Wimbi la wabongo & Wakenya kujifanya hawajui kiswahili

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 22 окт 2024

Комментарии • 24

  • @HalimaAlly-ir3nz
    @HalimaAlly-ir3nz 6 месяцев назад +1

    Yaani nimecha sana Mtanzania hajui kiswahili

  • @tradamus4158
    @tradamus4158 7 месяцев назад +1

    Ndio tulivyo kama mimi hapa kiswahili sijui kabisaa yani 😂hapo kwenyewe nimefanya ku Google ase

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog  7 месяцев назад

      🤣🤣🤣 daah mecheka

  • @sukivlog885
    @sukivlog885 7 месяцев назад +1

    Al ooh!! 😂😂😂hii ni maajabu aki

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog  7 месяцев назад

      😂😂😂😄sana na nimeshtuka haswaa

  • @MwinyihamisiAbdallah
    @MwinyihamisiAbdallah 7 месяцев назад +1

    Washamba hawo

  • @thegoldenqueentz970
    @thegoldenqueentz970 2 месяца назад

    😂😂😂😂😂

  • @bakarishareeff1111
    @bakarishareeff1111 7 месяцев назад

    Ushamba! Ushambaaa! Ushambaaa! Kuikataa asili yako kisa kizungu

  • @SamwelJoseph-yk3cw
    @SamwelJoseph-yk3cw 7 месяцев назад

    Hahahahahahahahahah 😂mbongo hajui kiswahili duh, 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog  7 месяцев назад

      Yani nimeshangaa sana😂😂😂. Yale yale ya muha akifika dar

    • @OnlyRuky
      @OnlyRuky 7 месяцев назад

      Hapa Uk ninapofanya kazi mkiwa mmekutana kutoka Nchi moja kazini hairuhusiwi kuongea any language than English( nikujiongeza tu) because ni unprofessional nakufanya watu wengine wasiyejua hiyo language kujifil uncomfortable na kudhani mnawasema. Kazini kwetu hiyo nimarufuku because wahindi wengi kutwa kuongea kihindi wakapewa warning. So wengi wanajikwepesha kwa njia hiyo because wengine wakijua mnaongea lugha moja wanakuaga ni vigagaa km kupe kukulazimisha kuongea mbele za wafanyazi wenzenu while is unprofessional. Mnaweza ongea but break time siyo mkiwa na wafanyazi wengine wasiyo waelewa language yenu wanawashtakia

    • @SamwelJoseph-yk3cw
      @SamwelJoseph-yk3cw 7 месяцев назад

      @@Witnessvlog hahahahahahahaha anaanza kuchonga siku hiyo hiyo amefika tuu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Wiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog  7 месяцев назад

      Ruky asante sana kwa kutumbia hivi. Huenda kwa huyu dada pia case iko hivi maana ni nurse UK. Ila hata mimi hua nakasirika hawa wa Iran au waspanish wakianza kuongea kilugha chao kwa nguvu muda mrefu inakera.

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog  7 месяцев назад

      😂😂😂🙌🏾 na kiha anakiremba anaongea ki dar

  • @Djjacco-b6o
    @Djjacco-b6o 7 месяцев назад

    💔

  • @PureSoul-rf4xd
    @PureSoul-rf4xd 6 месяцев назад +1

    Kweli kabisa no anyone cares,kwanini tusijipende sisi ngozi nyeusi,jamani wlazungu wenye hata wakija huku afrika huwa wanaongea lugha yao wenyewe labda wakitaka kitu ndio wanatumia kingereza

  • @OscarJoshua-r6x
    @OscarJoshua-r6x 6 месяцев назад

    Huna jipya badala ya kutangaza fursa za huko unatueleza utumbo.asipoongea kiswahili au kijaruo inakupunguzia nini.tangaza fursa acha umbea .siku wa kianza kuongea kilugha chao utaanza kuwachamba ooh....!ulikuja haujui kiingereza Leo unatamba.hiyo hai make sense, jambo la msingi toa namna gani mtu anaweza kufika huko tu.hayo mengine hayatuhusu,au tueleze hao wew ndo uliwafanyia mpango na kiwalipia nauli?

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog  6 месяцев назад

      😅😅🙌🏾🙌🏾🙌🏾kweli umemchana live

  • @thegoldenqueentz970
    @thegoldenqueentz970 2 месяца назад

    Tena ukiwa uko c ndo vzr unakuwa umepata watu wa kuongea nao lugha yenu ya Kiswahili..