MASWALI NA MAJIBU KWA SHEIKH MUHAMMAD KUSOMA (BIDAA) IGOMA MWANZA 2024

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 23 окт 2024

Комментарии • 53

  • @saidishekalaghe3496
    @saidishekalaghe3496 4 месяца назад +4

    Allah akupe umri Mrefu tuzidi kustafidi kwa Elimu yako sheikh wangu. Allahumma Aamiin!

  • @rushu1232
    @rushu1232 4 месяца назад +8

    Nakukubali sana sheikh wangu Kusoma

  • @muradkhamissalim5047
    @muradkhamissalim5047 4 месяца назад +1

    MashaAllah ALLAH awahifadhi InshaAllah

  • @AyubEsmail-mq4gu
    @AyubEsmail-mq4gu 3 месяца назад +1

    Mashaallah sheikh wetu. .

  • @HusseynSingano
    @HusseynSingano 5 часов назад

    Mimi nimhabi lakini naanzakuijua hakileo tunaambiw ikija kullu nikila kitu kumbe niuongo mm kwanzia Leo nimtu wamaulid Asante shekh kwakufafanua

  • @AndulHida-hs5py
    @AndulHida-hs5py 4 месяца назад +1

    Mash Allah tabarak Allah ahsani khaalyqin, Jazzak Allah kheri shekhe

  • @eng.saalim8646
    @eng.saalim8646 4 месяца назад +1

    Allah amhifadh sana shekh Abul Fadhwl qaasim mafuta. Wallah ameyahariri haya mambo ya bidaa kiasi kwamba sisi watu awaam hatubabaishwi na mashekh wa kibidaa. Namuapa Allah hakuna jambo ameongea huyu mzushi hapa isipokuwa yamejibiwa na yamehaririwa vizuri kiasi kwamba hakuna shubha yyt hapo. Yaaan kiufup nasema hvi. Awwaam wa hao mnaowaita wahab ni zaid ya mashekh wa kisufi

    • @mafiatv5479
      @mafiatv5479 4 месяца назад

      mzushi babako mbwa

    • @MshihirDguyya
      @MshihirDguyya 9 дней назад

      Ukiwa umelishwa simu hata. Ukipewa dawahutaki ,huyu shegh katoa dalili pia huzitaki Tena katoa Kwa maimamu mnao wakubali lkn bado unabaki kusema mashed wakiwahabi wanaelimu zaidi kwakipimo kipi haswa au nihuko kuka soma yemen na saudia ndio hoja Tena miaka miwilitu,iwe hata ukitajiwa ushahidi uutaki

  • @Jamalybella
    @Jamalybella 4 месяца назад +2

    Mashallah mwamba khatar sana

  • @allykihogo3359
    @allykihogo3359 4 месяца назад +1

    Masheikh tufundisheni dini acheni kutumezesha maneno haqq haina porojo ,mkumbuke pia mtaulizwa na ALLAH siku moja juu ya elimu zenu ,katika dini Makundi ni mawili
    1.waliofanya ibada kwa elimu
    2.waliofanya ibada bila elimu
    a)kuna wanao dumu
    b)kuna nyakati wanafanya/wanaacha
    3.wasio fanya ibada
    Walinganizi nao wapo Makundi
    1.wenye kulingania kwa elimu
    a)kuna wanao lingania haqq
    b)kuna wanaoficha haqq
    2.wenye kulingania pasina elimu
    Sasa masheikh mnadhima kwa ALLAH kutuvusha

    • @HemedSerious
      @HemedSerious 3 дня назад

      Sio lazima muamini nynyi, Tatizo lenu kubwa ni kulazimisha akili zetu zifanane na bhti mbay hamna uwezo wa kutulazimisha fanyeni ya kwenu msitulamishe kama watoto wenu, nendeni majumbani kwenu mkalazimishe mama zenu, bibi zenu , dada zenu , na wake zenu 😂😂😂, sisi hamna uwezo wa kutulazimisha. Majuhaa

  • @abdulkhalfan8586
    @abdulkhalfan8586 4 месяца назад +1

    MASHAALLAH

  • @allykihogo3359
    @allykihogo3359 4 месяца назад +1

    Assalaam alaikum Warahmatullahi Wabarakaatuh, Sheikh wetu huyu moja ya kitu ambacho amekifanya nakisiwe na msaada kwetu ni pale alipowataja wanachuoni wengi(10) wakielezea vigawanyo vya bidaa lakini pasina kuvielezea hivyo vigawanyo,kunahaja gani ya kujua kua bida'a imegawanyika sehemu mbili bila maelezo

  • @BofuMlanzi
    @BofuMlanzi 4 месяца назад +1

    Hapo upo sawa kwa sababu Mtume saw wakati wa uhai wake hapakuwepo vipaza sauti misikitini wala mazulia tunayothmia wala misahafu ya makaratasi wala saa ndani ya misikiti wala silaa zinazotumika leo katika vita wala ndege waanazosafiria mahujaji kwenda hija wala usafiri wa magari.

