Allah amhifadh sana shekh Abul Fadhwl qaasim mafuta. Wallah ameyahariri haya mambo ya bidaa kiasi kwamba sisi watu awaam hatubabaishwi na mashekh wa kibidaa. Namuapa Allah hakuna jambo ameongea huyu mzushi hapa isipokuwa yamejibiwa na yamehaririwa vizuri kiasi kwamba hakuna shubha yyt hapo. Yaaan kiufup nasema hvi. Awwaam wa hao mnaowaita wahab ni zaid ya mashekh wa kisufi
Ukiwa umelishwa simu hata. Ukipewa dawahutaki ,huyu shegh katoa dalili pia huzitaki Tena katoa Kwa maimamu mnao wakubali lkn bado unabaki kusema mashed wakiwahabi wanaelimu zaidi kwakipimo kipi haswa au nihuko kuka soma yemen na saudia ndio hoja Tena miaka miwilitu,iwe hata ukitajiwa ushahidi uutaki
Masheikh tufundisheni dini acheni kutumezesha maneno haqq haina porojo ,mkumbuke pia mtaulizwa na ALLAH siku moja juu ya elimu zenu ,katika dini Makundi ni mawili 1.waliofanya ibada kwa elimu 2.waliofanya ibada bila elimu a)kuna wanao dumu b)kuna nyakati wanafanya/wanaacha 3.wasio fanya ibada Walinganizi nao wapo Makundi 1.wenye kulingania kwa elimu a)kuna wanao lingania haqq b)kuna wanaoficha haqq 2.wenye kulingania pasina elimu Sasa masheikh mnadhima kwa ALLAH kutuvusha
Sio lazima muamini nynyi, Tatizo lenu kubwa ni kulazimisha akili zetu zifanane na bhti mbay hamna uwezo wa kutulazimisha fanyeni ya kwenu msitulamishe kama watoto wenu, nendeni majumbani kwenu mkalazimishe mama zenu, bibi zenu , dada zenu , na wake zenu 😂😂😂, sisi hamna uwezo wa kutulazimisha. Majuhaa
Assalaam alaikum Warahmatullahi Wabarakaatuh, Sheikh wetu huyu moja ya kitu ambacho amekifanya nakisiwe na msaada kwetu ni pale alipowataja wanachuoni wengi(10) wakielezea vigawanyo vya bidaa lakini pasina kuvielezea hivyo vigawanyo,kunahaja gani ya kujua kua bida'a imegawanyika sehemu mbili bila maelezo
Hapo upo sawa kwa sababu Mtume saw wakati wa uhai wake hapakuwepo vipaza sauti misikitini wala mazulia tunayothmia wala misahafu ya makaratasi wala saa ndani ya misikiti wala silaa zinazotumika leo katika vita wala ndege waanazosafiria mahujaji kwenda hija wala usafiri wa magari.
