache tu aende maana ni msumbufu sana chama

    • @LetasKomba-br1xh
      @LetasKomba-br1xh 10 дней назад +1

      Ahsante Mo Kwa kumbakisha Chama Uishi maisha marefu

    • @Mumewangu
      @Mumewangu 9 дней назад

      @@LetasKomba-br1xh kabisa

  • @fabiandanford3572
    @fabiandanford3572 10 дней назад

    Unasema uhakika kwan wamefika makubaliano