    • @mariamshaban4518
      @mariamshaban4518 4 месяца назад

      Kaka asalamu alykum hujaelewa naomba unitafute tueleweshane

    • @BofuMlanzi
      @BofuMlanzi 4 месяца назад

      @@mariamshaban4518 sawa.

    • @BofuMlanzi
      @BofuMlanzi 4 месяца назад

      @@mariamshaban4518 waalaykum salaam hamna shaka tutawasilina muda si mrefu.

  • @shilolemwakizenga4204
    @shilolemwakizenga4204 4 месяца назад +2

    ماشاءالله

  • @JuchonlineTV
    @JuchonlineTV 8 дней назад +1

    Maktaba ya vitabu Sheikh Kusoma

  • @binaamour318
    @binaamour318 4 месяца назад +1

    Mashalwah maktaba inayotembea tufundishe

  • @AdamRajab-xd3zg
    @AdamRajab-xd3zg 4 месяца назад +3

    Yan mada km h halafu kuna mpumbav mmoja anacma shkh akadanganya hata aib hain

  • @maftahmusa9513
    @maftahmusa9513 4 месяца назад +3

    Huyu kiumbe ni khatari anaunganisha vitu kiabunuwasi kwa mtu mwenye maarifa finyu katika dini amemuangamiza kwa mfano alipo linganisha neno KULLU katika hadith ya kullu bidaatun dhalala na Kullu iliomo ktika kisa cha Ibrahimu suratul Baqra
    ثم اجعل على كل جبل جزء منهن
    Kisha uweke katika kila mlima baadhi ya viungo vya ndege hao ulio chinja.
    akasema kama neno KULLUN inamaanisha kila kilichotajwa iweje nabii wa Allahu Ibrahima aliweka viungo vya ndege wale aliowachinja katka milima minne tu pale maka.
    Hoja yake akitetea kua SIO KILA BIDAA ni UPOTEVU.
    Tunamwambia shekh huyo kua hapo hapana MASHIKO hata kidogo.
    Alipo ambiwa Ibrahima pale alipokua yeye kulikua na hiyo milima mnne tu kama ungekuweko mlima mwingine wa Tano kwa sifa ya mlima angeweka hivyo viungo, na anaposema Mtume kila Uzushi anamaanisha UZUSHI WOTE ULIOPO NA UTAKAO KUJA ambao Mtume na Ashabi zake hawakufanya

  • @AbuuLuqman99AbuuLuqman
    @AbuuLuqman99AbuuLuqman 4 месяца назад +1

    Allaah awaongoe wao pamoja nasie

    • @HemedSerious
      @HemedSerious 3 дня назад

      Nyny c Tyr mshaongoka , Allah akuongozeni vipi Tena wkt nyny watu wa sunna?

  • @neemafatu471
    @neemafatu471 3 месяца назад +1

    Tumsubiri shekhe bachu ili tuziziruhusu akili zetu kuchambua

  • @IssaRamadhan-r1o
    @IssaRamadhan-r1o 4 месяца назад +1

    nilikua najua unajua kumbe hamna kitu.fuatilia hizo hidithi vizuri acha kutumi ufahamu wako

  • @allykihogo3359
    @allykihogo3359 4 месяца назад +1

    Ili sisi watu wa kawaida tuweze kustafidi ilitakiwa hivyo vigawanyo avielezee kama hao wanachuoni walivyovieleza, lakini ukitueleza tu kua bida'a ziko mbili nzuri na mbaya halafu ukatuacha hewani tutakua makasiku kwasababu mtu akikuuliza nzuri na mbaya kivipi hakuna cha kujibu ispokuani 🏃‍♂️

  • @KomboShineni
    @KomboShineni 4 месяца назад +1

    asnte shkh ila wengine talbs kama hii tushaizoea

  • @maftahmusa9513
    @maftahmusa9513 4 месяца назад +1

    Mtume kasema
    خذوا مناسككم مني
    chukueni ibadazenu kutoka kwangu.
    Sasa wewe shekh ni wapi mtume alisoma khitima kwa kuwaombea maswahaba. Nyie Allah anakuoneni

