Hapa Uk ninapofanya kazi mkiwa mmekutana kutoka Nchi moja kazini hairuhusiwi kuongea any language than English( nikujiongeza tu) because ni unprofessional nakufanya watu wengine wasiyejua hiyo language kujifil uncomfortable na kudhani mnawasema. Kazini kwetu hiyo nimarufuku because wahindi wengi kutwa kuongea kihindi wakapewa warning. So wengi wanajikwepesha kwa njia hiyo because wengine wakijua mnaongea lugha moja wanakuaga ni vigagaa km kupe kukulazimisha kuongea mbele za wafanyazi wenzenu while is unprofessional. Mnaweza ongea but break time siyo mkiwa na wafanyazi wengine wasiyo waelewa language yenu wanawashtakia
Ruky asante sana kwa kutumbia hivi. Huenda kwa huyu dada pia case iko hivi maana ni nurse UK. Ila hata mimi hua nakasirika hawa wa Iran au waspanish wakianza kuongea kilugha chao kwa nguvu muda mrefu inakera.
Kweli kabisa no anyone cares,kwanini tusijipende sisi ngozi nyeusi,jamani wlazungu wenye hata wakija huku afrika huwa wanaongea lugha yao wenyewe labda wakitaka kitu ndio wanatumia kingereza
Huna jipya badala ya kutangaza fursa za huko unatueleza utumbo.asipoongea kiswahili au kijaruo inakupunguzia nini.tangaza fursa acha umbea .siku wa kianza kuongea kilugha chao utaanza kuwachamba ooh....!ulikuja haujui kiingereza Leo unatamba.hiyo hai make sense, jambo la msingi toa namna gani mtu anaweza kufika huko tu.hayo mengine hayatuhusu,au tueleze hao wew ndo uliwafanyia mpango na kiwalipia nauli?
Yaani nimecha sana Mtanzania hajui kiswahili
Ndio tulivyo kama mimi hapa kiswahili sijui kabisaa yani 😂hapo kwenyewe nimefanya ku Google ase
🤣🤣🤣 daah mecheka
Al ooh!! 😂😂😂hii ni maajabu aki
😂😂😂😄sana na nimeshtuka haswaa
Washamba hawo
Sana
😂😂😂😂😂
Ushamba! Ushambaaa! Ushambaaa! Kuikataa asili yako kisa kizungu
Imagine😳😳😳.
Hahahahahahahahahah 😂mbongo hajui kiswahili duh, 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Yani nimeshangaa sana😂😂😂. Yale yale ya muha akifika dar
Hapa Uk ninapofanya kazi mkiwa mmekutana kutoka Nchi moja kazini hairuhusiwi kuongea any language than English( nikujiongeza tu) because ni unprofessional nakufanya watu wengine wasiyejua hiyo language kujifil uncomfortable na kudhani mnawasema. Kazini kwetu hiyo nimarufuku because wahindi wengi kutwa kuongea kihindi wakapewa warning. So wengi wanajikwepesha kwa njia hiyo because wengine wakijua mnaongea lugha moja wanakuaga ni vigagaa km kupe kukulazimisha kuongea mbele za wafanyazi wenzenu while is unprofessional. Mnaweza ongea but break time siyo mkiwa na wafanyazi wengine wasiyo waelewa language yenu wanawashtakia
@@Witnessvlog hahahahahahahaha anaanza kuchonga siku hiyo hiyo amefika tuu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Wiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Ruky asante sana kwa kutumbia hivi. Huenda kwa huyu dada pia case iko hivi maana ni nurse UK. Ila hata mimi hua nakasirika hawa wa Iran au waspanish wakianza kuongea kilugha chao kwa nguvu muda mrefu inakera.
😂😂😂🙌🏾 na kiha anakiremba anaongea ki dar
💔
😢😢
Kweli kabisa no anyone cares,kwanini tusijipende sisi ngozi nyeusi,jamani wlazungu wenye hata wakija huku afrika huwa wanaongea lugha yao wenyewe labda wakitaka kitu ndio wanatumia kingereza
Umeona eeh
Huna jipya badala ya kutangaza fursa za huko unatueleza utumbo.asipoongea kiswahili au kijaruo inakupunguzia nini.tangaza fursa acha umbea .siku wa kianza kuongea kilugha chao utaanza kuwachamba ooh....!ulikuja haujui kiingereza Leo unatamba.hiyo hai make sense, jambo la msingi toa namna gani mtu anaweza kufika huko tu.hayo mengine hayatuhusu,au tueleze hao wew ndo uliwafanyia mpango na kiwalipia nauli?
😅😅🙌🏾🙌🏾🙌🏾kweli umemchana live
Tena ukiwa uko c ndo vzr unakuwa umepata watu wa kuongea nao lugha yenu ya Kiswahili..
Si ndio hapo