Huyu kiumbe ni khatari anaunganisha vitu kiabunuwasi kwa mtu mwenye maarifa finyu katika dini amemuangamiza kwa mfano alipo linganisha neno KULLU katika hadith ya kullu bidaatun dhalala na Kullu iliomo ktika kisa cha Ibrahimu suratul Baqra ثم اجعل على كل جبل جزء منهن Kisha uweke katika kila mlima baadhi ya viungo vya ndege hao ulio chinja. akasema kama neno KULLUN inamaanisha kila kilichotajwa iweje nabii wa Allahu Ibrahima aliweka viungo vya ndege wale aliowachinja katka milima minne tu pale maka. Hoja yake akitetea kua SIO KILA BIDAA ni UPOTEVU. Tunamwambia shekh huyo kua hapo hapana MASHIKO hata kidogo. Alipo ambiwa Ibrahima pale alipokua yeye kulikua na hiyo milima mnne tu kama ungekuweko mlima mwingine wa Tano kwa sifa ya mlima angeweka hivyo viungo, na anaposema Mtume kila Uzushi anamaanisha UZUSHI WOTE ULIOPO NA UTAKAO KUJA ambao Mtume na Ashabi zake hawakufanya
Ili sisi watu wa kawaida tuweze kustafidi ilitakiwa hivyo vigawanyo avielezee kama hao wanachuoni walivyovieleza, lakini ukitueleza tu kua bida'a ziko mbili nzuri na mbaya halafu ukatuacha hewani tutakua makasiku kwasababu mtu akikuuliza nzuri na mbaya kivipi hakuna cha kujibu ispokuani 🏃♂️
Mtume kasema خذوا مناسككم مني chukueni ibadazenu kutoka kwangu. Sasa wewe shekh ni wapi mtume alisoma khitima kwa kuwaombea maswahaba. Nyie Allah anakuoneni
Wewe mnafiki , naomba na wewe ujibu, ni lini mtume alifnya mashindano ya Kur an? Acha unafiki tuambie kama mtume au maswahaba waliwahi kufanya mashindano ya Kur an? Mnafiki mmoja
@@HemedSeriousMnafiki ni mtu aneelewa fika haki lakini haifuati kwa matamanio yake na mjinga ni yule haeliwi akielimishwa anaelewa. Lakini Mpumbavu au zuzu ni hatari kubwa na mazuzu wengi hawajui kua mashindano ya kusoma na kuhifadhi qurani yali kuwepo toka wakati wa mtume ila sio kwa mtindo huu wa hivi sasa. ndio maana akasika Mtume s.a.w akituambia na awe imamu mmoja wenu yule alio wazidi wenzie quran.( na kama wote mtakua sawa kilakitu atapewa nafasi yule mwenye sauti nzuri) swali kwko utajuaje fulani ni zaidi ya fulani kama hapotokua na iana fulani ya mashindano indirect ?
softjeanskhakis789 kwani wewe hivo vitabu wavijuwa mpaka useme yuwadanganya. Hiyo ndio taabu yenu mawahabi wakitajwa wanazuoni wenu kina Sheikh Imam Ibnu Taymiyah kwa jambo ambalo wamepingana na nyinyi huwa hamutaki ubaya wenu nyinyi hamutaki kusoma na ubishi mwingi kazi yenu nikusikiza mashekhe wenu na Elimu za ujanja ujanja Ibara wasoma ndivyo sivyo na kutafsiri kwa akili zao mbovu. Wacheni uvivu nendeni mukapige goti mbele ya mwalimu mukasome tena angalieni ni mwalimu aina gani anaewafundisha manake kuna wengine ni walimu mikebe mitupu kazi yao ni kufundisha ubishi
Allah akupe umri Mrefu tuzidi kustafidi kwa Elimu yako sheikh wangu. Allahumma Aamiin!
Nakukubali sana sheikh wangu Kusoma
MashaAllah ALLAH awahifadhi InshaAllah
Mashaallah sheikh wetu. .
Mimi nimhabi lakini naanzakuijua hakileo tunaambiw ikija kullu nikila kitu kumbe niuongo mm kwanzia Leo nimtu wamaulid Asante shekh kwakufafanua
Mash Allah tabarak Allah ahsani khaalyqin, Jazzak Allah kheri shekhe
Allah amhifadh sana shekh Abul Fadhwl qaasim mafuta. Wallah ameyahariri haya mambo ya bidaa kiasi kwamba sisi watu awaam hatubabaishwi na mashekh wa kibidaa. Namuapa Allah hakuna jambo ameongea huyu mzushi hapa isipokuwa yamejibiwa na yamehaririwa vizuri kiasi kwamba hakuna shubha yyt hapo. Yaaan kiufup nasema hvi. Awwaam wa hao mnaowaita wahab ni zaid ya mashekh wa kisufi