    • @shabanimussa4269
      @shabanimussa4269 4 месяца назад

      hata ww mwenyezi mungu anakuona

    • @JoriJori-es2re
      @JoriJori-es2re 3 месяца назад

      Mungu anakuona pia

    • @HemedSerious
      @HemedSerious 3 дня назад

      Wewe mnafiki , naomba na wewe ujibu, ni lini mtume alifnya mashindano ya Kur an? Acha unafiki tuambie kama mtume au maswahaba waliwahi kufanya mashindano ya Kur an? Mnafiki mmoja

    • @maftahmusa9513
      @maftahmusa9513 3 дня назад

      @@HemedSeriousMnafiki ni mtu aneelewa fika haki lakini haifuati kwa matamanio yake na mjinga ni yule haeliwi akielimishwa anaelewa. Lakini Mpumbavu au zuzu ni hatari kubwa na mazuzu wengi hawajui kua mashindano ya kusoma na kuhifadhi qurani yali kuwepo toka wakati wa mtume ila sio kwa mtindo huu wa hivi sasa. ndio maana akasika Mtume s.a.w akituambia na awe imamu mmoja wenu yule alio wazidi wenzie quran.( na kama wote mtakua sawa kilakitu atapewa nafasi yule mwenye sauti nzuri) swali kwko utajuaje fulani ni zaidi ya fulani kama hapotokua na iana fulani ya mashindano indirect ?

  • @ZuberiAbasi-ee2vr
    @ZuberiAbasi-ee2vr 4 месяца назад +1

    اتكالله

  • @KomboShineni
    @KomboShineni 4 месяца назад +1

    je ufahamu huo nani kakutangulia ktk wema walio pita shkh?

  • @adamkubiga7688
    @adamkubiga7688 4 месяца назад +1

    Anajikanyaga anajipiga radi mwenyewe,Allah amuongoze huyu kiumbe

    • @HemedSerious
      @HemedSerious 3 дня назад

      Huna lolote mnafiki wewe, Allah anakuona na unafiki

  • @Jamalybella
    @Jamalybella 4 месяца назад +2

    Maktaba inayotembea

  • @NasraAbdallah-k8r
    @NasraAbdallah-k8r 4 месяца назад +1

    ngoja ujibiwe

  • @twaibumikidadi7377
    @twaibumikidadi7377 4 месяца назад +1

    mimi nataka Nıqash na huyu shekh!

    • @ramadhanisulemani9016
      @ramadhanisulemani9016 3 месяца назад

      Huyu mbishi sana hutamuweza mzee tulia tuu

    • @Allyabdu-vr1tn
      @Allyabdu-vr1tn 3 месяца назад

      Wewe nihewa huna chote katika elimu yadini kufa kwachungu wako.

  • @softjeanskhakis789
    @softjeanskhakis789 4 месяца назад +1

    Subhanallah. Wadanganya wazi wazi Allah anakuona

    • @sudinamalwa823
      @sudinamalwa823 4 месяца назад +1

      Ww acha ushamba...

    • @abdallahsiraji9919
      @abdallahsiraji9919 4 месяца назад +1

      A.alaykum..
      Kadanganya nini hebu nieleweshe kwa ukweli wa Kiislam nami nielewe...
      Au labda hujamuelewa? Au unamchukia?

    • @AdamRajab-xd3zg
      @AdamRajab-xd3zg 4 месяца назад +1

      Leta ww ukweli wako wa vitabu km huyu Maalim ili tukuelewe

    • @abubakaromar6101
      @abubakaromar6101 4 месяца назад

      softjeanskhakis789 kwani wewe hivo vitabu wavijuwa mpaka useme yuwadanganya. Hiyo ndio taabu yenu mawahabi wakitajwa wanazuoni wenu kina Sheikh Imam Ibnu Taymiyah kwa jambo ambalo wamepingana na nyinyi huwa hamutaki ubaya wenu nyinyi hamutaki kusoma na ubishi mwingi kazi yenu nikusikiza mashekhe wenu na Elimu za ujanja ujanja Ibara wasoma ndivyo sivyo na kutafsiri kwa akili zao mbovu. Wacheni uvivu nendeni mukapige goti mbele ya mwalimu mukasome tena angalieni ni mwalimu aina gani anaewafundisha manake kuna wengine ni walimu mikebe mitupu kazi yao ni kufundisha ubishi

    • @MohamefMullah
      @MohamefMullah 4 месяца назад +2

      Mawahabi si waelewa na hawataelewa mpaka kiama kitasimama maana vichwa vyao vina akili zao masomo yao ibada zao zinawatosha wenyewe tu

  • @abuubakarihussein2664
    @abuubakarihussein2664 4 месяца назад +1

    Acheni siyasa kwenye dini nyie. Mogopeni allah inatosha kudanganya watu dakika 30 Hadidhi 1 hlf unadanganya watu wewe