mzushi babako mbwa
Ukiwa umelishwa simu hata. Ukipewa dawahutaki ,huyu shegh katoa dalili pia huzitaki Tena katoa Kwa maimamu mnao wakubali lkn bado unabaki kusema mashed wakiwahabi wanaelimu zaidi kwakipimo kipi haswa au nihuko kuka soma yemen na saudia ndio hoja Tena miaka miwilitu,iwe hata ukitajiwa ushahidi uutaki
Mashallah mwamba khatar sana
Masheikh tufundisheni dini acheni kutumezesha maneno haqq haina porojo ,mkumbuke pia mtaulizwa na ALLAH siku moja juu ya elimu zenu ,katika dini Makundi ni mawili
1.waliofanya ibada kwa elimu
2.waliofanya ibada bila elimu
a)kuna wanao dumu
b)kuna nyakati wanafanya/wanaacha
3.wasio fanya ibada
Walinganizi nao wapo Makundi
1.wenye kulingania kwa elimu
a)kuna wanao lingania haqq
b)kuna wanaoficha haqq
2.wenye kulingania pasina elimu
Sasa masheikh mnadhima kwa ALLAH kutuvusha
Sio lazima muamini nynyi, Tatizo lenu kubwa ni kulazimisha akili zetu zifanane na bhti mbay hamna uwezo wa kutulazimisha fanyeni ya kwenu msitulamishe kama watoto wenu, nendeni majumbani kwenu mkalazimishe mama zenu, bibi zenu , dada zenu , na wake zenu 😂😂😂, sisi hamna uwezo wa kutulazimisha. Majuhaa
MASHAALLAH
Assalaam alaikum Warahmatullahi Wabarakaatuh, Sheikh wetu huyu moja ya kitu ambacho amekifanya nakisiwe na msaada kwetu ni pale alipowataja wanachuoni wengi(10) wakielezea vigawanyo vya bidaa lakini pasina kuvielezea hivyo vigawanyo,kunahaja gani ya kujua kua bida'a imegawanyika sehemu mbili bila maelezo
Hapo upo sawa kwa sababu Mtume saw wakati wa uhai wake hapakuwepo vipaza sauti misikitini wala mazulia tunayothmia wala misahafu ya makaratasi wala saa ndani ya misikiti wala silaa zinazotumika leo katika vita wala ndege waanazosafiria mahujaji kwenda hija wala usafiri wa magari.
Kaka asalamu alykum hujaelewa naomba unitafute tueleweshane
@@mariamshaban4518 sawa.
@@mariamshaban4518 waalaykum salaam hamna shaka tutawasilina muda si mrefu.
ماشاءالله
Maktaba ya vitabu Sheikh Kusoma
Mashalwah maktaba inayotembea tufundishe
Yan mada km h halafu kuna mpumbav mmoja anacma shkh akadanganya hata aib hain
Anadanganya ndio Kwani wewe umesoma dini au
Huyu kiumbe ni khatari anaunganisha vitu kiabunuwasi kwa mtu mwenye maarifa finyu katika dini amemuangamiza kwa mfano alipo linganisha neno KULLU katika hadith ya kullu bidaatun dhalala na Kullu iliomo ktika kisa cha Ibrahimu suratul Baqra
ثم اجعل على كل جبل جزء منهن
Kisha uweke katika kila mlima baadhi ya viungo vya ndege hao ulio chinja.
akasema kama neno KULLUN inamaanisha kila kilichotajwa iweje nabii wa Allahu Ibrahima aliweka viungo vya ndege wale aliowachinja katka milima minne tu pale maka.
Hoja yake akitetea kua SIO KILA BIDAA ni UPOTEVU.
Tunamwambia shekh huyo kua hapo hapana MASHIKO hata kidogo.
Alipo ambiwa Ibrahima pale alipokua yeye kulikua na hiyo milima mnne tu kama ungekuweko mlima mwingine wa Tano kwa sifa ya mlima angeweka hivyo viungo, na anaposema Mtume kila Uzushi anamaanisha UZUSHI WOTE ULIOPO NA UTAKAO KUJA ambao Mtume na Ashabi zake hawakufanya
Allaah awaongoe wao pamoja nasie
Nyny c Tyr mshaongoka , Allah akuongozeni vipi Tena wkt nyny watu wa sunna?
Tumsubiri shekhe bachu ili tuziziruhusu akili zetu kuchambua
nilikua najua unajua kumbe hamna kitu.fuatilia hizo hidithi vizuri acha kutumi ufahamu wako
Ili sisi watu wa kawaida tuweze kustafidi ilitakiwa hivyo vigawanyo avielezee kama hao wanachuoni walivyovieleza, lakini ukitueleza tu kua bida'a ziko mbili nzuri na mbaya halafu ukatuacha hewani tutakua makasiku kwasababu mtu akikuuliza nzuri na mbaya kivipi hakuna cha kujibu ispokuani 🏃♂️
asnte shkh ila wengine talbs kama hii tushaizoea
Mtume kasema
خذوا مناسككم مني
chukueni ibadazenu kutoka kwangu.
Sasa wewe shekh ni wapi mtume alisoma khitima kwa kuwaombea maswahaba. Nyie Allah anakuoneni
hata ww mwenyezi mungu anakuona
Mungu anakuona pia
Wewe mnafiki , naomba na wewe ujibu, ni lini mtume alifnya mashindano ya Kur an? Acha unafiki tuambie kama mtume au maswahaba waliwahi kufanya mashindano ya Kur an? Mnafiki mmoja
@@HemedSeriousMnafiki ni mtu aneelewa fika haki lakini haifuati kwa matamanio yake na mjinga ni yule haeliwi akielimishwa anaelewa. Lakini Mpumbavu au zuzu ni hatari kubwa na mazuzu wengi hawajui kua mashindano ya kusoma na kuhifadhi qurani yali kuwepo toka wakati wa mtume ila sio kwa mtindo huu wa hivi sasa. ndio maana akasika Mtume s.a.w akituambia na awe imamu mmoja wenu yule alio wazidi wenzie quran.( na kama wote mtakua sawa kilakitu atapewa nafasi yule mwenye sauti nzuri) swali kwko utajuaje fulani ni zaidi ya fulani kama hapotokua na iana fulani ya mashindano indirect ?
اتكالله
je ufahamu huo nani kakutangulia ktk wema walio pita shkh?
Anajikanyaga anajipiga radi mwenyewe,Allah amuongoze huyu kiumbe
Huna lolote mnafiki wewe, Allah anakuona na unafiki
Maktaba inayotembea
ngoja ujibiwe
mimi nataka Nıqash na huyu shekh!
Huyu mbishi sana hutamuweza mzee tulia tuu
Wewe nihewa huna chote katika elimu yadini kufa kwachungu wako.
Subhanallah. Wadanganya wazi wazi Allah anakuona
Ww acha ushamba...
A.alaykum..
Kadanganya nini hebu nieleweshe kwa ukweli wa Kiislam nami nielewe...
Au labda hujamuelewa? Au unamchukia?
Leta ww ukweli wako wa vitabu km huyu Maalim ili tukuelewe
softjeanskhakis789 kwani wewe hivo vitabu wavijuwa mpaka useme yuwadanganya. Hiyo ndio taabu yenu mawahabi wakitajwa wanazuoni wenu kina Sheikh Imam Ibnu Taymiyah kwa jambo ambalo wamepingana na nyinyi huwa hamutaki ubaya wenu nyinyi hamutaki kusoma na ubishi mwingi kazi yenu nikusikiza mashekhe wenu na Elimu za ujanja ujanja Ibara wasoma ndivyo sivyo na kutafsiri kwa akili zao mbovu. Wacheni uvivu nendeni mukapige goti mbele ya mwalimu mukasome tena angalieni ni mwalimu aina gani anaewafundisha manake kuna wengine ni walimu mikebe mitupu kazi yao ni kufundisha ubishi
Mawahabi si waelewa na hawataelewa mpaka kiama kitasimama maana vichwa vyao vina akili zao masomo yao ibada zao zinawatosha wenyewe tu
Acheni siyasa kwenye dini nyie. Mogopeni allah inatosha kudanganya watu dakika 30 Hadidhi 1 hlf unadanganya watu wewe
Huja tuwekea hiyo sahihi?